Watuy watapokea, watafunguliwa watabarikiwa SANA KWA this ministry ya huyu Dada may the mighty God be lifted higher due to salvation of our returned Ruby
Si kwa hekima Neno hilo. Kigame ni Kigame. Lakini Paul Clemence ni Paul Clemence. Mungu Hana COPY KILA MMOJA NI ORIJINO. HUONEKANA SAYUNI KILA MMOJA MBELE ZA BWANA
Naomba namna ya kupata njia ya kum support huyu kijana kwa chochote Mungu alichonijalia
Nenda kwenye Chanel yake ya RUclips Kisha utapata Namba zake
Maranyingi awajibu coment ila nitakutaftia namba zamtu wakaribu
@@MISHIONARYSHUKURU asente na mimi pia nazitaka
Very powerful. Mungu anaweza kumtumia mtu yeyote maana ana nguvu
Mungu wa mbinguni huweka vipawa bila kujali hali ya mtu...Mungu akubariki mwimbaji pamoja na roc tv❤
AMIN
AMIN
Nimebarikiwa sana MUNGU akuinue viwango vya juu hakika unaimba mno sauti nzuri mnoo mbarikiwe sana hongera brother 🙏🙏🙏😢😊😊
Mnaimba vizuri sana MUNGU WA MBINGUNI AWABARIKI SANA
Watuy watapokea, watafunguliwa watabarikiwa SANA KWA this ministry ya huyu Dada may the mighty God be lifted higher due to salvation of our returned Ruby
USijali kaka yangu sikumoja utaona kwajina la LA YESU MTAZAME MUNGU TU ❤
Dah!! Ad mwili umenisisimka Mungu azd kukuinua kwa viwango vngne
Host wa kipnd nae s mchezo amazing voice
Yes Tulichaguliwa na MUNGU❤❤❤ 🙏🙏🙏 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 with Love 💕
Natamani nikoment kitu ,ila Wacha niseme mungu ni ebeneza🙏
Waaaoooo Mungu akuinue viwango vya juu zaidi
❤❤❤❤ Mungu akubariki zaid kijana ili kusonga mbele
❤❤❤❤anasauti nzuri na anaimba vizuri my God bless him
Namshukuru mwenyezi Mungu kwaajili yako ❤
Hallelujah ❤❤
Thank you Roc tv for reminding us the Love of God 🙏🙏 yes we've been chosen by God 🙌🏿
Mungu akuinue zaidi yote
Kwa kweli tumechanguliwa na Mungu,,barikiwa sana Godfrey🙏
Nimependa hiii sana Mungu akubariki sana Mteule
Waoo! A very nice tone
Bro na me ni mwimbaji wa gospel nitawezaje pata support yako
Alf kapendez sana 😢MUNGU Yu mwema sna
Jamaa anaweza sana aise
Mungu akujalie ufike mbali kaka angu
good song congratulaction
😢😢😢eeeh Mungu Baba sikiya ombi langu Mungu mapenzi yako yatendeke
Amen nataman sana kuimba
Utukufu wote ni kwako bwana Mungu wetu wambinguni Ameni🙏🙏
Anasauti nzuri Atari🔥🎉🎉
Hakika Mungu wambinguni niwa Ajabu sana yaani ningekua na kitu ningemusapot rakini Mungu waguse ware ambo umewabariki uwezo wa kifedha wakamu samupoti
😂hakika tumechaguliwa ubarikiwe sana
Jamani anasauti nzuri sana 🥰
Mungu mkubwa nakupenda sana mungu mana waliokua wanatukimbiza wamejikuta wanatusindikiza kishindo cha wakoma kimewakimbiza washami
🎉🎉Mungu awabarik sana watumishi
Aaaah I love this tis so amazing
Imenigusa sana,eeeh Mungu wangu uliye hai ambaye usiye shindwa na chochote.
Fanya jambo kwa mtumishi wako godfrey ili azidi kukutumikia 🙏🙏🙏
Mungu akubariki sann
So beautiful!
Waha amazing swit voice
Mungu mbariki Gofrey mteule🙏🙏
Mwenyezi mungu azidi kutujalia kweli
Very nice of God 🙏♥️👏🙌
Barikiwa sana
Waooo,God bless You God's Servant.
❤❤❤❤ waooo ilove this
My prayer is Holy Spirit minister through this vessel.....because You go where you're desired. Lord Jesus make it come to pass. Amen.
Mbona kama host anaimba sana jaman
Mungu amu bariki kijana wake
Mungu baba akubariki zaidinazaidi
Mungu zidisha baraka zako kwake baba
Nimependa sana
Mungu akupe Manisha malefu
Amen amen jinalabwana ribalikiwe nimejifunza kitu
Godfrey Mungu azidi kukubariki
Very talented guys
Km inawezekn apelekw akatibiw mach jmn mashallah anauwez mkubw
I know very well Paul , he can do something for him❤❤
Mungu azidi kukubariki Ili upate watakao kuku sapoty mdogo yangu
I love the song
Kila la herii mtumishiiii
Mungu akuinue
Wew ni mtehule wa bwana ubarkiwe sana
Mungu awabariki sana ❤❤❤❤
Mungu ni mwema
Amina mungu akubariki sana kwa support yako kwa kijana huyu
Very powerful song
Wow🎉
Yote yanawezekana kwa Imani...eme
Woooow....ameeen
Mungu akubariki san
🙏🙏🙏🙏 god is good
Be 🙌 🙌 ❤
MTEULE GO FAR BROTHER
Namwona kwenye majukwaa makubwa ya injili worshipping GOD
MUNGU ni mwema
Amen,
Mungu awabariki sana
Hello can your channel do me a concert
anajua mpaka anakera sasa
Acheni. Mungu. Aitwe. Munguuu
Aloooo weee🙌🔥
i like
Daaaaaaaaa Mungu huyu ni wa ajabu
Mbarikiwe
Namwona Reuben Kigame wa Tanzania
Si kwa hekima Neno hilo. Kigame ni Kigame. Lakini Paul Clemence ni Paul Clemence. Mungu Hana COPY KILA MMOJA NI ORIJINO. HUONEKANA SAYUNI KILA MMOJA MBELE ZA BWANA
@@CHRISTHOLINESS Unamfahamu Reuben Kigame?
Hujaelewa wewe @@CHRISTHOLINESS 😂😂
Like
glory to God
Mumgu ebeneza
Amin Amin ❤
Ooooh lord Jesus 😢 😊
Mungu anafanya kama apendavyo...
Acha Mungu tu aitwe Mungu
🔥🔥🔥🔥🙌🏽
Amen amen 🙌🙏
Mungu mkubwa sana ...Kama jina lilivyo mteule kweli kakuteuwa ...Mungu azidi kumtumia
Mungu wetu yu pamoja nawe
Utukufu zaidi
🙏🙏❤️❤️👏👏👏
🙌🙌❤
Blessed month thank u family
Ameen🙏🙏