Safi sana kamanda,Mh Rais wangu jonh pombe magufuli mimi kijana wako wakitanzania mzalendo wa nchi yangu ya Tanzania napenda kuwa askari wakulinda haki na usalama wa raia kwani naipenda sana kazi ya askari hasa ya jeshi ila sna vyeti vyakunifanya niwe askari kutokana na sbb ya masomo dkufaulu kutokana na ugumu wa maisha lkn uwezo ninao na nia ninao na ninauhakika wakufanya kazi ipasavyo kwa mujib wamafunzo ntakayoyapata ,. Pliz mh nipe nafasi niitumikie nchi yngu kikamifu na kwa haki zote nakuamin nakupenda sana Rais wangu jonh pombe magufuli. Apa kazi tu.
kazi ni nzuri sana, bt iwe endelevu. jeshi la police hapo linatimiza wajibu wake wa kulinda RAIA na Mali zake.Wapi Afande Mruto Mzee wa watapata tabu sana(wahalifu).
Mzee Wa Basikeri Ametumia Ujanja Sana Ivi Kweli Akubari Kuludi Usiku Na kuikokota mh Uyo Mzee Itakua Zamani Aliishi Dar Manzese Amekua Kanjanja Apoapo Mbere Ya Polisi
Afande na ujanja wake woote ,na kuchimba biti kwoote ,kashindwa akili na jamaa wa baiskeli,ha ha eti nakokota tu na mpaka akampa mkono duh,akifika huko mbele walahi atadandia tu baiskeli,Tanzania hoeee ,Tanzania mpooo.
ALPHA SUPER DIAMOND'S TZ Kwa kuingia ubiya na NMB BANK ndani ya mfumo wa Aim Tz, team Alpha super Diamonds Tz tunahitaji vijana 10 ambao tutawafunza na kuwasimamia namna ya kutumia mfumo wetu wa D.T.C, na kuweza kujitengenezea kipato kwa kupitia fursa ya kutumia social media kwa kuwa online. VIGEZO 1⃣uwe TAYARI KUJIFUNZA MWANZO MPAKA MAFANIKIO 2⃣uwe na uwezo wakusoma na kuandika. 3⃣uwe tayari kufika ofisini ama kufuatili mafunzo ili kupata maelekezo kamili na udhibitisho wake. NOTE Baada yakusajiliwa utahitajika kufungua account ya NMB BANK kwani ndiyo bank tuliyo ingia nayo ubiya, kwahiyo! malipo yote yatafanyikia ndani ya D.T.C na kutolewa kupitia bank ya NMB kwa watu tuliopo Tanzania. ⚫tumaneno NIPO TAYARI kwanjia ya WhatsApp ili kupatiwa maelekezo ya ofisi zilipo Contact:+255 759183613 Ni kwa wote wenye uhitaji wa kufikia ndoto na kuacha kupoteza muda kila siku.
Nakukubali sana afande endelea kuchapa kazi mpaka wanyooke,kwa maana tumekwenda shule wote lakini tumekuwa Na utalatibu wa kukiuka Shelia,sasa komesha hilo ilituishi wete na kutumia balabala wote
Mh unajua kuanyoosha tz polen sana maaskali wetu mtu Gari haina brek anajiamini atafika mwisho wasiku majuto mjukuu jamani fuateni sheria maafa ya kijinga yamezid ukifa hurud Tena kwanini mpaka mlazimishwe? Kwanini
Njaa Ni Mbaya Sana Sasa Basiker Nayo Vipi Aitumii Mafuta Useme Inaripuka Pambaneni Na Magari Na Bodaboda Na Bajaji Ambazo Zinatumia Mafuta Baiskeri Zanini Nazo
Makofi mengi kwa jeshi letu la polisi kwa kazi nzuri wanayoifanya
Safi sana kamanda,Mh Rais wangu jonh pombe magufuli mimi kijana wako wakitanzania mzalendo wa nchi yangu ya Tanzania napenda kuwa askari wakulinda haki na usalama wa raia kwani naipenda sana kazi ya askari hasa ya jeshi ila sna vyeti vyakunifanya niwe askari kutokana na sbb ya masomo dkufaulu kutokana na ugumu wa maisha lkn uwezo ninao na nia ninao na ninauhakika wakufanya kazi ipasavyo kwa mujib wamafunzo ntakayoyapata ,.
Pliz mh nipe nafasi niitumikie nchi yngu kikamifu na kwa haki zote nakuamin nakupenda sana Rais wangu jonh pombe magufuli.
Apa kazi tu.
Yaani huyu mwenye baiskeli kama mimi vile nikiwapita tu napanda sipendagi ujinga kabisa..!
Huyo jamaa wa beskeli nimempenda sana mbongo 100%
👍👍👍👍Good blessing you
Wakwanza kucomet fanya kazi mzee
Tunawashukuru sana waheshimiwa
Hadi gari la TRA MMMMH SHIKAMOO AFANDE
Kazi mzuri kamanda ubarikiwe
HUYU WA BAISKELI NDO IMETISHA
Operation nyakua nyakua safi kabisa
.kama huyo wa Gari kubwa ,gari lake halina Break ni hatari kabisa
Yusuph Tully kafikaje pale
Konkey masta🤣 I ansante officer watihe kwenye line hao💯🔥
Mlitakiwa Mumpige Makofi Uyo Dereva Njaa Tupu
kazi ni nzuri sana, bt iwe endelevu. jeshi la police hapo linatimiza wajibu wake wa kulinda RAIA na Mali zake.Wapi Afande Mruto Mzee wa watapata tabu sana(wahalifu).
Safi kamanda
Kamanda katisha nampenda sana kamanda ana Ubina damu sana
huu ukaguzi umesaidia sana kwa mikoa yote Mungu ana uwezo wa kumtumia mwanadamu kuzuiya ajali na vifo, Mungu apewa sifa
Kamanda musilimu big up sana mzee
Mzee Wa Basikeri Ametumia Ujanja Sana Ivi Kweli Akubari Kuludi Usiku Na kuikokota mh Uyo Mzee Itakua Zamani Aliishi Dar Manzese Amekua Kanjanja Apoapo Mbere Ya Polisi
Shikamoo babu
Hahaha jamani mtu wa baiskeli naye kanyakuliwa,,....
Pongezi kwa Fortunatus musilim.
Kwani Tanzania hamna utaratibu wa TLB na INSPECTION UNIT
Mzee wa baiskeli katisha anakuambia anakokota tu kwa sababu haina taa😂😂😂😂akishawapita kama kawaida pedeli
mzee uyu kanichekesha kweli aiseeeee et sipandi
Safisana
Chapa kazi babaa nasema chapa kaazii
na Dodoma wanzazidisha abiria unakuta watu waliosimama kwenye Costa wanazidi idad ya walokaa kwenye seat
Afande na ujanja wake woote ,na kuchimba biti kwoote ,kashindwa akili na jamaa wa baiskeli,ha ha eti nakokota tu na mpaka akampa mkono duh,akifika huko mbele walahi atadandia tu baiskeli,Tanzania hoeee ,Tanzania mpooo.
Sasa kama hajamkamata akiendesha, ulitegemea afanye nini labda.
yatz hihoir
Duuuh Kwa hiyo huyo anatumia miguu yake kama break🤣🤣🤣🤣
nimekusoma kamanda umerleweka
Ng’oa plate no!! sawa afande!! ...
Msambaa na baiskel yake anadanganya ati anakokota wakat atapanda hapo mbele tu...
Asijifanye anajua sana kukagua watu tena usiku atakuja kupigwa shaba sjui ataenda kukagua magar ya peponi.
Hhhhhh kweli nimeipenda hiyo
Hapo sawa kukagua magali kabila hayajaondoka lakin pia kuka levo sti kwenye costa
mzee wa baskel noma
hii imezidi sasa
Mzee wa baskeli 😂😂😂
Zlipedwa
Nimecheka sana kwa huyo wa baiskeli.
Mbona hamtengenezi barabara ,acheni ukali usio na tija kama ni sheria basi na hao Sumatra wawajibishwe barabara nyingi ni mbovu
Barbr zinatengenezwa kila mahali acha kuongea umatako!!ulishawah kuona wap brbr nchi nzm inakamlk kwa ck au mwak?
Ww ni pimbi barabara hazitengenezwi na police wala Sumatra, kenge ww
Hapo nd tunapofeli kaz ya police na sumatra co kukutengenezea barabar wew hiii ni kaz ya tanload na tarura police hizo wanazozifany ndo kaz zao
excellent,, military police
Nyakua nyakua...
Nyakuwanyakuwa🤣🤣🤣🤣🤣
Kibari cha kipi sumatra wamekupa stika huyu mkuu hajitambui
Pig kereker kwa Askari akkk oyyyyyy
Asikari akifanya kazi ni kiki,mnataka nini mbweha nyinyi,,,!!!!
Gari aina breki 🤔
Kwani hamna Mot?
baba namfahamu huyu kamanda anatongoza hatareee we si unaona ata macho yke
JIONEE MUENDELEZO WAKE BONYEZA LINK
ruclips.net/video/2C60GyVOkZE/видео.html
Chapa makofi hao afande
😂😂😂😂
watoto wamevunja leo leo hahahah afu anaambiwa nimekuheshimu sana hahaha KIKI ni KIKI tu
Nchi zingine kama zambia hata kondakta anakuwa na sti yake
Wakati mnataka watu wafuate sheria na barabara zenu mzitengeneze sio mnanyakua na mibarabara yenu mibovu
Hiyo co kaz ya police bal kaz ya tanload na tarura
ALPHA SUPER DIAMOND'S TZ
Kwa kuingia ubiya na NMB BANK ndani ya mfumo wa Aim Tz, team Alpha super Diamonds Tz tunahitaji vijana 10 ambao tutawafunza na kuwasimamia namna ya kutumia mfumo wetu wa D.T.C, na kuweza kujitengenezea kipato kwa kupitia fursa ya kutumia social media kwa kuwa online.
VIGEZO
1⃣uwe TAYARI KUJIFUNZA MWANZO MPAKA MAFANIKIO
2⃣uwe na uwezo wakusoma na kuandika.
3⃣uwe tayari kufika ofisini ama kufuatili mafunzo ili kupata maelekezo kamili na udhibitisho wake.
NOTE
Baada yakusajiliwa utahitajika kufungua account ya NMB BANK kwani ndiyo bank tuliyo ingia nayo ubiya, kwahiyo! malipo yote yatafanyikia ndani ya D.T.C na kutolewa kupitia bank ya NMB kwa watu tuliopo Tanzania.
⚫tumaneno NIPO TAYARI kwanjia ya WhatsApp ili kupatiwa maelekezo ya ofisi zilipo
Contact:+255 759183613
Ni kwa wote wenye uhitaji wa kufikia ndoto na kuacha kupoteza muda kila siku.
Ukiona mtu anaconda polisi huyo ni chadema
Duuu kiki hz bc awamu hii mtajpndekza xnaaaa
Operation nyakua nyakua safi kabisa
.kama huyo wa Gari kubwa ,gari lake halina Break ni hatari kabisa
Mzee alikuwa anakokota
mwenye Baskeli unanidai Vocha lol.
mzee wa baiskeli kanifurahisha sana anajua kujieleza sana
We wabaiskeli mjanja sana hahaha ila fata maelekezo
Huyu wa baiskeli katisha aisee
Kama unaamini huyo wa baiskel akifika mbele n mwendo wa bas gonga like hapa
Ila huyo babu wa basikeli kanifurahisha alivyoshukuru maana aliona majanga kusemeswa na polisi
Nyakua Nyakua hio mbna Hallelujah mtaiimbaa tyu
Yani watanzania wengine wajinga hv mtu asifanye kazi yake kisa anajipendekeza pumbavu kabisa jeshi la polisi pigeni kazui
Tatizo miundo mbinu ache kujikanyaga
Jamani hata baisikeli nayo mnaikagua
Hhhhhh kweli nimeipenda hiyo
Kufanya kazi na camera sifa tupu
Yuapenda sifaaaa
kazi nzuri
Sana kamanda
Nakukubali sana afande endelea kuchapa kazi mpaka wanyooke,kwa maana tumekwenda shule wote lakini tumekuwa Na utalatibu wa kukiuka Shelia,sasa komesha hilo ilituishi wete na kutumia balabala wote
Nasri Mpagama Barabara sio bala bala
Savi sana
Hahahaaaa jamaa wa baiskeli kanifurahisha
Baba wabaskel umenichekesha sana spat picha ukombele utajsvyoiendesha mbio du wemjanja sana
Mzeeee umetisha na baiki yako hahahahaahahhah
Kazi zuri hatutaki kuona ajali ambazo zinaweza kuepukika kwani hata allha subhana wataala anasema jilinde nae akulinde.
Duh huyu mzee ni mkali hatar
Mh unajua kuanyoosha tz polen sana maaskali wetu mtu Gari haina brek anajiamini atafika mwisho wasiku majuto mjukuu jamani fuateni sheria maafa ya kijinga yamezid ukifa hurud Tena kwanini mpaka mlazimishwe? Kwanini
kwenye Gary zaselekary zinaongoza kuvunja Shelia Shelia nimsumeno
Njaa Ni Mbaya Sana Sasa Basiker Nayo Vipi Aitumii Mafuta Useme Inaripuka Pambaneni Na Magari Na Bodaboda Na Bajaji Ambazo Zinatumia Mafuta Baiskeri Zanini Nazo
Mzee Wa baiskel noma kajiongoza hiyo mbele mbele kibati kama kawaida
HOME KUMENOGA MIMI NASEMA😃😃😃😃😃😃😃MBAVU ZANGU MIMI
uyo muongo,uwajui wa Tz wew,mbele anapanda ,mbongo umuwezi
😀😀😀 afande kafanana na propesa lipumbavu...
Safi sana mkuu ili ajali zipungue lazima tuu uwe mkali
Haha ha na huku nyuma 😆😆😆
Kweli afande madeleva wanatumaliza saiz mwisho wa mwaka. Ndugu zetu tutatumiana picha tu
7
Hapo sawa
WE WE POLISI ONGEA KWA BUSARA SIO UNAONGEA MPAKA SAUTI IN A KUKAUKA
MPA askari wanatafuta kiki
Bryan Mmari kiki gani Hapo we matako????
Wanafanya kazi yao mbwa wee
Acha usenge basi kaka..jielewe...we mtu mzima...sasa kiki inakuaje apo bro?...jielewe basi..kmk😂🙌
Ww n msenge kwel yan wao wanahakikisha usalam unakuwepo unasema kiki?maanina zako
Hamid kololeki....Acha tu asee...mwenyewe niliishiwa na pozi😂😂😂😂🙌
Tatizo ushoga umeshakualibu malinda ya mdomo Kiki iko wapi
Wapiiii waziguaaaa😊😊😊🙄🤭🤭😀, ila afande na wewe umezidi mpaka baiskelii
kitu usichokijua baiskeli ipo kwenye faini
Jitahidini kuangalia makosa ya msingi na ambayo huweza kusababisha ajali kirahis
Gari ya serikali inaenda mwendo kasi analimiti ya hamsin kwenye kibao.wewe umemkamata kwenye 50!
Matukio mkoa kigoma wilaya kasulu