2024, kwa yeyote anasoma hii comment, uwe mwaka wa baraka, chochote umeomba kwa siri Mungu akujibu kwa wazi, miaka yote ililiwa na nzike Mungu akurudishie mara saba sabini barikiwa sana Mteule wa Mungu we confess as we possess sending love from Kenya 🇰🇪 ❤️
Mwaka huu namaliza masomo,naendelea na masomo ya faida na nitaomba ni napata kazi ya kudumu itakayo nisaidia mtoto wangu kuanza kusoma na kunijengeya nyumba yangu ya future. Mungu anisimamie mimi mwanzo wa mwaka huu. Amen. Mungu atatenda.
Wimbo wema sana.tunasikia ndani yao matamko ya imani kabisa.chochote tulichokosa mwaka uliopita lazima tutakipata mwaka huu.yaani ni mwaka wa ushindi na manufaa.Mungu apewe sifa.
Just saw a clip on tiktok and its the best song for me, will be coming back here kila siku,this will get to million views before the year ends 💯, amazing song, Blessings
Sijui kutakuaje 2024 lakini tumaini yangu iko pale pale kwa aliyeniumba Mwenyezi Mungu hakuna linalo mshinda 2023 haikuwa rahisi kwa mkono wake amenibeba namshukuru.ubarikwe sana mtumishi kwa kweli tunakwenda viwango, kupitia huu wimbo nimegain ki roho na hata kimwili
Napokea Imani kubwa namafanikio idumuo mwaka huu 2024 Wooow wonderful 😊 msg video nzuri kweli mungu Akuinue zaidi nakuombee kibali mtumish ..we love you by the grace of God 🎉❤
Congratulations Sana mtu wangu.... Ujumbe ni mzuri na video iko poa. Kila mtu anabarikiwa Sana, I promise next video ukifanya nitatoa garama zote mimi.. Ntakutafuta mtumishi barikiwa Sana.
2024, kwa yeyote anasoma hii comment, uwe mwaka wa baraka, chochote umeomba kwa siri Mungu akujibu kwa wazi, miaka yote ililiwa na nzike Mungu akurudishie mara saba sabini barikiwa sana Mteule wa Mungu we confess as we possess sending love from Kenya 🇰🇪 ❤️
Ameen Ameen
Amen
Amen❤😊
Amen
Amen🙏🙏
Amen the year of restoration nabarikiwa na nyimbo zako Yona mwaka huu naenda kiwango kingine I believe in might name of Jesus Christ 🙏🏿🙏🏿🔥🔥🔥🔥
Ameen
Wimbo mzuri ..viwango vingine tunakwenda sisi wenye Imani.Amen
Ameen
Amen maneno Yao tumeyasikia ila tumeyafunika kwenye sufuria na mwaka huu tunakwenda viwango kwa wenye Imani 🙏
Ameen
Amina mtumish wa mungu huu dio mwaka wetu wa kubarikiwa kwa yeyote akona imani atapokea baraka,mwaka wa ndoto zangu
Ameen
Barikiwa sana kaka ujumbe mzuri mungu aukuinue viwango zaidi
Mungu ameniinua kwenye kitanda cha.maumivu na amenipa nafasi nyingine mwaka huu nitakwenda viwango vingine ubarikiwe mtumishi wa.mungu
Amen,napenda nyimbo zako from Kenya
Wow, I really Love this song, ni wimbo wa baraka na matumaini 2024..🙏🙏🙏.
Ameen
Mwaka huu ntajenga in Jesus mighty name Amen 🙏🏿
Ameen
Amina 🙏🙏🙏🙏 Mwaka 2024 nimwaka wakufanikiwa kimaisha yangu kiujumla Mungu naomba nisimamie🙏 Amina 🙏🙏🙏🙏
These is my year,in Jesus name
Ameen
barikiwa na wimbo mzuri mwaka wakufunguliwa Amen
I claim these prophetic declarations in THE MIGHTY NAME OF HIS LORDSHIP JESUS CHRIST.
Ameen
Amen
God bless u from TikTok finally nimepta huuu mwak ni wangu🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana
Mwaka huu ni mwaka wa kuinuliwa mwaka wa kufanikiwa wenye imani tunakwenda kwenye viwango 2024. Ubarikiwe mtumishi wa mungu
Ameen
Barikiwe Yonachilolo nyimbo zako zinanibariki sana
Barikiwe Yonachilolo nyimbo zako zinanibariki sana
Chilolo unastahili Maua yako🎉🎉🎉🎉🎉 nabarikiwa Sana nyimbo zako mungu akubariki sana
Amen
2024,,,a great year with viwango vya juu🙏🙏🙏🙏
Bro we love your songs from Nairobi.. congratulations 👏
Kabisa❤
Amen 🙏
Ubarikiwe sana mtumish Mungu NIMEBARIKIWA sana Bwana aendeleee kukuinua mpaka atakaporudi
Ameen
Hongera sana keep up brother yona ❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Asante Sana...
Amen 2024 it's my year,,,new levels,,and new prosperity,,,Amen
Ameen
Mwaka huu namaliza masomo,naendelea na masomo ya faida na nitaomba ni napata kazi ya kudumu itakayo nisaidia mtoto wangu kuanza kusoma na kunijengeya nyumba yangu ya future. Mungu anisimamie mimi mwanzo wa mwaka huu. Amen. Mungu atatenda.
Ameen Ameen
Wauh!such a wanderful song 👍
Kila kitu kinatoka kwenye ulimi wako... Jitabirie Kwenda viwango vya juu kupitia wimbo huu🙏🙏🙏 ubarikiwe... Naomba share Kwa wengine na ulike
Amen ulimi una nguvu sana 🙏🏼 kazi nzuri barikiwa sana neema izidi kuwa nawe
Amen 🙏
Ameeeeen God bless you bro hakika nyimbo zako zinanibariki Tu sana🎉🎉🎉
Mbarikiwe nyote
Amen amen amen😅mngu anakutumih sana ili niujube🎉🎉🎉nikweli
Such a nyce song ...nashikilia hii this year..2024
Ameen
Wenye imani tunakwenda viwango.... Nabarikiwa nikiwa Kenya❤
Ameen
The way I love this song only God knows ❤barikiwa sana chilolo ❤❤🙏🙏🙏
Ameen
Hongera sana mtumishi chilolo 🙏🏽🙏🏽🙏🏽kwa wimbo mzuri
Asante Sana
Huu wimbo yaani inabariki sana
What a song 🎵 mwakaa huu 2024 ni mwaka ya double double blessing kwangu
Ameen
Nilipewa hii wimbo usiku kama nimelala l know God is going to do wonder's this year hallelluya.
Ameen...
Wimbo wema sana.tunasikia ndani yao matamko ya imani kabisa.chochote tulichokosa mwaka uliopita lazima tutakipata mwaka huu.yaani ni mwaka wa ushindi na manufaa.Mungu apewe sifa.
Ameen🙏🙏🙏
Thank you God bless you kweli mwaka wa 2024 utakuwa wangu niombeeni nimuone mungu thank you yona chilolo God bless you ameeeeeen!!!!!!!!!!!
Ameen
Amen ,!Amen mwaka huu tunaenda viwango vingine❤❤❤
Ameen
MUNGU aendelee kukutumia kwa viwango zaidi na akupe kumaliza vema ❤🙏🤝🔥
Amen,,ubarikiwe sn wimbo bora wakuanzia mwaka..❤❤❤❤❤❤
Ameen
Mwaka huu ni mwaka wa mabadiriko kwenye maisha yango . Niko Rdc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 na penda nimbo zako ubarikiwe sana kaka
Ubarikiwe sana
Amen mwaka huu tunakwenda viwango kwa jina la yesu
AMEN 🙏,,huu mwaka nitabarikiwa na kuinuliwa ..nimebeba afya ntaitumia mwaka huu,,kazi ntapata mwaka huu katika jina la yesu🙏🙏
Ameen
Mtumishi nanjengwa na ujumbe wako kupitia nyimbo zako mwenyezi Mungu azidi kuibariki kazi yako
Ameen... Ubarikiwe nisaidie ku share hii link na wengine wabarikiwe Asante
Amen najitabiria viwango vya juu😊😊
Ameen
The best news year song so far tunapanda maze barikiwa sana chilolo ndugu yangu
Ameen
Nabalikiwa sana na nyimbo zako Mungu akubariki sana
Ameeeen hallelujah Glory 🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌 kweli kabisaa 🤗
Ameen
Amen,,,,we have alot of faith that 2024 is a year of change....
Ameen
Nami nasema mwaka huu Ni mwaka wa kufanikiwa katika biashara yangu ya forex ,Nina imani hiyo .Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Ni mwaka wa kurejeshewa baraka zote zilizo liwa na n’nge 🙏🙏
Just saw a clip on tiktok and its the best song for me, will be coming back here kila siku,this will get to million views before the year ends 💯, amazing song,
Blessings
Ameen
Ameeeen🎉🎉🎉
Ubarikiwe sana kaka yangu ❤
Amen amen , utukufu ni Kwa mungu
Ameeeeen❤❤🙏🙏🙏 mwaka huu wa 2024 si wa kulialia sitaki hushuni na mtu yeyote nataka furaha mwaka huu 2024
Ameen
Amen ❤❤❤❤❤❤happy 2024 thank you 2023
Be blessed alot your son's always gives me 1000 reason to smile🙏🙏
2024 the year of restoration so God help me
Amen nimebarikiwa Sana Mungu mkuu akuzidishiye Amen
Ameen
Kali hii keep it up bro chilolo,mm n shabiki wako mkubwa toka Kenya 🇰🇪 pia muimbaji wa injili
Sijui kutakuaje 2024 lakini tumaini yangu iko pale pale kwa aliyeniumba Mwenyezi Mungu hakuna linalo mshinda 2023 haikuwa rahisi kwa mkono wake amenibeba namshukuru.ubarikwe sana mtumishi kwa kweli tunakwenda viwango, kupitia huu wimbo nimegain ki roho na hata kimwili
Pamoja sana
Ameen
Yuuuuuumungu wangu❤❤❤amen amen amen amen saaaaaaan kwer
Nitapokea kazi katika jina la yesu
Barikiwa sana my brother nice song 🙏🙏🙏🙏
AMEEN
Mwaka huu hata mimi lazima nitagawa pesa katika Jina LA yesu
Amen Amen. Mwaka huu mibaraka teletele😂😂❤❤
Ameen
Ubarikiwe mtumishi nyimbo zako zinafundisha hakikaa
Ubarikwe sana Kwa ujembe mzuri 🎉🎉🎉
Wenye imani ya kibossboss ❤🙏
Amina sana 2024 ,viwango hivyo
mwaka wa kubadili historia na kuondoa aibu
Kazi naipata, naoa na kuwa na familia na mafinikio katika jina La Yesu Kristo
Ameen
Blessings brother 🙌 sentensi ya mwisho inasema aje,wenye Imani......................
Wenye imani tunakwenda viwango....
...those with faith will to move into another stage
Amen, nyimbo zako unibariki sana . Mwaka huu 2024 mwenye imani tunabarika na kuinuliwa
Ameen
Amen 🙏🙏,,may God bless you abundantly,,, amazing song
Ameen
Amina mtumish wa mungu nitafaniki❤❤❤❤❤❤❤
Jamani am so blessed with this song
Yani nausikiliza Bila kuchoka yani
Be blessed YONAH🙏
Ameen
🙏🏽 🙏🏽 wimbo mzuri sana
Mim Muslim Lakin napenda Sana nyimbo zako Sana ❤❤❤❤
Asante Sana... Mungu ni mmoja
This so blessing, may God take you to heights. Umenibariki sana na huu wimbo mtamu hivi
Huu kila saa nilikuwa nausikiliza ubarikiwe sana nafatilia kila nyimbo zako upo vyema sana kaka mungu azidi kukuinulia zaidi kipawa hicho aliokupa
Asante Sana
Amina amina mwaka huu hakika ni mwaka wa viwango vingine Yona, amina
I believe all shall be well this year in Jesus name
The message in your songs 🙏🙏... always following and listening them.na yesu wetu tunamsoma kwenye bibilia uweuh 🤗🙏.
❤🎉 congratulations 🥳👏👏👏 me already nimeanza kufunguliwa huu wimbo kutabiri ❤❤
Ameen
Mwaka huu nakwenda viwango vipya mm pamoja na familia yangu kwa jina la Yesu.
Napokea Imani kubwa namafanikio idumuo mwaka huu 2024 Wooow wonderful 😊 msg video nzuri kweli mungu Akuinue zaidi nakuombee kibali mtumish ..we love you by the grace of God 🎉❤
Ameen ameen
Amen 2024 by fire by force in Jesus name 🙏
Nupenda huu wimbo unaninuua viwango vingine❤
Ameen
Congratulations Sana mtu wangu.... Ujumbe ni mzuri na video iko poa. Kila mtu anabarikiwa Sana, I promise next video ukifanya nitatoa garama zote mimi.. Ntakutafuta mtumishi barikiwa Sana.
Ameen Asante Sana
🕺🕺🕺💫💫viwangooo nimefikiaa
Omg can't wait lyrics
Ameeeeen ❤❤ hakika ni mwaka wa kufanikiwa
Ameen
Very encouraging. God bless you servant of God. Ukija malindi nitafute nikukaribiahe kanisani mwetu msabaha
Kwaka huu mungu nibariki nifanikiwe
Kazi poa mungu akumbuke 👍👏🤲🙏
Amina ndugu na barikiwa sana na nyimbo zako.
Barikiwa sana make ww ni baraka kwetu❤ ubarikiwe sana Tena zaidi ya sana ❤❤
Ameen
I'll not surrender until I see the presence of God
Wooow amina.... getting blessed from Kenya
Ubarikiwe sana Yona, kazi nzuri ya imani🙏💯💯💯
Asante Sana
Amina jitabirie mema maana kinywa kina nguvu.
Ameen
Amen my brother keep it up more blessings ❤
Ameen❤
Be blessed my brother with your nice and powerfully song may god bless you so much ❤❤❤🎉
Ameen