Nahili nahisi IPO siku watu watachoka kwasababu watu tulianza kulalamikia hili zamani kidogo lakini bado halitiliwi maanani wapenda kufurahishana wao kwa wao kanakwmaba ndio wanaofanya KAZI kubwa kuliko madoctor kuliko waalimu kuliko wakulima nk IPO siku tutakuwa kama Kenya hapa tz munatabia yakujisahau mukishafika levo hizo
Hongera Dada wewe ni mtu wa mwanzo kuona hilo muombaji anatumia kuliko mkopeshaji hizo ndio akili zetu waafrica sio bongo tu Dada hao unaowaambia hawakuelewi kabisa wanachojua hapo ni kufikiri wapi nikakope kesho
Hongera Dada wewe ni mtu wa mwanzo kuona hilo muombaji anatumia kuliko mkopeshaji hizo ndio akili zetu waafrica sio bongo tu Dada hao unaowaambia hawakuelewi kabisa wanachojua hapo ni kufikiri wapi nikakope kesho
Mawazo ni mazuri mno.Ila hayupo wa kukusikiliza acha tu kutekeleza.
Kama mawazo hayo yangekua yanafanyiwa kazi nafikili tungesevu pesa nyingi sana.
Hongera mama nimekupenda bule utafika mbari ktk uongozi wako.
Nahili nahisi IPO siku watu watachoka kwasababu watu tulianza kulalamikia hili zamani kidogo lakini bado halitiliwi maanani wapenda kufurahishana wao kwa wao kanakwmaba ndio wanaofanya KAZI kubwa kuliko madoctor kuliko waalimu kuliko wakulima nk IPO siku tutakuwa kama Kenya hapa tz munatabia yakujisahau mukishafika levo hizo
Hongera Dada wewe ni mtu wa mwanzo kuona hilo muombaji anatumia kuliko mkopeshaji hizo ndio akili zetu waafrica sio bongo tu Dada hao unaowaambia hawakuelewi kabisa wanachojua hapo ni kufikiri wapi nikakope kesho
Hongera Dada wewe ni mtu wa mwanzo kuona hilo muombaji anatumia kuliko mkopeshaji hizo ndio akili zetu waafrica sio bongo tu Dada hao unaowaambia hawakuelewi kabisa wanachojua hapo ni kufikiri wapi nikakope kesho
Huku kwetu leteni tu Toyota Probox 😂😂😂
Serikali ya majizi na malarushwaaa
Hii ni concern, wanawaza kuspend tu no plan no nini
That is tanzania
Ubalikiwe sana mh
Ameongea kama watu kumi
Kongole lako mbunge
Tunakuelewa sanaa dada
UNAFAA KUWA MBUNGE
Wala keki ya nchi hawawezi kusaidia generation Z ya nchi hii
Umefanya vzr, natamani wote wangekuwa na mawazo yanayoshabihiana na ya kwako
Wanakopa hela wanatumia vibaya hela ya mkopo
Aah jamani billion 500 magari gani hayo😂
Akili hakunaaaaaa!
Nimekupenda bureeeeee daaa
Upo sahihi