Tokea niangalie kwa mara ya kwanza wimbo wa Kirumba SDA 3ABN...... Kiukweli nilivutiwa sana na style yenu ya uimbaji..... Kiukweli nimekuwa mfuasi na mfuatiliaji wenu mkubwa sana. Mungu aibarik sana kazi yetu.... Utaniulizie wa nyimbo zenu hunibari sana. Mungu azidi kuibariki kwaya hii ya Kirumba
Tunashukuru kwa swali lako, Tafadhali fuatilia nyimbo zote za SII zilizokwishatoka na Utazame picha pia Usikilize unaweza pata Jibu zuri kwa swali lako. Barikiwa.
May God bless your ministry touching souls bringing more to Christ day by day through your songs . May God bless you and keep you to continue with the good works
🇺🇦❤️🙏дорогие братья и сестри Благодарим вас за прекрасное пение и просим вас молитесь за Україну Будте благословени и мир Божий с вами
Am proud with all these songs they're soul uplifting thanks my brendreth.
Ukweli mtupu ni Yesu Tu anayeweza kutuhurumia bila kutusimanga
Introduction part is really touching. ...the song gives us hope . God bless your voices as you bring more to Christ
Amen brethren, be blessed
Tokea niangalie kwa mara ya kwanza wimbo wa Kirumba SDA 3ABN...... Kiukweli nilivutiwa sana na style yenu ya uimbaji..... Kiukweli nimekuwa mfuasi na mfuatiliaji wenu mkubwa sana. Mungu aibarik sana kazi yetu.... Utaniulizie wa nyimbo zenu hunibari sana. Mungu azidi kuibariki kwaya hii ya Kirumba
Amen ndugu, Barikiwa sana. Karibu
Bwana awabariki kwa habari njema kupitia nyimbo na mahubiri na kuutambulisha uhalisia wa wimbo na maombi
Ombi langu Bwana usinipite unusikie
Am listening from Nigeria in a place called Choba in rivers state.
Picha yenu ya juu imekuza watu wawili kuliko wengine.
What does it mean??,, Are they're most important than others??
Only to God be Glory.
Tunashukuru kwa swali lako, Tafadhali fuatilia nyimbo zote za SII zilizokwishatoka na Utazame picha pia Usikilize unaweza pata Jibu zuri kwa swali lako. Barikiwa.
A powerful song in such a time,to the masses.... no doubts theirs hope in Christ.
Usinipite bwana Kuna wagonjwa.yatima,wajane,vipofu,bwana tazama shetani anavyotuseta bwana usinipite usimpite yeyote.amina
Hakika ninabarikiwa sana Kwa nyimbo hizi na uimbaji wa mfumo huu.Roho Mtakatifu anashuka kupitia nyimbo hizi.
Amen
asandi sana mungu awa pariki wote
Nabarikiwa Sanaa na uimbaji wa namna hiii Bwana yesu awabariki
Nabarikiwa sana na mahubiri ya mchungaji Joshua pamoja nyimbo za kwaya.
May God bless your ministry touching souls bringing more to Christ day by day through your songs . May God bless you and keep you to continue with the good works
Amen Elizabeth, be blessed
Tunazidi kumtukuza Mungu kwa nyimbo nzuri (using usinipitie mwokozi
Na Mimi usinipite Mwokozi
😭😭
Usinipite Mwokozi. Naam, Usinipite Mwokozi
This is powerful stuff. The speech is heart touching 😭
Be blessed Wakili.
❤❤usipite unisikie
Amina
Aminaaaa...ombi maalumu hili
Amina
Huruma ya Yesu ❤
Bwana awabariki wanakirumba...
AMINA
Amen
Am so blessed by the songs..Very Spiritual and Powerful🙏🙌
Nimebarkiwa❤
To God be the Glory Forever
Usinipite Mwokozi, unisikie
Barikiwa sana kwaya ya kirumba
My favorite. Do as many as possible
Amina🎉🎉🎉
AMEN
Mungu awaabariki sana
Amina
Waiting
Haleluya
Amina Amina
Halleluya.
Amen
Precious prayer
❤