MBUNGE KISHIMBA ALIAMSHA TENA BUNGENI “HAYA MABRAABRAA HAKUNA MWANANCHI ANAHITAJI”
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mbunge wa Jimbo la Kahama Jumanne Kishimba akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025.
Kati ya wabunge wenye akili
Ni
Uyu mbunge
Asee kishimba Mungu akupe maisha,
Niwewe pekee ndie unaetufaam tulioko vijijini.
Mzee kishimba hao wabunge wenzio watakupasua kichwa
😢😢😢 dah unagusa mzeee
🌹🌹🌹leo umenikosha hatamkataba Do hatutaki
Awesome. This is the only member of Parliament of TANZANIA who understands himself
ila kishimba upo sahihi
Najikuta nacheka njiani mwenyewe, hyu mzee ni top
Kishimba Ana logic sana
Hatare
Tunu ya taifa hii, bahati mbaya hatuioni
Mbunge wangu makini sana
You🌹🌹🙏
Huyu Mhe hajawahi kufeli
My Kishimba una hija za msingi sana. Tanzania waachane na elimu bure ila huduma ya afya jmn iwe bure. Afya ni muhimu jamani bunge letu hata hizo bima za afya wakiona una nhif yaani hawakujali. Jmn bunge letu mtusemee tu watanzania wanaoifanya mno kwa kukosa huduma
Yaan uyu bb anaongea maneno yanantoa machozi
Haya ndio tuliwatuma sisi wanainchi mukatutetee siyo kukaa bungen I kama watu wlio enda kusali endapo serikali haitafanya tusiwalaumu
5people like this oooh sorry nimesahau kusema kwa mfano coz we don't have them and we will never have 5 mps like him in one sitting .
Ooh nchi yangu Tz .
Kishimba Mzee pole unajitahidi sana kuwaelimisha wabunge wenzio na mawaziri lakini hawakuelewi kabisa.
Mtu pekee anastahili kuwepo bungeni pale mtu pekee anatutetea in real life practical application
Ww unajielewa sana hawa wengine ni changamoto
Kishimba Leo nakupa mauwa yako hatahuo wamandari naarizi zetu wananchi hatutaki tumechoka tunataka katiba mpya
Wapigaji wa ccm mzee kishimba
Kishimba apewe uwaziri mkuu
Kishimba tengeneza miundombinu jimboni kwako miaka kumi inaisha ivyo mkulugenzi anapiga kazi kukuzid
Katiba mpya ndo suluhisho tu
KAMA ILIYOPO HAWAIFATI UNADHANI HYO MPYA WATAFATA?
Wasipo fanya siri mzee watatupigia wapi? Hata mkataba wa dp world..mmefanya kuwa siri hadi lini? Wabunge wetu wengi ni wabinafsi saana...ccm kuna waigizaji wengi kuliko uhalizia...kama mnataka kutusaidie badilikeeni kwa asilimia mia kwa mia?kwanza anza na wezi wa fedha za umma,,, viongozi wababaishaji nk..
Anaend myaka kum af akuna alicho kifanya
maana yake kuna madudu
Uyu mbunge kishimba anaga akil jimbon kwake kaham pameoza af anapigania mengi ambayo atujamtuma tunatak maendeleo miji yot imeshajaa mataa yabarabarsn weunashindwa nin barabar zot zimeoza
Huijui kahama kaa kimya
@@hamzaseneda5251anataka taa ?? Jinga sana hili
Dah! Kwel tunatofautiana sana mm naona huyu ndio mbunge Genius halafu wewe ndio unamwona kilaza dah! Polee
We mjinga Mimi Niko nyihogo saiv Barbara zimeanza kujengwa
We jamaa ni boya aisee ,kishimba mmoja ni saw na wabunge wasomi 100