TUKO NA MBINU MINGI SANA ZA KUTOA RUTO STATEHOUSE VILE TULIINGIA PARLIAMENT HAKUJUA! GEN Z EXPOSE!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 22

  • @AnampiuMarangu
    @AnampiuMarangu 3 месяца назад +5

    Telling "Truth" through comedy!

  • @elijahmativo
    @elijahmativo 3 месяца назад +5

    Kabsa bro

  • @HezekiaEsimao
    @HezekiaEsimao 3 месяца назад +7

    kenya c hami

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 3 месяца назад +2

    Uhuru amewauza alinsaidia ruto kuiba kura

  • @SheilahBii-t2e
    @SheilahBii-t2e 3 месяца назад +1

    Mjinga ulikukwa umepigia nani kura crazy wewe enda kisumu ama ujaribu ndiyo utaona

  • @JulixYung-kw2tr
    @JulixYung-kw2tr 3 месяца назад

    Unatumia akili ama nyuma kufikiria Uhuru ametoka wapi. Stick to issue

  • @joycarorejoy2506
    @joycarorejoy2506 3 месяца назад

    Plesae no Comedians Talk sense

  • @faithNgina-bw4yn
    @faithNgina-bw4yn 3 месяца назад

    au sio

  • @hazelmwakha746
    @hazelmwakha746 3 месяца назад

    Kweli

  • @Grace-r5u7g
    @Grace-r5u7g 3 месяца назад +1

    Propaganda Nonsense

  • @mack_vita_onyango8409
    @mack_vita_onyango8409 3 месяца назад +2

    Kwahiyo mnataka kupindua selikali, basi mjiandae kwa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe

  • @MitchellErmina
    @MitchellErmina 3 месяца назад

    Mungu naja mbele zaka saidika inchi yetu kenya inayopendeza isiharibike

  • @angelamunee
    @angelamunee 3 месяца назад

    Kama wanataka kusamehewa Kwanza warudishe uhai kwa watoto wetu walio wahua.

  • @phchouseprintmwanza8123
    @phchouseprintmwanza8123 3 месяца назад +1

    Sasa huyu hata anavyo ongea utaelewa ni mjinga

  • @joycarorejoy2506
    @joycarorejoy2506 3 месяца назад

    Boeing. Hata venye unaongea

  • @fatumakale7004
    @fatumakale7004 3 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @janekimani4341
    @janekimani4341 3 месяца назад

    Kifo ndiyo inawaita

    • @blessedladymasa536
      @blessedladymasa536 3 месяца назад

      Kila mtu atakufa mwisho na wewe utakufa, hata unaweza kufa kabla ya ma Genz

  • @hillarykoech05
    @hillarykoech05 3 месяца назад +1

    Wewe na nani?