😂😂😂😂 acha wakaangwe maana hawataki neno la kweli wanapenda miujiza ... Shetani kawateka kias hiki hata hamjihurumii... Uvivu wa kusoma neno na kuomba kunawaponza.. mtamaliza manabii tz nzima... Khaaaa aibu naona mimi😢
Wa naanza kumwabudu Pastor Dominic. Wanaanza kama jinsi wanavyo abudu nabii mkuu .Mungu awafungue macho .Mungu utumia watu kwa ajili ya utukufu wa Yesu .Mwanadamu huwezi changia utukufu na Mungu
❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪
😂😂😂😂😂😂 kanisa au ukumbi wa disco😂😂😂😂 mwenyez Mungu aturehemu tusemezane kwa lugha moja daaaaaah hadi huruma
Mungu hawezi kuabudiwa kwa namna hii, embu Wakristo tujitasmini
Hama dini
Ilipendeza lakini Sasa kumepoa
Noma Sana💥💥💥💥💥💥respect my Brooo
😂😂😂😂 acha wakaangwe maana hawataki neno la kweli wanapenda miujiza ... Shetani kawateka kias hiki hata hamjihurumii... Uvivu wa kusoma neno na kuomba kunawaponza.. mtamaliza manabii tz nzima... Khaaaa aibu naona mimi😢
Kalibu sana dodoma nasi utusaidie
anaesahidia ni Mungu
Akusaidie baada ya kumwomba Mungu unaomba binadam akusaidie huoni tu kinachoendelea kusoma hujui hata picha huoni kweli
.mbona mnampa mwanadamu utukufu
Wote hao ni bangi.
Hanna pastor
Sio mtumishi wa Mungu huyo ni WA Duniani,sasa unataka wasimsifu?
Achakudanganya watu
Mwenye macho haambiwi tazama utajua mwenyewe hiki ni kilinge cha nani kama huna macho kanunie miwani kama hutaki shauli yako
Mungu atuhurumie hatujui nn tunafanya nn😢😢
Amen
Amina baba
Amina
Kanisa la wahuni, mashetani na mizimu
Wa naanza kumwabudu Pastor Dominic. Wanaanza kama jinsi wanavyo abudu nabii mkuu .Mungu awafungue macho .Mungu utumia watu kwa ajili ya utukufu wa Yesu .Mwanadamu huwezi changia utukufu na Mungu
Kivumbii
Daah
Kama huna macho vaa miwani utajua hiki kilinge ni cha nani
Nabii nitabirie
Jamani huyu nabii mm nimemuota zaidi ya mala4 ananijia usingizini sijuwi nifanyenn naninaonyeshwa wabayawangu usingizini namwambia nabii nisaidie anasema mwanangu njoo kanisani nimemuota zaidi yamalanne nakanisani nilienda lakini bado naendelea kuota nifanyenn
Na wewe mchawi?😢
Amen