Pius wilson live performance kiboko ya Wachawi Amwaga Pesa ✨

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 29

  • @Lilian-op8hm
    @Lilian-op8hm 8 дней назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪

  • @Amosmpaji
    @Amosmpaji 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂 kanisa au ukumbi wa disco😂😂😂😂 mwenyez Mungu aturehemu tusemezane kwa lugha moja daaaaaah hadi huruma

  • @salumuselemani-km2ee
    @salumuselemani-km2ee 25 дней назад

    Mungu hawezi kuabudiwa kwa namna hii, embu Wakristo tujitasmini

  • @AshoreAa
    @AshoreAa Месяц назад

    Ilipendeza lakini Sasa kumepoa

  • @user-uk9rp9du8b
    @user-uk9rp9du8b 6 месяцев назад +1

    Noma Sana💥💥💥💥💥💥respect my Brooo

  • @sarahmwakagugu6663
    @sarahmwakagugu6663 2 месяца назад

    😂😂😂😂 acha wakaangwe maana hawataki neno la kweli wanapenda miujiza ... Shetani kawateka kias hiki hata hamjihurumii... Uvivu wa kusoma neno na kuomba kunawaponza.. mtamaliza manabii tz nzima... Khaaaa aibu naona mimi😢

  • @StanleyChibwete
    @StanleyChibwete 2 месяца назад +2

    Kalibu sana dodoma nasi utusaidie

    • @LucyBacresa
      @LucyBacresa 2 месяца назад +1

      anaesahidia ni Mungu

    • @user-rl5qu4zj9b
      @user-rl5qu4zj9b 2 месяца назад +1

      Akusaidie baada ya kumwomba Mungu unaomba binadam akusaidie huoni tu kinachoendelea kusoma hujui hata picha huoni kweli

  • @MagdalenaMatiko
    @MagdalenaMatiko 2 месяца назад +4

    .mbona mnampa mwanadamu utukufu

  • @BarikiMbuba-f2e
    @BarikiMbuba-f2e 2 месяца назад +1

    Achakudanganya watu

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 2 месяца назад

    Mwenye macho haambiwi tazama utajua mwenyewe hiki ni kilinge cha nani kama huna macho kanunie miwani kama hutaki shauli yako

  • @costofamily4861
    @costofamily4861 2 месяца назад

    Mungu atuhurumie hatujui nn tunafanya nn😢😢

  • @VeronicaMungure
    @VeronicaMungure 2 месяца назад

    Amen

  • @DijjahMmonde
    @DijjahMmonde 2 месяца назад

    Amina baba

  • @sizyathom-qq5cx
    @sizyathom-qq5cx 2 месяца назад

    Amina

  • @michaelmwaksole7244
    @michaelmwaksole7244 2 месяца назад

    Kanisa la wahuni, mashetani na mizimu

  • @blessingbisimwajanesbisimw6966
    @blessingbisimwajanesbisimw6966 2 месяца назад

    Wa naanza kumwabudu Pastor Dominic. Wanaanza kama jinsi wanavyo abudu nabii mkuu .Mungu awafungue macho .Mungu utumia watu kwa ajili ya utukufu wa Yesu .Mwanadamu huwezi changia utukufu na Mungu

  • @jacquelinebumbugu4876
    @jacquelinebumbugu4876 6 месяцев назад +1

    Kivumbii

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 2 месяца назад

    Daah

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 2 месяца назад +1

    Kama huna macho vaa miwani utajua hiki kilinge ni cha nani

  • @VeronicaMungure
    @VeronicaMungure 2 месяца назад

    Nabii nitabirie

  • @JuliaTommy-x4n
    @JuliaTommy-x4n 2 месяца назад

    Jamani huyu nabii mm nimemuota zaidi ya mala4 ananijia usingizini sijuwi nifanyenn naninaonyeshwa wabayawangu usingizini namwambia nabii nisaidie anasema mwanangu njoo kanisani nimemuota zaidi yamalanne nakanisani nilienda lakini bado naendelea kuota nifanyenn

  • @VeronicaMungure
    @VeronicaMungure 2 месяца назад

    Amen