CHACHANDU - EPISODE 04 | STARRING CHUMVINYINGI, MC MACHETE & CHENDU

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 129

  • @chumvinyingigang
    @chumvinyingigang  17 дней назад +42

    Habari Mashabiki wetu niwaombe radhi kwa kufutwa kwa hii episode kuna tatizo kidogo lilitokea tumeshalitatua na kwa wale ambao hawakubahatika kuipata tumeirudisha.
    Lakini Muendelezo wa Episode 5 upo njiani.

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 17 дней назад +8

    Cumvinyingi umecanganyikiwa kunywanganywa pikipiki au pole sna turudiye marambilimbili😅

  • @MusyimiKyalo
    @MusyimiKyalo 17 дней назад +7

    chumvinyingi wanichekesha kweli n mm kutoka Kenya 🇰🇪,

  • @caristakifyasi
    @caristakifyasi 17 дней назад +9

    Mbona imerudiwa ya jana

  • @missyoung3386
    @missyoung3386 17 дней назад +11

    Wakwanza mm 😂😂 like zangu jmn

  • @BUTILANJIA
    @BUTILANJIA 17 дней назад +7

    tuna irudia tena Kama hatujaiona😂😂😂 vile yaan shwaaa

  • @Salimhamissi5035
    @Salimhamissi5035 17 дней назад +8

    Aaaaah chumvi mbona wenngeh

  • @PatientPacifique-tn7nz
    @PatientPacifique-tn7nz 17 дней назад +9

    Chendu ume fanya vibaya ku cheji mavazi

  • @user-ec6ow2cx7c
    @user-ec6ow2cx7c 17 дней назад +6

    Sasa movie imekua tamu sanaaa kisofa na chendu wakiwa inapamba mmebakisha bibiye kisofa na yule mukusa sasa hapo movie yetu itakua moto moto msizau mkorosai pokea maua yenyu 🎉🎉🎉❤❤

  • @HusseinMsangazi9
    @HusseinMsangazi9 17 дней назад +7

    Naimm ata sijui wangapi leo 😂😂😂😂

  • @user-il2ch9mw5v
    @user-il2ch9mw5v 17 дней назад +6

    Huyo chendu atakua mchawi huy

  • @Tunu_og
    @Tunu_og 17 дней назад +3

    Chumvinyingi na kisofa kitawalambaa ohoooo😁😁😁

  • @joojjooj7204
    @joojjooj7204 17 дней назад +5

    😂😂😂chendu naye kumbe na huku mchawi jumlisha gaid😅😅😅😅

  • @abubakarrahul9079
    @abubakarrahul9079 17 дней назад +12

    Safi sana na mm nawait like zangu ama nirushe mawe😂😂

  • @user-zu8yr7mh4h
    @user-zu8yr7mh4h 17 дней назад +7

    Jamani naombeni like kidogo kwajili ya chumvinyingi gang jamani

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 17 дней назад +3

    Mbna mnarudia rudia hii ya jana

  • @daxpcomandomz3450
    @daxpcomandomz3450 17 дней назад +8

    Kwani iiii si tumeangalia Jana?

  • @allybaba03
    @allybaba03 17 дней назад +11

    Wa kwanza leo nipeni likes zangu jamani

  • @TightnotChome-fn2jy
    @TightnotChome-fn2jy 17 дней назад +4

    😂😂😂mnawahi kweli

  • @Seranto861
    @Seranto861 17 дней назад +10

    Pikipiki imeenda na mke ana chachanduliwa kule

    • @JohnGodson-qs1wf
      @JohnGodson-qs1wf 16 дней назад

      But so mbaya chuma zipoo boraa TU
      Ashapataa kibunda
      😂😂

  • @user-il2ch9mw5v
    @user-il2ch9mw5v 17 дней назад +4

    Kwan nyau hayupo jaman mbon simuone geita alikua hayupo mmerudi dar pia hayupo

    • @BUTILANJIA
      @BUTILANJIA 17 дней назад

      @@user-il2ch9mw5v hawakuwa geita walikuwa kwetu kahama✍️

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 17 дней назад +7

    Hongeren San Kwa Kaz nzur🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @OmaryJuhud
    @OmaryJuhud 17 дней назад +7

    Wakwaza

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 17 дней назад +5

    ❤❤❤

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 17 дней назад +4

    Mmeirudia

  • @DaymonMathias
    @DaymonMathias 17 дней назад +4

    Chachandu mbona akuna mwendelezo kipande channe ndomwisho au

  • @user-vq2sv9hc4q
    @user-vq2sv9hc4q 17 дней назад +4

    Umetixha

  • @user-bt1vl8nu5n
    @user-bt1vl8nu5n 17 дней назад +4

    Musa kakua

  • @KongoweaHames
    @KongoweaHames 16 дней назад +2

    Chumvinyingi bingwa wa kuigiza filamu.. Hakika mtu na apewe kimfaacho.. Tunzo bora ya mwaka binafsi nampa chumvi.
    Shikirieni uzi uo huo na hongera kwa kazi nzuri.
    Nakuru, Kenya.

  • @glorymashili9221
    @glorymashili9221 17 дней назад +4

    Chumvi tumemisi mke wa kisofa wa kwenye kisiki Yuko wap jamn yule dada Huwa ananifurahishaa😂😂😂😂 yaani angekuwa mke wa kisofa Tena wangependeza na yule mke mkubwa wa mkuza na alivyo mpole daaah
    Tumewamis Sanaa jamn

  • @user-wy7zl2vr6k
    @user-wy7zl2vr6k 17 дней назад +7

    Mi naomba kuuliza jaman huyo mkaka aliyeokota mtoto huko kichwani ni minyoo ya fasheni au ni mapunye maana nilitaka kucheka nikasema maradhi hayachekwi ngoja niulize kwanza

    • @rizikimkisi9921
      @rizikimkisi9921 17 дней назад +2

      Fasheni😂😂

    • @user-wy7zl2vr6k
      @user-wy7zl2vr6k 17 дней назад +2

      @@rizikimkisi9921 wweeeee kumbe fasheni ngojabasi nicheke🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 duu

    • @rizikimkisi9921
      @rizikimkisi9921 17 дней назад

      @@user-wy7zl2vr6k 👍🤣

    • @KongoweaHames
      @KongoweaHames 16 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂au ndio mtindo wa mapakupaku ya kuduwaza😅

    • @ZakiaSalum
      @ZakiaSalum 15 дней назад

      Well done Musa kaka ndo anavyotakiw kuwa shupavu na mkato wako wa nywele uwa lako 🎉

  • @sweetbabymwangi8373
    @sweetbabymwangi8373 17 дней назад +2

    Hiyo elfu kumi mmepewa na Chendu hapa Kenya nafanya shopping ya mwezi mzima. Alafu Chendu anawadanganya atawapa ajira? Ndio mwaenda ingia mashakani sasa. Nawaonea huruma. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪.

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo 17 дней назад +4

    🎉🎉🎉

  • @EvaDeus-bp1fb
    @EvaDeus-bp1fb 17 дней назад +2

    Jamani mbona yule dada wa kwenye kisiki mke wa kisofa hayupo jamn😢😢 yaan hapo wangecheza na kisofa tena ingekuwa unyama sana chumvi mlete bhna

  • @IssaDjumainne-go3pf
    @IssaDjumainne-go3pf 17 дней назад +4

    Kali sana

  • @magariabdallah8066
    @magariabdallah8066 17 дней назад +3

    Chumvi nyingi UNAINGIA CHOONI KUJISAIDIA sasa 😂😂😂😂

  • @ixha706
    @ixha706 17 дней назад +3

    Mwanangu chendu kama kawaida yake ajapoa🙌😂
    Chumvi gang ni🔥🔥🔥🔥

  • @denisimarteen1509
    @denisimarteen1509 17 дней назад +3

    😂😂😂😂 jamaa kapeleka mkongo kwa mteja kumbe anaenda kukaziwa mke wake

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz 16 дней назад +2

    Daah ila chendu kwa uchawi kila move yeye mchawi tuu😂😂😂😂

  • @NacirNaa
    @NacirNaa 17 дней назад +2

    Dahhh England kafuzu euro ahhhhhh sijapenda .......pigeni kaziiiiiiiii

  • @MaimunaDea
    @MaimunaDea 17 дней назад +4

    Shunda Shunda jaman wew kak

  • @khatibsalum7820
    @khatibsalum7820 15 дней назад

    Huu mchezo mara hii chumvi sio mzr naona tafrani to sijaona mchezo.mby kama huu kaka chumvi

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz 16 дней назад +2

    Chumvi nyingi gang na mageng yake 💪🏻👏💪🏻

  • @user-fw2jk3mx7g
    @user-fw2jk3mx7g 17 дней назад +3

    Chumvinyingi huko kwa kilonga usiende sio mwema huyo

  • @RayMohamed-xl6yq
    @RayMohamed-xl6yq 17 дней назад +2

    Chumv nyingi apaaaaaaaah😂😂😂Umerogwa weeee❤❤🎉

  • @NshimirimanaMustafa
    @NshimirimanaMustafa 16 дней назад +1

    Huyu chendu kuna siku ataita mizimu live 😂😂😂😂😂

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 16 дней назад +2

    Mtot karud kwa mama ❤

  • @PuritySalama-yv6to
    @PuritySalama-yv6to 17 дней назад +2

    Shasha 😂😂pole chendu alikua n njaaa 😅😅

  • @muddytv1513
    @muddytv1513 17 дней назад +4

    Chendu badili uhusika unachosha xaxa 😅😅😅

  • @shukumusicofficial6080
    @shukumusicofficial6080 17 дней назад +2

    Sijamuona. Pita wetu

  • @user-st3wo7qi2v
    @user-st3wo7qi2v 17 дней назад +2

    Kaz nzur sana 🔥

  • @PuritySalama-yv6to
    @PuritySalama-yv6to 17 дней назад +2

    Chendu wewe mbonaa unakua muzoefu hayo msmbo

  • @user-gf4cb9uu1p
    @user-gf4cb9uu1p 17 дней назад +1

    😂😂😂 chumvi hii umecheza safi

  • @tausifautini407
    @tausifautini407 17 дней назад +2

    Ila chendu utapigwa mawe😂😂😂

  • @MarKarim-km2yh
    @MarKarim-km2yh 13 дней назад

    Huy chendu kama AMISHIPUL aisee anamchezo 🎉🎉🎉

  • @modestamodesta3940
    @modestamodesta3940 17 дней назад +2

    Karibuni kfc tuchachandue mdomo😂😂

  • @ZakiaSalum
    @ZakiaSalum 15 дней назад

    We chendu usije kuwa mchawi kweli maan ni hatar

  • @ZenaHussein-wj6bj
    @ZenaHussein-wj6bj 17 дней назад +3

    Aya wa fifty 😂😂

  • @PhilmonMenrady-ds3fk
    @PhilmonMenrady-ds3fk 16 дней назад

    Duuh me nilijua uyu Mzee umu sio mchawa kumbe mambo yake ndo Yale yale

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 17 дней назад +2

    Kisofaaah in da house

  • @AbediHk-jm5ki
    @AbediHk-jm5ki 17 дней назад +2

    Kweli damu ya mtu haipotei

  • @Silvernite_255
    @Silvernite_255 12 дней назад

    Sasha anajitahid sana huyo dada namuona mbali sana

  • @MilanBuza
    @MilanBuza 17 дней назад +11

    Jaman m wakwanza wap like Zang

  • @ZakiaSalum
    @ZakiaSalum 15 дней назад

    Mtoto kaokotwa na mjomba yake Alhamdulillah

  • @Balvine-302
    @Balvine-302 6 дней назад

    Lai zimo tau 😢😢 chendu noma🎉😂😂😂

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j 16 дней назад +1

    Zungu umbea umezidi😂😂😂😂😂😂

  • @ungengethicomedy
    @ungengethicomedy 17 дней назад +2

    Kisofa mono eye 💪💪💪

  • @matugarecords
    @matugarecords 17 дней назад +2

    Said mzuri kaacha kuimba?

  • @user-mn4yb6fn7y
    @user-mn4yb6fn7y 17 дней назад +3

    Hii mbona nikama ile part 3 vp si hii ilioneshwq jana

  • @user-vt5ug9uu7y
    @user-vt5ug9uu7y 12 дней назад

    mdogo mdogo nafatilia move taratimbu2 tutafika

  • @user-jn6ld1vj5m
    @user-jn6ld1vj5m 17 дней назад +2

    Usijar mwanetu

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he 11 дней назад

    Kazi nzuri

  • @PuritySalama-yv6to
    @PuritySalama-yv6to 17 дней назад +2

    Shundaaa 😂😂❤

  • @khatibsalum7820
    @khatibsalum7820 15 дней назад

    Toka lini mambo ya bastora michezo yako kaka mchezo mbya huuuu

  • @HhBbh-tn5uh
    @HhBbh-tn5uh 17 дней назад +4

    Oyo

  • @Bestudio-2
    @Bestudio-2 17 дней назад +3

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-jn9br9kf5y
    @user-jn9br9kf5y 17 дней назад +4

    🙏🙏🙏❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮

  • @umratyabdallah
    @umratyabdallah 17 дней назад

    Huo ni uongo huo😂😂😂😂😂

  • @CathubethKimaro
    @CathubethKimaro 15 дней назад

    Kumbe CHENDU huja acha uchawi

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 17 дней назад

    Nice one

  • @Aishk71
    @Aishk71 17 дней назад +1

    Asant kaka yake

  • @HamisRajabu-uu6kk
    @HamisRajabu-uu6kk 13 дней назад

    Sashaaaaaaaaaaaaa💕💕💕💕

  • @NajmaSeif-m5t
    @NajmaSeif-m5t 13 дней назад

    Ila chendu me sijw kama mzima 😅

  • @DJGIDS254
    @DJGIDS254 17 дней назад

    ❤❤nice

  • @IshakaPictures
    @IshakaPictures 17 дней назад +1

    Watu wa Burundiii mpoo ?

  • @user-vh7gw3we5z
    @user-vh7gw3we5z 17 дней назад +1

    🎉🎉🎉❤

  • @user-mg2nu5sr9b
    @user-mg2nu5sr9b 17 дней назад

    Nyau yuko wap

  • @BijouxBulose
    @BijouxBulose 17 дней назад +1

    Njoo nini sasa?

  • @HhBbh-tn5uh
    @HhBbh-tn5uh 17 дней назад +3

    😂😂😂

  • @RhodaJaphet
    @RhodaJaphet 17 дней назад +3

    Chendu jaman

  • @GloireKacelewa
    @GloireKacelewa 17 дней назад

    Followers 🎉🎉

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 17 дней назад

    ❤❤❤❤

  • @AbelFrancis-ww7cb
    @AbelFrancis-ww7cb 17 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂 chunv

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp 16 дней назад

    Jmn nyau yuko wapi

  • @FatumaselemaniSelemani
    @FatumaselemaniSelemani 9 дней назад

    😂😂😂😂😂

  • @africanbeatsound
    @africanbeatsound 17 дней назад

    Scene za chendu 🙄

  • @tanzanianhappy60
    @tanzanianhappy60 17 дней назад +4

    Chendu.hiyo.nafasi.unaipenda.sanaaa

  • @user-mp9zu7vc8b
    @user-mp9zu7vc8b 16 дней назад

    Musa kweli ushaanza kukua big up sana

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 17 дней назад +4

    ❤❤❤

  • @gayanestory4357
    @gayanestory4357 17 дней назад +1

    ❤❤❤