Habari Mashabiki wetu niwaombe radhi kwa kufutwa kwa hii episode kuna tatizo kidogo lilitokea tumeshalitatua na kwa wale ambao hawakubahatika kuipata tumeirudisha. Lakini Muendelezo wa Episode 5 upo njiani.
Sasa movie imekua tamu sanaaa kisofa na chendu wakiwa inapamba mmebakisha bibiye kisofa na yule mukusa sasa hapo movie yetu itakua moto moto msizau mkorosai pokea maua yenyu 🎉🎉🎉❤❤
Chumvinyingi bingwa wa kuigiza filamu.. Hakika mtu na apewe kimfaacho.. Tunzo bora ya mwaka binafsi nampa chumvi. Shikirieni uzi uo huo na hongera kwa kazi nzuri. Nakuru, Kenya.
Chumvi tumemisi mke wa kisofa wa kwenye kisiki Yuko wap jamn yule dada Huwa ananifurahishaa😂😂😂😂 yaani angekuwa mke wa kisofa Tena wangependeza na yule mke mkubwa wa mkuza na alivyo mpole daaah Tumewamis Sanaa jamn
Mi naomba kuuliza jaman huyo mkaka aliyeokota mtoto huko kichwani ni minyoo ya fasheni au ni mapunye maana nilitaka kucheka nikasema maradhi hayachekwi ngoja niulize kwanza
Hiyo elfu kumi mmepewa na Chendu hapa Kenya nafanya shopping ya mwezi mzima. Alafu Chendu anawadanganya atawapa ajira? Ndio mwaenda ingia mashakani sasa. Nawaonea huruma. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪.
Habari Mashabiki wetu niwaombe radhi kwa kufutwa kwa hii episode kuna tatizo kidogo lilitokea tumeshalitatua na kwa wale ambao hawakubahatika kuipata tumeirudisha.
Lakini Muendelezo wa Episode 5 upo njiani.
Sawa tulete mzigoooooooooo
Hapo sawa
Ouk maana nilikua nashangaa Jana sikuuimaliza leo naitafuta siiyonii 🤔
Kali sana nakupenda sana my kipenzi chamvi nyingi
Kali sana nakupenda sana my kipenzi chamvi nyingi
Cumvinyingi umecanganyikiwa kunywanganywa pikipiki au pole sna turudiye marambilimbili😅
chumvinyingi wanichekesha kweli n mm kutoka Kenya 🇰🇪,
Mbona imerudiwa ya jana
Kweli
Wakwanza mm 😂😂 like zangu jmn
tuna irudia tena Kama hatujaiona😂😂😂 vile yaan shwaaa
Aaaaah chumvi mbona wenngeh
Chendu ume fanya vibaya ku cheji mavazi
😂😂😂
Sasa movie imekua tamu sanaaa kisofa na chendu wakiwa inapamba mmebakisha bibiye kisofa na yule mukusa sasa hapo movie yetu itakua moto moto msizau mkorosai pokea maua yenyu 🎉🎉🎉❤❤
@@user-ec6ow2cx7c simpendi Kisofa. Ana ujinga mwingi.
Naimm ata sijui wangapi leo 😂😂😂😂
Huyo chendu atakua mchawi huy
Chumvinyingi na kisofa kitawalambaa ohoooo😁😁😁
😂😂😂chendu naye kumbe na huku mchawi jumlisha gaid😅😅😅😅
Safi sana na mm nawait like zangu ama nirushe mawe😂😂
Jamani naombeni like kidogo kwajili ya chumvinyingi gang jamani
Mbna mnarudia rudia hii ya jana
Kwani iiii si tumeangalia Jana?
Waliifuta Kuna hitilafu ilijitikeza
Wa kwanza leo nipeni likes zangu jamani
😂😂😂mnawahi kweli
Pikipiki imeenda na mke ana chachanduliwa kule
But so mbaya chuma zipoo boraa TU
Ashapataa kibunda
😂😂
Kwan nyau hayupo jaman mbon simuone geita alikua hayupo mmerudi dar pia hayupo
@@user-il2ch9mw5v hawakuwa geita walikuwa kwetu kahama✍️
Hongeren San Kwa Kaz nzur🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Wakwaza
❤❤❤
Mmeirudia
Chachandu mbona akuna mwendelezo kipande channe ndomwisho au
Umetixha
Musa kakua
Chumvinyingi bingwa wa kuigiza filamu.. Hakika mtu na apewe kimfaacho.. Tunzo bora ya mwaka binafsi nampa chumvi.
Shikirieni uzi uo huo na hongera kwa kazi nzuri.
Nakuru, Kenya.
Chumvi tumemisi mke wa kisofa wa kwenye kisiki Yuko wap jamn yule dada Huwa ananifurahishaa😂😂😂😂 yaani angekuwa mke wa kisofa Tena wangependeza na yule mke mkubwa wa mkuza na alivyo mpole daaah
Tumewamis Sanaa jamn
Mi naomba kuuliza jaman huyo mkaka aliyeokota mtoto huko kichwani ni minyoo ya fasheni au ni mapunye maana nilitaka kucheka nikasema maradhi hayachekwi ngoja niulize kwanza
Fasheni😂😂
@@rizikimkisi9921 wweeeee kumbe fasheni ngojabasi nicheke🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 duu
@@user-wy7zl2vr6k 👍🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂au ndio mtindo wa mapakupaku ya kuduwaza😅
Well done Musa kaka ndo anavyotakiw kuwa shupavu na mkato wako wa nywele uwa lako 🎉
Hiyo elfu kumi mmepewa na Chendu hapa Kenya nafanya shopping ya mwezi mzima. Alafu Chendu anawadanganya atawapa ajira? Ndio mwaenda ingia mashakani sasa. Nawaonea huruma. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪.
🎉🎉🎉
Jamani mbona yule dada wa kwenye kisiki mke wa kisofa hayupo jamn😢😢 yaan hapo wangecheza na kisofa tena ingekuwa unyama sana chumvi mlete bhna
Kali sana
Chumvi nyingi UNAINGIA CHOONI KUJISAIDIA sasa 😂😂😂😂
Mwanangu chendu kama kawaida yake ajapoa🙌😂
Chumvi gang ni🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂 jamaa kapeleka mkongo kwa mteja kumbe anaenda kukaziwa mke wake
Daah ila chendu kwa uchawi kila move yeye mchawi tuu😂😂😂😂
Dahhh England kafuzu euro ahhhhhh sijapenda .......pigeni kaziiiiiiiii
Shunda Shunda jaman wew kak
Huu mchezo mara hii chumvi sio mzr naona tafrani to sijaona mchezo.mby kama huu kaka chumvi
Chumvi nyingi gang na mageng yake 💪🏻👏💪🏻
Chumvinyingi huko kwa kilonga usiende sio mwema huyo
Chumv nyingi apaaaaaaaah😂😂😂Umerogwa weeee❤❤🎉
Huyu chendu kuna siku ataita mizimu live 😂😂😂😂😂
Mtot karud kwa mama ❤
Shasha 😂😂pole chendu alikua n njaaa 😅😅
Chendu badili uhusika unachosha xaxa 😅😅😅
Sijamuona. Pita wetu
Kaz nzur sana 🔥
Chendu wewe mbonaa unakua muzoefu hayo msmbo
😂😂😂 chumvi hii umecheza safi
Ila chendu utapigwa mawe😂😂😂
Huy chendu kama AMISHIPUL aisee anamchezo 🎉🎉🎉
Karibuni kfc tuchachandue mdomo😂😂
We chendu usije kuwa mchawi kweli maan ni hatar
Aya wa fifty 😂😂
Duuh me nilijua uyu Mzee umu sio mchawa kumbe mambo yake ndo Yale yale
Kisofaaah in da house
Kweli damu ya mtu haipotei
Sasha anajitahid sana huyo dada namuona mbali sana
Jaman m wakwanza wap like Zang
Mtoto kaokotwa na mjomba yake Alhamdulillah
Lai zimo tau 😢😢 chendu noma🎉😂😂😂
Zungu umbea umezidi😂😂😂😂😂😂
Kisofa mono eye 💪💪💪
Said mzuri kaacha kuimba?
Hii mbona nikama ile part 3 vp si hii ilioneshwq jana
mdogo mdogo nafatilia move taratimbu2 tutafika
Usijar mwanetu
Kazi nzuri
Shundaaa 😂😂❤
Toka lini mambo ya bastora michezo yako kaka mchezo mbya huuuu
Oyo
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮
Huo ni uongo huo😂😂😂😂😂
Kumbe CHENDU huja acha uchawi
Nice one
Asant kaka yake
Sashaaaaaaaaaaaaa💕💕💕💕
Ila chendu me sijw kama mzima 😅
❤❤nice
Watu wa Burundiii mpoo ?
🎉🎉🎉❤
Nyau yuko wap
Njoo nini sasa?
😂😂😂
Chendu jaman
Followers 🎉🎉
❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂 chunv
Jmn nyau yuko wapi
😂😂😂😂😂
Scene za chendu 🙄
Chendu.hiyo.nafasi.unaipenda.sanaaa
Musa kweli ushaanza kukua big up sana
❤❤❤
❤❤❤