Toyota IST Road Review Kutoka DAR to TARIME - Mr SABYY | Clearing and Forwarding

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Usibonyeze Link hii chini 👇👇👇 kama huna ROHO NGUMU juu ya MAGARI ....👇👇👇
    / @mrsabyy
    Ndugu mtazamaji leo tumekuletea Review ya Toyota IST kutoka Dar es salaam mpaka mjini Tarime katika zoezi la kusafirisha Gari ya mteja wetu. Jifunze na mwambie mwenzio ajifunze ili darasa huru liwafikie watu wengi. ENJOY
    Huduma zangu...
    1: Kuagiziwa GARI JAPAN/UK/DUBAI
    2: kutolewa Gari yako Bandarini ( Clearing & Forwarding ) kwa wateja waliokwisha nunua Gari
    3: Msaada wa kutafutiwa Gari mtandaoni na kupigiwa hesabu ni BURE
    4: Msaada wa kuagiziwa bidhaa mbalimbali nje ya nchi
    5: Kusafirishiwa Gari yako popote ndani ya Tanzania
    Tumia mawasiliano haya chini.
    NB: Tunafanya kazi na watu binafsi /Makampuni / Taasisi zote
    --------------------------------------
    Social media handle
    Instagram: / mr_sabyy
    Whatsapp link : wa.me/message/...
    ‪☎️DM/Piga/Text 0653953900 /
    ☎️Whatsapp +255 653953900
    📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
    🏢Company: Mofaz movers Ltd
    📍Location: PSSSF HOUSE, Ghorofa ya 9, Wing A-Room 4, Samora Avenue St.
    Dar es salaam, Tanzania
    *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE
    *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏
    *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA NI BURE🙏
    All copyrights reserved under CAIRO PROMOTIONS © 2022
    --------------
    #MrSabyy #Clearing_and_Forwarding #ToyotaIST #IST
    #Clearing_And_Forwarding
    #Clearing_And_Forwarding_Agent
    #MAGARI
    #TANZANIA

Комментарии • 23

  • @MrSABYY
    @MrSABYY  2 года назад +1

    Kwa unayehitaji KUAGIZIWA GARI nje ya nchi au unayetaka KUNUNUA GARI YA MKONONI ( Iliyotumika hapa hapa Tz ) please tumia no hii Call/Text/WhatsApp +255653953900
    Pia usiache ku subscribe na kutuFollow
    Instagram@mr_sabyy
    Twitter@mr_sabyy
    Asante

  • @jeremiaalbertbenjamini6646
    @jeremiaalbertbenjamini6646 Год назад +4

    Hiyo mpaka kwa mteja ni sh ngapi na ikiwa ofisini kwenu sh ngapi

    • @MrSABYY
      @MrSABYY  Год назад +1

      Hii bei ya Sasa ni 16.5M Ila mda wa hii video ilikua 14.5M… Karibu ofsn kwetu au whatsapp yetu 0653953900

  • @emmanuelmeela3065
    @emmanuelmeela3065 2 месяца назад

    Upo sahihi bro

  • @gelisonmpogozi4881
    @gelisonmpogozi4881 2 года назад +1

    roaring big company,, congrats champ🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @MrSABYY
      @MrSABYY  2 года назад

      Thanks Mr Gelison 🤝🏻

  • @FridahMndeme-bn5sq
    @FridahMndeme-bn5sq Год назад

    NIMEKUPATA VIZIRI SANA MR.SABY

  • @magnussanga
    @magnussanga Год назад +1

    Pamoja sana

    • @MrSABYY
      @MrSABYY  Год назад

      Asante sana, save no yetu kuna siku utatuhitaji

  • @dhuweibbadruddin9895
    @dhuweibbadruddin9895 Год назад +2

    Habari .naomba uwafahamishe na kuhusu gari Aina ya raum ikoje uimara na kusafiri nayo

    • @MrSABYY
      @MrSABYY  Год назад

      Hello boss, Naomba Nitumie msg WhatssApp 0653953900 🙏🏻

  • @DadiChitumbo
    @DadiChitumbo Месяц назад

    Hivi ist Kwa Sasa ni sh ngapi?

  • @Homelandtv-kf7fp
    @Homelandtv-kf7fp Год назад +2

    Ni 1300 cc

  • @jeremiaalbertbenjamini6646
    @jeremiaalbertbenjamini6646 Год назад +1

    Gari ipi nafuu kwa safari ndefu

    • @MrSABYY
      @MrSABYY  Год назад

      Hello, Kila gari Ina sifa zake, Karibu ofisini au kwenye WhatsApp yetu 0653953900

  • @official_starboy6427
    @official_starboy6427 Год назад

    nimesha subscribe vp na kuhusu Toyota Crown kwa kutembea umbali mrefu

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Год назад +1

    Mpaka ifike IRINGA niandae sh.ngapi?

    • @MrSABYY
      @MrSABYY  Год назад

      Hello, karibu na tutumie ujumbe kwenye no yetu ya WhatsApp 0653953900 kwa maelezo zaidi. Asante

  • @kelvinpeter5666
    @kelvinpeter5666 Год назад +1

    Nahitaj harrier 2006

    • @MrSABYY
      @MrSABYY  Год назад +1

      Hello , naomba tutumie msg WhatsApp kupitia no 0653953900. Asante na ubarikiwe

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Год назад

    🫱🏻‍🫲🏽

  • @albertosanga7744
    @albertosanga7744 4 месяца назад

    Huyo gari ni TSH ngapi?