VURUGU NDANI ya BUNGE LA KENYA: WAANDAMANAJI WAHARIBU VITU NA KUCHOMA MOTO - POLISI WASHINDWA KUZUIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • VURUGU NDANI ya BUNGE LA KENYA: WAANDAMANAJI WAHARIBU VITU NA KUCHOMA MOTO - POLISI WASHINDWA KUZUIA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 60

  • @0maryMuna
    @0maryMuna 3 месяца назад +8

    Polisi sio kama wameshindwa kuzuia sema polisi na wawo lao moja maana hata wawo wanaishi mtaan hy kodi inawagusa

    • @kisoso890
      @kisoso890 3 месяца назад

      @@0maryMuna kila siku samia anajivunia jeshi ndio maana yupo radhi kuruhusu ongezeko la kodi kiholela so wait tu nyapu itarudi hedhi tena kama ilishakata

  • @AyyubNajib
    @AyyubNajib 3 месяца назад +3

    Sisi kama wakenya hatuna ujinga na serekali hata nyinyi ndugu zetu wa tanzania musipepwe ujinga kwa inchi nyenu

    • @brucardkomba616
      @brucardkomba616 3 месяца назад

      Wa Tz tupo pamoja nanyi dhid ya ZAKAYO

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 3 месяца назад +3

    Hambia Marekani alete Police KUTOKA Haiti au Marekani waje kusaidia. Unawapandishia wakenya kodi tena unapeleka wa police wakenya waenda kufia Haiti kwa faida yako.

    • @lukafbbwebelof3874
      @lukafbbwebelof3874 3 месяца назад

      JE ni Zakayo kweli? Kama wewe ni Zakayo basi shuka upesi

  • @MichaelPaulo-k1c
    @MichaelPaulo-k1c 3 месяца назад

    Hili bomu mnalotengeza viongozi wa ccm,ipo siku litalipuka tu.

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 3 месяца назад +1

    Mimi ni mtanzania lakin nakuungeni mkono majirani zetu,hawa viongozi wamezoea kutufanya wananchi kama ni wapumbavu tusiojitambua.endeleeni kuwaonesha nguvu ya raia

  • @jamesngalahinzano3464
    @jamesngalahinzano3464 3 месяца назад +2

    Wakenya wamechoka na kukandamizwa na serikali.

  • @Imelda-fx9ty
    @Imelda-fx9ty 2 месяца назад

    Yamebadilika komanda wa yesu

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 3 месяца назад +1

    Washa kabisa mijengo hiyo yote, hata wabunge nao wakizubaa wawashe. Inachisha!

  • @TonnyWekesa-d8e
    @TonnyWekesa-d8e 3 месяца назад

    Kenya hatutaki ujinga😊

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад +1

    Safi sana wakenya ongezeni spidi maana hata police wamechoka na ugumu wa maixha

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 3 месяца назад

    Naiwe funzo Kwa viongozi wa Tanzania,ukiona jirani yako ananyolewa na wewe tia maji

  • @DaudFataki
    @DaudFataki 3 месяца назад +1

    Hayamambo watuwanakopannje wanakula nawatotowao af sisi nawanetu tulipe maden hii hsikosawa hii nidalilimbaya sana africa kinakitu kinakuja tutake tusitake tuwemakin

  • @leoncastelyn3751
    @leoncastelyn3751 3 месяца назад

    Kenya sio kama Tanzania, kuburuzwa buruzwa eti usishindane na dola,wakenya wanatetea haki zao kama raia wa South Africa hawatishiwi uonga

  • @leoncastelyn3751
    @leoncastelyn3751 3 месяца назад

    Wabunge wabinafsi wanajitetea kupata mishahara mikubwa.bila kujali maisha ya raia ,

  • @leoncastelyn3751
    @leoncastelyn3751 3 месяца назад

    Serikali ya raia ,nimuhimu kusikiliza raia ,sio watu wachache waamue kila wanachotaka,kwa kuwa sisi ni wabunge,

  • @leoncastelyn3751
    @leoncastelyn3751 3 месяца назад

    Ni sawa kabisa walivyo fanya, ubaya kuchomo shule, hospitals, na mali za umma

  • @DinoOneTouch7626
    @DinoOneTouch7626 3 месяца назад

    Waje tanzania huku tuwafundishe namna gani police anatakiwa afanye kazi sio wao wanaogopa kijinga yani mafala mpka watu wanaingia bungeni

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 3 месяца назад

    Binafsi nimewaoenda Sana wakenya ni wanaume kweli kweli! Kitaeleweka tu!

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn 3 месяца назад +1

    Kenya. Noma

  • @GloryMumba
    @GloryMumba 3 месяца назад

    Ruto must go

  • @michaelamos3164
    @michaelamos3164 3 месяца назад

    Washeni kilakitu msichoke

  • @isayakitaponda8337
    @isayakitaponda8337 3 месяца назад

    Hawa ndio Wana afrika mashariki wa kweli.

  • @LoihookiLoseriani
    @LoihookiLoseriani 3 месяца назад

    Poleni wakenya maana wanaoumia ni watu wa Hali ya chini

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 3 месяца назад +2

    Ukabila ni kitu kibaya mno maishani.

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 3 месяца назад +1

      Hapo ukabila umeiona wapi

    • @jeniferemmanuel4251
      @jeniferemmanuel4251 3 месяца назад +2

      Huelew kitu tulia

    • @nelsonnelson4389
      @nelsonnelson4389 3 месяца назад +2

      Hapa hakuna ukabila this are united without where your community coming from tunafahamu haki yetu and this is kenya

    • @subirahowen124
      @subirahowen124 3 месяца назад +1

      Uelewi kinachoendelea

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 3 месяца назад +1

      @@subirahowen124 he is just taking nonsense

  • @DinoOneTouch7626
    @DinoOneTouch7626 3 месяца назад

    Yani polisi wakenya ni wajinga sana yani wanashindwaje kuwazuia wajinga hawa wasiwatwange risasi wakaona

  • @wkikwasi
    @wkikwasi 3 месяца назад

    Athari za kuendelea kushika masikio!

  • @LilianNyakato-hp6wx
    @LilianNyakato-hp6wx 3 месяца назад

    Bora nami nimeliona Bunge la Kenya

  • @khamisomarkhamis
    @khamisomarkhamis 3 месяца назад

    polen wakebya

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 3 месяца назад

    Kenya kumenoga hadi raha

  • @hbdina
    @hbdina 3 месяца назад

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Viongozi weusi lazima waache mikopo ya IMF ndiyo chanzo.Nchi ya Burknafaso zinapiga atua kiuchumi bila hiyo mikopo Tunaitaji Viongozi wenye utashi.

  • @HfvJfv-zf2dt
    @HfvJfv-zf2dt 3 месяца назад

    Ni bora uharbifu wa mali kuliko walio poteza maisha

  • @kisoso890
    @kisoso890 3 месяца назад +3

    Samia umeoana watu wakichoka so hata tanzania itafika muda tu na utaelewa

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 3 месяца назад +1

      Kitu gan ambacho unakiona kibaya mbele ya samia?

    • @kisoso890
      @kisoso890 3 месяца назад

      @@worldhappiness1181 vingi tu ikiwemo kutokemea mfumuko wa ongezeko la kodi kwenye bidhaa ambayo mwisho wa siku ni mzigo kwa raia ufinyu wa bajeti mfumuko wa nauli broo wewe ni kipofu au ndio wale wafuasi mkishiba nyie hamuoni kama ndugu zenu wanateseka

    • @lovenessvisent9408
      @lovenessvisent9408 3 месяца назад +1

      Kodi Sio rafiki kabisa huoni mgomo kariakoo?

    • @kisoso890
      @kisoso890 3 месяца назад

      @@lovenessvisent9408 achana nae huyo ndio wale bongo movie waliopelekwa kutalii japani wakaambiwa wanatanuliwa wigo wa filamu zao 😂😂😂😂 nchi hii imejaa maigizo hilo soko la afrika tu limetushinda tutaliweza la dunia? Ukirudi kwa huyu mwehu lazima akuulize hilo swali kwa kua kipo kinachompoza machungu ya maisha

    • @lovenessvisent9408
      @lovenessvisent9408 3 месяца назад

      @@kisoso890 mjinga

  • @musamsangi1610
    @musamsangi1610 3 месяца назад +2

    Hawa hawana akili kwani kuandamana unachoma bunge hawa hawana akili.