Action - Choice Full Movie [Part 2] Full action movie 2023 | Bongo blockbuster movies | Chaguo
HTML-код
- Опубликовано: 21 июн 2022
- Movie Title: Chaguo movie
Genre: Drama Comedy
Written & Directed by: Bernard Edson (Benroyal)
Year of Production: 2022
Country: Tanzania
Original Language: Swahili
Synopsis
Chaguo Movie ni filamu ya kitanzania inayolenga maisha halisi ya kijana Steve ambaye anajikuta katika wakati mgumu baada ya kuamua kufuatilia mnyororo wa wauzaji wa madawa ya kulevya.
#chaguofullmovie #benroyalpicturesmovies #bongomovies #actionmovies #africanmovie
#swahilimovies #freeyoutubemovies #viral #video #sisi - Кино
Mov kali sana na itatufundisha vizuri sana na mtunzi ameandika ukwli kabisa kwani mambo mengi yana fanyika ila kuna watu wa kubwa tu wako kwenye hayo maovu na unapo onesha kuwa wewe ni mjuwahi sana unafukunzwa kazi ila broo pambana unajuwa pia mkono wa mungu uwe pamoja na wewe muv zako ni zuri sana natamani kuona siku moja umefunguwa kampuni yako ya mov kwani mtaani kuna vijana wengi wenye vipaji ila support wamekosa kama umekubali comments yangu acha like yako hapo
Movie kalisanaaa ,,hiiniwaya ya umeme💯💪💪 never seen before 💪
Movie kama wazungu mnajitahidi sana endeleeni mtafika mbali sana wakuu big up sana
Aisee hii movie sijapata kuona Bongo movie BenRoyal Respect sana na waigizaji wenzio...Hii ndio Bongo Land kama vile Hollywood za Marekani Nimekubali
Daah noma sana mazee daah sema song kaimba nan
Daaah yan when i watch your movies i really learn something you act the reality and loved by me❤❤❤🎉
Woww chaguo noma snaa naikubaliii kinyama guyz mfnye harakatii bnaa mshushe part 3 I can't wait...am proud of you guys plzzzz ♥️♥️♥️👍
Steve buana 😂😂😂😂😂Sonko buana 😂😂😂😂😂Nmecheka alafu nmecktka.
Waz wasee ❤
Stive bwana 😅🙌
Picha nzuri, stori nzur ...mfike mbali kimafanikio na kazi bora zaidi
Nimiangalia SISI nimkuja kuwatafuta RUclips nimeona hii... Unajua zaid ya bongohood walaah
Asante sana
Manze filamu zenu ziko poa sana ni Mr Charles kutoka kenya nairobi
Aisee Hii movie ipo safi kabisa keep it up. Mnastaili Pongezi, ujumbe umetulia🙌
Movie za bongo ninazipenda sana ninatazama nikiwa Kenya
Siachi kuangalia movie nkiona uyu jamaa mkono wa sweta
Movie full of lessons
Daa songo bhan, do, do, asanteni wapendwa kwa kazi nzuri munafanya mashallah ❤️❤️
Steve bwana
I can't wait for Part 3
Unajua allah akusaidie
Watoto wazuri weusi 🤣😂😅ao basi
Guys guys guys location is much better the director is much good
Congratulations to him
Tunangoj part 3 jaman🔥🔥🔥
😂😂😂😂stive bwana
Mwendelezo bna
Filamu hii naipenda sana mara ya nne sai kuitazama na pia nahitaji iendelee
Iko poa sana
Huyu hiz ndio muv zake,sio hizo jua kal respect steve bana😂😂😂
Maconnection wewe sio wa Tanzania Bali ni WA Hollywood kabisaaaa. God blesses you brother
Dah.....! Sonko bwana😂😂
Mwanamke Ni kiumbe Cha ajabu sana akibadilika hua ata shetani hukaa pembeni uku akila pop corn na kuendelea kutazama movie jinsi anavyoua watu kikatili
Ebwana we Bado kazi ipo Ben royal twende kazi
Hatar na nusu..kazi murua kabisa
We go up.
Big up Steve🙌🙌🙌from🇰🇪
Jaman sonkoo anakufaje mapema hivo jaman mweee isarito kipenziii ahsanteee
Bonge moja ya movie aisee
Ndugu zangu ongereni sana yaani natazama movie zenu kwa Raha sana maana ni za eshima na maadili ndani yake,Huu Ndiyo utamaduni wetu waafrica Aya mengine tunaiga tu
Da Rest in peace mshua, mpe hi fother God, na brother Jesus....kkk😂😂😂😂😂
Nimeipena Sana pongezi kwa waigiza na wale wote waliousika kutengeneza hii movie imenifurahisha kwa mtu wa kuelewa nahisi ameelewa iko na mafuzo mengi kufurahisha kuuzunisha. Yote kwa yote ni kazi nzuri Sana but tu aomba part 3 tuendelee kufurahiya shukran🙏
Nampenda huyo dada
Movie nzuri sana hadithi nzuri na mmeicheza vizuri. Steve buana
Stive bwaanaaa😂😂😂😂😂
Steve aana mzaa mzaa
😅😂🤣 nimefika sehemu ambayo jamaa anavurugwa kwasababu ya Steve Ila akasahau kumwa pulikuwepo na steve kanumba
Ongera sana steve
From burundi 🇧🇮
Steve bwana na sahio unakufa😂
Hongereni kwa kazi nzuri
Hahahaahahahahaha imecheka kwa sauti jamani songo haupo serious na kifo hahahahahahaahah nimecheka Sana
Kaka nialike kwenye movie zako nami nifanye yang utanisaidiaj
Movie nzuri Sana hongeren
Hii sehemu nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣Steve bwana
Pongezi kwa movie safi sanaaa, mimi ni mfuasi wenu kutoka huku Mkenya
Steve my crushy❤ good job
Ni nzuri jmn, nzuriiiii sana. Vp part 3 ?
Daaa hawajjamaa nimewaelewa sanaa yani mmejalibu kuonesha ubora mkubwa sana kwene move zenu na nilishawai kuona move 1 mkitumia English nikadhani ni wazambia au malawi kumbe ni bongo banaaa
Movie nzur sana
Ameolewa huyo mbona mzuri sana
Movie quate interesting bro, keep up
Benroyal bhana
Sonko kaupiga mwingi 😂😂😂Steve bwana mbona hukumuacha afe karb mwsho mebambika mimi
🔥🔥🔥🔥
Steve bwanaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Binafsa namkubali sonko
Good ila part hii ya pili mmetudngnya, akat stiv anapigwa risasi ilikua mchna.asaiv mwasem usiku tna??
Steve bhana,,,,
Stiv bana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Steve mm nakuona ww tuuu😍😍
Sonko kazingua hata kwa mwanamke anatumia bunduki
Nimeipenda sana hii movie ipo vizuli hongeren nawapata nikiwa kigoma ujiji
Jamn nataka part 3
Kisonko Steve bwana😂😂😂
Wow Steve ongera🥰🥰🥰🥰🥰
Ni bonge la move picha yake imetulia'' stor inamfanya mtu azdi kufatilia mbele kuna nn'' Ongeren sana Wahusika mmeztendea haki nafac zenu
I wait part 3
Najikuta naludia kutazama tena na tena kweli kazi nzuri zinadumu sana.
Steve bana 😂🤣🤣🤣
God movie
Mama you tube and the way you would have been talking
kwakweli mnatutendea haki naona vijana wameuvaa uhusika
Bro🇹🇿🔥🔥🔥🥰🥰😍😍🇰🇪🇰🇪🏅🎖️
Good movie
Sisi season 2 episode 4 tafathali 💯
Daah,ila bado Kuna masela sija waona nimewasikia tu Kwa mziki, Nara mzalendo,mbanga,kondoo nafsi,mdachi na Kuna mwengine Alie msaliti mbanga jt
Saw
Awaiting part 3
Chaguo langu💥
Aliechukua nafasi ya sonko sasa🤭🤭
🔥🔥🔥❤❤
Huyu songo atakuja kufa vibaya sana
nzuri
Mbona weee nimekupigia risasi mbili na bado uko hak 🤣🤣🤣🤣 stev bhan
Safi💕🔥🔥
Namna ya kusevu hio picha
Saf sana
💥
Bonge l dudeeeeee heshima wakuu,👍👍👍👍👍👍👍👍💕💕💕💕💕💕💕💕💯💯💯
Hahaha soko bana kahamia timunyigine daaaah sokobana
🙏🙏🙏 but nataman iendelee songo wa 2inakuaje kwake (respect tyuu Ben Picture from Ilomba_tabora_up to manyara tunawakubali sana)
Move nzur INA elm toshaa