WAKENYA WAIPONGEZA TANZANIA GEN Z YATANGAZA KURUDIA MAANDAMANO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that

Комментарии • 53

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 3 месяца назад +3

    Wacheni ujinga tz hakuna ambae ata jitokeza kuandamana kiukweli ni kwambieni askari wa tz sio askari wa Kenya wakisema rudinyima ni maramojatuu sio nyinyi mlofika bungeni mkaharibu malizenu wenyewe

    • @MarkoWMichael
      @MarkoWMichael 3 месяца назад

      Wee asikari tunawaheshimu tu hawana lolote ngoja tuchoke uone tutakavowapelekea moto😡😡

    • @kiatu
      @kiatu 3 месяца назад

      Serkali inangoja tipping point. Itakuwa mbaya hata kuliko ya Nairobi, Dar itawaka moto. Mwaka jana au juzi ilikuwa huwezi kuongea hivi. Serkali iangalie. Wakuu wa mikoa ambao wanalamba miguu ya rais kwa unafiki waumbuliwe

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 3 месяца назад +5

    Maandamano gani hayo ya kuvunja maduka ya watu na kuiba mali za watu ,nyiye ni wezi km shida ni serikali mngeenda kuchukua hela bank siyo kuiba madukani

    • @emmanong3158
      @emmanong3158 3 месяца назад

      Kwahio mabenki niya serikali😂
      Wacha upuz.usicheze na serikali. Wakenya wanajua kucheza na mechi.

  • @maryalff1689
    @maryalff1689 3 месяца назад +8

    Tanzania ia a socialist country they do not have land issues where a few people own the whole country. They are way ahead. No one is displaced.

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 месяца назад

    BONGO HATA UKIAMKA NA BUKU UNAISHI, HAHAHAH sasa kwa ndugu zetu nchi ya wazungu kenya mhhhh...

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 3 месяца назад +5

    Wa TZ mko chonjo 😅 mkshindwa tuiteni

    • @samwa9496
      @samwa9496 3 месяца назад

      Akuite nani ninyi wenyewe mnavurugu ishieni huko huko

    • @joymkenya2359
      @joymkenya2359 3 месяца назад

      @@samwa9496 wee ndio unaharibu TZ 😂hope wewe ni msichana

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 месяца назад

      Tuko gangari.. tz tutapambana kupambana kivyetu vyetu

    • @MarkoWMichael
      @MarkoWMichael 3 месяца назад

      Wakenya njooo uku nawakubali

  • @emmanong3158
    @emmanong3158 3 месяца назад +1

    KM. KENYAN people tunafanya maandamano not that we love violence,but if the government.inatufeli hapo inabidi tunaamua protest haijalishi itakuaje. 😢 Sio kuketi majumbani na kuomba dua, mpaka lini. Hatua ya haki ni mara moja.🎉

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 месяца назад +4

    Tunampongeza muongeaji wa Kwanza, kweli tunawakubali saaana majirani , dawa ni kufunga mkanda tu

    • @biebaraka3258
      @biebaraka3258 3 месяца назад

      Huwezi funga mkanda na yeye ni mwizi na wabunge wenzake, huwezi funga mshipi kisha ww ni kiguru na njiya kuomba misaada kila pande ya dunia, Vipi utafunga mshipi, huwezi kabisa.

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 2 месяца назад

    Wacha ujinga Tanzania shida sana wewe ccm wamekutuma nasisi ni mutiti ujinga Africa umezidi

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 2 месяца назад

    Nakulabata dom et mwemwe viongozi jamani kaanawananchi

  • @biebaraka3258
    @biebaraka3258 3 месяца назад

    Lakini magufuli hakuwa mwizi hakuiba mali ya TZ, kisha alijikatiza mshahara wake ukaja chini ya 400$ kwa mwezi, hakutoka kwenda kuomba msaada 🇺🇸 huwezi mfananisha Magufuli na mwizi wako ruto

  • @yohanajp1148
    @yohanajp1148 3 месяца назад +3

    Shida sio kulipa ushuru, shida ni ushuru uchungu nzima na wezi wengi wa ushuru.!

  • @Bombwejr18
    @Bombwejr18 3 месяца назад +2

    Jamaa kaongea Points Tupu kuna watu wachache wako kimaslahi hapo kariakoo watu wanakufa njaa wanategemea wenye maduka😢

  • @griffinsombati7825
    @griffinsombati7825 2 месяца назад

    Useless eti Shee..ngombe

  • @alibinali_
    @alibinali_ 3 месяца назад +1

    Wakenya wapi hao wamesema hivyo ama ni huyo fala tumbo kama pipa anaeuga mmono finance bill

  • @rashiduchongole1333
    @rashiduchongole1333 3 месяца назад +1

    Ata huyo makufuli alikuwa anatoka hivyo hivyo uku kwetu ushuru tunatoa na pia loan wanachukua

  • @HasanSadala-rh5re
    @HasanSadala-rh5re 3 месяца назад +3

    Na rais akishindwa ajiuzuru

  • @bantkmaca5756
    @bantkmaca5756 3 месяца назад +1

    Kupongeza nini hapo, siwezi pongeza sijui tanzania au nini

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад

      kweli..Tanzania inapongezwa na nini..Mie Mtanzania sie ndo tuwapongeze kenya kudai hakii zao..sie tanzania ni timid kila siku. atleas this guy just came and voice his irritable concerns..probaly Samia will hear this..

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад

    ona kijana wa watu analalamika 1:22- 7:07 watu wamechoka jmni. watanzania wengine kutw kukaa na kuwasema wakenya jinsi wanavyoandamania..wanaowasema ni vile hawana shida..huyu ni mkereketwa. viongozi wanatakiwa kuwajibshwa wanamajibu mabaya sana kwa wanchi..ni vibay amnooo

  • @FotoBaraza
    @FotoBaraza 3 месяца назад

    Tanzania ilianza vyema tangu wanaunda Taifa. Kiswahili ndo mambo yote

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 месяца назад

    HIYO NI DANGANYA TOTO , HAKUNA CHOCHOTE DODOMA. ( DANGANYA TOTO YANGU KULA DENGU KOCHEE 😂😂😂😂)

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 3 месяца назад

    Bandari ya Zanzibar ndio ilokuwa pot kuu ila bara ikaimeza Leo yamekukuteni mnapayuka sana

  • @samuelnjuguna1448
    @samuelnjuguna1448 3 месяца назад

    Huyu jamaa kichaaa chake Kiko juu Sana,achana na maswala ya kisiasa ya Kenya hatuwezi lipa ushuru jamaa anaenda nayo Raha nchi za nje

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 3 месяца назад

    Dogo umeongea vizuri sana viongozi wetu hawajielewi wawajibike kwenye nafasi zao kwani wao ndio tuliowapa zamana ya kututumikia Wananchi lkn

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 3 месяца назад

    Uyu jamaa mjanja sasa anajua hesabu

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 3 месяца назад

    Vitenge tunachukua Zambia mimi nipo malawi

  • @samwa9496
    @samwa9496 3 месяца назад

    Lazima muelajibu na kazi yake ktk kazi

  • @mzongekibwana838
    @mzongekibwana838 3 месяца назад

    Kaspor😂😂😂unatudhihaki shekhe

  • @bernardphillip2960
    @bernardphillip2960 3 месяца назад

    Hakuna maandamano Tanzania isipokuwa ni mgomo so it’s too far away from maandamano.

    • @bernardphillip2960
      @bernardphillip2960 3 месяца назад

      @Animalsandwildlife.7527hiyo ni akili yako inakutuma ila sio mimi na hatuwezi kufanana.

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 3 месяца назад

    Sema kweli bro

  • @MishaOkondo
    @MishaOkondo 3 месяца назад

    Ha ya ni kubaya

  • @ShukriGufu-ec3gk
    @ShukriGufu-ec3gk 3 месяца назад

    Mwoga

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂

  • @Omosh003
    @Omosh003 3 месяца назад

    Halloo.. He must GO

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 3 месяца назад +1

    Kumako nyamaza

    • @samwa9496
      @samwa9496 3 месяца назад +2

      Matus ya Nini na mama yake yupo hapo wewe huna mama

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 3 месяца назад

      Huna haja ya kutukana....
      Idiot 😂😂

  • @ChrisMeshack
    @ChrisMeshack 3 месяца назад

    Tumuambie ukwel au tumuache

  • @muonlinetv1879
    @muonlinetv1879 3 месяца назад

    Tunakuja kukusalimia

  • @yusuphbanzi
    @yusuphbanzi 3 месяца назад

    ni kweli tuna maendeleo sasa ndio uende sumbawanga kuchanjia