Ushia huu ni lazima tuwe nao sote!! _Hadithi inayotuamrisha kuwa Shia_ Shafii Basalim

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 68

  • @SaidJuma-ru7vm
    @SaidJuma-ru7vm 8 месяцев назад +3

    Labaika ya Ahalulybayt

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn Месяц назад

    NAMSHUKURU ALLAH KUNIJAALIA NIKAFUATA MANHAJ YA SAWA MANHAJ SALAFIYYU

  • @yahyaslim1938
    @yahyaslim1938 8 месяцев назад +1

    Maashaallah Sheikh Shafii .

  • @an-noormedia2881
    @an-noormedia2881 7 месяцев назад

    Maashallah

  • @AbdallahKigage
    @AbdallahKigage 8 месяцев назад +2

    Sheikhe nakuelewa saana Tuacheni ushabiki katika mambo yadini

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim6522 8 месяцев назад +1

    Jamani tumuogopeni ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA ILIO NYOOKA TUSILAANI MASWAHABA HIO SIO SAHIHI

  • @hijahamadi5793
    @hijahamadi5793 7 месяцев назад

    Bado unayo nafasi ya kutubu na kumrejea mola wako acha kuendekeza njaa allaah ndie mtoaji wa rizqi, Acha ufisadi Shafi, kulelewa na twariqa haitoshi hata mkuu wa Mashia Tanzania Sheikh JALALA alilelewa na Twariqa lakini na yeye akahiari upotofu kuliko uongofu

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 8 месяцев назад

    Jamaa yupo kazini. Waislamu tumuombe ALLAH A'ZZA WAJALLA Uongofu sana kisha tusome Dini, tusipuuze kusoma. Haya ni sehemu ndogo ya matatizo...lkn

  • @AmirGau-it5ty
    @AmirGau-it5ty 7 месяцев назад +1

    Ushiya ni ukafiri

  • @AbuuSudayyah
    @AbuuSudayyah 8 месяцев назад +3

    Mshiya kazi yake kubwa ni kuwatukana maswahaba shfii ni shia kubwa

  • @AmirGau-it5ty
    @AmirGau-it5ty 7 месяцев назад +1

    Wewe mshiya, ulikuwa ulikuwa unajificha jangwani nadi ushiya wako.

  • @FatumaMwaluhanga-ui3kl
    @FatumaMwaluhanga-ui3kl 8 месяцев назад +4

    Shekhe toa darsa nakuelewa sanaaaaa wasio naelim hawawezi kukuelewa kwani wanaushabiki wakielim hawana upekuzi wana subiri kupekuliwa

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 8 месяцев назад

      Kafungishwe ndoa ya Mutta huko uwaelewe vizuri.

    • @simbongilelumani6226
      @simbongilelumani6226 8 месяцев назад

      Pumbavu wewe mutaa walifunga mbwana zako ubu ba omy fatilia utajua zuzu we

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 8 месяцев назад

      @@simbongilelumani6226
      Umeridhika na tusi lako au bado uongeze . we ni miongoni mwa Raafidhwa eti?

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 8 месяцев назад

      @@simbongilelumani6226
      Kingine zuzu atakuwa ni wewe kwa sababu sisi hatuna Mtu anaitwa Omy ufuatilie vizuri.

    • @ismailsoud3634
      @ismailsoud3634 7 месяцев назад

      Subhanallah,
      Hatujuwi Mwenyezi Mungu atawawekeni wapi kama si jahannamu. Wamakuntu hasinina,hasana wainahasadallahu, hasidi, waminna hasidina fi nnari jahannam.

  • @KomboHassan-r9y
    @KomboHassan-r9y 7 месяцев назад

    Kijana ushauri Tu. Tumrudie Mola Muumbaji tuache ushabiki usio na faida. Wewe bado nikijana mdogo Sana na maarifa yako katika dini nimadogo mno au huna kabisa. Kaaa chini chukua hatua

  • @AbdallahKigage
    @AbdallahKigage 8 месяцев назад

    Yupo anatoa ushahidi kwenye vitabu vyetu kwanini tumuone hana maana
    Hii nidini ya mungu hatujui atakae okoka ninani tusacheni mihemko

  • @twalibmohamed2494
    @twalibmohamed2494 8 месяцев назад

    ACHA wawale Mpaka wamalize.

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 8 месяцев назад

    HUYU JAMAA MBONA DARSA ZAKE ANAZIFANYA KAJIFICHA!

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 8 месяцев назад

    MASHIA WAKUBWA.NYIE KUNA KITABU CHA MASHIA KINAITWA TAFSIIRU LGHAYAASHII KITAWATUKANA MASAHABA

    • @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh
      @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh 8 месяцев назад

      Lakin vipo vitabu vya Ahlu sunna nzi hatui kwa matusi ya maswahaba sasa mashia na Ahlu sunna ndugu

  • @AbdallahKigage
    @AbdallahKigage 8 месяцев назад +1

    Apana huyu ni msuni mwenzetu sio kwamba mtu akiwa suni haruhusiwi kusema anayoyaona kwenye vitabu nukuu zote hazitoi kwenye vitabu vya mashia anatoa kwenye vitabu vyetu tujalibu kuondoa chuki za kimadhehebu mtu akisimamia ukweli tusmbeze kwa kulinda imani zetu

  • @SalehRashid-f9r
    @SalehRashid-f9r 7 месяцев назад

    Shekhe kuhusu hiyo khadithi ninashakakidogo kuhusu,juu ya matumizi ya neno sunayangu,au ahalubait,miminaamini😢mtume alitumia neno sunayangu kwasababu gani, tunjuakuwa sunayangu ni mafundisho yake mtume ambayo yatadumu mpaka mwisho wa Dunia, lakini akisena watu wa njumbayangu,fikiria katikazama hizi zetu za Leo hao watu nyumba ya mtume wakowapi?bilashaka hawapo kwaiyo hii hadithi itakuwa imepitwa na wakati,na miminaaminimaneno ya mtume hayapitwi na wakati.

  • @mudu_shine7554
    @mudu_shine7554 7 месяцев назад

    Ni bora kuoa Christian kuliko kuoa mshia.. Washirikina wa hali ya juu kwa Kumshirikisha Allah..

  • @ibnuhajartvonline2448
    @ibnuhajartvonline2448 8 месяцев назад +1

    Huyu shia mkubwa. Amejificha katika pazia la Qadiria

  • @AbdulkarimShosi
    @AbdulkarimShosi 8 месяцев назад

    Shafii basalim kitabu cha imam timidity ni jamii timidly wala si sunani timidly rekebisha hapo

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад +1

    USHIA ni Ukafiri acheni unafiki hao ahlulbaiti wala hawawajui nyinyi makafi wa kishia

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 8 месяцев назад +1

      Comments za kiwahabi utazijua tu kama akili zao zilivyo.watu wanajali jambo jengine wao wana comment jengine.majahili kweli

    • @aminuddinwacate
      @aminuddinwacate 8 месяцев назад

      Sawa@@abiabi9353

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 8 месяцев назад

      ​@@abiabi9353
      Yaa Shia ni ukafiri wewe unasemaje abiabi kwani na wewe ni Shia?

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 8 месяцев назад

      @@MB-yq3ty tatizo la mawahabi wameacha kitu ambacho hakina Shaka alicho wachagulia mungu na mtume ,yani Ahlulbayt wakaamua kuchukua kitu chenye Shaka yani maswahaba. Mimi Nina uhakika maimamu wote 12 alotuchagulia mtume hawana Shaka kwasababu Quran imewasafisha. Lkn kuchukua dini kwa maswahaba nijambo lenyeshaka kwasababu mtume mwenyewe kasema miongoni mwa maswahaba kuna wanafiki. Wengine wameuwana na kutukanana wenyewe kwa wenyewe. Kwahiyo unapochukua dini kutoka kwao nikuamua kuingia kwenye jambo lenye shaka.Na wasia wa mtume nikuchukua lisilo na Shaka na kuacha lililo na shaka

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 8 месяцев назад

      @@abiabi9353
      Sasa hapa ndo umeanza kuacha unafiki wa kishia umeanza kufunguka wakujue watu rangi yako halisi sio kujificha nyuma ya Usufi. Tukiwa tunaenda hivi ndo tutafika Mahala. Tuanzie hapa sasa tuache Mawahabi ambao tumepotea Mara mambumbumbu tuje nyie mlookoka. Thibitisha kwamba wewe ni Shia wa kihakika na kwamba Umeshika njia ya Kihakika umeachana na Njia ya Maswahaba. Tuanzie hapa abiabi.

  • @Kalaharidesertstorm
    @Kalaharidesertstorm 8 месяцев назад +1

    Njaa mbaya😂

  • @Abusalim308
    @Abusalim308 7 месяцев назад

    Huo ushia utakua nao wewe na makafiri wenzako waislamu huwezi kuwadanganya unafikiri waislamu ni matahira kama wewe kafiri mkubwa Allah atakufunga mdomo wewe in sha Allah na hii ramadhan

  • @hassanmzandy1421
    @hassanmzandy1421 7 месяцев назад

    LEO LIMEAMUA KUDHIHIRISHA KUWEKA WAZI USHIA WAKE , عليه اللعنة

  • @KomboHassan-r9y
    @KomboHassan-r9y 7 месяцев назад

    KAZI yako kueneza chuki tuuuu dah mtihani kweli kweli

  • @twalibmohamed2494
    @twalibmohamed2494 8 месяцев назад

    Nyinyi masufi ndio mlio wakaribisha mashia kwenye miskiti yenu Na hadhara zenu Sasa HAYA hao Wana wangata wenyewe

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 7 месяцев назад

    Mashia, ni musheri mkubwa kwao.

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад +1

    Sisi tunawapenda ahlulbaiti na kuwaheshimu lkn sisi hatupo kama nyie wazushi na washirikina wa kishia kwa ahlulbaiti

    • @HalimaJeffah
      @HalimaJeffah 8 месяцев назад

      Ushirikina wa shia ni nini na kama huna dalili wewe ni jahil

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 8 месяцев назад +1

      Jahili mwengine wakiwahabi hajui hata asemalo.Hadith haisemi kuwapenda Ahlulbayt Bali inasema kuwafata Ahlulbayt. Wewe ngngania hadith za uwongo za banu umaiyah uingie motoni.

    • @Hassainmadua
      @Hassainmadua 8 месяцев назад

      Shekh mungu akuongezee umri mrefu wenye faida unajua shida ni kwamba Kuna watu wanaongea kwa ushabiki
      Na anaeleta maneno akupe dalili maana weweh unatoa dalili

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh 8 месяцев назад

    Twayib weae ni chuma kiboko cha mawahabi

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim6522 8 месяцев назад

    Shekhe huyu shehe w wapi analaani maswaba tu na Maulamaa na hadithi zisizo za ukweli ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA ILIO NYOOKA TUSILAANI MASWAHABA TUWE MAKINI JAMANI TUSIMSINGIZIE MTUME SWA KWA KUKTETEA MATAMANIO YETU

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад +1

    Wewe ushaandaliwa uwe hivyo uwe kibaraka wa kuendeleza chuki kwa maswahaba

    • @HalimaJeffah
      @HalimaJeffah 8 месяцев назад +1

      Kwani maswahaba hawakosei? Hawatukanwi bali ni ukweli wengine walirudi nyuma ya visigino vyao na huu ni ukweli

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 8 месяцев назад

      Wewe ni jahili wakiwahabi hujui hata usemalo.mada ni nyengine wewe unazungumzia mengine.kama unajiamini jibu hoja kielimu

    • @AhmedAli-gh1lm
      @AhmedAli-gh1lm 7 месяцев назад

      Masahaba walikuwa ni binaadamu, miongoni mwao wamo waliokuwa wema, wamo waovu, wamo waliokosea, wamo wanafiki na wengine waliritadi khasa baada ya Mtume kufariki. Tazama Hadithi hii:
      Imepokewa kwa Anas kwamba Mtume s.a.w. amesema:
      Watu miongoni mwa sahaba zangu watanijia kwenye Hodhi.
      Nitakapowaona, na watakapokuwa waletwa kwangu, watazuiwa
      ili wasinifikie. Hapo nitasema: Sahaba zangu, sahaba zangu! Nami
      nitaambiwa: Wewe hujui walizua nini baada yako.
      Hadith hiyo utaiona katika Sahih Muslim, ‘Kitabul Fadhail’, Mlango wa
      ‘Hawdhu Nabiyyina s.a.w. Waswifatuhu.’ Kwa Kiingereza ni Hadith Na.
      5706 kwenye uk. 1239 wa Juzuu ya Nne.

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад +1

    Kuwapenda ahlulbaiti ni dini na inatakiwa waislamu wote wawapede na kuwaheshimu ahlulbaiti cha ajabu nyinyi washirikina wa kishia mwajidai eti mnawependa ahlulbaiti acheni unafiki hao ahlulbaiti wala hawawajui nyinyi makafi wa kishia

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 8 месяцев назад +1

      Wewe ni jahili mwengine wakiwahabi mfuasi wa banu umaiyah.Siyo kuwapenda Ahlulbayt Bali ni kuwafata.kwa hilo umepotea sana. Unajua mawahabi ni wajinga.wanakataa alichowapa Mungu na Mtume ambacho hakina Shaka wamejichagulia kilicho na Shaka.

    • @jailaniramadhan1788
      @jailaniramadhan1788 8 месяцев назад

      we unawajua vip?

    • @AbuuAbdillah-hb8li
      @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад

      @@abiabi9353 ALLAH ametuambia kwenye quran kua tumfuate mtume swalallahu aleihi wasallam na sio kuwafuata ahlulbaiti bali ametutaka tuwapende na kuwathamini na kuwajali ila nyinyi washirikina wa kishia ndio mmejenga hiyo propaganda ili kuuchafua na kuuharibu uislamu bali hao mnajidai mnajinasbisha nao kwa uwongo mliowazushia wala hawawajui wala hawawatambui kabisaa na wao wapo mbali na washirikina nyinyi wa kishia

    • @AhmedAli-gh1lm
      @AhmedAli-gh1lm 7 месяцев назад

      Sio kuwapenda tu ahlulbait bali inatakiwa tuwafuate pia.

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад +1

    USHIA ni dini ya uwongo na unafiki

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 8 месяцев назад

      Wewe ni jahili tu wakiwahabi wala hujui usemalo. Masala hapo ni juu ya ushia au juu ya hadith ya Ahlulbayt?

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 8 месяцев назад

    Kitoto cha zinaa hichi chabweka kama jibwa koko
    عليك من الله ما تستحق

    • @NganziSalimu
      @NganziSalimu 7 месяцев назад

      Kitoto cha zinaa ni wew unaeleta taarab kama unawez weka hoja za kielimu sio porojo

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад +1

    Mitume wote wamekuja kupinga ushirikina cha ajabu wewe mshirikina wa kishia unataka watu waingie kwenye ushirikina wa kishia
    USHIA ni Ukafiri

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 8 месяцев назад

      Comments za kiwahabi utazijua tu kama akili zao fupi zikivyo.yani watu wanajadiki jengine wao wanazunguma mengine.sasa watu majahili namna hiyo utawafanyaje

    • @katan671
      @katan671 8 месяцев назад +1

      ​@@abiabi9353 we ni Kafiri???

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 8 месяцев назад

      @@katan671 exactly hapo ndo umethibitisha vizuri zaidi kuwa wewe ni wahabi. Ndiyo maana tuna waita mawahabi (takfiri).uwezo wao ni kutoa hukumu lkn hawana uwezo wakuthibitisha wanayoyasema kielimu. Kwahiyo huwa tunawadharau tu

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 8 месяцев назад

      ​@@abiabi9353
      Comment za Maraafidhwa ndo hazijulikani?

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 8 месяцев назад

      ​@@abiabi9353
      Hamna watu Majaahil kama Mashia Raafidhwa dini yenu imeanza nyuma baadae sasa historia sahihi ya uislamu mtaipata wapi Allah awavunje migongo yenu.

  • @SaidJuma-ru7vm
    @SaidJuma-ru7vm 8 месяцев назад

    Labaika ya Ahalulybayt