Daktari aliyedaiwa kuwaua watoto wake wawili huko Nakuru amefariki
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- Daktari James Gakara anayedaiwa kuwauwa wanawe wawili na kisha kujaribu kujitia kitanzi amefariki hii leo. Familia yake ambayo bado ilikuwa imesalia na maswali chungu nzima kuhusu kiini cha mauwaji ya watoto hao sasa inakabiliwa na kifo cha daktari Gakara. Na kama anavyoarifu Maryanne Nyambura, hafla ya mazishi ya watoto hao iliyopangiwa kufanyika ijumaa wiki hii huenda ikaahirishwa kufuatia kifo cha baba yao.
Yani siku hizi sukari inashukanga chini kwaku uwa watoto mbhona miaka hizo zote sukari haiku shuka?
I never saw this....waah!...
Dr gakara. Ulikuwa Dr unapenda watu sana. Juu ww ndyo ulienifanya operation mwezi wa 7 and I make it it's very sad but God knows everything. Rip
We wish Angepona dio aelezee dunia what happened but anyway rest in peace but ulifanya vibaya kuuwa watoto Mbao hawakuwa na makosa na ambao wangetaka kuishi but because it happened may their souls rest in eternal peace
God have mercy on us 😭
So sad 😭😭
Shida ninini mungu wangu
So tragic
Lack words to say 😥😥😥😥
So 😥
So disturbing God have mercy on your people
Kama angekufa pekee, ingekuwa sawa lakini... Wasiojua lolote wamekufa kifo kichungu