Asalaam Alaaykum sheikh naomba kukuuliza nje ya mada lakini. Je faa mtu kuhadisia ndoto aliyo iota na ndoto hiyo inajirudia kiala mara. Napia kuna mtu akakuambia pia kuwa ashawahi kukuotea ndotohiyohiyo unayo iota wewe iwe nzr au mbaya na je ukiahadisia inaweza lilejambo likatokea kweli? Naomba msaada wako sheikh katika hili InshaAllah
Mifano yakueleweka MASHALLAH. Shukran sheikh.
Aslm alkm ww.... shukran sanaaa Jazakallahu kheir.
Allah akulipe kila jema ameen
Na amlipe kweli
Barakallahu fik
MASHAA ALLAH MMUNGU AKUZIDISHAA
Allah akulipe kheri
Jazakum Allahu khairan
Mashallah mashallah Jazakallah lkhayr
a trick: you can watch movies at Flixzone. Been using them for watching a lot of movies recently.
@Kody Leon Yea, been watching on Flixzone} for since december myself :D
Allah atulinde pepo iwe makaazi yetu🤲
Asalaam Alaaykum sheikh naomba kukuuliza nje ya mada lakini. Je faa mtu kuhadisia ndoto aliyo iota na ndoto hiyo inajirudia kiala mara. Napia kuna mtu akakuambia pia kuwa ashawahi kukuotea ndotohiyohiyo unayo iota wewe iwe nzr au mbaya na je ukiahadisia inaweza lilejambo likatokea kweli? Naomba msaada wako sheikh katika hili InshaAllah
Nipe number yako please
@@bigmanfish6346 tupefaida sote tufahamu
@@faridaikussi vp number?
@@bigmanfish6346 nipeyako takutafuta in shaallah
ndio yafaa ikiwa utakae muhadithia anajua kufasiri ndoto na wamuamini
Jee kama hu udhurii darsa ila nazisikiza kwa simu darsa mbali mbali alhamdullillah nitakuwa sisawa hivyo sharti nijumuike kwa darsa?
Nuru