Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Wastara aelezea stori nzima kuhusu ajali iliyomtokea

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 апр 2016

Комментарии • 24

  • @yasserabubakar6167
    @yasserabubakar6167 8 лет назад +3

    nampenda wastara ni mwanamke mwenye ujasiri sana...keep it up..

  • @jacklinmacha5471
    @jacklinmacha5471 6 лет назад +2

    sijawahi kuona upendo kama huooo oh pole sana wastara sajuki pumzika kwa aman na raha ya milele umpe eeee bwana na mwanga wa milele umwangazie

  • @annewetungumusuya9213
    @annewetungumusuya9213 8 лет назад +1

    I shed tears wen I hear this.May God comfort the heart of this lady .

  • @fgfshrhvds9988
    @fgfshrhvds9988 8 лет назад

    Shalet mzee.
    Pole sana wastara, kile ninachojua kila kitokeacho kina sababu zake.mungu akutie nguvu . Utapata mume mwingine kma sajuki mwenye mapenzi ya kweli.frm kenya ,much love.

  • @balqeesmackysah7367
    @balqeesmackysah7367 8 лет назад

    mmh!pole ndugu yetu Wastara...mungu ampunguzie kila zito la kaburi ndugu yetu Sajuki in sha Allah

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 4 года назад

    Pole sana dada huwezi msahau kabsa kwa wema wake

  • @timabwengo8052
    @timabwengo8052 6 лет назад +1

    Mitihani dada utavuka inshaallah

  • @meshakshadrack533
    @meshakshadrack533 7 лет назад

    polesana my sister haujafaaujaumbika kweli dada yangu nakusikiliaurumasana

  • @tinakanec9161
    @tinakanec9161 8 лет назад

    ucjali wastara mungu atakupa mume mwema kwanza huyo hakuwa choice yako wemwenyewe mrembo utapata

  • @zuhuraali9983
    @zuhuraali9983 8 лет назад

    pole saana wastaraa

  • @ummymtema1750
    @ummymtema1750 8 лет назад +1

    Allah amrehemu sajuki

  • @delphinefleurmanirambona8651
    @delphinefleurmanirambona8651 5 лет назад

    Pole sana dada yang

  • @mnindatatu2616
    @mnindatatu2616 4 года назад

    Maskin pole sana Dada hata mm nilipata ajal

  • @alicenzowa7527
    @alicenzowa7527 8 лет назад

    very sorry my love unamakubwa uloyapitia il a mwenyez mungu anakila sababu ya kwanin up I tie hayo I feel like I can see u and say sorry beautiful lady

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 8 лет назад

    I do love this woman nikimuona live naisi macho yatanishuka tu daaah mwanamke kapitia mengi huyu yaan akiongea tu mambo yake yamguu mie nalia .... eeeh MOLA mjaliee huyu mwanamke daaah.

    • @kinanazagaeri1291
      @kinanazagaeri1291 4 года назад

      pole nduguyangu naumia sana ukitoa storry yako yaajali nakupenda sana nami pia nimempoteza nimpendae mwenye upendo kama wasajuki allah atufanye wepesi kwakilajambo nakuombea ipo cku utayasahau yote nduguyangu nakupenda sana pachawangu watu wengi wanasema tunafanana

    • @kinanazagaeri1291
      @kinanazagaeri1291 4 года назад

      pole nduguyangu naumia sana ukitoa storry yako yaajali nakupenda sana nami pia nimempoteza nimpendae mwenye upendo kama wasajuki allah atufanye wepesi kwakilajambo nakuombea ipo cku utayasahau yote nduguyangu nakupenda sana pachawangu watu wengi wanasema tunafanana

  • @shabantatoomusafaustini1205
    @shabantatoomusafaustini1205 7 лет назад

    pore Dada agu

  • @shamimubinkhamisi8719
    @shamimubinkhamisi8719 8 лет назад

    pole daa

  • @raymondpatrick851
    @raymondpatrick851 8 лет назад

    mmmmh huyu mbunge sura yake inaonekana imekaaa kiuongouongo

  • @carenewera1709
    @carenewera1709 8 лет назад

    Sorry my sister

  • @raymondpatrick851
    @raymondpatrick851 8 лет назад

    mmmmh huyu mbunge sura yake inaonekana imekaaa kiuongouongo