Wakenya wanaoandamana kupinga nyongeza mpya ya ushuru wapigwa mabomu ya machozi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 июн 2024
  • Umati wa Wakenya walikusanyika nje ya bunge kupinga ongezeko la ushuru lenye utata, huku polisi wakitumia mabomu ya machozi na kuwakamata watu watatu, kulingana na waandishi wa habari waliokuwa eneo la tukio.
    Ikijulikana kama "Occupy Parliament", habari za maandamano ya Jumanne zilisambazwa mtandaoni baada ya mwanaharakati kuvuja mawasiliano ya Wabunge, akiwataka watu kuwapigia simu na kuwatumia ujumbe mwingi ili kuzuia kupitishwa kwa muswada unaopendekeza ongezeko la ushuru.
    #financebil #occupyparliament #kenya

Комментарии •