NITAKUSHUKURU_Utunzi wa John Mgandu: Mwimbaji: Despina Mdende
HTML-код
- Опубликовано: 4 ноя 2018
- Despina Mdende, Binti ambaye ni mwanakwaya na pia mwimbaji binafsi. Anatushirikisha wimbo uliotungwa na John Mgandu+ 'NITAKUSHUKURU' wimbo huu ni wimbo ambao wengi wetu tunaufahamu, umeimbwa mara nyingi na kundi la wanakwaya na sasa tuusikilize na kuutazama ukiimbwa na mwimbaji Despina Mdende.
Tushiriki naye katika kumshukuru Mungu kwa mema mengi anayotujalia katika maisha. Hakika tumeumbwa kwa jinsi ya ajabu na ya kutisha.
#kwayakatoliki
Kinanda kimechezwa na RAY UFUNGUO.
Back vocal zimefanywa na: DESPINA MDENDE na RAY UFUNGUO
Audio & Video Produced by: RAJO PRODUCTIONS
Tukiwa tunajiandaa kuipokea album yake siku za hivi karibuni, tuanze kuwashirikisha wimbo huu 'NITAKUSHUKURU'
Kwa mawasiliano zaidi, waweza kupiga simu namba +255 758 988 827 / +255 757 724 003 Видеоклипы
Dada despina Mungu akutunze uendelee kuinjilisha ♥️💯
Kanisa katoliki Tanzania tunajitahidi kuimba kwa mpangilio mzuri Sana wa sauti Africa mashariki. Big up
Saut nzur na ujumbe mzur pia endelea na moyo wakumsifu Mungu,,,
Una saut mzur sana mungu akubark sana nahic uwepo wa mbingu here
Uzidi kubarikiwa kwa kipaji hicho Cha uimbaji Wako Dada una sauti nzuri kweli.Hongera
Nimebarikiwa sana,wimbo una ujumbe mzuri,sauti zuri mungu akutunze vema.
Umeitendea haki ya kwanza, safi sana.
Hongera sana kwa kazi nzuri 💝💝💝💝💝
Bwana atubariki sote kupitia nyimbo nzuri katoliki
Hongera sana,,, hizi ndizo nyimbo tunazozihitaji zenye upako na ujumbe. Hazina kutoka jasho wala kivulika kiatu. Mungu azidi kukubariki ktk huduma hii ya uinjilisti kwa njia ya uimbaji.
Wonderful singing.thank you for sharing
Amina! muimbaji najivunia saut nzuri ya katolick kwan nimebarikiwa na huu wimbo
Good congrats moree wimbo huu wanikumbsha kipnd kile nipo kwenye uchungu mkal Sana barikiwa sana Dada nami napenda kuimba Sana kipaj Cha kuimba kipo kwenye dam🌷🌷🌷
Hongera sana umefanya vzur,,,saut nzur
Hongera sana Despina kwa uimbaji mzuri. Hongera sana Ray Ufunguo kwa kazi nzuri na hasa kwa ule wimbo mzuri wa NINAKUKARIBISHA YESU
wimbo naupenda sana nitakushukuruuu
Hongera sana Dada kwa uimbaji mzuri hakika Mungu anatukuzwa milele
Uendeleee kupumzika Kwa Aman Mama yangu kipenz...
Uliupenda sana huu wimbo na ulipenda kuuimba kpnd chote cha uhai wako.
Ahad za Mungu ni za milele, Tutauimba pamoja tena ktk makao yake matakatfu...
AMINA!
Hongera Despina sauti nzr wimbo mzr umenibariki sana
Kibao kitamu kweli kweli. Mungu mwenyezi na azidi kukubariki. Amina.
Congratulations🎉🎉 despina your voice is so smooth God bless you forever more
😢😢I feel to cry god is great 👍. God bless you 🙏
Hongera sana mdogo wangu , Mungu aliye kupa sauti nzuri hii, uzidi kumtukuza yeye pekee. Sichoki kuusikiliza huu wimbo, ubarikiwe sana mdogo wangu
Napataga tafakarisho Sana juu ya makuu ya Mungu huu wimbo uwa na feel nimesali mala kumi 🙏🙏hongera kazi nzuri
Wow! Wow! ,,,,I just find myself listening to this song uncountable times,,,,, She did it perfectly! Congratulations Despina! Be blessed
Sina neno amina sana Dada.....
Sauti nzuri...long live mdende
Asante Dada despina nyimbo umeitendea haki na sauti yako ni nzuri mno
Hongera sana Dada Despina una sauti nzuri sana....karibu kwetu Kenya utufunze mengi.. Twasubiri mkanda wako sana... .
That is the best in praising the God's Kingdom. I am proud of being a Christian by faith
Dada Despina umebarikiwa sana, naomba uimbe nyimbo nyingi uwe Kizito Mihigo wa Tanzania, tuna kiu ya nyimbo nzuri kama hizi
naomba kama huyu Despinda angeweza kutembelea parokia mbalimbali ili aweze kufundisha waimbaji wa saprano jinsi ya kutoa sauti. voice production and voice training. This is amazing.
Asante sana Saly. Ni wazo zuri ambalo naamini kwa hatua aliyonayo kwa sasa bado hajaweza kuanza kutoa elimu hiyo. ila tutamshauri, muda ukifika na uwezo wake ukiruhusu aweze kuwafundisha na wengine
Wimbo mzr kweli sauti nzr ubarikiwe cn
Tumsif yesu kristu
Naomba Kanda ya Despina
Email address wandera560@gmail.com
+254725801019
Hongera dada mwenyez Mungu kakujalia saut nzuri ya kuimba vizur
hakika umebarikiwa sana kwa uimbaji mtumikie mungu wanko ungali hai...! unanikumbusha mbali saba na mtunzi wa wimbo huo mungu amlaze pema pepon...!
Wimbo mzuri
Just love the back ground singers
Wow,,the voice is so amazing
Kazi nzuri
Amazing voice Despina, ubarikiwe sana
Such angelic voice ....i have been here countless times
Asante sana Team nzima kwa uimbaji mzuri. Sala shukrani ni maombi yapitayo yote ktk ulimwengu wa kiroho. Utukuzwe ee Bwana kwa uumbaji wa hawa wanakwaya❤
Wow so much talented I was taught this song it's super amazing
Mungu akupatiye nguvu mingi sana kusudi uendeleye kutuimbiya.
Ninafarijika na nyimbo zako dada.
Nimekosa maneno ya kusema,,,i like such singers kwa kwaya yangu,,,barikiwa
Mungu nilinde niweze kulinda imani yangu😢
Am so happy watching be blessed like such voice 🙏
Wimbo mzuri sana
Nice 👍 voice Despina may God bless you
Sasa tunatoka kivingine,Huu wimbo mzur sn, Mungu zidi kumbarik Muimbaj huyu, Azidi kumtumikia Mungu. Naamin atafika mbal
Good work, namshukuru Mungu kwa ajili yako, naamini waimbaji wa sauti yako wamejifunza kitu.
ubarikiwe sana mwanadada Kwa kumtumikia Mungu kupitia Kwa kipaji alichokupa
MUNGU akubariki kwa wimbo mzuri namna hii, na aendelee kukuongoza kutunga tena nyingine nyingi
Nimeshabarikiwa sana na hizi nyimbo za Despina.
Barikiwa sana na iweze kiendelea na kazi njema
What a song., what a wonderful voice!! Well done sister nauona ukuu wa mungu kupitia wimbo huu
Kazi tamuuu
tunawezaaa wanawake wote piga Kelele
thanks despina for the song keep it up
you changed me in some ways
Kama muitaliano vilee iyoo sautii, barikiwa sana dadaa
Mungu akubariki dada Saudi nzuri
kwa kweli wimbo huu umenisababisha hata homa niliokuwa nayo imenitoka ghafla asante rajo kwa uinjilishaji pia hongera kwa Dada muimbaji safi sana hicho kipaji kiboko
Tumshukuru Mungu kaka
St. Pius Church, Tarakea Parish Oyee..🎹🎹🎸⛪
Ninacho kitizama chanifariji sana, respect sana Rajo's production mmeweza
Asante sana Marty Omong'o
Gud voice....nyimbo common ila saut na modificationz zafanya tusikilize kila mara...God bless the producer....God bless the singer
Asante sana John Bosco
Safi sana wimbo mzuri
@@rajopro Nyimbo nzuri kweli. Kuna uwezekano wa kuupload Minus one yake? Yaani Beat tu.
Mungu ww bariki watumishi wako
@@rajopro samahani naweza pata namba zenu za studio plz
Yuko vizuri huyu dada nimebahatika kumwona live akiimba hii nyimbo bila hata vyombo vya mziki huku bukoba hakika yuko vizuri xana
Mungu abarikiwe saana kwa uimbaji wenu hsusuan Despina Mdende
Duh! Ubarikiwe Rajo,ubarikiwe Despina umetumia vema kalama uliopewa na Bwana nami nikizaa mtoto nitamwita Despina
Good song, with good voice from Despina Mdende. Keep it up. Good job from the producer and the composer John Mgandu.
Sauti tamu kazi ya mungu hiyo
Mungu azidii kunyoosha njia za baraka kwako barikiwaa saanaa
Dada Paulina umenifanya mpka dam imesisimka hatari umeutendea haki vilivo huuu wimbo nakupenda bure Mungu azid kukutumia
Huyu dada Despina nimwone majaliwa sauti na displine ya hali ya juu Kamwene!!!
A very nice voice , I luv the song
Voice well composed. Calm, collected name them all. Good Job Despina you have done justice to this song. Very infectious one could live and never leave listening.
Uko vizuri Dada. Naomba ukiweza toa mwingine zilizopendwa .utulivu wako unavutia kukuangalia na kutokuchuja kwa wimbo. Kabla ya kulala lazima nikusikilize.
Nyimbo nzuri, sauti nzuri ,utulivu wa nyimbo unaendana na location.. hongera sana ubunifu uliotumika ndo tunaoutaka kwenye muziki wa dini,tuendelee kueneza neno la Mungu kwa nyimbo na sifa.Tumsifu yesu kristu
Nampongeza sana mdogo wangu na dada angu Despina kwa uimbaji wake mzuri sana, natumia mda mwingi sana kuitazama na kusikiliza wimbo huu, Mwenyezi Mungu amjalie kutunza kipaji cheke ili afanye kazi nzuri zaidi ya hii, ni kwa mara ya kwanza naiona kazi yake ambapo ilinifanya nianze kumtafuta kwenye media nyingine ili nianze kumfahamu zaidi lakini sikufanikiwa ndipo nikagundua kuwa ndio kwanza kazi yake kwa mara ya kwanza itakuwa inaingia kwenye media
Wow Madam Despina lot of thanks unaimba smart sana barikiwa sana
ahsante Kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri
Very very technical...... Amazing and good modified voice .....yatosha kusema hongera Despina, hongera Ray ufunguo( Rajo)
Wow with a lot of love and cheerful l am so much impressed with this evangelization,may God bless you so much siz,protect you,strengthen you,lead you and give you His grace forever🙏💞🤲💕💖💗❤🔥💪🤝🏘
A very beautiful voice... may you keep n protect it as you live to praise God, it's attractive!!!
what an angelic Voice..Just amazing,so wonderful..I love this, i lack words to express how beautiful this feels...AWESOME
Asante sana Paul. Tunamshukuru Mungu
i love everything about this song🔥🎶❤❤
Hakika wimbo huu ni mzuri sana,umeutendea haki. Mungu azidi kukuinua mtumishi.
MUNGU AKUJAZE BARAKA MAANA WEWE UNAFATA MISINGI YA KIKATORIK WALA UIMBI KWA KUSHINDANA
huwa nnajisikia faraja sana kila nsikilizapo wimbo huu
kweli ni jambo la mhimu kumshukuru mwenyezi MUNGU
Her voice gives me goosebumps all over and I amso in love with he song. God Bless you more. I am blessed.
God expand your territory am really blessed
aiseee umejitahidi sana Dada ...Amazing
Very nice song, blessings
Nzurii sana mungu akutie roho zake saba uendelee kumuimbia mungu
Napenda sana sauti yako nyororo kama ya malaika mbinguni...ubarikiwe sana na pia uzidi kubarikiwa maana ninaposikiliza wimbo huu nabarikiwa sana.
Nice song Dada.... Wimbo umeuongezea manjonjo kamwe hautachuja
hakika nauona ukuu wa Mungu kupitia maneno yako dada, wimbo sio mgeni ni ule ule wa miaka ile, lakini dada umeupatia ladha ya pekee sana
ushauri wangu, fanya colection ya nyimbo kadhaa za kikatoliki na zenye mahadhi ya kikatoliki kweli ziimbe upya na ufanye album utatoka sana , mimi ni mteja wako wa kwanza.
Asante sana. Album ipo karibuni kutoka na ina ladha za namna hii. Ikianza kuuzwa mtajulishwa...
You remain my best
Nitakushukuru
Nitakushukuru..
Kwa kuwa nimeumbwa kwa njisi ya ajabu yakutisha 🙏🙏🙏
Ubarkiwe Sana mwimbaji hakika umenifariji mnoo
Amina wimbo mzuri na mwimbaji ameutendea haki
Asanteni sana....Wazee wa Bwana unibadili
abwene
ZAB 139 : 1-3, 14
14 "Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana"...
Despina mama, hongera kwa kazi nzuri sana. Mungu atukuzwe kwa sababu yako. kwa kazi hii nzuri, ni mioyo mingi duniani imeguswa! najua umetoka mbali sana, na pia ninaamini utafika mbali sana. Mungu akakubariki, akuwezeshe kwa neema zake, ili uzidi kumtumiki maisha yako yote. Nakupenda sana, unajua hilo. Nakuombea mafanikio mema rafiki yangu.
Ongera a see
hongera sana mpendwa kwa wimbo mzuuri umenitamanisha kurudi tena kundini keep it up sister may GOD be with youuuuu