ADAM MCHOMVU, B DOZEN KWAHERI XXL | WANAUNGANA NA GEORGE BANTU KWENYE JAHAZI | URITHI WA CAPTAIN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 май 2024
  • Urithi wa Jahazi kwa hisani ya Captain G Habash uliosomwa na Mkuu wa Maudhui CMG, @sebamaganga amesema yeye mwenyewe (Captain) alipendekeza @adamchomvu aungane na swahiba wake @bdozen kuliendesha Jahazi ili lifike Pwani.
    Urithi umeheshimiwa!!!
    #CaptainWaGemu
  • СпортСпорт

Комментарии • 48

  • @MsouthBoy
    @MsouthBoy Месяц назад +7

    Kutokea 88.9 mhz Singidanian town , Naomba niyafikishe mawazo yangu mjengoni na mawazo yangu ni kwamba tusiangalie tu kuwapeleka B12 & AD + kwenye jahazi , Jee hatuoni kwamba ndo tunaenda kuiua XXL kwa sababu tumezibeba nguzo kuu zote za chama la wanaa , Mimi nafikiri Josee Mara & James Tupatupa wangefaa sana kuingia ndani ya JAHAZI kwa sababu ni watu wa mastory ya town halafu dawati la LEO TENA libaki kwa msemaji wa maisha ya watu DC MWIJAKU

    • @sallynakey_tz
      @sallynakey_tz Месяц назад +1

      Uko sawa sana kwa jose mara na James tupa tupa ila kuhusu dawati kumpa mwijaku apana yule baba ni mropokaji sana

    • @MsouthBoy
      @MsouthBoy Месяц назад

      @@sallynakey_tz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khadijamvungi3000
    @khadijamvungi3000 Месяц назад +7

    Mmezinguua sana sikilizeni ushauri wawa sikilizaji wenu adamchomvu na bi 12 wakiondoka xxxl imekufa na wakienda jahazi imekufa kwahiyo mm naona kwenyejahazi awepo joji bantu. Jose mara. Dj d omi na musahosein

    • @henryedmund1046
      @henryedmund1046 Месяц назад

      Wale vijana waliokuwa wanasikiliza xxl saivi ndio wanasikiliza jahazi... Wapo makazini.. so wataendana kabisa na maudhui.. saivi dozen au mchomvu amuhoji jaymelody kuhusu mahusiano inakaaje😂😂😂

  • @BlessingPraygod
    @BlessingPraygod Месяц назад +3

    Jose mara,Musa Hussein,G. Bantu dj ommy

  • @AkwiliniMalya
    @AkwiliniMalya Месяц назад +2

    Whater are new sign on jahazi la clouds fm hii ht captain atapumzika kwa amani kabisa hom boys Twangala & Baba Jonii kila la herii wana

  • @kennedjohn5785
    @kennedjohn5785 Месяц назад

    Hii iko sawa. B dozen na Mchomvu game ya bongo kitambo na age imeanza kukimbilia kwenye utu uzima japo wanaonekana vijana. So, wapangaji wameangalia mbali. It's good choice

  • @ivannndelwa6457
    @ivannndelwa6457 25 дней назад

    Jose mara,Musa Hussen,G Bantu

  • @augustinemollel2470
    @augustinemollel2470 Месяц назад +1

    George Bantu,Mussa Huisen ,Dj Fety, Paulo Jems Suya

  • @agripinaenock2411
    @agripinaenock2411 Месяц назад +2

    Jmn tuachieni hawa watu kwenye XXL🙏

  • @lupamwakyusa1582
    @lupamwakyusa1582 Месяц назад +1

    Hapana bhana msitufanyie ivoo bhana tafteni wengi wa jahaziiii aiseee hapanaaa 😭😭😭

  • @WinifridaMeshack
    @WinifridaMeshack Месяц назад +1

    Wanafaa hao sana tu❤

  • @QueenGabriel-ys7eh
    @QueenGabriel-ys7eh Месяц назад +2

    Wangekua b dozen,mussa Hussein na gorge bantu

  • @JEREMIAHMASASI-ef1pn
    @JEREMIAHMASASI-ef1pn 29 дней назад

    Musa huseni Jose mara wanafaa kuungana na joji bantu hao wengine waacheni kwny XXL yao

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w Месяц назад +1

    Daaahh at a me imeniiumaaa jamn ilaa ndo familia yetu soteee

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 Месяц назад +2

    Hivi Kweli Barbara Hassani mmeshindwa kumrudisha kweli. V

  • @albertmshiu6578
    @albertmshiu6578 Месяц назад

    Tuwekeeni basi redio kwenye dish ya dstv mnakwama wapi clouds!

  • @nelykaaya6503
    @nelykaaya6503 Месяц назад +1

    Nakubaliii

  • @shaluamkumbo9880
    @shaluamkumbo9880 Месяц назад

    Mimi nashauri George Bantu, Jose Mara, Musa Hussein na Dj Faty

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Месяц назад +1

    Kati ya hawa..Dj fetty,Mussa Hussein, George bantu, Or Jose Mara kipindi kinamfaa saana..BIG NOOO ADAM kweli mmefikiriaje hapo?????

  • @lupamwakyusa1582
    @lupamwakyusa1582 Месяц назад +1

    Feti au babra mmoja wapo angerudi na sam sosaliii hapo mmebugiii sana mmepotea

  • @HappyAsajile
    @HappyAsajile Месяц назад +1

    Sitaki yani sitaki apo pa mchomvu sitaki mbon mnakaua iv mwe, kwan Yan apan adam wang mim jamn mbona ad nalia

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Месяц назад +1

    Dozen jahazi afanye kifaza aache ubrazameni

  • @NeemaMushi-wj1zn
    @NeemaMushi-wj1zn Месяц назад

    Adam muachen

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 Месяц назад +1

    Na bado karma is beach more is coming vibaraka na wanyonya damu za artist

  • @user-jk7tq7xq2f
    @user-jk7tq7xq2f Месяц назад

    Imekaa Sawa kabisa

  • @RehemaMaganga-ed1go
    @RehemaMaganga-ed1go Месяц назад +1

    yan hapa mmezngua kusema kwel kwa uchaguz huu xxl itapoa xana

  • @augustinemollel2470
    @augustinemollel2470 Месяц назад +1

    Wapi Mussa husein jamani

  • @BarakaJohn-qt5py
    @BarakaJohn-qt5py Месяц назад

    Adam mchomvu

  • @harrsmgaya8141
    @harrsmgaya8141 Месяц назад +1

    Ko! XXL itakuwaje naona vinala wote mme chukua

  • @asiaahmedy8944
    @asiaahmedy8944 Месяц назад +2

    Kwa mm ninavyoona jahaz n kipindi cha watu wakubwa wenye fikra kubwa wenye kuwaza kwa upana zaid czan km watu waliochaguliwa wanafit ktk kipindi hicho dozen,adamu hawafit hk kbs yn laiti ningekuwa mm ningemueka yule mtangazaj w 360 y asubuh pj na masud kipanya

    • @giningionlineTv
      @giningionlineTv 25 дней назад

      Wanajifanya wanajua sana Clouds na hawakuzingatia maoni yetu ila hao jamaa kwa hawafit kabisaaaaa hata wapewe karne coz vichwa vyao havina madini ya kihabari wana burudani tu, binafsi ni msikilizaji wa Clouds miaka 10 naushee sasa ila sikubaliani na hili n'gooooooooo na nasema kwa mdomo mpana kuwa JAHAZI tayari limezamaaaaaaa😭😭😭😭😭

  • @audaxmlowa9953
    @audaxmlowa9953 Месяц назад +1

    Ibra kadabla alitakiwa awepo jahazini

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 Месяц назад +1

    Kimataifa hahaahaaa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @nakalekwategeta8410
    @nakalekwategeta8410 Месяц назад

    Mmezingua mno jaman

  • @ImmaThelonewolf-bk2cx
    @ImmaThelonewolf-bk2cx Месяц назад

    Kwani mussa Husseni yuko wapi?

  • @kadobwoy4882
    @kadobwoy4882 Месяц назад +2

    duu ngj tuone

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 Месяц назад

    Mussa Hussein mwenyewe huwa hajulkani kani kama n mtangazaji au vip

  • @user-ix2bx9dn4o
    @user-ix2bx9dn4o Месяц назад

    Yan vipindi viwili vinazama kwa wakati mmja

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Месяц назад

    Hapa Naona Mmefail Seba Adam Kwel Kwann Fetty Asirud Pale Japo Na Huyo Siza Au Unaona Jahaz Inataka Watu Maarufu Zaid Kuliko Ubunifu Na Uelewa Wa Mambo Aswa Ya Nchi Ukiweka Hao Wakina Bdozen Na Adam Ni Tofaut Sana Kwa Iko Kpnd

  • @SaluMaige-sc8bm
    @SaluMaige-sc8bm Месяц назад

    Xxl inakufa magazine linazama maana mnaweka wa2 sii sehem yao

  • @nassoromussa4440
    @nassoromussa4440 Месяц назад +1

    Labda B dozen ila kwa Adam Mchomvu kwenda jahazi kipindi ambacho hata watu wazima wanasikiliza so kwa Adam bangi nyingi atazngua

  • @QueenGabriel-ys7eh
    @QueenGabriel-ys7eh Месяц назад

    Adam mchomvu abaki XXL

  • @AgustinoJoseph-jq7or
    @AgustinoJoseph-jq7or Месяц назад

    Hapo Kwa adamu 🎉niwape hongeraa

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Месяц назад +1

    kipindi kitawaka moto jahazi wanawekwa vichaa