Bado unayo nafasi ya kutubu na kumrejea mola wako acha kuendekeza njaa allaah ndie mtoaji wa rizqi, Acha ufisadi Shafi, kulelewa na twariqa haitoshi hata mkuu wa Mashia Tanzania Sheikh JALALA alilelewa na Twariqa lakini na yeye akahiari upotofu kuliko uongofu
Subhanallah, Hatujuwi Mwenyezi Mungu atawawekeni wapi kama si jahannamu. Wamakuntu hasinina,hasana wainahasadallahu, hasidi, waminna hasidina fi nnari jahannam.
Kijana ushauri Tu. Tumrudie Mola Muumbaji tuache ushabiki usio na faida. Wewe bado nikijana mdogo Sana na maarifa yako katika dini nimadogo mno au huna kabisa. Kaaa chini chukua hatua
Apana huyu ni msuni mwenzetu sio kwamba mtu akiwa suni haruhusiwi kusema anayoyaona kwenye vitabu nukuu zote hazitoi kwenye vitabu vya mashia anatoa kwenye vitabu vyetu tujalibu kuondoa chuki za kimadhehebu mtu akisimamia ukweli tusmbeze kwa kulinda imani zetu
Shekhe kuhusu hiyo khadithi ninashakakidogo kuhusu,juu ya matumizi ya neno sunayangu,au ahalubait,miminaamini😢mtume alitumia neno sunayangu kwasababu gani, tunjuakuwa sunayangu ni mafundisho yake mtume ambayo yatadumu mpaka mwisho wa Dunia, lakini akisena watu wa njumbayangu,fikiria katikazama hizi zetu za Leo hao watu nyumba ya mtume wakowapi?bilashaka hawapo kwaiyo hii hadithi itakuwa imepitwa na wakati,na miminaaminimaneno ya mtume hayapitwi na wakati.
@@MB-yq3ty tatizo la mawahabi wameacha kitu ambacho hakina Shaka alicho wachagulia mungu na mtume ,yani Ahlulbayt wakaamua kuchukua kitu chenye Shaka yani maswahaba. Mimi Nina uhakika maimamu wote 12 alotuchagulia mtume hawana Shaka kwasababu Quran imewasafisha. Lkn kuchukua dini kwa maswahaba nijambo lenyeshaka kwasababu mtume mwenyewe kasema miongoni mwa maswahaba kuna wanafiki. Wengine wameuwana na kutukanana wenyewe kwa wenyewe. Kwahiyo unapochukua dini kutoka kwao nikuamua kuingia kwenye jambo lenye shaka.Na wasia wa mtume nikuchukua lisilo na Shaka na kuacha lililo na shaka
@@abiabi9353 Sasa hapa ndo umeanza kuacha unafiki wa kishia umeanza kufunguka wakujue watu rangi yako halisi sio kujificha nyuma ya Usufi. Tukiwa tunaenda hivi ndo tutafika Mahala. Tuanzie hapa sasa tuache Mawahabi ambao tumepotea Mara mambumbumbu tuje nyie mlookoka. Thibitisha kwamba wewe ni Shia wa kihakika na kwamba Umeshika njia ya Kihakika umeachana na Njia ya Maswahaba. Tuanzie hapa abiabi.
Huo ushia utakua nao wewe na makafiri wenzako waislamu huwezi kuwadanganya unafikiri waislamu ni matahira kama wewe kafiri mkubwa Allah atakufunga mdomo wewe in sha Allah na hii ramadhan
Shekh mungu akuongezee umri mrefu wenye faida unajua shida ni kwamba Kuna watu wanaongea kwa ushabiki Na anaeleta maneno akupe dalili maana weweh unatoa dalili
Shekhe huyu shehe w wapi analaani maswaba tu na Maulamaa na hadithi zisizo za ukweli ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA ILIO NYOOKA TUSILAANI MASWAHABA TUWE MAKINI JAMANI TUSIMSINGIZIE MTUME SWA KWA KUKTETEA MATAMANIO YETU
Masahaba walikuwa ni binaadamu, miongoni mwao wamo waliokuwa wema, wamo waovu, wamo waliokosea, wamo wanafiki na wengine waliritadi khasa baada ya Mtume kufariki. Tazama Hadithi hii: Imepokewa kwa Anas kwamba Mtume s.a.w. amesema: Watu miongoni mwa sahaba zangu watanijia kwenye Hodhi. Nitakapowaona, na watakapokuwa waletwa kwangu, watazuiwa ili wasinifikie. Hapo nitasema: Sahaba zangu, sahaba zangu! Nami nitaambiwa: Wewe hujui walizua nini baada yako. Hadith hiyo utaiona katika Sahih Muslim, ‘Kitabul Fadhail’, Mlango wa ‘Hawdhu Nabiyyina s.a.w. Waswifatuhu.’ Kwa Kiingereza ni Hadith Na. 5706 kwenye uk. 1239 wa Juzuu ya Nne.
Kuwapenda ahlulbaiti ni dini na inatakiwa waislamu wote wawapede na kuwaheshimu ahlulbaiti cha ajabu nyinyi washirikina wa kishia mwajidai eti mnawependa ahlulbaiti acheni unafiki hao ahlulbaiti wala hawawajui nyinyi makafi wa kishia
Wewe ni jahili mwengine wakiwahabi mfuasi wa banu umaiyah.Siyo kuwapenda Ahlulbayt Bali ni kuwafata.kwa hilo umepotea sana. Unajua mawahabi ni wajinga.wanakataa alichowapa Mungu na Mtume ambacho hakina Shaka wamejichagulia kilicho na Shaka.
@@abiabi9353 ALLAH ametuambia kwenye quran kua tumfuate mtume swalallahu aleihi wasallam na sio kuwafuata ahlulbaiti bali ametutaka tuwapende na kuwathamini na kuwajali ila nyinyi washirikina wa kishia ndio mmejenga hiyo propaganda ili kuuchafua na kuuharibu uislamu bali hao mnajidai mnajinasbisha nao kwa uwongo mliowazushia wala hawawajui wala hawawatambui kabisaa na wao wapo mbali na washirikina nyinyi wa kishia
Comments za kiwahabi utazijua tu kama akili zao fupi zikivyo.yani watu wanajadiki jengine wao wanazunguma mengine.sasa watu majahili namna hiyo utawafanyaje
@@katan671 exactly hapo ndo umethibitisha vizuri zaidi kuwa wewe ni wahabi. Ndiyo maana tuna waita mawahabi (takfiri).uwezo wao ni kutoa hukumu lkn hawana uwezo wakuthibitisha wanayoyasema kielimu. Kwahiyo huwa tunawadharau tu
@@abiabi9353 Hamna watu Majaahil kama Mashia Raafidhwa dini yenu imeanza nyuma baadae sasa historia sahihi ya uislamu mtaipata wapi Allah awavunje migongo yenu.
Labaika ya Ahalulybayt
NAMSHUKURU ALLAH KUNIJAALIA NIKAFUATA MANHAJ YA SAWA MANHAJ SALAFIYYU
Maashaallah Sheikh Shafii .
Maashallah
Sheikhe nakuelewa saana Tuacheni ushabiki katika mambo yadini
Jamani tumuogopeni ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA ILIO NYOOKA TUSILAANI MASWAHABA HIO SIO SAHIHI
Bado unayo nafasi ya kutubu na kumrejea mola wako acha kuendekeza njaa allaah ndie mtoaji wa rizqi, Acha ufisadi Shafi, kulelewa na twariqa haitoshi hata mkuu wa Mashia Tanzania Sheikh JALALA alilelewa na Twariqa lakini na yeye akahiari upotofu kuliko uongofu
Jamaa yupo kazini. Waislamu tumuombe ALLAH A'ZZA WAJALLA Uongofu sana kisha tusome Dini, tusipuuze kusoma. Haya ni sehemu ndogo ya matatizo...lkn
Ushiya ni ukafiri
Mshiya kazi yake kubwa ni kuwatukana maswahaba shfii ni shia kubwa
Wewe mshiya, ulikuwa ulikuwa unajificha jangwani nadi ushiya wako.
Shekhe toa darsa nakuelewa sanaaaaa wasio naelim hawawezi kukuelewa kwani wanaushabiki wakielim hawana upekuzi wana subiri kupekuliwa
Kafungishwe ndoa ya Mutta huko uwaelewe vizuri.
Pumbavu wewe mutaa walifunga mbwana zako ubu ba omy fatilia utajua zuzu we
@@simbongilelumani6226
Umeridhika na tusi lako au bado uongeze . we ni miongoni mwa Raafidhwa eti?
@@simbongilelumani6226
Kingine zuzu atakuwa ni wewe kwa sababu sisi hatuna Mtu anaitwa Omy ufuatilie vizuri.
Subhanallah,
Hatujuwi Mwenyezi Mungu atawawekeni wapi kama si jahannamu. Wamakuntu hasinina,hasana wainahasadallahu, hasidi, waminna hasidina fi nnari jahannam.
Kijana ushauri Tu. Tumrudie Mola Muumbaji tuache ushabiki usio na faida. Wewe bado nikijana mdogo Sana na maarifa yako katika dini nimadogo mno au huna kabisa. Kaaa chini chukua hatua
Yupo anatoa ushahidi kwenye vitabu vyetu kwanini tumuone hana maana
Hii nidini ya mungu hatujui atakae okoka ninani tusacheni mihemko
ACHA wawale Mpaka wamalize.
HUYU JAMAA MBONA DARSA ZAKE ANAZIFANYA KAJIFICHA!
MASHIA WAKUBWA.NYIE KUNA KITABU CHA MASHIA KINAITWA TAFSIIRU LGHAYAASHII KITAWATUKANA MASAHABA
Lakin vipo vitabu vya Ahlu sunna nzi hatui kwa matusi ya maswahaba sasa mashia na Ahlu sunna ndugu
Apana huyu ni msuni mwenzetu sio kwamba mtu akiwa suni haruhusiwi kusema anayoyaona kwenye vitabu nukuu zote hazitoi kwenye vitabu vya mashia anatoa kwenye vitabu vyetu tujalibu kuondoa chuki za kimadhehebu mtu akisimamia ukweli tusmbeze kwa kulinda imani zetu
Shekhe kuhusu hiyo khadithi ninashakakidogo kuhusu,juu ya matumizi ya neno sunayangu,au ahalubait,miminaamini😢mtume alitumia neno sunayangu kwasababu gani, tunjuakuwa sunayangu ni mafundisho yake mtume ambayo yatadumu mpaka mwisho wa Dunia, lakini akisena watu wa njumbayangu,fikiria katikazama hizi zetu za Leo hao watu nyumba ya mtume wakowapi?bilashaka hawapo kwaiyo hii hadithi itakuwa imepitwa na wakati,na miminaaminimaneno ya mtume hayapitwi na wakati.
Ni bora kuoa Christian kuliko kuoa mshia.. Washirikina wa hali ya juu kwa Kumshirikisha Allah..
Huyu shia mkubwa. Amejificha katika pazia la Qadiria
Shafii basalim kitabu cha imam timidity ni jamii timidly wala si sunani timidly rekebisha hapo
USHIA ni Ukafiri acheni unafiki hao ahlulbaiti wala hawawajui nyinyi makafi wa kishia
Comments za kiwahabi utazijua tu kama akili zao zilivyo.watu wanajali jambo jengine wao wana comment jengine.majahili kweli
Sawa@@abiabi9353
@@abiabi9353
Yaa Shia ni ukafiri wewe unasemaje abiabi kwani na wewe ni Shia?
@@MB-yq3ty tatizo la mawahabi wameacha kitu ambacho hakina Shaka alicho wachagulia mungu na mtume ,yani Ahlulbayt wakaamua kuchukua kitu chenye Shaka yani maswahaba. Mimi Nina uhakika maimamu wote 12 alotuchagulia mtume hawana Shaka kwasababu Quran imewasafisha. Lkn kuchukua dini kwa maswahaba nijambo lenyeshaka kwasababu mtume mwenyewe kasema miongoni mwa maswahaba kuna wanafiki. Wengine wameuwana na kutukanana wenyewe kwa wenyewe. Kwahiyo unapochukua dini kutoka kwao nikuamua kuingia kwenye jambo lenye shaka.Na wasia wa mtume nikuchukua lisilo na Shaka na kuacha lililo na shaka
@@abiabi9353
Sasa hapa ndo umeanza kuacha unafiki wa kishia umeanza kufunguka wakujue watu rangi yako halisi sio kujificha nyuma ya Usufi. Tukiwa tunaenda hivi ndo tutafika Mahala. Tuanzie hapa sasa tuache Mawahabi ambao tumepotea Mara mambumbumbu tuje nyie mlookoka. Thibitisha kwamba wewe ni Shia wa kihakika na kwamba Umeshika njia ya Kihakika umeachana na Njia ya Maswahaba. Tuanzie hapa abiabi.
Njaa mbaya😂
Huo ushia utakua nao wewe na makafiri wenzako waislamu huwezi kuwadanganya unafikiri waislamu ni matahira kama wewe kafiri mkubwa Allah atakufunga mdomo wewe in sha Allah na hii ramadhan
LEO LIMEAMUA KUDHIHIRISHA KUWEKA WAZI USHIA WAKE , عليه اللعنة
KAZI yako kueneza chuki tuuuu dah mtihani kweli kweli
Nyinyi masufi ndio mlio wakaribisha mashia kwenye miskiti yenu Na hadhara zenu Sasa HAYA hao Wana wangata wenyewe
Mashia, ni musheri mkubwa kwao.
Sisi tunawapenda ahlulbaiti na kuwaheshimu lkn sisi hatupo kama nyie wazushi na washirikina wa kishia kwa ahlulbaiti
Ushirikina wa shia ni nini na kama huna dalili wewe ni jahil
Jahili mwengine wakiwahabi hajui hata asemalo.Hadith haisemi kuwapenda Ahlulbayt Bali inasema kuwafata Ahlulbayt. Wewe ngngania hadith za uwongo za banu umaiyah uingie motoni.
Shekh mungu akuongezee umri mrefu wenye faida unajua shida ni kwamba Kuna watu wanaongea kwa ushabiki
Na anaeleta maneno akupe dalili maana weweh unatoa dalili
Twayib weae ni chuma kiboko cha mawahabi
Shekhe huyu shehe w wapi analaani maswaba tu na Maulamaa na hadithi zisizo za ukweli ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA ILIO NYOOKA TUSILAANI MASWAHABA TUWE MAKINI JAMANI TUSIMSINGIZIE MTUME SWA KWA KUKTETEA MATAMANIO YETU
Wewe ushaandaliwa uwe hivyo uwe kibaraka wa kuendeleza chuki kwa maswahaba
Kwani maswahaba hawakosei? Hawatukanwi bali ni ukweli wengine walirudi nyuma ya visigino vyao na huu ni ukweli
Wewe ni jahili wakiwahabi hujui hata usemalo.mada ni nyengine wewe unazungumzia mengine.kama unajiamini jibu hoja kielimu
Masahaba walikuwa ni binaadamu, miongoni mwao wamo waliokuwa wema, wamo waovu, wamo waliokosea, wamo wanafiki na wengine waliritadi khasa baada ya Mtume kufariki. Tazama Hadithi hii:
Imepokewa kwa Anas kwamba Mtume s.a.w. amesema:
Watu miongoni mwa sahaba zangu watanijia kwenye Hodhi.
Nitakapowaona, na watakapokuwa waletwa kwangu, watazuiwa
ili wasinifikie. Hapo nitasema: Sahaba zangu, sahaba zangu! Nami
nitaambiwa: Wewe hujui walizua nini baada yako.
Hadith hiyo utaiona katika Sahih Muslim, ‘Kitabul Fadhail’, Mlango wa
‘Hawdhu Nabiyyina s.a.w. Waswifatuhu.’ Kwa Kiingereza ni Hadith Na.
5706 kwenye uk. 1239 wa Juzuu ya Nne.
Kuwapenda ahlulbaiti ni dini na inatakiwa waislamu wote wawapede na kuwaheshimu ahlulbaiti cha ajabu nyinyi washirikina wa kishia mwajidai eti mnawependa ahlulbaiti acheni unafiki hao ahlulbaiti wala hawawajui nyinyi makafi wa kishia
Wewe ni jahili mwengine wakiwahabi mfuasi wa banu umaiyah.Siyo kuwapenda Ahlulbayt Bali ni kuwafata.kwa hilo umepotea sana. Unajua mawahabi ni wajinga.wanakataa alichowapa Mungu na Mtume ambacho hakina Shaka wamejichagulia kilicho na Shaka.
we unawajua vip?
@@abiabi9353 ALLAH ametuambia kwenye quran kua tumfuate mtume swalallahu aleihi wasallam na sio kuwafuata ahlulbaiti bali ametutaka tuwapende na kuwathamini na kuwajali ila nyinyi washirikina wa kishia ndio mmejenga hiyo propaganda ili kuuchafua na kuuharibu uislamu bali hao mnajidai mnajinasbisha nao kwa uwongo mliowazushia wala hawawajui wala hawawatambui kabisaa na wao wapo mbali na washirikina nyinyi wa kishia
Sio kuwapenda tu ahlulbait bali inatakiwa tuwafuate pia.
USHIA ni dini ya uwongo na unafiki
Wewe ni jahili tu wakiwahabi wala hujui usemalo. Masala hapo ni juu ya ushia au juu ya hadith ya Ahlulbayt?
Kitoto cha zinaa hichi chabweka kama jibwa koko
عليك من الله ما تستحق
Kitoto cha zinaa ni wew unaeleta taarab kama unawez weka hoja za kielimu sio porojo
Mitume wote wamekuja kupinga ushirikina cha ajabu wewe mshirikina wa kishia unataka watu waingie kwenye ushirikina wa kishia
USHIA ni Ukafiri
Comments za kiwahabi utazijua tu kama akili zao fupi zikivyo.yani watu wanajadiki jengine wao wanazunguma mengine.sasa watu majahili namna hiyo utawafanyaje
@@abiabi9353 we ni Kafiri???
@@katan671 exactly hapo ndo umethibitisha vizuri zaidi kuwa wewe ni wahabi. Ndiyo maana tuna waita mawahabi (takfiri).uwezo wao ni kutoa hukumu lkn hawana uwezo wakuthibitisha wanayoyasema kielimu. Kwahiyo huwa tunawadharau tu
@@abiabi9353
Comment za Maraafidhwa ndo hazijulikani?
@@abiabi9353
Hamna watu Majaahil kama Mashia Raafidhwa dini yenu imeanza nyuma baadae sasa historia sahihi ya uislamu mtaipata wapi Allah awavunje migongo yenu.
Labaika ya Ahalulybayt