MASHANGINGI YA VIONGOZI GUMZO BUNGENI | MBUNGE ATAKA MAJIBU KWA WAZIRI MWAGULU NA PRO. MKUMBO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 23

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 3 месяца назад

    Mawazo ni mazuri mno.Ila hayupo wa kukusikiliza acha tu kutekeleza.

  • @JohanessMarwa
    @JohanessMarwa 3 месяца назад

    Kama mawazo hayo yangekua yanafanyiwa kazi nafikili tungesevu pesa nyingi sana.

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga7412 3 месяца назад +1

    Hongera mama nimekupenda bule utafika mbari ktk uongozi wako.

  • @michaelmwamanda8418
    @michaelmwamanda8418 3 месяца назад

    Nahili nahisi IPO siku watu watachoka kwasababu watu tulianza kulalamikia hili zamani kidogo lakini bado halitiliwi maanani wapenda kufurahishana wao kwa wao kanakwmaba ndio wanaofanya KAZI kubwa kuliko madoctor kuliko waalimu kuliko wakulima nk IPO siku tutakuwa kama Kenya hapa tz munatabia yakujisahau mukishafika levo hizo

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 3 месяца назад

    Hongera Dada wewe ni mtu wa mwanzo kuona hilo muombaji anatumia kuliko mkopeshaji hizo ndio akili zetu waafrica sio bongo tu Dada hao unaowaambia hawakuelewi kabisa wanachojua hapo ni kufikiri wapi nikakope kesho

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 3 месяца назад

    Hongera Dada wewe ni mtu wa mwanzo kuona hilo muombaji anatumia kuliko mkopeshaji hizo ndio akili zetu waafrica sio bongo tu Dada hao unaowaambia hawakuelewi kabisa wanachojua hapo ni kufikiri wapi nikakope kesho

  • @AnnoyedDove-oo3kk
    @AnnoyedDove-oo3kk 3 месяца назад

    Huku kwetu leteni tu Toyota Probox 😂😂😂

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 2 месяца назад

    Serikali ya majizi na malarushwaaa

  • @jasonwatz7457
    @jasonwatz7457 3 месяца назад

    Hii ni concern, wanawaza kuspend tu no plan no nini

  • @bigmachinempower4680
    @bigmachinempower4680 3 месяца назад +1

    That is tanzania

  • @michaelmwamanda8418
    @michaelmwamanda8418 3 месяца назад

    Ubalikiwe sana mh

  • @trendings1293
    @trendings1293 3 месяца назад

    Ameongea kama watu kumi

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 3 месяца назад

    Kongole lako mbunge

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 2 месяца назад

    Tunakuelewa sanaa dada

  • @liberatusgaspary7207
    @liberatusgaspary7207 3 месяца назад

    UNAFAA KUWA MBUNGE

  • @raishamedical2837
    @raishamedical2837 3 месяца назад +1

    Wala keki ya nchi hawawezi kusaidia generation Z ya nchi hii

  • @melkioryassenga2265
    @melkioryassenga2265 3 месяца назад

    Umefanya vzr, natamani wote wangekuwa na mawazo yanayoshabihiana na ya kwako

  • @msanabukere7835
    @msanabukere7835 3 месяца назад

    Wanakopa hela wanatumia vibaya hela ya mkopo

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 3 месяца назад

    Aah jamani billion 500 magari gani hayo😂

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 3 месяца назад

    Akili hakunaaaaaa!

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 3 месяца назад

    Nimekupenda bureeeeee daaa

  • @lisokimecholobi9451
    @lisokimecholobi9451 3 месяца назад

    Upo sahihi