Jamaa aliyekatwa sehemu za siri huko Embu azungumza
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Familia ya mwanaume aliyekatwa kwa kisu na mfanyibiashara wa nyama kule Kutus kaunti ya Kirinyaga sasa inadai haki baada ya mshukiwa kutoroka. Jamaa huyo ambaye angali anapokea matibabu katika hospitali ya Kerugoya anasimulia jinsi deni ya ksh 50 nusura likate uhai wake. haya ni huku wakazi wa aneo hilo wakiharibu eneo la biashara la mshukiwa wakidai haki. na kama anavyoripoti mwanahabari wetu Chrispine Otieno mshukiwa huyo angali mafichoni.
Hop pia huyu jamaa atachangiwe venye wamama wengine wanachangiwa,, huyu mwanaume abadilishiwe maisha pia🤩 justice for this man
Usikue hivo Sylvia the guy is in pains 😂
Hapo nakusupport, changieni huyu haki, wachaa tuteetee boy child pia
@@karutyericscomedies2783 tukimchangia atapona 🙈
Boy child is on his own.
Huyo muhuni ashikwe, apelekwo kiwanjani akatweko sehemus zakes za nyetis ziwekwe kwa ngunia na apewe kichapo cha ubwa koko.
Sijawaiona unyama kama huu..lakini ninaimani ..anaezajificha polic..lakini haezi jificha mungu
Heartless 😢
Afadhali uachane na mtu kabisa kuliko kumfanyia unyama hivyo😢
Hai 😢😢sasa nini hii...mbona sasa
Pole baba , pole 😢
Mbona police wanafanya ivyo watangolewa makende pia 😅😅😅😅😅
Kwani watu wamekua wanyama kiasi gani? Juzi tumeona kwa news mtu ameua mwenzake kwa madhabau..Leo 50bob unakata ..mwenzako sehemu za siri..je ukifunguliwa mashtaka ..na koti iamue adhabu ni pia wewe ukatwe yako utasikiaje? Usimtende mwenzako jambo ambalo ukitwenda ..utaona sio Aki...Pole sana ndugu..nakutakia uponyaji wa haraka.
Shiling hamsini😢😢😢
Take care of yourself and people around you.lets love each other... devils at work let's pray alot
Jamani hizi ni nn Zina fanyika duniani watu wamefikishana hapa
for 50 bob, unakata transformer ya mwanaume kweli, watu wamerogwa ama nini?
Ss husamehe maelfu imagine
Kutus ni Kirinyaga na sio Embu.
Quick recovery bro
Thanks God they saved him and his testis 😮😮😮..so sorry and may the attacker be arrested
But mbona uende nyama na utoroke. Do something when you are ready to face the repercussions
it's in kirinyaga not embu
💔💔💔😭😭😭😭
😬...atleast he's still alive....the perpetrator isnt a normal person...
😭😭😭😭😭😣😣😣💃💃💃💃💃
💔💔😭😭😭