NITAKUSHUKURU_Utunzi wa John Mgandu: Mwimbaji: Despina Mdende

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 ноя 2018
  • Despina Mdende, Binti ambaye ni mwanakwaya na pia mwimbaji binafsi. Anatushirikisha wimbo uliotungwa na John Mgandu+ 'NITAKUSHUKURU' wimbo huu ni wimbo ambao wengi wetu tunaufahamu, umeimbwa mara nyingi na kundi la wanakwaya na sasa tuusikilize na kuutazama ukiimbwa na mwimbaji Despina Mdende.
    Tushiriki naye katika kumshukuru Mungu kwa mema mengi anayotujalia katika maisha. Hakika tumeumbwa kwa jinsi ya ajabu na ya kutisha.
    #kwayakatoliki
    Kinanda kimechezwa na RAY UFUNGUO.
    Back vocal zimefanywa na: DESPINA MDENDE na RAY UFUNGUO
    Audio & Video Produced by: RAJO PRODUCTIONS
    Tukiwa tunajiandaa kuipokea album yake siku za hivi karibuni, tuanze kuwashirikisha wimbo huu 'NITAKUSHUKURU'
    Kwa mawasiliano zaidi, waweza kupiga simu namba +255 758 988 827 / +255 757 724 003
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 414

  • @romanilyimo
    @romanilyimo Год назад +5

    Dada despina Mungu akutunze uendelee kuinjilisha ♥️💯

  • @focuszanzibar7221
    @focuszanzibar7221 5 лет назад +7

    Kanisa katoliki Tanzania tunajitahidi kuimba kwa mpangilio mzuri Sana wa sauti Africa mashariki. Big up

  • @trifonfonitre9354
    @trifonfonitre9354 3 года назад +4

    Saut nzur na ujumbe mzur pia endelea na moyo wakumsifu Mungu,,,

  • @tumainikomba7576
    @tumainikomba7576 3 года назад +4

    Una saut mzur sana mungu akubark sana nahic uwepo wa mbingu here

  • @evelinmrosso9557
    @evelinmrosso9557 3 года назад +2

    Uzidi kubarikiwa kwa kipaji hicho Cha uimbaji Wako Dada una sauti nzuri kweli.Hongera

  • @ayojackson9407
    @ayojackson9407 Год назад +2

    Nimebarikiwa sana,wimbo una ujumbe mzuri,sauti zuri mungu akutunze vema.

  • @marthatindwa5359
    @marthatindwa5359 3 года назад +3

    Umeitendea haki ya kwanza, safi sana.

  • @revinaignasy3244
    @revinaignasy3244 3 года назад +3

    Hongera sana kwa kazi nzuri 💝💝💝💝💝

  • @maganyarobert7008
    @maganyarobert7008 Год назад +3

    Bwana atubariki sote kupitia nyimbo nzuri katoliki

  • @upendoamani5054
    @upendoamani5054 4 года назад +8

    Hongera sana,,, hizi ndizo nyimbo tunazozihitaji zenye upako na ujumbe. Hazina kutoka jasho wala kivulika kiatu. Mungu azidi kukubariki ktk huduma hii ya uinjilisti kwa njia ya uimbaji.

  • @Edward235
    @Edward235 Год назад +2

    Wonderful singing.thank you for sharing

  • @robertmasanja7333
    @robertmasanja7333 5 лет назад +2

    Amina! muimbaji najivunia saut nzuri ya katolick kwan nimebarikiwa na huu wimbo

  • @veronicapaul2835
    @veronicapaul2835 3 года назад +1

    Good congrats moree wimbo huu wanikumbsha kipnd kile nipo kwenye uchungu mkal Sana barikiwa sana Dada nami napenda kuimba Sana kipaj Cha kuimba kipo kwenye dam🌷🌷🌷

  • @dominicmwale339
    @dominicmwale339 5 лет назад +3

    Hongera sana umefanya vzur,,,saut nzur

  • @uldawango4047
    @uldawango4047 4 года назад +3

    Hongera sana Despina kwa uimbaji mzuri. Hongera sana Ray Ufunguo kwa kazi nzuri na hasa kwa ule wimbo mzuri wa NINAKUKARIBISHA YESU

  • @jannethjoseph6068
    @jannethjoseph6068 4 года назад +2

    wimbo naupenda sana nitakushukuruuu

  • @veronicajulius2198
    @veronicajulius2198 5 лет назад +10

    Hongera sana Dada kwa uimbaji mzuri hakika Mungu anatukuzwa milele

  • @cheleosymon1802
    @cheleosymon1802 4 года назад +3

    Uendeleee kupumzika Kwa Aman Mama yangu kipenz...
    Uliupenda sana huu wimbo na ulipenda kuuimba kpnd chote cha uhai wako.
    Ahad za Mungu ni za milele, Tutauimba pamoja tena ktk makao yake matakatfu...
    AMINA!

  • @evarynedeus8426
    @evarynedeus8426 4 года назад +4

    Hongera Despina sauti nzr wimbo mzr umenibariki sana

  • @vincentmuthama5334
    @vincentmuthama5334 3 года назад +1

    Kibao kitamu kweli kweli. Mungu mwenyezi na azidi kukubariki. Amina.

  • @user-kk2le9jz7b
    @user-kk2le9jz7b 6 месяцев назад +1

    Congratulations🎉🎉 despina your voice is so smooth God bless you forever more

  • @myllesstyllermyllesstyller9071
    @myllesstyllermyllesstyller9071 Год назад +2

    😢😢I feel to cry god is great 👍. God bless you 🙏

  • @ernestkashunja1514
    @ernestkashunja1514 4 года назад +1

    Hongera sana mdogo wangu , Mungu aliye kupa sauti nzuri hii, uzidi kumtukuza yeye pekee. Sichoki kuusikiliza huu wimbo, ubarikiwe sana mdogo wangu

  • @jamesmdegy3938
    @jamesmdegy3938 2 года назад +1

    Napataga tafakarisho Sana juu ya makuu ya Mungu huu wimbo uwa na feel nimesali mala kumi 🙏🙏hongera kazi nzuri

  • @mercymutiso1509
    @mercymutiso1509 5 лет назад +7

    Wow! Wow! ,,,,I just find myself listening to this song uncountable times,,,,, She did it perfectly! Congratulations Despina! Be blessed

  • @beatricemwombeki1651
    @beatricemwombeki1651 3 года назад +1

    Sina neno amina sana Dada.....

  • @georgenganga3426
    @georgenganga3426 5 лет назад +6

    Sauti nzuri...long live mdende

  • @airinshirima102
    @airinshirima102 5 лет назад +4

    Asante Dada despina nyimbo umeitendea haki na sauti yako ni nzuri mno

  • @georgenganga3426
    @georgenganga3426 5 лет назад +2

    Hongera sana Dada Despina una sauti nzuri sana....karibu kwetu Kenya utufunze mengi.. Twasubiri mkanda wako sana... .

  • @raymondkissapi784
    @raymondkissapi784 3 года назад +4

    That is the best in praising the God's Kingdom. I am proud of being a Christian by faith

  • @emmanuelnkonyoka952
    @emmanuelnkonyoka952 4 года назад +2

    Dada Despina umebarikiwa sana, naomba uimbe nyimbo nyingi uwe Kizito Mihigo wa Tanzania, tuna kiu ya nyimbo nzuri kama hizi

  • @jokhakassim4241
    @jokhakassim4241 5 лет назад +51

    naomba kama huyu Despinda angeweza kutembelea parokia mbalimbali ili aweze kufundisha waimbaji wa saprano jinsi ya kutoa sauti. voice production and voice training. This is amazing.

    • @rajopro
      @rajopro  5 лет назад +3

      Asante sana Saly. Ni wazo zuri ambalo naamini kwa hatua aliyonayo kwa sasa bado hajaweza kuanza kutoa elimu hiyo. ila tutamshauri, muda ukifika na uwezo wake ukiruhusu aweze kuwafundisha na wengine

    • @modestaabeli3389
      @modestaabeli3389 5 лет назад +2

      Wimbo mzr kweli sauti nzr ubarikiwe cn

    • @johanonesmo312
      @johanonesmo312 3 года назад +1

      Tumsif yesu kristu

    • @Nasubo
      @Nasubo 3 года назад

      Naomba Kanda ya Despina
      Email address wandera560@gmail.com
      +254725801019

  • @gastojerome5218
    @gastojerome5218 4 года назад +1

    Hongera dada mwenyez Mungu kakujalia saut nzuri ya kuimba vizur

  • @nichorausnicodem8856
    @nichorausnicodem8856 5 лет назад +2

    hakika umebarikiwa sana kwa uimbaji mtumikie mungu wanko ungali hai...! unanikumbusha mbali saba na mtunzi wa wimbo huo mungu amlaze pema pepon...!

  • @josef_rodrick4981
    @josef_rodrick4981 4 года назад +2

    Wimbo mzuri

  • @wellsisidah9644
    @wellsisidah9644 4 года назад +8

    Just love the back ground singers

  • @rufinaadhiambo1138
    @rufinaadhiambo1138 3 года назад +4

    Wow,,the voice is so amazing
    Kazi nzuri

  • @jeansadiki4457
    @jeansadiki4457 3 года назад +3

    Amazing voice Despina, ubarikiwe sana

  • @katrinahkaz2574
    @katrinahkaz2574 3 года назад +6

    Such angelic voice ....i have been here countless times

  • @molom5027
    @molom5027 Месяц назад

    Asante sana Team nzima kwa uimbaji mzuri. Sala shukrani ni maombi yapitayo yote ktk ulimwengu wa kiroho. Utukuzwe ee Bwana kwa uumbaji wa hawa wanakwaya❤

  • @praxidiesachieng4231
    @praxidiesachieng4231 Год назад +1

    Wow so much talented I was taught this song it's super amazing

  • @matumainikalamudjimmy8522
    @matumainikalamudjimmy8522 3 года назад +1

    Mungu akupatiye nguvu mingi sana kusudi uendeleye kutuimbiya.
    Ninafarijika na nyimbo zako dada.

  • @benedictkitsaochengo6505
    @benedictkitsaochengo6505 4 года назад +4

    Nimekosa maneno ya kusema,,,i like such singers kwa kwaya yangu,,,barikiwa

  • @myllesstyllermyllesstyller9071
    @myllesstyllermyllesstyller9071 Год назад +1

    Mungu nilinde niweze kulinda imani yangu😢

  • @wilbonkipruto4649
    @wilbonkipruto4649 2 года назад +2

    Am so happy watching be blessed like such voice 🙏

  • @janejohn597
    @janejohn597 4 года назад +1

    Wimbo mzuri sana

  • @micalakinyi7151
    @micalakinyi7151 2 года назад +1

    Nice 👍 voice Despina may God bless you

  • @rhodaathuman9660
    @rhodaathuman9660 5 лет назад +6

    Sasa tunatoka kivingine,Huu wimbo mzur sn, Mungu zidi kumbarik Muimbaj huyu, Azidi kumtumikia Mungu. Naamin atafika mbal

    • @seraphinechibwana7361
      @seraphinechibwana7361 5 лет назад

      Good work, namshukuru Mungu kwa ajili yako, naamini waimbaji wa sauti yako wamejifunza kitu.

  • @belindananjala8844
    @belindananjala8844 5 лет назад +2

    ubarikiwe sana mwanadada Kwa kumtumikia Mungu kupitia Kwa kipaji alichokupa

  • @mathewmassawe5982
    @mathewmassawe5982 5 лет назад +1

    MUNGU akubariki kwa wimbo mzuri namna hii, na aendelee kukuongoza kutunga tena nyingine nyingi

  • @yummy9937
    @yummy9937 2 года назад

    Nimeshabarikiwa sana na hizi nyimbo za Despina.
    Barikiwa sana na iweze kiendelea na kazi njema

  • @lilianmoses1761
    @lilianmoses1761 4 года назад +2

    What a song., what a wonderful voice!! Well done sister nauona ukuu wa mungu kupitia wimbo huu

  • @PaulThomas-eh1bb
    @PaulThomas-eh1bb 23 дня назад +1

    Kazi tamuuu

  • @theresialfredybugalama5850
    @theresialfredybugalama5850 5 лет назад +5

    tunawezaaa wanawake wote piga Kelele

  • @emmanuelmapesa4514
    @emmanuelmapesa4514 5 лет назад +4

    thanks despina for the song keep it up
    you changed me in some ways

  • @ammsuya9400
    @ammsuya9400 4 года назад +2

    Kama muitaliano vilee iyoo sautii, barikiwa sana dadaa

  • @pierrettesifa4539
    @pierrettesifa4539 Год назад +1

    Mungu akubariki dada Saudi nzuri

  • @renatusmaya876
    @renatusmaya876 5 лет назад +1

    kwa kweli wimbo huu umenisababisha hata homa niliokuwa nayo imenitoka ghafla asante rajo kwa uinjilishaji pia hongera kwa Dada muimbaji safi sana hicho kipaji kiboko

    • @rajopro
      @rajopro  5 лет назад

      Tumshukuru Mungu kaka

  • @officialmroso6925
    @officialmroso6925 5 лет назад +5

    St. Pius Church, Tarakea Parish Oyee..🎹🎹🎸⛪

  • @Namshira_official
    @Namshira_official 5 лет назад +4

    Ninacho kitizama chanifariji sana, respect sana Rajo's production mmeweza

    • @rajopro
      @rajopro  5 лет назад

      Asante sana Marty Omong'o

  • @johnbosco8281
    @johnbosco8281 5 лет назад +33

    Gud voice....nyimbo common ila saut na modificationz zafanya tusikilize kila mara...God bless the producer....God bless the singer

    • @rajopro
      @rajopro  5 лет назад +1

      Asante sana John Bosco

    • @fundibeny1821
      @fundibeny1821 5 лет назад

      Safi sana wimbo mzuri

    • @bernardlubuva2890
      @bernardlubuva2890 3 года назад

      @@rajopro Nyimbo nzuri kweli. Kuna uwezekano wa kuupload Minus one yake? Yaani Beat tu.

    • @estersilumbu691
      @estersilumbu691 3 года назад

      Mungu ww bariki watumishi wako

    • @salomeroberto1252
      @salomeroberto1252 3 года назад

      @@rajopro samahani naweza pata namba zenu za studio plz

  • @user-fu7gh8pj4c
    @user-fu7gh8pj4c Год назад

    Yuko vizuri huyu dada nimebahatika kumwona live akiimba hii nyimbo bila hata vyombo vya mziki huku bukoba hakika yuko vizuri xana

  • @julianrubavu9583
    @julianrubavu9583 2 года назад

    Mungu abarikiwe saana kwa uimbaji wenu hsusuan Despina Mdende

  • @thompsonmasologo5093
    @thompsonmasologo5093 5 лет назад

    Duh! Ubarikiwe Rajo,ubarikiwe Despina umetumia vema kalama uliopewa na Bwana nami nikizaa mtoto nitamwita Despina

  • @odilogasparkillenga8607
    @odilogasparkillenga8607 5 лет назад +3

    Good song, with good voice from Despina Mdende. Keep it up. Good job from the producer and the composer John Mgandu.

  • @helenawilliam9832
    @helenawilliam9832 3 года назад +1

    Sauti tamu kazi ya mungu hiyo

  • @AloyceEvod
    @AloyceEvod 4 месяца назад

    Mungu azidii kunyoosha njia za baraka kwako barikiwaa saanaa

  • @lightnessraymos8420
    @lightnessraymos8420 4 года назад +1

    Dada Paulina umenifanya mpka dam imesisimka hatari umeutendea haki vilivo huuu wimbo nakupenda bure Mungu azid kukutumia

  • @romanasanga94
    @romanasanga94 2 года назад

    Huyu dada Despina nimwone majaliwa sauti na displine ya hali ya juu Kamwene!!!

  • @jacintandanu2370
    @jacintandanu2370 2 года назад +1

    A very nice voice , I luv the song

  • @vickynash372
    @vickynash372 Год назад +1

    Voice well composed. Calm, collected name them all. Good Job Despina you have done justice to this song. Very infectious one could live and never leave listening.

  • @olivambala3086
    @olivambala3086 5 лет назад

    Uko vizuri Dada. Naomba ukiweza toa mwingine zilizopendwa .utulivu wako unavutia kukuangalia na kutokuchuja kwa wimbo. Kabla ya kulala lazima nikusikilize.

  • @emilypeter4186
    @emilypeter4186 5 лет назад

    Nyimbo nzuri, sauti nzuri ,utulivu wa nyimbo unaendana na location.. hongera sana ubunifu uliotumika ndo tunaoutaka kwenye muziki wa dini,tuendelee kueneza neno la Mungu kwa nyimbo na sifa.Tumsifu yesu kristu

  • @mwesigemkanilwa8241
    @mwesigemkanilwa8241 5 лет назад

    Nampongeza sana mdogo wangu na dada angu Despina kwa uimbaji wake mzuri sana, natumia mda mwingi sana kuitazama na kusikiliza wimbo huu, Mwenyezi Mungu amjalie kutunza kipaji cheke ili afanye kazi nzuri zaidi ya hii, ni kwa mara ya kwanza naiona kazi yake ambapo ilinifanya nianze kumtafuta kwenye media nyingine ili nianze kumfahamu zaidi lakini sikufanikiwa ndipo nikagundua kuwa ndio kwanza kazi yake kwa mara ya kwanza itakuwa inaingia kwenye media

  • @nerimanawirimiliana2928
    @nerimanawirimiliana2928 2 года назад

    Wow Madam Despina lot of thanks unaimba smart sana barikiwa sana

  • @erneststanley8787
    @erneststanley8787 2 года назад

    ahsante Kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri

  • @justinambrose3577
    @justinambrose3577 5 лет назад +1

    Very very technical...... Amazing and good modified voice .....yatosha kusema hongera Despina, hongera Ray ufunguo( Rajo)

  • @omukadahlmmaculate7810
    @omukadahlmmaculate7810 2 года назад +1

    Wow with a lot of love and cheerful l am so much impressed with this evangelization,may God bless you so much siz,protect you,strengthen you,lead you and give you His grace forever🙏💞🤲💕💖💗❤🔥💪🤝🏘

  • @maunduelizabeth4646
    @maunduelizabeth4646 5 лет назад +2

    A very beautiful voice... may you keep n protect it as you live to praise God, it's attractive!!!

  • @paulmutunga
    @paulmutunga 5 лет назад +16

    what an angelic Voice..Just amazing,so wonderful..I love this, i lack words to express how beautiful this feels...AWESOME

    • @rajopro
      @rajopro  5 лет назад +1

      Asante sana Paul. Tunamshukuru Mungu

  • @Arati896
    @Arati896 4 месяца назад +1

    i love everything about this song🔥🎶❤❤

  • @hermansowo3527
    @hermansowo3527 5 лет назад

    Hakika wimbo huu ni mzuri sana,umeutendea haki. Mungu azidi kukuinua mtumishi.

  • @user-jk6rd2ze6l
    @user-jk6rd2ze6l 3 месяца назад

    MUNGU AKUJAZE BARAKA MAANA WEWE UNAFATA MISINGI YA KIKATORIK WALA UIMBI KWA KUSHINDANA

  • @petergesimba8677
    @petergesimba8677 5 лет назад

    huwa nnajisikia faraja sana kila nsikilizapo wimbo huu
    kweli ni jambo la mhimu kumshukuru mwenyezi MUNGU

  • @angiegathoni1620
    @angiegathoni1620 3 года назад +2

    Her voice gives me goosebumps all over and I amso in love with he song. God Bless you more. I am blessed.

  • @clarekhaemba5123
    @clarekhaemba5123 5 лет назад +4

    God expand your territory am really blessed

  • @josephsospeter8304
    @josephsospeter8304 5 лет назад +2

    aiseee umejitahidi sana Dada ...Amazing

  • @machofidelis9169
    @machofidelis9169 4 года назад +3

    Very nice song, blessings

  • @janiphabob4369
    @janiphabob4369 5 лет назад

    Nzurii sana mungu akutie roho zake saba uendelee kumuimbia mungu

  • @belindananjala8844
    @belindananjala8844 5 лет назад +1

    Napenda sana sauti yako nyororo kama ya malaika mbinguni...ubarikiwe sana na pia uzidi kubarikiwa maana ninaposikiliza wimbo huu nabarikiwa sana.

  • @mbozamichael4392
    @mbozamichael4392 5 лет назад

    Nice song Dada.... Wimbo umeuongezea manjonjo kamwe hautachuja

  • @innocentngetwa3341
    @innocentngetwa3341 5 лет назад +12

    hakika nauona ukuu wa Mungu kupitia maneno yako dada, wimbo sio mgeni ni ule ule wa miaka ile, lakini dada umeupatia ladha ya pekee sana
    ushauri wangu, fanya colection ya nyimbo kadhaa za kikatoliki na zenye mahadhi ya kikatoliki kweli ziimbe upya na ufanye album utatoka sana , mimi ni mteja wako wa kwanza.

    • @rajopro
      @rajopro  5 лет назад +1

      Asante sana. Album ipo karibuni kutoka na ina ladha za namna hii. Ikianza kuuzwa mtajulishwa...

  • @KarugabaWilson
    @KarugabaWilson 3 года назад +1

    You remain my best

  • @sadamudy8760
    @sadamudy8760 5 лет назад +1

    Nitakushukuru
    Nitakushukuru..
    Kwa kuwa nimeumbwa kwa njisi ya ajabu yakutisha 🙏🙏🙏

  • @silvanmghamba6879
    @silvanmghamba6879 2 года назад

    Ubarkiwe Sana mwimbaji hakika umenifariji mnoo

  • @kwaya_mt.mariagorethushirika
    @kwaya_mt.mariagorethushirika 5 лет назад +9

    Amina wimbo mzuri na mwimbaji ameutendea haki

  • @rutarutahindurwa2080
    @rutarutahindurwa2080 5 лет назад +4

    ZAB 139 : 1-3, 14
    14 "Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana"...

  • @lusileonad6563
    @lusileonad6563 5 лет назад +3

    Despina mama, hongera kwa kazi nzuri sana. Mungu atukuzwe kwa sababu yako. kwa kazi hii nzuri, ni mioyo mingi duniani imeguswa! najua umetoka mbali sana, na pia ninaamini utafika mbali sana. Mungu akakubariki, akuwezeshe kwa neema zake, ili uzidi kumtumiki maisha yako yote. Nakupenda sana, unajua hilo. Nakuombea mafanikio mema rafiki yangu.

  • @merrybaitwa3784
    @merrybaitwa3784 3 года назад +1

    Ongera a see

  • @magangamashaka7560
    @magangamashaka7560 5 лет назад

    hongera sana mpendwa kwa wimbo mzuuri umenitamanisha kurudi tena kundini keep it up sister may GOD be with youuuuu