#USICHUKULIEPOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 119

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 Год назад +9

    Mungu mkubwa mungu halali hatimaye baada ya miaka 34 kumpoteza Sankara mungu kawalipa bukinafaso kuwaletea mtoto wa bukinafaso mwana wa africa mzalendo wa kweli sijuwi lini na sisi watanzania tutafutwa machozi ya jpm

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l Год назад +9

    SHUJAAAA WA KWELI. Na KIONGOZI WA KWELI AFRICA 🌍 ndio HUYU SASA! MY ROLE MODEL LEADER EVER!💪💪💪

  • @henryking6070
    @henryking6070 Год назад +26

    Basi ni yeye Sankara karudi kwenye mwili mwingine Mungu siyo wakucheza nae kweli

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z День назад

    Asante sana zungu safi sana Lete mavitu tusanuke vichwani humu❤❤❤🌹🪴🏂

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l Год назад +8

    DAH! HUYU SHUJAAA Wanguu WA AFRICA 🌍💪💪

  • @ernestboniface1849
    @ernestboniface1849 Год назад +18

    Safi sana siku Moja itokee hapa

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l Год назад +10

    DAAH! SHUJAAAA WA AFRICA 🌍💪💪 shujaa Wanguuuu!! Oyoooo! Wapi Like????💪💪💪💪💪💪😊😅😅😎

  • @farxadsidedacar
    @farxadsidedacar Год назад +1

    Ipo siku tutashinda real African man keep it up

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 Год назад +2

    Mimi n sehemu ya Hawa wafrika wanaojitambua

  • @KltomKltom-p1v
    @KltomKltom-p1v 4 дня назад +1

    Mungu na wajibu wake waja wake yupo kalibu nawaja wake

  • @احمدالتميمي-س5ق
    @احمدالتميمي-س5ق Год назад +6

    Kama mungu amemleta badali tunaomba awalete badali watu wa 2 GADAFI nakipenz chetu MAGUFULI🤲🤲😭

  • @FrancisNshinshi
    @FrancisNshinshi Год назад +4

    Traore the king of Africa

  • @AinesyMsofu
    @AinesyMsofu Год назад +1

    Mungu ibariki Africa

  • @Amiiraali-gg3gd
    @Amiiraali-gg3gd Год назад +5

    Best african leader we will vote you for the somali president also or even better you deserve to lead the whole of africa based on you principles and conduct

  • @NEWS_255
    @NEWS_255 Год назад +34

    Ipo siku magufuri atarudi kwenye mwili wangu

  • @Hamylove_25
    @Hamylove_25 2 дня назад

    Nikupe habari za chini za ndani Konde Gang yataka kumsaini Msanii mpya anaeitwa Hamy Love anaetamba kwa wimbo wake wa Subira andika Subira by Hamy Love ukaone unyama wa huyu mwamba anajua sana

  • @mlishoadadi4424
    @mlishoadadi4424 Год назад +13

    Kwa mwongo mmoja Afrika Mungu ametujalia viongozi wawili bora na imara wenye maono, misimamo dhabiti wazalendo kwa bara letu la Afrika, mzalendo kweli JPM sasa ni Ibrahimu Traore. Hawa viongozi wawili ndio wanasema Afrika ni tajiri hatutakiwi kuombaomba. Hawa wengine akili zao ni tegemezi ni vibaraka wa mabeberu.

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior8348 Год назад +3

    Safi sana 👍👍

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani10 Год назад +5

    Hao wote wanasubir kwa Mwamb John Pombe Joseph Magufuli, kile kichwa kilikuw ni shida Huwez kudangany kwa kitu chochote kile kuhusu nchi yake, na alikuw yuko very active than any other president to take quickly decisions 🦾🦾🦾

  • @alimace_official
    @alimace_official Год назад +2

    Hero of Africa ❤

  • @mzazi15
    @mzazi15 Год назад +3

    Hapa kwetu hakuna mwenye uchungu na nchi hii, zaidi ya kuangalia ajenge nyumba kali na gari afu madem wakali, cjui watakumbuka vp kuwa nchi hii waliyopewa jukumu la kuilinda mipaka na raia wake haiko salama, kwani kwa asilimia kubwa ya watanzania tunaugua magonjwa ya akili kutokana na msongo wa mawazo na sonona ya mda mrefu sababu hasa ni maisha kuwa magum na mazito...
    Kwa sasa hivi vijana wengi wanakosa ajira wanapata msongo wa mawazo na kuwa na hali ngum kimaisha, wanakimbilia mapenzi ili kujifariji, huko nako wanavurugwa wanakuwa sasa na hali mbaya zaid ya mwanzo. Ndio unasikia wanajiua au cjui huyu kamuua mkewe au yule kamuua mmewe, hali kwakweli c shwari, maana mazingira sio rafiki sana kujikwamua... hali imekuwa ngumu mno.. Itoshe sasa tuseme ukweli, hata wakituua lkn tuvikomboe vizazi vyetu vijavyo.
    Traore ana fikra nzuri ya kutuambia kuwa tunaweza kuifanya Afrika ikawa salama na ya furaha tukiamua kuacha kuchumia tumbo na kuwajibika kujenga usawa kwa kila mwafrika, kwa amani kabisa.

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l Год назад +1

    HUYU SHUJAAA WANGUU 💪🤝😅😅 dah! Aisee hata Mimi NiTAKUJA KUMPINDUA Raisi Wa NCHI HII 😅😅

  • @InnocentAlfred-ro1nx
    @InnocentAlfred-ro1nx Год назад

    Rutten comander traore thanks for your speech for represented african nations please doing for remembering forever after all matters

  • @Hiltontheboss2580
    @Hiltontheboss2580 Год назад

    Huyu jamaa namkubari sana anamawazo kama magufuri wetu😭😭😭

  • @alimace_official
    @alimace_official Год назад +1

    Son of Africa freedom fighter ❤

  • @ThobbyDavid
    @ThobbyDavid Год назад

    Naqbali sana make kizur kikipotea bas jua kitakuja

  • @DizzahStoryMedia
    @DizzahStoryMedia 5 дней назад

    Daah noma sana

  • @GivenMtambo-ft4ig
    @GivenMtambo-ft4ig Год назад +2

    Leo mmenifurahisha

  • @josphinembondo
    @josphinembondo 11 дней назад

    Our leader tukoboe

  • @abudoeugenio6903
    @abudoeugenio6903 Год назад +12

    Mimi binafsi nikipenzi cha wazalendo wote wa Africa. Na upo siku tutashinda.

  • @chingychingy2066
    @chingychingy2066 Год назад +8

    ata apa tz mungu atamludisha magufuli kwa namna yake

  • @Brunoh90Tv
    @Brunoh90Tv Год назад +4

    Sankara yupo mbali sana ukimlinganisha na huyu jamaa

  • @Stafamuigizaji
    @Stafamuigizaji 7 дней назад

    Kuanzia leo mimi ni raia wa Burkina Faso

  • @randalllake2785
    @randalllake2785 Год назад

    You go Ibrahim//

  • @branislavhelbich5248
    @branislavhelbich5248 Год назад

    Africa 👍❤️

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Год назад +15

    Mbona hamripoti maovu ya CCM ndani ya hi inchi acheni unafki hii TV

  • @KasimAyubu-jx9uy
    @KasimAyubu-jx9uy Год назад

    Wanajeshi wetu waoga

  • @starvista823
    @starvista823 Год назад +2

    Wanajeshi wetu , wapo kimaslai sana siyo wazalendo kabisa ,kama hili swala la mkataba wa Dp word , wamekaa kimya kama wao nchi haiwahusu

    • @halimatwaha5431
      @halimatwaha5431 Год назад +1

      Umeona eee

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 9 дней назад

      Ila tunatami kijamaa kimoja kutoka huko jeshini kizalendo kipenda haki kisimame kiungane na traore

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Год назад +1

    Viongozi wa Afrika bila kuwafanyia hivi afrika tutakua omba omba miaka yote Hadi mwisho wa dunia

  • @archfordmusademba100
    @archfordmusademba100 Год назад +1

    Rise, Burkina Faso... Rise!!!!

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Год назад

    Ibrahim's traoreee

  • @shairaniadam1752
    @shairaniadam1752 Год назад

    Ichii hii n mapinduzii to

  • @dogogazadogogaza111
    @dogogazadogogaza111 Год назад +2

    Ipo siku nami ntatoa ruto namna hii

  • @NgilaMasawe-y7i
    @NgilaMasawe-y7i 8 дней назад

  • @Rodamathayo
    @Rodamathayo 7 месяцев назад

    mwenyewe haki hata ajapo kufa hatakufa Hakika Bali ataishi tena,Ni Thomasi mwenyewe siyo hatia,wakimkuzia Vita atapisha tuu tena,Kwa maana nafsi ya mtu itaishi milele

  • @eliannko
    @eliannko Год назад +4

    Kwanini na apa kwetu isitokeee jamani majizi yamezidi

  • @DicksonMuro
    @DicksonMuro Год назад +7

    Sankara level nyingine kabisa

    • @buharimwanga284
      @buharimwanga284 Год назад +1

      mfuatilie huyu mwamba kaka

    • @toweman6484
      @toweman6484 Год назад +1

      Sankara atabaki kuwa kioo Cha o mwamba alitisha

  • @Nyaso5417
    @Nyaso5417 6 дней назад

    Hata Magufuli alisimamia hoyuba hiyo hiyo 😢

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +2

    Chester ya ccm ripoti wewe inatosha sikiyo la kufa halisikii dawa sumu mliyonyweshwa hamtaweza kuiacha mpaka iwaathiri ndo majuto yatakuja

  • @kiwiacasmir6141
    @kiwiacasmir6141 Год назад +1

    Wa tz tutabakia kusoma historia za wenzetu wenye uzalendo wa kweli kwa Mataifa yao.Siye uzalendo wetu utabaki kwenye unafki,umimi,uoga kujipendekeza nk.Acha vidume vya W'Africa wavuke kwenda kanan siye tubakie na michezo ya kubahatisha,kuangalia simba na Yanga hadi akili zitakapo turudia.

  • @JumaMwenyanje
    @JumaMwenyanje 5 дней назад

    Mwamba kweli kweli ivi ndi inavo takiwa

  • @Lihogosamicro-n2h
    @Lihogosamicro-n2h Год назад +3

    Sankara karudi ktk mwili wa Traore
    Hii huitwa Rencarination

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 Год назад

      kumbe Lumumba atarudi siku moja viva Africa 💪

  • @laprincevonkingpin2538
    @laprincevonkingpin2538 Год назад

    tolekaaa

  • @DavidlimbeyunzakingDavidlimbey

    Ulikua kimya sana jamaa angu

  • @zoeandreoni921
    @zoeandreoni921 Год назад

    ☝🇹🇳🤝👍

  • @randalllake2785
    @randalllake2785 Год назад

    Ibrahim you would look better in green . With all respect. I am a portrait painter living in Utah, United States. No offense meant at all. I’m 0ne of your biggest supporters

  • @ivankalisa9491
    @ivankalisa9491 Год назад +5

    Ndaro wa burikinafaso

    • @Dj2nyi
      @Dj2nyi Год назад

      @ndaro njoo hapa

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Год назад +2

    Weee zungu hicho kichwa cha habari...umetuingiza chakani

  • @RashidBaraka-be1vu
    @RashidBaraka-be1vu Год назад

    Tunatamani pia Tanzania ipinduliwe tumechoka

  • @sapikiwanga6154
    @sapikiwanga6154 Год назад

    Capt.traore inabidi aombe ulinzi urusi immediately,wanafiki watampoteza akifanya masihara.

  • @YohanaYalagwila-v7h
    @YohanaYalagwila-v7h Год назад

    Makamanda hao wapewe heshima yao juu ya ukombozi

  • @PhilipsRevocatir
    @PhilipsRevocatir 3 дня назад

    Ndiyo maana aliweka bunduki chini akipigwa risasi

  • @eliudnguge9013
    @eliudnguge9013 Год назад

    kama nawaelewa hivi

  • @ProphetM-c9o
    @ProphetM-c9o Год назад

    Tusimsahau pia JPM, naye alikuwa na fikra kama hizo.

  • @Enjoyyourday512
    @Enjoyyourday512 Год назад

    Ndaro huyo au Basi

  • @AbdallahShabani-k2w
    @AbdallahShabani-k2w Год назад

    Na tz je

  • @melkiadgangai5271
    @melkiadgangai5271 4 дня назад

    Huyu jamaa ni mwamba na ana akili sana na huyu ndiye kiongozi thabiti

  • @kb_vlogz
    @kb_vlogz Год назад

    Vipi magufuli angekuwepo ?? ......samia suluhu hana suluhu ya watanzania

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Tunamtaka jamal April atupe habari hizo daimond jamal April yuko wapi?

  • @isayaambose219
    @isayaambose219 Год назад

    Mbona hamsemi ukweli kwamba huyu Ibrahim ni mtoto halali wa Thomas wa kumzaa,???

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 Год назад +1

    Sasa nimemuelewa mrusi

  • @dennisodote5581
    @dennisodote5581 Год назад

    Kenya pia natamani kutokee mtu kma hyu tumechoka

  • @randalllake2785
    @randalllake2785 Год назад

    Ibra5

  • @Dieumercifaizi-wy2et
    @Dieumercifaizi-wy2et Год назад

    Nivizuri kuitegemea Urusi kabisa

  • @MBUNYEEMASTER6699
    @MBUNYEEMASTER6699 12 часов назад

    Nani twende kongo

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 Год назад

    Watanzania tunapenda sana andaa makala kuhusu nchi zingine wakati kwetu tuna matatizo mengi sana 🤣🤣🤣🤣

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko6049 Год назад

    Hao ndy viongozi wanao takiwa

  • @Bahatimohamedi-m7t
    @Bahatimohamedi-m7t Месяц назад

    Hapo viongozi bora magufuli na gadafi huyu mupya

  • @NdayishimiyePhilippe-tp3or
    @NdayishimiyePhilippe-tp3or Год назад

    Mwamba

  • @AllyMendez-q9j
    @AllyMendez-q9j 5 дней назад

    Traole mtu wewe apoo badoo