🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • TAARIFA MPYA USIKU HUU BALAA! MENEJA WA KIBU APINDUA MEZA, AMESAINI YANGA? ISIKE AFUNGUKA MAZITO UMEONA?

Комментарии • 33

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 Месяц назад +3

    Acha kupiga stori za Kichwanaji...haww Ubwela walintukana sana huyo dogo ....walichamga pesa za kusmsaidia Fei kulioa deni., walmrubuni Morrison ....kwa hiyo watulie tu maana chokochoko waliizitengeneza wenyewe na ngoja ziwatafune

  • @ChristopherAgrey
    @ChristopherAgrey Месяц назад

    Nabado tutawanyoosha sana kamauliuwa kwaupanga naww utauwawa kwaupanga tulien sindano iingie ambae alikuwa anaweza mashambuliz nimmoja tu apo Simba mliopo nimidomo tu nipop tu ndokifalu

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza Месяц назад

    Kama tatizo la fei mlimpigania na akafanikiwa basi kibu mmpiganie

  • @AloyceSiwingwa
    @AloyceSiwingwa Месяц назад

    Kibu alilipwa deni lake la mkataba wa miaka miwili ya nyuma,kibu hajasaini mkataba mpya , ndo maana viongozi wanajikanyaga, siwatuonyeshe mkataba unaopigiwa kelele,au akaunti waliolipia?

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza Месяц назад

    Wew michambuzi mjinga Sana kwa fei mbona hamkumsema hivyo Bali mliona yanga wabaya acha udunduka

  • @jamaldeenmakenga
    @jamaldeenmakenga Месяц назад

    Bado hamjasema

  • @RamadhaniChediel
    @RamadhaniChediel Месяц назад +1

    Hayo ni mawazo Yako, mm naamini kapombe, shabalala na Ngoma wanatosha kabsa kuwaambukiza hawa wachezaji wapya wa Simba uzoefu na kujiamini.Wachezaji wazuri Wala hawahtaji muda mrf kuingia kwenye mfumo wa kocha! Let's wait and see.....

  • @Saidaabdu
    @Saidaabdu Месяц назад

    Aende zake, kwani kibu kuondoka Simba, Simba inaisha,Simba ipo pale pale tunaso mbele Simba 🔥🔥🔥🔥🔥💯 moto

  • @Jumasadala-c7y
    @Jumasadala-c7y Месяц назад

    Uzaifu wa tff ire kisema busara itumike duniani hii hakuna ipo TSNZANIA 2

  • @jamaldeenmakenga
    @jamaldeenmakenga Месяц назад

    Meneja yupo wapi

  • @ChristopherAgrey
    @ChristopherAgrey Месяц назад

    Tutawatafuna mpaka mseme malipo dunian sombingun

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania Месяц назад

    Njoo yanga kwawatu wenye pesa zao usafiri wa angani kibu siyo basi sisi yanga wareti nene karibu baba

  • @henericolinda
    @henericolinda Месяц назад

    Kibu kalibu sana yanga usitumikie timu uchwara

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 Месяц назад +1

    Fyokofyoko zènu yqkirokea simba mnafyukunyua yanga mnabana nanii wndeleeni mtapata mnachokitaka

  • @rweyemamurweyongeza4879
    @rweyemamurweyongeza4879 Месяц назад

    Mbona kwa Fei hatukuwaona mnatetea huo uovu. Mwacheni Kib ande hana akale maisha anakojua

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад

    Mnakosea mnapailenga yanga pekee. Ligi ya Tanzania imekuwa sana misimu hii. Kila timu inapambana.

  • @mtumwakhamisi
    @mtumwakhamisi Месяц назад

    Mbona utitaja yanga tuuu bila ya kuzitaja klab zingine za ligi kuu

  • @michaeljames403
    @michaeljames403 Месяц назад

    Majini ya yanga yanawatesa. Mlishangilia kwa FEI tulieni liwapate

  • @peterkibiriti5601
    @peterkibiriti5601 Месяц назад

    Kwenu inauma

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад

    Yanga hawana mpango na mchezaji wa golli moja, nyie hayo ni ya kwenu na mpambane wenyewe kwa wenyewe.

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Месяц назад

    sasa hakuna utani wajadi simba na yanga leo kunachuki za yanga na simba wivu wa mafanikio

  • @MaikoIddy
    @MaikoIddy Месяц назад

    Unaongea utumbo sasa kibu na zingel wap na wap

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад

    Upo sahihi kabisa huyu anaenda Yanga amedanganywa. Wala cy Norwai

  • @rosenyoni6426
    @rosenyoni6426 Месяц назад

    Aende tu hata ukoyanga hatakuja kutuujumu clab

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania Месяц назад

    Makolo mpaka mseme mwakahuu mpaka mtapike nyongo

  • @ramadhaniiddi9930
    @ramadhaniiddi9930 Месяц назад

    Kibu unaonabkafanya kosa la fei hamkuliona.

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Месяц назад

    yanga hii ni timu ya wababe Putin kiduku

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Месяц назад

    leo hii mnakiona simba wajinga walifurahia utovu kwa fei leo simba mwacheni huu niujinga leo tuache huu utaratibu uendelee na tuwachangie wachezaji watovu wa ndhamu mlizani litakua kwa yanga tu

  • @rosenyoni6426
    @rosenyoni6426 Месяц назад

    Haende zaketu ukoyanga hataujumu mechi

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Месяц назад

    Kumbe ww mchambuzi ni mshabiki

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Месяц назад

    sasa hakuna utani wajadi simba na yanga leo kunachuki za yanga na simba wivu wa mafanikio