Ilikuwa Alfajiri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • Tumaini Shangilieni Choir, / tumainishangilieni.choir ; / tumainishangilienichoir

Комментарии • 278

  • @omegaebenezer484
    @omegaebenezer484 3 месяца назад +9

    Who is in 2024 enjoying this powerfull song

  • @josephrobertsawe3597
    @josephrobertsawe3597 6 месяцев назад +32

    Teknolojia haikuwa kama hivi leo, ila hawa jamaa walipiga vyombo na mixing ilikuwa ya viwango vya juu sana, Big up sana!! Whos is still listerning in 2024?

  • @ptactyfamily
    @ptactyfamily Год назад +11

    Like hii meseji ❤kama una angallia hii video 2023 🤝

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 Год назад +6

    Wote wanaokiri ku
    Ikubali kazi ya huyo mtu wa kinanda na gita la bass gongeni like za kutosha hapa.

  • @eflaziamahatane7981
    @eflaziamahatane7981 6 месяцев назад +4

    Tunaoangalia huu wimbo 2024 tujuane

  • @kundaxensimon3767
    @kundaxensimon3767 Год назад +6

    Nmezaliwa kwenye hizi nyimbo my parents used to play this cassette natamani wangekuwepo leo RIP my parents

  • @AngelMayai
    @AngelMayai 2 месяца назад

    Kwakweli Mungu awabariki,nilikua nikitazama huu wimbo nilipojifungua mtoto wangu ambae sasa ana maliza chuo kikuu, haijachuja barikiweni sana

  • @elizabethmwakalinga3287
    @elizabethmwakalinga3287 8 месяцев назад +5

    Daah enzi zile 😅 1997 ❤❤❤❤❤

  • @goodluckestomih4644
    @goodluckestomih4644 Год назад +5

    Daah! inanikumbusha miaka ya utotoni.Mungu awabariki hawa watumishi popote walipo

  • @MROMMAH
    @MROMMAH 4 года назад +32

    Dah Hawa jamaa wanajua Sana ujumbe uliopo humu ndan ya nyimbo hii ni mkubwa Sana wanaosikilza 2020 .....BARIKIWA SANA........twenden sawa

  • @aloisnjau7086
    @aloisnjau7086 Месяц назад

    Nyimbo nzuri sana hii.......Good work ever....🙏🙏

  • @janethgeefs2556
    @janethgeefs2556 Год назад +4

    Nani yuko na mimi kuangalia wimbo huu 2023

  • @kabulakahabi7834
    @kabulakahabi7834 10 месяцев назад +3

    Yaani jamani mungu ni mwema mpka Leo hii tupo hai tunasikiliza nyimbo hizi

  • @ruthnnko3622
    @ruthnnko3622 3 года назад +11

    Namwomba Mungu kama mim na wengine tuliokuzwa katika kumjua Mungu kupitia kwaya hii na watoto wetu nao wakue katika uwepo wako,kukutumainia na kukujua wew Mungu wa Mbinguni.Amen

  • @user-zi6gy9ey6i
    @user-zi6gy9ey6i 6 месяцев назад +3

    Nyie wapiga vyombo Mungu anawaona et, mlijua kunifurahisha ambao bado mpo hai Mungu azidi kuwatunza na kuwabariki ❤🎉

  • @erastonkambale694
    @erastonkambale694 2 дня назад

    Hakika nimejengwa sana na nyimbo zenye kujaa mafundisho na upako mwingi mon.

  • @scorpiorising_
    @scorpiorising_ 2 года назад +12

    I miss my parents so much..its like she made me memorize these songs so they can confort me. When i found this chanel i just bawled..thank u.

    • @TumainiShangilieniChoir
      @TumainiShangilieniChoir  2 года назад

      We are so take with this testimony; We pray for your continued prosperity.
      Blessings

  • @shilarida3646
    @shilarida3646 3 года назад +7

    Lots of love from Kenya. Be blessed tanzanians

  • @nancykerubo-op3lt
    @nancykerubo-op3lt 4 месяца назад

    My mom's favorite album aki. She loved these songs. RIP mom

  • @bishopdrchiefmwakilima8520
    @bishopdrchiefmwakilima8520 Год назад

    Barikiwa sanaaaaaa watumishi wa Mungu

  • @oliveramani5629
    @oliveramani5629 2 года назад +1

    Long time kwa kweli

  • @ZawadiSamy
    @ZawadiSamy 6 месяцев назад +3

    Jinalabwana lipewe sifa kupitia nyimbo zake

  • @teresamaro9549
    @teresamaro9549 2 года назад +2

    Have grown listening to them since i was primary mpaka sasa na miaka 31 , mbarikiwe we love U Guy's n miss this

  • @annomdekwa1878
    @annomdekwa1878 7 лет назад +43

    Daaaah kipindi kwaya ikienda studio inajua nini inaenda kukifanya👏👏👏👏
    mbarikiwe sana

  • @paulomrema1651
    @paulomrema1651 Месяц назад

    Hii ndiyo kwaya bhana Wana adabu ujumbe mziri

  • @jannuary26
    @jannuary26 3 года назад +7

    if you knew this before, my friend you are a LEGEND 😃 n be blessed

  • @manyesempangala1961
    @manyesempangala1961 Год назад

    Mbariwe sana , kinanda kinanibariki saanaaa

  • @ElishaErasto-m4z
    @ElishaErasto-m4z 5 месяцев назад +2

    Mungu ni mwema sana kwetu huu wimbo umenitoa adi chozi miaka mingi mno ndio tujue kuzitambua nyimbo zilizoimbwa katika loho na kweli

  • @happynessmasere236
    @happynessmasere236 7 лет назад +16

    Yaan kwaya hii inanibariki sana tangu enzi hizo,.... nlikariri nyimbo zote. Mungu awabariki wapendwa

  • @cutandgo
    @cutandgo 10 месяцев назад

    Beautiful song❤

  • @huldakahindo7373
    @huldakahindo7373 2 года назад +11

    2022 still watching this song. A real gospel. May God bless you ❤️

    • @nicholauslabani8504
      @nicholauslabani8504 Год назад

      Nyimbo za zamani zina upako bwana ,hizi za skuizi ni changamoto... Watu waliku wanaimba toka moyoni..

    • @thomasezekia6741
      @thomasezekia6741 11 месяцев назад

      This song will live forever

  • @evamanyenye3417
    @evamanyenye3417 Месяц назад

    Kitambo Mungu ni mwema

  • @rehemamanya3536
    @rehemamanya3536 2 года назад +1

    2022,waoh,bado tunaangalia

  • @agneshotay
    @agneshotay 2 года назад +1

    Baraka tele.

  • @stanleykoech9714
    @stanleykoech9714 3 года назад +4

    Mob love from kenya, bringing back memories since the year 2000

  • @valkely4627
    @valkely4627 3 года назад +7

    Childhood memories 😪❤️☺️

  • @habonayaverna4234
    @habonayaverna4234 4 месяца назад

    Mimi hapa kutoka kenya

  • @evamambo6602
    @evamambo6602 Год назад

    Hongereni sana kwa ujumbe mzuri

  • @rodanchambi3406
    @rodanchambi3406 3 года назад +1

    2021/4/4 naburudika mbarikiwe

  • @lakiabalozi5633
    @lakiabalozi5633 3 года назад

    Vyombo vimetulia mnoooo napenda

  • @kelvinomary8587
    @kelvinomary8587 Год назад

    2023.But stil a hit

  • @dimadinchu2674
    @dimadinchu2674 2 года назад

    Miss my childhood

  • @wainainagideon2068
    @wainainagideon2068 8 месяцев назад +1

    I really like this song 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @victorkaigarula7014
    @victorkaigarula7014 4 года назад +8

    I am glad to hear this song because it bring back my memory in 2002.

  • @samwelimlanda978
    @samwelimlanda978 Год назад

    Mungu ni mwema

  • @happyurio5658
    @happyurio5658 2 года назад +3

    Mungu akubariki mama yng ulitufundisha misingi mizuri ya dini kupitia nyimbo hizi enzi hizo tukiwa watoto wadog.. hadi leo 2022 naziangalia hapa RUclips na naweza nikaimba wimbo wote.. Mungu azidi kuwabariki waimbaji 🙏💕

    • @davidlukumay2226
      @davidlukumay2226 Год назад

      Kama Mimi ,hongera sana Kila nikisikiliza nakumbuka sana Mama yangu Mungu azidi kumlinda na kumpa miaka mingi ❤

  • @rubyamondi6112
    @rubyamondi6112 3 года назад +17

    My mum loved them.May she RIP

    • @samsonsengi7574
      @samsonsengi7574 2 года назад

      Asanteni kwa hii injili njema. Ya siku nyingi lakin nzuri

  • @aloyciuslaurent
    @aloyciuslaurent 2 года назад +1

    💎

  • @FloraErasto-ld1kd
    @FloraErasto-ld1kd 2 месяца назад

    2024 july still napata ujumbe wa Mungu

  • @janethjosephe8911
    @janethjosephe8911 6 лет назад +15

    Waimbaji kama hawa akipatikana mmoja wao asiingie mbinguni, shetani atamtesa sana. Huwezi kuomba kiroho namna hii halafu usimjue Mungu aliyekuokoa!

  • @shabanikajuni5051
    @shabanikajuni5051 Год назад

    Mungu awabaliki sana

  • @Scolacarlos
    @Scolacarlos 4 месяца назад

    ❤❤❤❤❤ina upako wa namna ya kipekee sanaaa

  • @DartaarifaTv
    @DartaarifaTv 2 года назад +1

    Hakuna Kwaya itakakuja tokea kama Hii, Dah najua mtakataa ila Hakuna

    • @TumainiShangilieniChoir
      @TumainiShangilieniChoir  2 года назад

      Tungefurahi kuwasiliana nawewe ; 0765637590

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Год назад

      ​@@TumainiShangilieniChoirhuwa natamani nitoe sadaka yangu ndogo kwa SHANGILIENI,KWA JINSI NILIVYOMJUWA MUNGU KUPITIA NINYI,MBARIKIWE MNOOO

  • @allenmhando8443
    @allenmhando8443 9 месяцев назад

    Hawa jamaa walikuwa wanaujua kweli.

  • @user-ue8do3kb4d
    @user-ue8do3kb4d 8 месяцев назад

    God bless them whenever they are

  • @filbertcarlos2946
    @filbertcarlos2946 Год назад

    Kama wote mpo hai kwakweli mungu awatie nguvu

  • @musayaqub3367
    @musayaqub3367 8 месяцев назад

    2024 am still listening

  • @danielorango5875
    @danielorango5875 7 лет назад +4

    Jamani naipenda Kwaya ya Tumaini Shangilieni St. James mno. Nyimbo zenu zina upako wa Roho Mtakatifu wa Mungu. Naomba Bwana YESU awabariki sana.

  • @filbertcarlos2946
    @filbertcarlos2946 Год назад

    Nakumbuka mbali sana

  • @mtutamajala4767
    @mtutamajala4767 6 лет назад +5

    Kwaya hii ynibariki sana..One of my best songs since child hood

  • @AhimidiweMbise-zo7yd
    @AhimidiweMbise-zo7yd 4 месяца назад

    Natamani wanangu wajue haya Pia kuwa kuna MTETEZI ambaye yupo hata kama tusipokuwepo sisi....LALA PEMA MAMA YANGU ELIPENDEZA

  • @corneillemikalano7332
    @corneillemikalano7332 Год назад

    2023 mupo?

  • @annekamau9302
    @annekamau9302 Год назад +1

    Love this dong. Amen Jesus Christ gave his life for us.

  • @finetinah9784
    @finetinah9784 5 месяцев назад

    2024 we here

  • @jacksonkikwai7033
    @jacksonkikwai7033 4 года назад +2

    Inanikumbusha mbali sana nikiwa kisumu mwaka wa 1999

  • @emilianakaaya7149
    @emilianakaaya7149 4 года назад +7

    2020 still the best song

  • @bishopdrchiefmwakilima8520
    @bishopdrchiefmwakilima8520 Год назад

    This messages back in 1990's

  • @jaredwangwe2924
    @jaredwangwe2924 3 года назад +2

    Kazi hii inatusogeza karibu Mungu asanteni sana

  • @LENNARDMTWEVE
    @LENNARDMTWEVE 4 месяца назад

    Mmbarikiwe saaana watumishi nakumbuka mbali

  • @catherinechinjeru543
    @catherinechinjeru543 Год назад +1

    2023 still listening 🥰 blessed song

  • @priscaanthony1067
    @priscaanthony1067 Год назад

    2022🤩🤩🤩nabarikiwa sanaa

  • @wakukayajr6536
    @wakukayajr6536 5 лет назад +2

    Natamani sana YESU siku moja atupekibari cha kuimba pamoja tena nawamiss kuliko kawaidaaa

  • @clementiddi6244
    @clementiddi6244 2 года назад +2

    Reminding me of my teenage years and of my parents (RIP)

  • @paulmwalongo6476
    @paulmwalongo6476 3 года назад +13

    2021 still watching this is real gospel God bless this choir

    • @samuelkamotho7462
      @samuelkamotho7462 2 года назад

      Tangu 2001 bado watching nikiwa MACHAKOS KENYA🇰🇪 Barikiweni na MUNGU ,,,,,, AMINA🙏🙏🙏

  • @bejishful
    @bejishful Год назад +1

    This song hunikumbusha mbali sana mbarikiwe na Bwana!!

  • @jemamartin9669
    @jemamartin9669 2 месяца назад

    Ni kama jana tu nyimbo imetoka kumbe ina miaka❤

  • @johnsteven2676
    @johnsteven2676 5 месяцев назад

    nawafatilia sana sana na nawaombea mungu awabariki nà uzao wenu pia baraka za mungu ziwe tele kwenu , binafsi nawafatilia nikiwa pwani kibiti kupitia channel ya HABARI MAALUM yà FPCT church🌹🌹🌹🌹

  • @musezajoseph4546
    @musezajoseph4546 3 года назад +1

    Congratilation, l still well, god blessed us

  • @salomemtwale5370
    @salomemtwale5370 3 года назад +1

    my best song from tumaini hadi HUWA nauota huu mwimbo

  • @abelnsongoma1428
    @abelnsongoma1428 2 года назад +2

    Hii choir aisee imenikumbusha mbalii sanaaa daaahhh when I was Younger 🙏🏽🍾

  • @aselahlukinja3349
    @aselahlukinja3349 4 года назад +2

    Nawakumbuka jamaa zangu ...mpaka machozi yananitoka mbarikiwe sana

  • @ebenezanatse9436
    @ebenezanatse9436 3 года назад +1

    Not only the Word of GOD lkn ichi kinandaa mm adi keshoo siuchoki huu wimbo

  • @NdelisoMateru
    @NdelisoMateru Год назад

    Nakumbuka nikiwa darasa la nne.

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 9 месяцев назад

    Hii ndio injili ya YESU KRISTO

  • @paulomrema1651
    @paulomrema1651 Месяц назад

    Waoooh

  • @janethhendry6734
    @janethhendry6734 4 месяца назад

    Nawapena 2024

  • @NICHOLOUSKUYAVA-ye5cw
    @NICHOLOUSKUYAVA-ye5cw Год назад

    Songi TAMU la leo PASAKA.
    INAPENDEZA SANA TU.

  • @chazkoillah2652
    @chazkoillah2652 5 лет назад +3

    Dah kitambo kweli ila bado iko vizur
    2019

  • @sophiekahayira768
    @sophiekahayira768 Год назад

    Watching now from France 🇨🇵😍👌 my childhood were made by SHANGILIYENI in DRCongo. Nashukuru mungu kwa yote.and bless my dad who gave us this as a gift siku zile 🎉

  • @RafikiEyeClinic
    @RafikiEyeClinic 5 лет назад +12

    Childhood memories 😍

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 4 года назад +8

    Nyimbo ziliimbwa kwa ufundi mkubwa,sauti unazisikia zote
    Nyimbo zinadumu zaidi ya miaka 100 zikiwa na ubora uleule

  • @juliusmkwiji283
    @juliusmkwiji283 4 года назад +4

    Enzi hizo Kilombero, Morogoro hii ndiyo album iliyokuwa inaangaliwa mpaka ina scratch inanunuliwa nyingine. Mpaka sasa nimekuwa mkubwa na familia ya watoto watatu bado mashairi yapo kichwani na inanipa history Safi

    • @frankmlelwa1073
      @frankmlelwa1073 2 года назад +1

      Kabisa ilikuwa ni mwendo wa kuazimana tu kwa wale wasiokuwa nayo. Gone were the days bro.

    • @jean-pierreuwimana
      @jean-pierreuwimana 2 года назад

      Hizi nyimbo zina mafuta ya nguvu sana kulizo zote za sasa from rwanda

  • @dvosokoloo2948
    @dvosokoloo2948 Год назад

    Maisha yakinitingaga huwa nasikiliza hizi ngoma hamjawahi kuchuga kwa akili yangu kwanza kuna huyo jamaa wa kinanda kipindi nipo mdogo.nilikuwa namuita kishingoo🤣🤣 jamaa ako na vibe bana

  • @juliusmoshi3172
    @juliusmoshi3172 3 года назад +1

    daah . kitambo sana. 2000 kama sijakosea

  • @juliethmdee646
    @juliethmdee646 5 лет назад +13

    Mbarikiwe sana ambao bado mnasikiliza 2019 gonga like twende pamoja

  • @naomienyota2969
    @naomienyota2969 Год назад

    ❤❤

  • @rachealgotrieb5986
    @rachealgotrieb5986 4 года назад +1

    ♥️♥️♥️♥️♥️💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏Mungu awabarik woteee mnaockiliza.

  • @neemasarwatt1030
    @neemasarwatt1030 Год назад +1

    Karibuni tena KKKT Kimara, mlitubariki sana

  • @newtonsimba7930
    @newtonsimba7930 2 года назад +1

    Powerful. Be blessed great Choir. 🌹❤️🇰🇪.

  • @fadhilraphael6576
    @fadhilraphael6576 Год назад

    Those days with my Dad i miss him so much😢