Mwandamanaji mlevavu wa Nakuru James Mbugua azungumza
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Mwandamanaji James Mbugua anayeishi na ulemavu ni miongoni mwa wale waliokuwa kwenye mstari wa mbele kwenye maandamano. Licha ya kuishi na ulemavu amekuwa miongoni mwa wale walioshuhudia ukatili wa polisi katika kaunti ya Nakuru.
Thanks for fighting for our freedom, keep it up❤❤❤❤❤
Shame to our presso hakii😢 mpaka wlemavuuu😢
what a galant soldier!
James you are a hero
Kama kuna watu watakufa vibaya duniani polisi dhuluma anayoifanya malipo ni hapa tu
we must speak our voice ✍️
Pole God will help u,where can I get this nan
Harmless
Never give up bro ✊️✊️✊️✊️✊️✊️
He had todo what he had to do kushukisha zakayo,big up,
This government is cursed!
People are wicked and dark heart
Si ukae nyumbani bro
Really fighter
Mungu akulinde bro but hao maafisa wanao wakenya wasikuwa na hatiya ipo sku mungu ataawalipa
Maskini pole kkangu lazima waizi waende zao in shaa Allah
Strong soldier
Haki Lazima Ipatikane
Ruto una laana nyingi sana.
🌍🇰🇪⛪️📖🙏🏾DISABILITY DOES NOT MEAN INABILITY✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾⛪️🙏🏾🌍🙏🏾🫵🏾🇰🇪
Cabinet position in the next gen z government, automatic
Alihurumiwa
Courage!
Never give up bro
Sioni ukatili hapa , askari wanapampana na. Wezi na waboraji , waharibivu , citizen shape up !!!
Ukatili utauona likikufika kwako ama kwa familia yako, hapo ndio utauona ukatili.
Can he steal even a sweet shame on u
I hare this citzn TV until my last breath,wao ndio wako navshida Kenya hii,they are showing to gain symbat in the sinnful world,if I was the president first thing was to remove this station once and forever
❤❤❤
Huyo nimempea minister for disability... direct
Take care of your life because of have a wife and children.
Neno matamano mungu hapendi kwetu tuhatamane kwa sababu neno matamano halina majo yahuzima nimajo yakifo namungu hayuko karibu nakifo kwetu kifo nijetu kukubali matamano naneno lamungu linatukanya tusilahumiane sisiwenye nawabaya hatutii neno lamungu
Unasema aje?
@@kevinwendo1718nimegagana sana kusoma ila sijaelewa alichoandika
wee kojoa ulale 😮
😂😂😂 izi ni nini
Ata risasi ilikkufaa
Huyu ali vuta nini?
If he engages in violence ashikwe, ulemavu sio ugonjwa, alalamikie Mungu sio polisi... Teargas haijui nani mlemavu, ulijipeleka huko...
Your head is full of shit not brains
Funga mdomo wewe! afadhali Mbugua angekuwa sawa upatiwe huo ulemavu, hakuna kitu unasaidia? afadhali mlemavu anatoka nje kutetea haki ya wanyonge?
Hujafa hujaumbika afadhali kama umekosa kitu ya Ku type ungenyamaa tu
@@Alithoya-qr7di Exactly mbona mtu asikae nyumbani., anatake advantage ya ulemavu kusumbua polisi
@@Watt-er8or kwani mlemavu cmtu unaongea nikama Akili huna