USIKU MNENE OPERESHENI NYAKUA NYAKUA | MAGARI HAYANA BREKI | BAISKELI MBOVU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 116

  • @Apo_onlineTV
    @Apo_onlineTV 5 лет назад +4

    Makofi mengi kwa jeshi letu la polisi kwa kazi nzuri wanayoifanya

  • @mfaumeramadhani8740
    @mfaumeramadhani8740 5 лет назад +1

    Safi sana kamanda,Mh Rais wangu jonh pombe magufuli mimi kijana wako wakitanzania mzalendo wa nchi yangu ya Tanzania napenda kuwa askari wakulinda haki na usalama wa raia kwani naipenda sana kazi ya askari hasa ya jeshi ila sna vyeti vyakunifanya niwe askari kutokana na sbb ya masomo dkufaulu kutokana na ugumu wa maisha lkn uwezo ninao na nia ninao na ninauhakika wakufanya kazi ipasavyo kwa mujib wamafunzo ntakayoyapata ,.
    Pliz mh nipe nafasi niitumikie nchi yngu kikamifu na kwa haki zote nakuamin nakupenda sana Rais wangu jonh pombe magufuli.
    Apa kazi tu.

  • @saidbanga
    @saidbanga 5 лет назад +22

    Yaani huyu mwenye baiskeli kama mimi vile nikiwapita tu napanda sipendagi ujinga kabisa..!

  • @sumatraveler1957
    @sumatraveler1957 5 лет назад +1

    Huyo jamaa wa beskeli nimempenda sana mbongo 100%

  • @christinanuurinkluge9118
    @christinanuurinkluge9118 5 лет назад +1

    👍👍👍👍Good blessing you

  • @manstiko5890
    @manstiko5890 5 лет назад +9

    Wakwanza kucomet fanya kazi mzee

  • @samanthamanes9589
    @samanthamanes9589 3 года назад

    Tunawashukuru sana waheshimiwa

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 5 лет назад +1

    Hadi gari la TRA MMMMH SHIKAMOO AFANDE

  • @abdallahhemed405
    @abdallahhemed405 5 лет назад +1

    Kazi mzuri kamanda ubarikiwe

  • @isackdiego2613
    @isackdiego2613 5 лет назад +1

    HUYU WA BAISKELI NDO IMETISHA

  • @yusuphtully540
    @yusuphtully540 5 лет назад +4

    Operation nyakua nyakua safi kabisa
    .kama huyo wa Gari kubwa ,gari lake halina Break ni hatari kabisa

  • @jp1780
    @jp1780 5 лет назад

    Konkey masta🤣 I ansante officer watihe kwenye line hao💯🔥

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 5 лет назад +3

    Mlitakiwa Mumpige Makofi Uyo Dereva Njaa Tupu

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 5 лет назад +1

    kazi ni nzuri sana, bt iwe endelevu. jeshi la police hapo linatimiza wajibu wake wa kulinda RAIA na Mali zake.Wapi Afande Mruto Mzee wa watapata tabu sana(wahalifu).

  • @hishamally4846
    @hishamally4846 4 года назад

    Safi kamanda

  • @mohamedkitiku1999
    @mohamedkitiku1999 5 лет назад +7

    Kamanda katisha nampenda sana kamanda ana Ubina damu sana

  • @lobalobaanase438
    @lobalobaanase438 5 лет назад

    huu ukaguzi umesaidia sana kwa mikoa yote Mungu ana uwezo wa kumtumia mwanadamu kuzuiya ajali na vifo, Mungu apewa sifa

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 5 лет назад

    Kamanda musilimu big up sana mzee

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 5 лет назад +1

    Mzee Wa Basikeri Ametumia Ujanja Sana Ivi Kweli Akubari Kuludi Usiku Na kuikokota mh Uyo Mzee Itakua Zamani Aliishi Dar Manzese Amekua Kanjanja Apoapo Mbere Ya Polisi

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman7521 5 лет назад +2

    Shikamoo babu

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 5 лет назад

    Hahaha jamani mtu wa baiskeli naye kanyakuliwa,,....

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 Год назад

    Pongezi kwa Fortunatus musilim.

  • @ayoayoo1222
    @ayoayoo1222 3 года назад

    Kwani Tanzania hamna utaratibu wa TLB na INSPECTION UNIT

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma4240 5 лет назад +11

    Mzee wa baiskeli katisha anakuambia anakokota tu kwa sababu haina taa😂😂😂😂akishawapita kama kawaida pedeli

    • @saidibambo4339
      @saidibambo4339 5 лет назад

      mzee uyu kanichekesha kweli aiseeeee et sipandi

  • @bisekoc.k.jenjela7936
    @bisekoc.k.jenjela7936 5 лет назад

    Safisana

  • @abasialiy6538
    @abasialiy6538 5 лет назад

    Chapa kazi babaa nasema chapa kaazii

  • @promisecobra5071
    @promisecobra5071 5 лет назад +1

    na Dodoma wanzazidisha abiria unakuta watu waliosimama kwenye Costa wanazidi idad ya walokaa kwenye seat

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. 5 лет назад +6

    Afande na ujanja wake woote ,na kuchimba biti kwoote ,kashindwa akili na jamaa wa baiskeli,ha ha eti nakokota tu na mpaka akampa mkono duh,akifika huko mbele walahi atadandia tu baiskeli,Tanzania hoeee ,Tanzania mpooo.

    • @lawmaina78
      @lawmaina78 5 лет назад

      Sasa kama hajamkamata akiendesha, ulitegemea afanye nini labda.

    • @wamburansaki4975
      @wamburansaki4975 5 лет назад

      yatz hihoir

  • @mdomani2404
    @mdomani2404 5 лет назад

    Duuuh Kwa hiyo huyo anatumia miguu yake kama break🤣🤣🤣🤣

  • @festonjeleka5919
    @festonjeleka5919 5 лет назад +2

    nimekusoma kamanda umerleweka

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 5 лет назад

    Ng’oa plate no!! sawa afande!! ...

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 5 лет назад +1

    Msambaa na baiskel yake anadanganya ati anakokota wakat atapanda hapo mbele tu...

  • @gama_liely
    @gama_liely 4 года назад

    Asijifanye anajua sana kukagua watu tena usiku atakuja kupigwa shaba sjui ataenda kukagua magar ya peponi.

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 года назад

    Hhhhhh kweli nimeipenda hiyo

  • @jaliachisunga3159
    @jaliachisunga3159 5 лет назад

    Hapo sawa kukagua magali kabila hayajaondoka lakin pia kuka levo sti kwenye costa

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph4907 5 лет назад

    mzee wa baskel noma

  • @danielulomi8994
    @danielulomi8994 5 лет назад +1

    hii imezidi sasa

  • @kuryaboytv3426
    @kuryaboytv3426 5 лет назад

    Mzee wa baskeli 😂😂😂

  • @kulwaswetu4457
    @kulwaswetu4457 5 лет назад

    Zlipedwa

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 5 лет назад

    Nimecheka sana kwa huyo wa baiskeli.

  • @saidmj9213
    @saidmj9213 5 лет назад +8

    Mbona hamtengenezi barabara ,acheni ukali usio na tija kama ni sheria basi na hao Sumatra wawajibishwe barabara nyingi ni mbovu

    • @hamidkololeki5009
      @hamidkololeki5009 5 лет назад +2

      Barbr zinatengenezwa kila mahali acha kuongea umatako!!ulishawah kuona wap brbr nchi nzm inakamlk kwa ck au mwak?

    • @johnsonkilingo6515
      @johnsonkilingo6515 5 лет назад

      Ww ni pimbi barabara hazitengenezwi na police wala Sumatra, kenge ww

    • @Saintman1966
      @Saintman1966 5 лет назад

      Hapo nd tunapofeli kaz ya police na sumatra co kukutengenezea barabar wew hiii ni kaz ya tanload na tarura police hizo wanazozifany ndo kaz zao

  • @muhidinshafii9253
    @muhidinshafii9253 5 лет назад +2

    excellent,, military police

  • @bisekoc.k.jenjela7936
    @bisekoc.k.jenjela7936 5 лет назад

    Nyakua nyakua...

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 5 лет назад

    Nyakuwanyakuwa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @emmanuelkulanga2782
    @emmanuelkulanga2782 5 лет назад

    Kibari cha kipi sumatra wamekupa stika huyu mkuu hajitambui

  • @aisha.nikweriddshemahonge9305
    @aisha.nikweriddshemahonge9305 4 года назад

    Pig kereker kwa Askari akkk oyyyyyy

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 5 лет назад

    Asikari akifanya kazi ni kiki,mnataka nini mbweha nyinyi,,,!!!!

  • @timotheokiss6019
    @timotheokiss6019 2 года назад

    Gari aina breki 🤔

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 5 лет назад

    Kwani hamna Mot?

  • @dottomshamu956
    @dottomshamu956 5 лет назад

    baba namfahamu huyu kamanda anatongoza hatareee we si unaona ata macho yke

  • @nmctanzania
    @nmctanzania 5 лет назад

    JIONEE MUENDELEZO WAKE BONYEZA LINK
    ruclips.net/video/2C60GyVOkZE/видео.html

  • @mako331
    @mako331 5 лет назад

    Chapa makofi hao afande

  • @peterjohn1969
    @peterjohn1969 5 лет назад

    😂😂😂😂

  • @mokhimji
    @mokhimji 5 лет назад

    watoto wamevunja leo leo hahahah afu anaambiwa nimekuheshimu sana hahaha KIKI ni KIKI tu

  • @jaliachisunga3159
    @jaliachisunga3159 5 лет назад

    Nchi zingine kama zambia hata kondakta anakuwa na sti yake

  • @ahmedjumaaa8175
    @ahmedjumaaa8175 5 лет назад

    Wakati mnataka watu wafuate sheria na barabara zenu mzitengeneze sio mnanyakua na mibarabara yenu mibovu

    • @Saintman1966
      @Saintman1966 5 лет назад

      Hiyo co kaz ya police bal kaz ya tanload na tarura

  • @theresiaproches8470
    @theresiaproches8470 5 лет назад

    ALPHA SUPER DIAMOND'S TZ
    Kwa kuingia ubiya na NMB BANK ndani ya mfumo wa Aim Tz, team Alpha super Diamonds Tz tunahitaji vijana 10 ambao tutawafunza na kuwasimamia namna ya kutumia mfumo wetu wa D.T.C, na kuweza kujitengenezea kipato kwa kupitia fursa ya kutumia social media kwa kuwa online.
    VIGEZO
    1⃣uwe TAYARI KUJIFUNZA MWANZO MPAKA MAFANIKIO
    2⃣uwe na uwezo wakusoma na kuandika.
    3⃣uwe tayari kufika ofisini ama kufuatili mafunzo ili kupata maelekezo kamili na udhibitisho wake.
    NOTE
    Baada yakusajiliwa utahitajika kufungua account ya NMB BANK kwani ndiyo bank tuliyo ingia nayo ubiya, kwahiyo! malipo yote yatafanyikia ndani ya D.T.C na kutolewa kupitia bank ya NMB kwa watu tuliopo Tanzania.
    ⚫tumaneno NIPO TAYARI kwanjia ya WhatsApp ili kupatiwa maelekezo ya ofisi zilipo
    Contact:+255 759183613
    Ni kwa wote wenye uhitaji wa kufikia ndoto na kuacha kupoteza muda kila siku.

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 5 лет назад

    Ukiona mtu anaconda polisi huyo ni chadema

  • @ramadhanluhweja1860
    @ramadhanluhweja1860 5 лет назад +1

    Duuu kiki hz bc awamu hii mtajpndekza xnaaaa

  • @yusuphtully540
    @yusuphtully540 5 лет назад +2

    Operation nyakua nyakua safi kabisa
    .kama huyo wa Gari kubwa ,gari lake halina Break ni hatari kabisa

  • @amileyissa9684
    @amileyissa9684 5 лет назад +5

    Mzee alikuwa anakokota

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 5 лет назад +4

    mwenye Baskeli unanidai Vocha lol.

  • @amanijolam4140
    @amanijolam4140 5 лет назад +4

    mzee wa baiskeli kanifurahisha sana anajua kujieleza sana

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 5 лет назад +10

    We wabaiskeli mjanja sana hahaha ila fata maelekezo

  • @godrichmwatindila5690
    @godrichmwatindila5690 5 лет назад +1

    Kama unaamini huyo wa baiskel akifika mbele n mwendo wa bas gonga like hapa

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 5 лет назад +1

    Ila huyo babu wa basikeli kanifurahisha alivyoshukuru maana aliona majanga kusemeswa na polisi

  • @mbishiwakitaa2590
    @mbishiwakitaa2590 5 лет назад +3

    Nyakua Nyakua hio mbna Hallelujah mtaiimbaa tyu

  • @danielphares3089
    @danielphares3089 5 лет назад

    Yani watanzania wengine wajinga hv mtu asifanye kazi yake kisa anajipendekeza pumbavu kabisa jeshi la polisi pigeni kazui

  • @emmanuelkulanga2782
    @emmanuelkulanga2782 5 лет назад

    Tatizo miundo mbinu ache kujikanyaga

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma2870 5 лет назад

    Jamani hata baisikeli nayo mnaikagua

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 года назад

    Hhhhhh kweli nimeipenda hiyo

  • @husseininteligence6234
    @husseininteligence6234 3 года назад

    Kufanya kazi na camera sifa tupu

  • @husseininteligence6234
    @husseininteligence6234 3 года назад

    Yuapenda sifaaaa

  • @mr.content266
    @mr.content266 Год назад

    kazi nzuri

  • @amanikimbee6559
    @amanikimbee6559 3 года назад

    Sana kamanda

  • @nasrimpagama6123
    @nasrimpagama6123 5 лет назад +1

    Nakukubali sana afande endelea kuchapa kazi mpaka wanyooke,kwa maana tumekwenda shule wote lakini tumekuwa Na utalatibu wa kukiuka Shelia,sasa komesha hilo ilituishi wete na kutumia balabala wote

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 года назад

    Savi sana

  • @shamssaid7632
    @shamssaid7632 5 лет назад

    Hahahaaaa jamaa wa baiskeli kanifurahisha

  • @aminarashid6286
    @aminarashid6286 5 лет назад

    Baba wabaskel umenichekesha sana spat picha ukombele utajsvyoiendesha mbio du wemjanja sana

  • @rajabukamchana8762
    @rajabukamchana8762 5 лет назад

    Mzeeee umetisha na baiki yako hahahahaahahhah

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 5 лет назад

    Kazi zuri hatutaki kuona ajali ambazo zinaweza kuepukika kwani hata allha subhana wataala anasema jilinde nae akulinde.

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari5178 5 лет назад

    Duh huyu mzee ni mkali hatar

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 5 лет назад

    Mh unajua kuanyoosha tz polen sana maaskali wetu mtu Gari haina brek anajiamini atafika mwisho wasiku majuto mjukuu jamani fuateni sheria maafa ya kijinga yamezid ukifa hurud Tena kwanini mpaka mlazimishwe? Kwanini

  • @kasimuhamidu9889
    @kasimuhamidu9889 5 лет назад

    kwenye Gary zaselekary zinaongoza kuvunja Shelia Shelia nimsumeno

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 5 лет назад

    Njaa Ni Mbaya Sana Sasa Basiker Nayo Vipi Aitumii Mafuta Useme Inaripuka Pambaneni Na Magari Na Bodaboda Na Bajaji Ambazo Zinatumia Mafuta Baiskeri Zanini Nazo

  • @aboubakarmkurdi2698
    @aboubakarmkurdi2698 5 лет назад

    Mzee Wa baiskel noma kajiongoza hiyo mbele mbele kibati kama kawaida

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 5 лет назад

    HOME KUMENOGA MIMI NASEMA😃😃😃😃😃😃😃MBAVU ZANGU MIMI

  • @richardmwampashi9173
    @richardmwampashi9173 5 лет назад

    uyo muongo,uwajui wa Tz wew,mbele anapanda ,mbongo umuwezi

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 лет назад

    😀😀😀 afande kafanana na propesa lipumbavu...

  • @graysonjohn1080
    @graysonjohn1080 5 лет назад

    Safi sana mkuu ili ajali zipungue lazima tuu uwe mkali

  • @edsonsaidi1273
    @edsonsaidi1273 5 лет назад

    Haha ha na huku nyuma 😆😆😆

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman7521 5 лет назад

    Kweli afande madeleva wanatumaliza saiz mwisho wa mwaka. Ndugu zetu tutatumiana picha tu

  • @mdidiomari7351
    @mdidiomari7351 5 лет назад

    Hapo sawa

  • @onyaman7336
    @onyaman7336 5 лет назад

    WE WE POLISI ONGEA KWA BUSARA SIO UNAONGEA MPAKA SAUTI IN A KUKAUKA

  • @bryanmmari544
    @bryanmmari544 5 лет назад +3

    MPA askari wanatafuta kiki

    • @yusuphsimon4656
      @yusuphsimon4656 5 лет назад +1

      Bryan Mmari kiki gani Hapo we matako????
      Wanafanya kazi yao mbwa wee

    • @flawlessguided7300
      @flawlessguided7300 5 лет назад

      Acha usenge basi kaka..jielewe...we mtu mzima...sasa kiki inakuaje apo bro?...jielewe basi..kmk😂🙌

    • @hamidkololeki5009
      @hamidkololeki5009 5 лет назад +1

      Ww n msenge kwel yan wao wanahakikisha usalam unakuwepo unasema kiki?maanina zako

    • @flawlessguided7300
      @flawlessguided7300 5 лет назад

      Hamid kololeki....Acha tu asee...mwenyewe niliishiwa na pozi😂😂😂😂🙌

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 5 лет назад +1

      Tatizo ushoga umeshakualibu malinda ya mdomo Kiki iko wapi

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 5 лет назад

    Wapiiii waziguaaaa😊😊😊🙄🤭🤭😀, ila afande na wewe umezidi mpaka baiskelii

    • @rajabupetermoses7338
      @rajabupetermoses7338 5 лет назад

      kitu usichokijua baiskeli ipo kwenye faini

    • @mujwahuzisimon991
      @mujwahuzisimon991 5 лет назад

      Jitahidini kuangalia makosa ya msingi na ambayo huweza kusababisha ajali kirahis

    • @evaristievaristmoshiro3853
      @evaristievaristmoshiro3853 5 лет назад

      Gari ya serikali inaenda mwendo kasi analimiti ya hamsin kwenye kibao.wewe umemkamata kwenye 50!

    • @hemedally8319
      @hemedally8319 3 года назад

      Matukio mkoa kigoma wilaya kasulu