Daktari aliyedaiwa kuwaua watoto wake wawili huko Nakuru amefariki

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Daktari James Gakara anayedaiwa kuwauwa wanawe wawili na kisha kujaribu kujitia kitanzi amefariki hii leo. Familia yake ambayo bado ilikuwa imesalia na maswali chungu nzima kuhusu kiini cha mauwaji ya watoto hao sasa inakabiliwa na kifo cha daktari Gakara. Na kama anavyoarifu Maryanne Nyambura, hafla ya mazishi ya watoto hao iliyopangiwa kufanyika ijumaa wiki hii huenda ikaahirishwa kufuatia kifo cha baba yao.

Комментарии • 12

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 3 года назад +5

    Yani siku hizi sukari inashukanga chini kwaku uwa watoto mbhona miaka hizo zote sukari haiku shuka?

  • @beautifullyMade2024
    @beautifullyMade2024 Год назад

    I never saw this....waah!...

  • @lydianjoki151
    @lydianjoki151 3 года назад

    Dr gakara. Ulikuwa Dr unapenda watu sana. Juu ww ndyo ulienifanya operation mwezi wa 7 and I make it it's very sad but God knows everything. Rip

  • @rachaelw580
    @rachaelw580 3 года назад +2

    We wish Angepona dio aelezee dunia what happened but anyway rest in peace but ulifanya vibaya kuuwa watoto Mbao hawakuwa na makosa na ambao wangetaka kuishi but because it happened may their souls rest in eternal peace

  • @marymwikali1456
    @marymwikali1456 3 года назад +1

    God have mercy on us 😭

  • @clemencianyaboga8946
    @clemencianyaboga8946 3 года назад +1

    So sad 😭😭

  • @Ryoof-qo7if
    @Ryoof-qo7if 3 года назад

    Shida ninini mungu wangu

  • @karenkairu9938
    @karenkairu9938 3 года назад +1

    So tragic

  • @agieulerohojuu3238
    @agieulerohojuu3238 3 года назад

    Lack words to say 😥😥😥😥

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 3 года назад

    So 😥

  • @davidndugo8787
    @davidndugo8787 3 года назад

    So disturbing God have mercy on your people

  • @haronobuya4676
    @haronobuya4676 3 года назад

    Kama angekufa pekee, ingekuwa sawa lakini... Wasiojua lolote wamekufa kifo kichungu