"NIMEUMIZWA" ZARI KAFUNGUKA KILICHOMFANYA AKALIA BAADA YA KUWAONA WATOTO ALIOENDA KUWAPA MSAADA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 ноя 2020

Комментарии • 86

  • @_leslyseus3901
    @_leslyseus3901 3 года назад +4

    Team Zari all day everyday ,lots of love from ug

  • @elinamakanja891
    @elinamakanja891 3 года назад +1

    Zari is just so nice!! I am learning a lot from her

  • @misharrayal2141
    @misharrayal2141 3 года назад +3

    Love da way ur doing it

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 3 года назад +7

    Yaan huyu dada navompenda mungu mwenyewe anajuwa , nakuombea tu maisha marefu zari

    • @maimunaabdalla7146
      @maimunaabdalla7146 3 года назад

      Weee Maryam Acha kufuru,zari hampendi MUNGU anaabudu freemason,Acha mfagilia atakutia kufuruni bure🇰🇪

    • @mariamm2724
      @mariamm2724 3 года назад

      @@maimunaabdalla7146 ndugu yangu hayo yapo nyuma ya pazia my , tumuachie mungu ndoo atashuhulika nae , mbona binadamu wapitaji tu.

    • @saidabdul5586
      @saidabdul5586 3 года назад

      @@maimunaabdalla7146 muko wote labda maana huwezi jua mchawi na wee kama sio mchawi Yaani wafric sijuwi tukoje mtu akiwa na pesa bc freemasoon hakuna mwenye pesa ya halali khaaa acheni roho mbaya zisizo na maana😐😐

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 года назад +5

    Masha Allah Zari keep it up Allah bless you and your family. Allahumma ameen yaarab

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 3 года назад +3

    Lovely mama Tee!!!

  • @amos878
    @amos878 3 года назад +1

    Outstanding 👏👏👏

  • @leahmwakongolo4432
    @leahmwakongolo4432 3 года назад +1

    Wow nice to zari 💖💖💖💖💖💖

  • @user-en6qq3rs8j
    @user-en6qq3rs8j 3 года назад +1

    Nice lovery mma tee

  • @susanruo8087
    @susanruo8087 3 года назад +2

    Speech 💯✔️🙏🙌

  • @zaharawawa7243
    @zaharawawa7243 3 года назад +2

    Nakupenda sana mama ti

  • @safinamdingi2338
    @safinamdingi2338 3 года назад +1

    Hongera mama tifa

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 3 года назад +6

    Zari mama lao😍🔥🔥🔥

  • @misharrayal2141
    @misharrayal2141 3 года назад +2

    Proud of u

  • @misharrayal2141
    @misharrayal2141 3 года назад

    Ur da best mama

  • @elroyaladyzu349
    @elroyaladyzu349 3 года назад +1

    I ❤zari

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 года назад +2

    Zari ni BINTI DHAHAB.. NI MTOTO WA DHAHABU..😘

  • @aminaabdiabdi7112
    @aminaabdiabdi7112 3 года назад +1

    Mashaallah👏 hongera Kwa mama Tee

  • @mpozastephen9374
    @mpozastephen9374 3 года назад +2

    She is beauty with brain God answered our prayers

    • @amontusaa2084
      @amontusaa2084 3 года назад

      Mungu aendeleee kukusaidia zari use na moyo huo huo

    • @maimunaabdalla7146
      @maimunaabdalla7146 3 года назад

      Sema freemason waendelee kumsaidia azidishe show off, na mkwe akiteseka,ovyoooo bi kizeee🇰🇪

    • @maimunaabdalla7146
      @maimunaabdalla7146 3 года назад +1

      She is not beuty only plastic surgery.the one who I beuty ntrl (TANASHA),yes or no???

  • @misharrayal2141
    @misharrayal2141 3 года назад +1

    Zari lab u alot wallahi I wish could be like u

  • @gracenizigama8728
    @gracenizigama8728 3 года назад

    ♥️♥️♥️

  • @yusramohamed111
    @yusramohamed111 3 года назад

    love Zari

  • @rahmabaigana
    @rahmabaigana 3 года назад +3

    Ila vido anajua kumfanyia mtu interview

  • @aidhaaidh7815
    @aidhaaidh7815 3 года назад +2

    Kusaidiya ni muhimu umefanya kitu kizuli

  • @misharrayal2141
    @misharrayal2141 3 года назад

    I lab u

  • @ashasalim4518
    @ashasalim4518 3 года назад

    Hawa walishindwa na umaskini Kama nyinyi was tz wakajiunga na Ocult sadaka ziyatolewa bila nyinyi kujuwa

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 года назад +9

    Mambo ya kujifunza kwa zari hata ukimchukia haikusaidii zaidi utakufa na tai shingoni

    • @maimunaabdalla7146
      @maimunaabdalla7146 3 года назад

      Salma hatuna cha kujifunza Kwa muasi mungu mtawalisha shetwani,pesa ya freemason achukiwe au tuna muhurumia???ginimbi ashakwenda bado yeye🇰🇪

    • @salmaathuman9156
      @salmaathuman9156 3 года назад

      @@maimunaabdalla7146 wee. Nae yanakuhusu nn MBONA unaropoka Kama umelishwa rusembe umefata nn Kama huna cha kujifunza nyang'au ww roho chafu tu uliyonayo 😂😂wivu na kijaba cha roho utakufa nacho ww ulichofanya kwa jamii kiko wapi hovyooo

    • @maimunaabdalla7146
      @maimunaabdalla7146 3 года назад

      @@salmaathuman9156 nya,gay niwewe muislam ovyo nafatilia waislamu wenye tamaa nawewe,nirahisi kiasi dini yako Kwa tamaa za kipesa.nyang,au niwewee ukweli mtaambiwa acheni mshobokea shetwani

    • @maimunaabdalla7146
      @maimunaabdalla7146 3 года назад

      Waislamu tusemeni na has zetu .pesa Safi ya MUNGU tu!!!Salma najua watamani ingiya freemason,ingiy!!!!upate pesa

    • @salmaathuman9156
      @salmaathuman9156 3 года назад

      @@maimunaabdalla7146 😂😂😂😂😂😂😂😂mzima KWELI wewe au umepiswa

  • @user-oe8re5no4x
    @user-oe8re5no4x 3 года назад

    Zari bless you ✅✅✅

  • @user-gm6tr5wf8m
    @user-gm6tr5wf8m 3 года назад +3

    Diamond just marry zari nothing else strong woman

  • @khadijacharles2433
    @khadijacharles2433 3 года назад

    Mondi oa dada uyu mnaendana tabia kabisaaaaa

  • @WaridawaridaWarida
    @WaridawaridaWarida 3 года назад

    Hiki ndicho tunacho kupendea zari

  • @misharrayal2141
    @misharrayal2141 3 года назад +2

    May Allah kip u n ur kids safe from. Evil eyes n cheap talking from da World

  • @mariamkhamisi8161
    @mariamkhamisi8161 3 года назад

    Zari ni mfano was kuigwa

    • @maimunaabdalla7146
      @maimunaabdalla7146 3 года назад

      So u want all of us to join freemason????shetwani ashindwe!!!!muige wewe usoogopa MUNGU.usiusishe wenzako na njaa zako🇰🇪

  • @mgenimohd4923
    @mgenimohd4923 3 года назад

    Wema ww pika

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 3 года назад +2

    Bora umeenda kusaidia japo ulisema niwajinga hawana akili watoto wa TZ wasaidie mama mwenye watoto wenye akili. Kawasaidie na wauza vitunguu hapo njian. Hongera mama na erim zenu nzur za vingeleza nikuletee na mwanang please umempeleke Uganda tu akajue English ili asiitwe mjinga tena

    • @neemagrayson8776
      @neemagrayson8776 3 года назад +1

      Msamehe bure unajua kuna watu wanatia hasila unajikuta umejbu tu hata watoto wake ni watz pia so nikumsamehe tu

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 3 года назад +1

      Mtoa misaada anakwenda hospitali kama vile Queen na bodyguards kumi na msururu wa magari kushinda wa Rais hiyo missada au show off? Au ndio anataka kunyamazisha watanzania kwa matusi aliyotukana watoto wa kitanzania hawana akili akidhani watu wamesahau? Akibisha clips za matusi yake zipo zitaonyeshwa aache kudanganya watu.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 3 года назад +1

      @@ashaali7154 mlimuanza naye akamaliza sio chizi atukane bila sababu maana Tz mnasifika dunia nzima kwa matusi mitandaoni. Alichofanya ni cha muhimu kwenda na gari na bodyguards ni Diamond kwa usalama wa watoto wake na mzazi mwenzie, tatizo liko wapi?

    • @ndeletwaswai3530
      @ndeletwaswai3530 3 года назад

      Wabongo mlianza kumtukana acha awachambe mkome tena kuingilia maisha ya watu ndio maaana mnatukanwa ovyo,tunaojielewa Zari hana shida na mtu ila ukimvaaa anakuvaa haswaaa,fanyeni yenu Zari mama manyota miaka buku.

    • @maimunaabdalla7146
      @maimunaabdalla7146 3 года назад

      Tuliwaambiya mtatukanwa wabongo mnamfagilia mgeni zaidi ya mungu.atawatusi Sana🇰🇪subutu!!!mganda hatambi Kenya Ila tz Tu.

  • @rashidkhamis4300
    @rashidkhamis4300 3 года назад

    Saw zar

  • @maimunaabdalla7146
    @maimunaabdalla7146 3 года назад

    Mnafiki mkubwa huyo zari ,mbona asimlilie Baba mkwe??asimsaidie??just show off Tu,bamkwe wako anaishi maisha ya shida wewe watambia watu,ovyooooo🇰🇪

  • @neematesha5679
    @neematesha5679 3 года назад

    Akili unayo dada yaani ubinadamu pia unao saana

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 года назад

    Diapers? Nikajua vitu vya maana kama vyakula na mavazi

    • @joycemwambe3494
      @joycemwambe3494 3 года назад +6

      Nawewe peleka hats bambino kama unaweza acha wivu ndugu Mhhhh

    • @elizabethlizy2731
      @elizabethlizy2731 3 года назад

      @@joycemwambe3494 😂😂😂

    • @felisterchimtunga7011
      @felisterchimtunga7011 3 года назад +1

      Peleka hata pini wakafungie nepi kama unaweza. Ukishindwa kabisa itawaandishi wa habari nenda zahanati tuu kuwashike mikono. Mxiiiiiiiii

    • @tatuomari781
      @tatuomari781 3 года назад +1

      utakufa na roho mbaya

    • @minuubeiby8000
      @minuubeiby8000 3 года назад

      @@felisterchimtunga7011 😃😃😃😃