Teknolojia haikuwa kama hivi leo, ila hawa jamaa walipiga vyombo na mixing ilikuwa ya viwango vya juu sana, Big up sana!! Whos is still listerning in 2024?
Namwomba Mungu kama mim na wengine tuliokuzwa katika kumjua Mungu kupitia kwaya hii na watoto wetu nao wakue katika uwepo wako,kukutumainia na kukujua wew Mungu wa Mbinguni.Amen
Mungu akubariki mama yng ulitufundisha misingi mizuri ya dini kupitia nyimbo hizi enzi hizo tukiwa watoto wadog.. hadi leo 2022 naziangalia hapa RUclips na naweza nikaimba wimbo wote.. Mungu azidi kuwabariki waimbaji 🙏💕
nawafatilia sana sana na nawaombea mungu awabariki nà uzao wenu pia baraka za mungu ziwe tele kwenu , binafsi nawafatilia nikiwa pwani kibiti kupitia channel ya HABARI MAALUM yà FPCT church🌹🌹🌹🌹
Watching now from France 🇨🇵😍👌 my childhood were made by SHANGILIYENI in DRCongo. Nashukuru mungu kwa yote.and bless my dad who gave us this as a gift siku zile 🎉
Enzi hizo Kilombero, Morogoro hii ndiyo album iliyokuwa inaangaliwa mpaka ina scratch inanunuliwa nyingine. Mpaka sasa nimekuwa mkubwa na familia ya watoto watatu bado mashairi yapo kichwani na inanipa history Safi
Maisha yakinitingaga huwa nasikiliza hizi ngoma hamjawahi kuchuga kwa akili yangu kwanza kuna huyo jamaa wa kinanda kipindi nipo mdogo.nilikuwa namuita kishingoo🤣🤣 jamaa ako na vibe bana
Who is in 2024 enjoying this powerfull song
Hi 👋
Teknolojia haikuwa kama hivi leo, ila hawa jamaa walipiga vyombo na mixing ilikuwa ya viwango vya juu sana, Big up sana!! Whos is still listerning in 2024?
Amen Amen!
Mwanangu leo hii wakasome mixing hizi
2024
Great muzik csn expressly send u to heaven
Hawa jamaa wana balaa sana
Like hii meseji ❤kama una angallia hii video 2023 🤝
Wote wanaokiri ku
Ikubali kazi ya huyo mtu wa kinanda na gita la bass gongeni like za kutosha hapa.
Tunaoangalia huu wimbo 2024 tujuane
Nmezaliwa kwenye hizi nyimbo my parents used to play this cassette natamani wangekuwepo leo RIP my parents
Kwakweli Mungu awabariki,nilikua nikitazama huu wimbo nilipojifungua mtoto wangu ambae sasa ana maliza chuo kikuu, haijachuja barikiweni sana
Daah enzi zile 😅 1997 ❤❤❤❤❤
Daah! inanikumbusha miaka ya utotoni.Mungu awabariki hawa watumishi popote walipo
Dah Hawa jamaa wanajua Sana ujumbe uliopo humu ndan ya nyimbo hii ni mkubwa Sana wanaosikilza 2020 .....BARIKIWA SANA........twenden sawa
.
.
.
.
.
.
.
.
Nyimbo nzuri sana hii.......Good work ever....🙏🙏
Nani yuko na mimi kuangalia wimbo huu 2023
Yaani jamani mungu ni mwema mpka Leo hii tupo hai tunasikiliza nyimbo hizi
Namwomba Mungu kama mim na wengine tuliokuzwa katika kumjua Mungu kupitia kwaya hii na watoto wetu nao wakue katika uwepo wako,kukutumainia na kukujua wew Mungu wa Mbinguni.Amen
Amen Amen Mungu na asikie maombi haya
Ameeeen Ameeen🙏
Nyie wapiga vyombo Mungu anawaona et, mlijua kunifurahisha ambao bado mpo hai Mungu azidi kuwatunza na kuwabariki ❤🎉
Amen Amen, Sifa na utukufu ni kwa Bwana
Hakika nimejengwa sana na nyimbo zenye kujaa mafundisho na upako mwingi mon.
I miss my parents so much..its like she made me memorize these songs so they can confort me. When i found this chanel i just bawled..thank u.
We are so take with this testimony; We pray for your continued prosperity.
Blessings
Lots of love from Kenya. Be blessed tanzanians
Much love to you too dear friend.
My mom's favorite album aki. She loved these songs. RIP mom
May she continue Resting Peace
Barikiwa sanaaaaaa watumishi wa Mungu
Long time kwa kweli
Jinalabwana lipewe sifa kupitia nyimbo zake
Have grown listening to them since i was primary mpaka sasa na miaka 31 , mbarikiwe we love U Guy's n miss this
Daaaah kipindi kwaya ikienda studio inajua nini inaenda kukifanya👏👏👏👏
mbarikiwe sana
Anno pius najisikia raha
Am so blessing with this choir
Kweli kabisa! Kabisa!
Kabisaaaaa
Hii ndiyo kwaya bhana Wana adabu ujumbe mziri
if you knew this before, my friend you are a LEGEND 😃 n be blessed
Mbariwe sana , kinanda kinanibariki saanaaa
Mungu ni mwema sana kwetu huu wimbo umenitoa adi chozi miaka mingi mno ndio tujue kuzitambua nyimbo zilizoimbwa katika loho na kweli
Amen, Sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu
Watu walimwimbia Mungu.
Hakika waliuwasha moto.
Haswaaaa.
Yaan kwaya hii inanibariki sana tangu enzi hizo,.... nlikariri nyimbo zote. Mungu awabariki wapendwa
Happyness Masere umeonae
Ulikuwa na umri ngapi?
Beautiful song❤
2022 still watching this song. A real gospel. May God bless you ❤️
Nyimbo za zamani zina upako bwana ,hizi za skuizi ni changamoto... Watu waliku wanaimba toka moyoni..
This song will live forever
Kitambo Mungu ni mwema
2022,waoh,bado tunaangalia
Baraka tele.
Mob love from kenya, bringing back memories since the year 2000
Childhood memories 😪❤️☺️
Mimi hapa kutoka kenya
Hongereni sana kwa ujumbe mzuri
2021/4/4 naburudika mbarikiwe
Vyombo vimetulia mnoooo napenda
2023.But stil a hit
Miss my childhood
I really like this song 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I am glad to hear this song because it bring back my memory in 2002.
Mungu ni mwema
Mungu akubariki mama yng ulitufundisha misingi mizuri ya dini kupitia nyimbo hizi enzi hizo tukiwa watoto wadog.. hadi leo 2022 naziangalia hapa RUclips na naweza nikaimba wimbo wote.. Mungu azidi kuwabariki waimbaji 🙏💕
Kama Mimi ,hongera sana Kila nikisikiliza nakumbuka sana Mama yangu Mungu azidi kumlinda na kumpa miaka mingi ❤
My mum loved them.May she RIP
Asanteni kwa hii injili njema. Ya siku nyingi lakin nzuri
💎
2024 july still napata ujumbe wa Mungu
Waimbaji kama hawa akipatikana mmoja wao asiingie mbinguni, shetani atamtesa sana. Huwezi kuomba kiroho namna hii halafu usimjue Mungu aliyekuokoa!
🙌🙌🙌🤲🤲
🎸
Mungu awabaliki sana
❤❤❤❤❤ina upako wa namna ya kipekee sanaaa
Amen, Sifa na Utukufu ni kwa Bwana Yesu
Hakuna Kwaya itakakuja tokea kama Hii, Dah najua mtakataa ila Hakuna
Tungefurahi kuwasiliana nawewe ; 0765637590
@@TumainiShangilieniChoirhuwa natamani nitoe sadaka yangu ndogo kwa SHANGILIENI,KWA JINSI NILIVYOMJUWA MUNGU KUPITIA NINYI,MBARIKIWE MNOOO
Hawa jamaa walikuwa wanaujua kweli.
God bless them whenever they are
Kama wote mpo hai kwakweli mungu awatie nguvu
2024 am still listening
Jamani naipenda Kwaya ya Tumaini Shangilieni St. James mno. Nyimbo zenu zina upako wa Roho Mtakatifu wa Mungu. Naomba Bwana YESU awabariki sana.
Nakumbuka mbali sana
Kwaya hii ynibariki sana..One of my best songs since child hood
Natamani wanangu wajue haya Pia kuwa kuna MTETEZI ambaye yupo hata kama tusipokuwepo sisi....LALA PEMA MAMA YANGU ELIPENDEZA
2023 mupo?
Love this dong. Amen Jesus Christ gave his life for us.
2024 we here
Inanikumbusha mbali sana nikiwa kisumu mwaka wa 1999
2020 still the best song
2020 🙏
This messages back in 1990's
Kazi hii inatusogeza karibu Mungu asanteni sana
Mmbarikiwe saaana watumishi nakumbuka mbali
Amen Amen
2023 still listening 🥰 blessed song
2022🤩🤩🤩nabarikiwa sanaa
Natamani sana YESU siku moja atupekibari cha kuimba pamoja tena nawamiss kuliko kawaidaaa
Reminding me of my teenage years and of my parents (RIP)
2021 still watching this is real gospel God bless this choir
Tangu 2001 bado watching nikiwa MACHAKOS KENYA🇰🇪 Barikiweni na MUNGU ,,,,,, AMINA🙏🙏🙏
This song hunikumbusha mbali sana mbarikiwe na Bwana!!
Ni kama jana tu nyimbo imetoka kumbe ina miaka❤
❤
nawafatilia sana sana na nawaombea mungu awabariki nà uzao wenu pia baraka za mungu ziwe tele kwenu , binafsi nawafatilia nikiwa pwani kibiti kupitia channel ya HABARI MAALUM yà FPCT church🌹🌹🌹🌹
Amen amen, Mungu wa Mbinguni aendelee kukubariki
Congratilation, l still well, god blessed us
my best song from tumaini hadi HUWA nauota huu mwimbo
Hii choir aisee imenikumbusha mbalii sanaaa daaahhh when I was Younger 🙏🏽🍾
We are humbled
Nawakumbuka jamaa zangu ...mpaka machozi yananitoka mbarikiwe sana
Not only the Word of GOD lkn ichi kinandaa mm adi keshoo siuchoki huu wimbo
Nakumbuka nikiwa darasa la nne.
Hii ndio injili ya YESU KRISTO
Waoooh
Nawapena 2024
Amen Amen
Songi TAMU la leo PASAKA.
INAPENDEZA SANA TU.
Dah kitambo kweli ila bado iko vizur
2019
Watching now from France 🇨🇵😍👌 my childhood were made by SHANGILIYENI in DRCongo. Nashukuru mungu kwa yote.and bless my dad who gave us this as a gift siku zile 🎉
Childhood memories 😍
Serious 🔥🙏
Nyimbo ziliimbwa kwa ufundi mkubwa,sauti unazisikia zote
Nyimbo zinadumu zaidi ya miaka 100 zikiwa na ubora uleule
Enzi hizo Kilombero, Morogoro hii ndiyo album iliyokuwa inaangaliwa mpaka ina scratch inanunuliwa nyingine. Mpaka sasa nimekuwa mkubwa na familia ya watoto watatu bado mashairi yapo kichwani na inanipa history Safi
Kabisa ilikuwa ni mwendo wa kuazimana tu kwa wale wasiokuwa nayo. Gone were the days bro.
Hizi nyimbo zina mafuta ya nguvu sana kulizo zote za sasa from rwanda
Maisha yakinitingaga huwa nasikiliza hizi ngoma hamjawahi kuchuga kwa akili yangu kwanza kuna huyo jamaa wa kinanda kipindi nipo mdogo.nilikuwa namuita kishingoo🤣🤣 jamaa ako na vibe bana
daah . kitambo sana. 2000 kama sijakosea
Mbarikiwe sana ambao bado mnasikiliza 2019 gonga like twende pamoja
2020
❤❤
♥️♥️♥️♥️♥️💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏Mungu awabarik woteee mnaockiliza.
Karibuni tena KKKT Kimara, mlitubariki sana
Powerful. Be blessed great Choir. 🌹❤️🇰🇪.
Those days with my Dad i miss him so much😢