Kizaazaa mjini Nakuru baada ya maiti kupelekwa kwenye duka ya mtu aliye na deni la marehemu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 фев 2023
  • Kizaazaa kimezuka katika kijiji cha Bondeni kaunti ya Nakuru ambapo familia ya jamaa mmoja mwenye umri wa miaka sitini imepeleka mwili wa marehemu hadi kwenye duka moja la jamaa anayedaiwa shilingi laki nne na marehemu.

Комментарии • 240

  • @BT-rp6by
    @BT-rp6by Год назад +33

    Karibu kenya...2ko n tabia zetu Capital city of Africa 🤔🤔🤔🤔🤔 n kisi tena

  • @KenyaNewsChannel
    @KenyaNewsChannel Год назад +6

    Wakisii ata wakiwa Nakuru they have to make Headlines 🤣🤣🤣

  • @salomesally2976
    @salomesally2976 Год назад +57

    Mlisema Kenya Bora mtu awe na smartphone na bundles za kutosha kuboeka ni kujitakia🥴🥴🥴

  • @Lifewithdeniskii75
    @Lifewithdeniskii75 Год назад +11

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nihame Kenya niende wapi????i still want to be a Kenyan in my next life😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 there's no place like home

    • @puriemuriuki
      @puriemuriuki Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @scolasticaakello6779
    @scolasticaakello6779 Год назад +28

    Kenya never disappoint

  • @jacintamuinde3426
    @jacintamuinde3426 Год назад +14

    No is no I can't give a person that amount to keep for me ,Kenyans wake up.

    • @selamatapa3441
      @selamatapa3441 Год назад

      Me too,... pple are so funny heli niweke kuwa bank,.. I wont mind bank charges

    • @wayando
      @wayando Год назад

      It depends. You don't know the details of their deal.

  • @nusaibahhassan733
    @nusaibahhassan733 Год назад +6

    Uweeeeeh My Country People Never Disapoint😹😹😹😹😹😹

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Год назад +1

    😂😂Cjui nacheka nn lakini wakisii never disappoint wallai, Wacha alipe deni

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Год назад +22

    Haki Kenya yetu 😂🤣🤣❤🙏

  • @doricecyprian7246
    @doricecyprian7246 Год назад +20

    Dunia ina mamboo😂😂

  • @ehmkaysimple9958
    @ehmkaysimple9958 Год назад +3

    Si story na wakisii..Mzee wa Kijiji amesema baba Marto Ako na tabia ya kuibia watu....ajue mkisii si wa kuchezewa ama kweli kesho yete atakua maiti.

  • @grammamresh8848
    @grammamresh8848 Год назад +18

    Guys make sure amelipa 😂😂😂 aaaaaiii asiwaletee ujinga,

    • @sherken659
      @sherken659 Год назад

      Aje. Kwani nawe unajuaje alikua anadai how much? Hawa ni gold diggers

  • @sherken659
    @sherken659 Год назад +4

    Aaah!! Wakisii tumewazoea na vituko kwendeni uko!!! Juzi mpaka munangoa watoto macho,munachoma wama wazee,wababa wanabaka mabinti zao. So hapo musidhani munatutisha.

  • @MANAGUBOYZ1
    @MANAGUBOYZ1 Год назад +6

    Akicheza na maiti ya mkisii, usiku itamfuata, atajua hajui

  • @judithwambui433
    @judithwambui433 Год назад +12

    Very sad rest in peace na haki ipatikane

  • @daughterofzion135
    @daughterofzion135 Год назад +16

    Hizo pesa atazitoa asicheze n maiti🤣🤣🤣

  • @mokayaken2497
    @mokayaken2497 Год назад +16

    Nyamira never disappoint

  • @BMboss108
    @BMboss108 Год назад +8

    Hizo pesa zitaliwa na other relatives his wife and kids wont get a dime

  • @phenelismawira2624
    @phenelismawira2624 Год назад +19

    Karibu Kenya 😂😂 the world is watching

  • @eugenekeragori6533
    @eugenekeragori6533 Год назад +2

    Ana Gari tatu 🤣🤣🤣..huyu Mzee ameamua kumwaga mtama 🤣🤣

  • @b.3940
    @b.3940 Год назад +20

    Wah! Haki ya merehemu!!!!, Haki ya marehemu!!!!.

  • @destinymoraa1469
    @destinymoraa1469 Год назад +4

    kenyans never disapoint weuh lazima kieleweke

  • @franklineshaban6917
    @franklineshaban6917 Год назад +2

    Very serious

  • @elizabethoigoro1937
    @elizabethoigoro1937 Год назад +3

    Mungu nisaidie kuhebuka madeni

  • @joe245681
    @joe245681 Год назад +18

    Death is not end of life....African saying.

    • @MillanEmkay
      @MillanEmkay Год назад

      😂😂😂😂💯

    • @MillanEmkay
      @MillanEmkay Год назад +1

      Kenya saying 😂😂😂😂 kenya kuna mambo yo

    • @pascalinejebet1508
      @pascalinejebet1508 Год назад +1

      😂😂😂😂,kenyan proverb

    • @susanmachayo8845
      @susanmachayo8845 Год назад

      ​@@pascalinejebet1508 aki hii ni kenyan proverbs walai 🤣🤣

  • @thewildpeople7799
    @thewildpeople7799 Год назад +5

    When the dead come to collect their debt... debtor alikuwa anadhani ameponea deni ya wenyewe.

  • @milkamuteo6957
    @milkamuteo6957 Год назад +5

    Alipe deni ,ama akae nahiyo mwili ,justice for that man

    • @wayando
      @wayando Год назад

      If it were not for superstition ... Technically the body will do nothing to him 😂😂😂
      Still. Debts should be paid.

  • @Sam-mc6zs
    @Sam-mc6zs Год назад +14

    Wakisii🤣

  • @puritykash8928
    @puritykash8928 Год назад +3

    Yaani marehemu amekata kurest in peace mpaka deni ilipwe

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 Год назад +3

    Wakisii bana😂😂😂

  • @sirnewton1217
    @sirnewton1217 Год назад +3

    That's not the way ..hakuna mtu Hana deni duniani ...

  • @kition1973
    @kition1973 Год назад +3

    Kenya my country

  • @wesleymarube3041
    @wesleymarube3041 Год назад +1

    Nini anonyesha alimpatia pesa wakisii never disappoint

    • @wayando
      @wayando Год назад

      Ni kama the transaction was in the public domain ... Imagine a boda boda guy and his 400K transaction, you think it would have been a secret?
      400K sio pesa kidogo hapa Kenya.

  • @eugenekeragori6533
    @eugenekeragori6533 Год назад +4

    Nyamira 🤣🤣🤣..wakisii tumeamua Hii Kenya Ni yetu

  • @marykinuthia6067
    @marykinuthia6067 Год назад +11

    He must pay.

  • @gracegatheru9438
    @gracegatheru9438 Год назад +8

    Usicheze na binadamu

  • @margaretdivisi5160
    @margaretdivisi5160 Год назад +3

    Nyamira, nyamira, nyamira, why Kila kucha ni vituko. God help nyamira county.

  • @bernardoloo2023
    @bernardoloo2023 Год назад +8

    Ladies now you know..Never marry a man called Martin.. otherwise A dead man will be chasing after you 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @danielkaruga7770
    @danielkaruga7770 Год назад +8

    alipe pesa, huyo ni conman

  • @danielkaruga7770
    @danielkaruga7770 Год назад +5

    Bondeni is idlers City

  • @phoebeadikinyi3441
    @phoebeadikinyi3441 Год назад +4

    Jesoooooooooooooooo!!!!!!

  • @MrKombo254
    @MrKombo254 Год назад +1

    Nax haijawai angusha form... Wueh 😂😂

  • @ToxicAfricanKing
    @ToxicAfricanKing Год назад +5

    Ha,ha... hiyo ni kali ⚰😂

  • @teresiahnganga7484
    @teresiahnganga7484 Год назад +7

    Kisii's tena 😂

  • @judithnyarash-lx6fx
    @judithnyarash-lx6fx Год назад +1

    Pole sana very sad

  • @festoonderi6201
    @festoonderi6201 Год назад +3

    Aibu sana. Lipa deni kabla mtu hajafa.

  • @douglaskhakamemindoti3455
    @douglaskhakamemindoti3455 Год назад +2

    Just go to Court. Other stories won't help...

  • @roseotera4828
    @roseotera4828 Год назад +12

    Alipe deni alaah akuna vya bure

  • @jacklinewanja4190
    @jacklinewanja4190 Год назад +2

    Aki Kenya is my country

  • @njokerio
    @njokerio Год назад +2

    Wakisii wanagonga vichwa za Habari kila siku 😂😂😂

  • @bathahebahmachani5898
    @bathahebahmachani5898 Год назад +3

    Chesa na mwingine zi mkisii WA nyamira😂👆🤔😎

  • @qabubeibz6355
    @qabubeibz6355 Год назад +6

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wakisii tena

  • @takonamesh3012
    @takonamesh3012 Год назад +6

    Kenya ya majaabu

  • @jacintamuinde3426
    @jacintamuinde3426 Год назад +5

    Wonders will never cease but that man should pay the debt.

  • @wayando
    @wayando Год назад

    Anyway, I understand them ... If they bury the guy his money will disappear.
    In Kenya only drama gets you your rights.

  • @salimhassan7294
    @salimhassan7294 Год назад +2

    Karibu kenya

  • @beddynadiah1825
    @beddynadiah1825 Год назад +1

    Marehemu alikataa mchezo lazima asimame hapo pesa zipatikane...gari likakataa kwenda 🤣

  • @easterkimeu-7662
    @easterkimeu-7662 Год назад +3

    Rest in peace

  • @imagineSasa
    @imagineSasa Год назад +2

    Sasa wakisii wamekasirika

  • @rachelmaina2680
    @rachelmaina2680 Год назад +3

    Murife don't run🏃🏃🏃🏃

  • @agnesmangale3163
    @agnesmangale3163 Год назад

    Waaa kunawatu wanapenda utajiri wa dhulumaa

  • @jullyjulline4359
    @jullyjulline4359 Год назад +1

    Mm nihame kenya weeee ata kwa dawa siwezi 😂😂lazima maiti ilipwe ndio izikwe
    RIP

  • @nancykirumati4169
    @nancykirumati4169 Год назад

    Karibu Kenya ambapo Maiti hukataa kwenda mpaka walipwe deni na kwingine hukataa kuzikwa....Aki Kenya punguzeni Uchawi

  • @Moorrakamoh7748
    @Moorrakamoh7748 Год назад +2

    Mambo ni mengi masaa ndio machache akh

  • @dominicnyabuto6703
    @dominicnyabuto6703 Год назад +1

    Episode 5 na bado ...

  • @lyricsfromtheheart_braviam2909
    @lyricsfromtheheart_braviam2909 Год назад +2

    WAKISII HAMCHEKI

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 Год назад +1

    Wakisiii bana wacheni tupumuee

  • @mamaboizpure842
    @mamaboizpure842 Год назад +1

    Wakisii surely 🤔🤔🤔🤔🤔😏😏😏😏 wuuuuueeeeeee

  • @truphenaombati5700
    @truphenaombati5700 Год назад +1

    Ndo naingia,,,, marehemu amelipwa au 🙄🤔?

  • @peresatieno7071
    @peresatieno7071 Год назад +1

    Si hami kenya

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 Год назад

    Noma

  • @samuelmatoke5104
    @samuelmatoke5104 Год назад +2

    Kidogo kidogo mtaona Matiang'i hapo

  • @jacksonngulu6653
    @jacksonngulu6653 Год назад +4

    Ooh ni wakisii tuwaelewe tu.

  • @joycenjerindungu116
    @joycenjerindungu116 Год назад +2

    Kenya my country n continent

  • @benardomboi1796
    @benardomboi1796 Год назад +2

    Hii mwaka ni ya wakisii

  • @mariawanjiru1275
    @mariawanjiru1275 Год назад +2

    Ukistajabu ya Musa utayaona ya filauni

  • @lucywambuigitau7630
    @lucywambuigitau7630 Год назад +8

    Kenya sirudi 😂😂😂

  • @Simeonfbi-g1p
    @Simeonfbi-g1p Год назад +1

    It's only hapen in kenya

  • @spinicahmontentes6825
    @spinicahmontentes6825 Год назад

    Ee apeane hiyo gari maiti itolewe kwake hakuna wakujula jasho la wengine na vile maisha inapanda kila siku

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 Год назад

    Jamani.hiyo tocha Kali jamani....

  • @SAMSONOKWANY
    @SAMSONOKWANY Год назад

    Maajabu

  • @pretty3405
    @pretty3405 Год назад +1

    Enyewe tuko pabaya kuliko jana 😄😆

  • @nicholuskipkorir9392
    @nicholuskipkorir9392 Год назад +1

    Mzee wa kijiji😅😅😅

  • @kelvinkipyego4637
    @kelvinkipyego4637 Год назад

    Dunia....

  • @victoronchiri7236
    @victoronchiri7236 Год назад

    Wah

  • @alextwiri
    @alextwiri Год назад

    Kama uko na deni yangu nipee leo🤣🤣🤣

  • @AnnAnn-no1sk
    @AnnAnn-no1sk Год назад

    Eti kama hana where did it go

  • @jennihjose8133
    @jennihjose8133 Год назад +2

    Jessoooooooo

  • @kamrembomuthaka4645
    @kamrembomuthaka4645 Год назад

    Makubua haya unatoroka juu ya pesa zawenyewe ulipokea kwa raha lipa kwa usalama

  • @syayipumaezira-8649
    @syayipumaezira-8649 Год назад

    Sawa

  • @vanpoposkitchen680
    @vanpoposkitchen680 Год назад

    Mkisii hawezikosa Kwa headline hata kama ako America

  • @belongskits
    @belongskits Год назад +2

    Watu wamejifunza kufa na deni za watu na si fair. 😂😂

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад

    😥😥

  • @azamazam3279
    @azamazam3279 Год назад

    Jamani

  • @knowmore306
    @knowmore306 Год назад +1

    Wakisii

  • @ruthagoi8847
    @ruthagoi8847 Год назад +3

    Baba martin jitokeze wakisii ni moto

    • @queenwere1
      @queenwere1 Год назад

      😂 😂 😂 😂 Gaaki wasijaribu

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar357 Год назад +6

    yaani gari iliharibikia hapo hapo

  • @nancymoraa6491
    @nancymoraa6491 Год назад +6

    Wacha niede congo 🤭

  • @cate8976
    @cate8976 Год назад

    Hehehe, my country Kenya

  • @vincentnyawa
    @vincentnyawa Год назад

    Macho yangu Swalehe! Kwani hakuna Benki?