MBUNGE KISHIMBA ALIAMSHA TENA BUNGENI “HAYA MABRAABRAA HAKUNA MWANANCHI ANAHITAJI”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mbunge wa Jimbo la Kahama Jumanne Kishimba akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025.

Комментарии • 35

  • @ayangaotacho2057
    @ayangaotacho2057 10 месяцев назад +7

    Kati ya wabunge wenye akili
    Ni
    Uyu mbunge

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 10 месяцев назад +1

    Asee kishimba Mungu akupe maisha,
    Niwewe pekee ndie unaetufaam tulioko vijijini.

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 10 месяцев назад +4

    Mzee kishimba hao wabunge wenzio watakupasua kichwa

  • @barakawisdom9326
    @barakawisdom9326 10 месяцев назад +4

    😢😢😢 dah unagusa mzeee

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 10 месяцев назад +1

    🌹🌹🌹leo umenikosha hatamkataba Do hatutaki

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 9 месяцев назад

    Awesome. This is the only member of Parliament of TANZANIA who understands himself

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 10 месяцев назад +4

    ila kishimba upo sahihi

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 7 месяцев назад

    Najikuta nacheka njiani mwenyewe, hyu mzee ni top

  • @viaurfk
    @viaurfk 10 месяцев назад +2

    Kishimba Ana logic sana

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 10 месяцев назад +1

    Hatare

  • @gadafimussa9824
    @gadafimussa9824 10 месяцев назад +1

    Tunu ya taifa hii, bahati mbaya hatuioni

  • @ernestbernojr4479
    @ernestbernojr4479 10 месяцев назад

    Mbunge wangu makini sana

  • @damianikimario5695
    @damianikimario5695 10 месяцев назад +1

    You🌹🌹🙏

  • @FrancisLeonard-sd1um
    @FrancisLeonard-sd1um 10 месяцев назад +1

    Huyu Mhe hajawahi kufeli

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 10 месяцев назад

    My Kishimba una hija za msingi sana. Tanzania waachane na elimu bure ila huduma ya afya jmn iwe bure. Afya ni muhimu jamani bunge letu hata hizo bima za afya wakiona una nhif yaani hawakujali. Jmn bunge letu mtusemee tu watanzania wanaoifanya mno kwa kukosa huduma

  • @BahatPancarac
    @BahatPancarac 4 месяца назад

    Yaan uyu bb anaongea maneno yanantoa machozi

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 10 месяцев назад

    Haya ndio tuliwatuma sisi wanainchi mukatutetee siyo kukaa bungen I kama watu wlio enda kusali endapo serikali haitafanya tusiwalaumu

  • @salummhina7378
    @salummhina7378 10 месяцев назад

    5people like this oooh sorry nimesahau kusema kwa mfano coz we don't have them and we will never have 5 mps like him in one sitting .
    Ooh nchi yangu Tz .
    Kishimba Mzee pole unajitahidi sana kuwaelimisha wabunge wenzio na mawaziri lakini hawakuelewi kabisa.

    • @kevintruman9981
      @kevintruman9981 5 месяцев назад

      Mtu pekee anastahili kuwepo bungeni pale mtu pekee anatutetea in real life practical application

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 10 месяцев назад

    Ww unajielewa sana hawa wengine ni changamoto

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 10 месяцев назад

    Kishimba Leo nakupa mauwa yako hatahuo wamandari naarizi zetu wananchi hatutaki tumechoka tunataka katiba mpya

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 10 месяцев назад

    Wapigaji wa ccm mzee kishimba

  • @haji352
    @haji352 10 месяцев назад

    Kishimba apewe uwaziri mkuu

  • @PeterStevennewsong
    @PeterStevennewsong 10 месяцев назад

    Kishimba tengeneza miundombinu jimboni kwako miaka kumi inaisha ivyo mkulugenzi anapiga kazi kukuzid

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 10 месяцев назад +1

    Katiba mpya ndo suluhisho tu

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 10 месяцев назад

      KAMA ILIYOPO HAWAIFATI UNADHANI HYO MPYA WATAFATA?

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 10 месяцев назад

    Wasipo fanya siri mzee watatupigia wapi? Hata mkataba wa dp world..mmefanya kuwa siri hadi lini? Wabunge wetu wengi ni wabinafsi saana...ccm kuna waigizaji wengi kuliko uhalizia...kama mnataka kutusaidie badilikeeni kwa asilimia mia kwa mia?kwanza anza na wezi wa fedha za umma,,, viongozi wababaishaji nk..

  • @AbduAmstafa-od6vf
    @AbduAmstafa-od6vf 10 месяцев назад

    Anaend myaka kum af akuna alicho kifanya

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko6049 10 месяцев назад

    maana yake kuna madudu

  • @AbduAmstafa-od6vf
    @AbduAmstafa-od6vf 10 месяцев назад +1

    Uyu mbunge kishimba anaga akil jimbon kwake kaham pameoza af anapigania mengi ambayo atujamtuma tunatak maendeleo miji yot imeshajaa mataa yabarabarsn weunashindwa nin barabar zot zimeoza

    • @hamzaseneda5251
      @hamzaseneda5251 10 месяцев назад +2

      Huijui kahama kaa kimya

    • @habibukitwana1552
      @habibukitwana1552 10 месяцев назад

      ​@@hamzaseneda5251anataka taa ?? Jinga sana hili

    • @charlesmwamlima3923
      @charlesmwamlima3923 10 месяцев назад +2

      Dah! Kwel tunatofautiana sana mm naona huyu ndio mbunge Genius halafu wewe ndio unamwona kilaza dah! Polee

    • @jastinmkandala5620
      @jastinmkandala5620 10 месяцев назад +1

      We mjinga Mimi Niko nyihogo saiv Barbara zimeanza kujengwa

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 7 месяцев назад

      We jamaa ni boya aisee ,kishimba mmoja ni saw na wabunge wasomi 100