Action - Choice Full Movie [Part 2] Full action movie 2023 | Bongo blockbuster movies | Chaguo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июн 2022
  • Movie Title: Chaguo movie
    Genre: Drama Comedy
    Written & Directed by: Bernard Edson (Benroyal)
    Year of Production: 2022
    Country: Tanzania
    Original Language: Swahili
    Synopsis
    Chaguo Movie ni filamu ya kitanzania inayolenga maisha halisi ya kijana Steve ambaye anajikuta katika wakati mgumu baada ya kuamua kufuatilia mnyororo wa wauzaji wa madawa ya kulevya.
    #chaguofullmovie #benroyalpicturesmovies #bongomovies #actionmovies #africanmovie
    #swahilimovies #freeyoutubemovies #viral #video #sisi
  • КиноКино

Комментарии • 151

  • @emmanuelimark4141
    @emmanuelimark4141 Год назад +31

    Mov kali sana na itatufundisha vizuri sana na mtunzi ameandika ukwli kabisa kwani mambo mengi yana fanyika ila kuna watu wa kubwa tu wako kwenye hayo maovu na unapo onesha kuwa wewe ni mjuwahi sana unafukunzwa kazi ila broo pambana unajuwa pia mkono wa mungu uwe pamoja na wewe muv zako ni zuri sana natamani kuona siku moja umefunguwa kampuni yako ya mov kwani mtaani kuna vijana wengi wenye vipaji ila support wamekosa kama umekubali comments yangu acha like yako hapo

  • @AhadiMoses
    @AhadiMoses 14 дней назад +1

    Movie kalisanaaa ,,hiiniwaya ya umeme💯💪💪 never seen before 💪

  • @JOHthymus-nb8xs
    @JOHthymus-nb8xs 9 месяцев назад +4

    Movie kama wazungu mnajitahidi sana endeleeni mtafika mbali sana wakuu big up sana

  • @phionadarlingtone2458
    @phionadarlingtone2458 Год назад +5

    Aisee hii movie sijapata kuona Bongo movie BenRoyal Respect sana na waigizaji wenzio...Hii ndio Bongo Land kama vile Hollywood za Marekani Nimekubali

  • @user-fd7ux9cc6y
    @user-fd7ux9cc6y 11 дней назад

    Daah noma sana mazee daah sema song kaimba nan

  • @johnchacha-mr7im
    @johnchacha-mr7im 7 месяцев назад +2

    Daaah yan when i watch your movies i really learn something you act the reality and loved by me❤❤❤🎉

  • @rokmafia754
    @rokmafia754 Год назад +5

    Woww chaguo noma snaa naikubaliii kinyama guyz mfnye harakatii bnaa mshushe part 3 I can't wait...am proud of you guys plzzzz ♥️♥️♥️👍

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад +5

    Steve buana 😂😂😂😂😂Sonko buana 😂😂😂😂😂Nmecheka alafu nmecktka.

  • @MuhammadMustapha-sz7xb
    @MuhammadMustapha-sz7xb 9 месяцев назад +2

    Waz wasee ❤

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 8 месяцев назад +1

    Stive bwana 😅🙌

  • @kingmo4445
    @kingmo4445 Год назад +3

    Picha nzuri, stori nzur ...mfike mbali kimafanikio na kazi bora zaidi

  • @MwalimuIsmaily
    @MwalimuIsmaily 4 месяца назад +2

    Nimiangalia SISI nimkuja kuwatafuta RUclips nimeona hii... Unajua zaid ya bongohood walaah

  • @charleswangwe8095
    @charleswangwe8095 9 месяцев назад +1

    Manze filamu zenu ziko poa sana ni Mr Charles kutoka kenya nairobi

  • @karimabdallah8842
    @karimabdallah8842 Год назад +3

    Aisee Hii movie ipo safi kabisa keep it up. Mnastaili Pongezi, ujumbe umetulia🙌

  • @williamlichuma7540
    @williamlichuma7540 Год назад +3

    Movie za bongo ninazipenda sana ninatazama nikiwa Kenya

  • @saidkhambi3337
    @saidkhambi3337 2 года назад +5

    Siachi kuangalia movie nkiona uyu jamaa mkono wa sweta

  • @missyt343
    @missyt343 7 месяцев назад +3

    Movie full of lessons

  • @saifSaif-yj9uu
    @saifSaif-yj9uu Год назад +2

    Daa songo bhan, do, do, asanteni wapendwa kwa kazi nzuri munafanya mashallah ❤️❤️

  • @fuguremalone
    @fuguremalone 8 месяцев назад +1

    Steve bwana

  • @djmevrestmevrest6214
    @djmevrestmevrest6214 Год назад +9

    I can't wait for Part 3

  • @user-sl7qh8kk8n
    @user-sl7qh8kk8n 3 месяца назад +1

    Unajua allah akusaidie

  • @aslamraslan2295
    @aslamraslan2295 Год назад +4

    Watoto wazuri weusi 🤣😂😅ao basi

  • @kingdontz2783
    @kingdontz2783 Год назад +7

    Guys guys guys location is much better the director is much good
    Congratulations to him

  • @leoneavitalis9133
    @leoneavitalis9133 Год назад +4

    Tunangoj part 3 jaman🔥🔥🔥

  • @Hardin464
    @Hardin464 7 месяцев назад +1

    😂😂😂😂stive bwana

  • @bobizilla
    @bobizilla 2 года назад +2

    Mwendelezo bna

  • @user-js5oj3bm9x
    @user-js5oj3bm9x 3 месяца назад

    Filamu hii naipenda sana mara ya nne sai kuitazama na pia nahitaji iendelee

  • @sammyibrahim8626
    @sammyibrahim8626 9 месяцев назад +1

    Iko poa sana

  • @Farida-xe4xk
    @Farida-xe4xk Год назад

    Huyu hiz ndio muv zake,sio hizo jua kal respect steve bana😂😂😂

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Год назад +1

    Maconnection wewe sio wa Tanzania Bali ni WA Hollywood kabisaaaa. God blesses you brother

  • @pauloteamu1447
    @pauloteamu1447 Год назад +3

    Dah.....! Sonko bwana😂😂

  • @kingdontz2783
    @kingdontz2783 Год назад +2

    Mwanamke Ni kiumbe Cha ajabu sana akibadilika hua ata shetani hukaa pembeni uku akila pop corn na kuendelea kutazama movie jinsi anavyoua watu kikatili

  • @BmFashions_design
    @BmFashions_design Год назад +1

    Ebwana we Bado kazi ipo Ben royal twende kazi

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 11 месяцев назад +1

    Hatar na nusu..kazi murua kabisa

  • @hangaabdulrahman1255
    @hangaabdulrahman1255 9 месяцев назад +1

    We go up.

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 Год назад +2

    Big up Steve🙌🙌🙌from🇰🇪

  • @savinachavala3411
    @savinachavala3411 Год назад

    Jaman sonkoo anakufaje mapema hivo jaman mweee isarito kipenziii ahsanteee

  • @abdullahnassor9504
    @abdullahnassor9504 Год назад +1

    Bonge moja ya movie aisee

  • @jeremiahmungete732
    @jeremiahmungete732 Год назад

    Ndugu zangu ongereni sana yaani natazama movie zenu kwa Raha sana maana ni za eshima na maadili ndani yake,Huu Ndiyo utamaduni wetu waafrica Aya mengine tunaiga tu

  • @Versossecretosdoislam6595
    @Versossecretosdoislam6595 Год назад

    Da Rest in peace mshua, mpe hi fother God, na brother Jesus....kkk😂😂😂😂😂

  • @bernadmollel
    @bernadmollel Год назад +1

    Nimeipena Sana pongezi kwa waigiza na wale wote waliousika kutengeneza hii movie imenifurahisha kwa mtu wa kuelewa nahisi ameelewa iko na mafuzo mengi kufurahisha kuuzunisha. Yote kwa yote ni kazi nzuri Sana but tu aomba part 3 tuendelee kufurahiya shukran🙏

  • @yusuphdeogratius1036
    @yusuphdeogratius1036 7 месяцев назад

    Nampenda huyo dada

  • @damianmhagama4398
    @damianmhagama4398 Год назад

    Movie nzuri sana hadithi nzuri na mmeicheza vizuri. Steve buana

  • @rizikladyherson8451
    @rizikladyherson8451 Год назад +3

    Stive bwaanaaa😂😂😂😂😂

  • @njarohenrypala7897
    @njarohenrypala7897 2 года назад +1

    Steve aana mzaa mzaa

  • @aslamraslan2295
    @aslamraslan2295 Год назад +1

    😅😂🤣 nimefika sehemu ambayo jamaa anavurugwa kwasababu ya Steve Ila akasahau kumwa pulikuwepo na steve kanumba
    Ongera sana steve
    From burundi 🇧🇮

  • @jayceejay-cy4qb
    @jayceejay-cy4qb 2 месяца назад

    Steve bwana na sahio unakufa😂

  • @yusuphdeogratius1036
    @yusuphdeogratius1036 7 месяцев назад

    Hongereni kwa kazi nzuri

  • @maryamhakim1471
    @maryamhakim1471 Год назад +1

    Hahahaahahahahaha imecheka kwa sauti jamani songo haupo serious na kifo hahahahahahaahah nimecheka Sana

  • @mansuleymc475
    @mansuleymc475 4 месяца назад

    Kaka nialike kwenye movie zako nami nifanye yang utanisaidiaj

  • @anethmwalonde
    @anethmwalonde Год назад +1

    Movie nzuri Sana hongeren

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Год назад +1

    Hii sehemu nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣Steve bwana

  • @WilMud
    @WilMud Год назад

    Pongezi kwa movie safi sanaaa, mimi ni mfuasi wenu kutoka huku Mkenya

  • @mwanamisisuleiman5442
    @mwanamisisuleiman5442 2 года назад +1

    Steve my crushy❤ good job

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi 8 месяцев назад

    Ni nzuri jmn, nzuriiiii sana. Vp part 3 ?

  • @ahmedbakari9223
    @ahmedbakari9223 Год назад

    Daaa hawajjamaa nimewaelewa sanaa yani mmejalibu kuonesha ubora mkubwa sana kwene move zenu na nilishawai kuona move 1 mkitumia English nikadhani ni wazambia au malawi kumbe ni bongo banaaa

  • @shafiifadhili7995
    @shafiifadhili7995 Год назад +1

    Movie nzur sana

  • @festoalex9322
    @festoalex9322 Год назад +1

    Ameolewa huyo mbona mzuri sana

  • @jamesmaroa5473
    @jamesmaroa5473 Год назад +1

    Movie quate interesting bro, keep up

  • @salapionleonard4028
    @salapionleonard4028 Год назад +1

    Benroyal bhana

  • @rizzomalikiamohd133
    @rizzomalikiamohd133 Год назад

    Sonko kaupiga mwingi 😂😂😂Steve bwana mbona hukumuacha afe karb mwsho mebambika mimi

  • @aminahmusa3723
    @aminahmusa3723 Год назад +4

    🔥🔥🔥🔥

  • @PH10735
    @PH10735 2 года назад +2

    Steve bwanaa 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fennebramadhani1062
    @fennebramadhani1062 8 месяцев назад

    Binafsa namkubali sonko

  • @musarashid3482
    @musarashid3482 Год назад +1

    Good ila part hii ya pili mmetudngnya, akat stiv anapigwa risasi ilikua mchna.asaiv mwasem usiku tna??

  • @miraclejohan9711
    @miraclejohan9711 2 года назад +1

    Steve bhana,,,,

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Месяц назад

    Stiv bana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwanaishaalfan3145
    @mwanaishaalfan3145 Год назад

    Steve mm nakuona ww tuuu😍😍

  • @faidaonesmo
    @faidaonesmo 5 месяцев назад +1

    Sonko kazingua hata kwa mwanamke anatumia bunduki

  • @Bilichadieudonne1
    @Bilichadieudonne1 2 года назад

    Nimeipenda sana hii movie ipo vizuli hongeren nawapata nikiwa kigoma ujiji

  • @hassanalkinanga
    @hassanalkinanga Год назад

    Jamn nataka part 3

  • @shawallbintiramadhan5051
    @shawallbintiramadhan5051 11 месяцев назад

    Kisonko Steve bwana😂😂😂

  • @HAJRA1997
    @HAJRA1997 Год назад +2

    Wow Steve ongera🥰🥰🥰🥰🥰

  • @stammwabukusi6436
    @stammwabukusi6436 Год назад

    Ni bonge la move picha yake imetulia'' stor inamfanya mtu azdi kufatilia mbele kuna nn'' Ongeren sana Wahusika mmeztendea haki nafac zenu

  • @husseinsalim7211
    @husseinsalim7211 Год назад

    I wait part 3

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Год назад +1

    Najikuta naludia kutazama tena na tena kweli kazi nzuri zinadumu sana.

  • @erickkinyambe2715
    @erickkinyambe2715 2 года назад +1

    Steve bana 😂🤣🤣🤣

  • @RenzoJofre-my9lz
    @RenzoJofre-my9lz 7 месяцев назад

    God movie

  • @user-yw7nh6sm1u
    @user-yw7nh6sm1u 9 месяцев назад +1

    Mama you tube and the way you would have been talking

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 Год назад +1

    kwakweli mnatutendea haki naona vijana wameuvaa uhusika

  • @elizabethwikana4955
    @elizabethwikana4955 Год назад +1

    Bro🇹🇿🔥🔥🔥🥰🥰😍😍🇰🇪🇰🇪🏅🎖️

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 2 года назад +1

    Good movie

  • @joelmachochi
    @joelmachochi 2 года назад +2

    Sisi season 2 episode 4 tafathali 💯

  • @ibrahimchombonyawa3100
    @ibrahimchombonyawa3100 Год назад

    Daah,ila bado Kuna masela sija waona nimewasikia tu Kwa mziki, Nara mzalendo,mbanga,kondoo nafsi,mdachi na Kuna mwengine Alie msaliti mbanga jt

  • @kapuf3438
    @kapuf3438 8 месяцев назад

    Saw

  • @diegofagundesmorales4275
    @diegofagundesmorales4275 Год назад

    Awaiting part 3

  • @EssahPointEntertainment
    @EssahPointEntertainment 2 года назад

    Chaguo langu💥

  • @najalinanyambo3971
    @najalinanyambo3971 2 года назад +2

    Aliechukua nafasi ya sonko sasa🤭🤭

  • @Borderonemedia
    @Borderonemedia 2 года назад +3

    🔥🔥🔥❤❤

  • @salhamlanz9806
    @salhamlanz9806 Год назад

    Huyu songo atakuja kufa vibaya sana

  • @naomihamisi1502
    @naomihamisi1502 2 года назад +1

    nzuri

  • @salimdekonde9513
    @salimdekonde9513 Год назад

    Mbona weee nimekupigia risasi mbili na bado uko hak 🤣🤣🤣🤣 stev bhan

  • @orojinaledjemm1315
    @orojinaledjemm1315 Год назад +1

    Safi💕🔥🔥

  • @JOHNMWENEBANTU-ml5jd
    @JOHNMWENEBANTU-ml5jd 7 месяцев назад

    Namna ya kusevu hio picha

  • @saidympoyoka7632
    @saidympoyoka7632 Год назад

    Saf sana

  • @nestonestoo3027
    @nestonestoo3027 2 года назад +1

    💥

  • @hadharaalli5201
    @hadharaalli5201 Год назад

    Bonge l dudeeeeee heshima wakuu,👍👍👍👍👍👍👍👍💕💕💕💕💕💕💕💕💯💯💯

  • @georgejoseph951
    @georgejoseph951 Год назад

    Hahaha soko bana kahamia timunyigine daaaah sokobana

  • @stan_online_tv
    @stan_online_tv 2 года назад

    🙏🙏🙏 but nataman iendelee songo wa 2inakuaje kwake (respect tyuu Ben Picture from Ilomba_tabora_up to manyara tunawakubali sana)

  • @erickchami4859
    @erickchami4859 Год назад +1

    Move nzur INA elm toshaa