Kizaazaa mjini Nakuru baada ya maiti kupelekwa kwenye duka ya mtu aliye na deni la marehemu
HTML-код
- Опубликовано: 19 фев 2023
- Kizaazaa kimezuka katika kijiji cha Bondeni kaunti ya Nakuru ambapo familia ya jamaa mmoja mwenye umri wa miaka sitini imepeleka mwili wa marehemu hadi kwenye duka moja la jamaa anayedaiwa shilingi laki nne na marehemu.
Karibu kenya...2ko n tabia zetu Capital city of Africa 🤔🤔🤔🤔🤔 n kisi tena
Wakisii ata wakiwa Nakuru they have to make Headlines 🤣🤣🤣
Mlisema Kenya Bora mtu awe na smartphone na bundles za kutosha kuboeka ni kujitakia🥴🥴🥴
I swear 😂
Exactly
Walai🤣🤣
Definitely
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nihame Kenya niende wapi????i still want to be a Kenyan in my next life😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 there's no place like home
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kenya never disappoint
No is no I can't give a person that amount to keep for me ,Kenyans wake up.
Me too,... pple are so funny heli niweke kuwa bank,.. I wont mind bank charges
It depends. You don't know the details of their deal.
Uweeeeeh My Country People Never Disapoint😹😹😹😹😹😹
😂😂Cjui nacheka nn lakini wakisii never disappoint wallai, Wacha alipe deni
Haki Kenya yetu 😂🤣🤣❤🙏
Dunia ina mamboo😂😂
Si story na wakisii..Mzee wa Kijiji amesema baba Marto Ako na tabia ya kuibia watu....ajue mkisii si wa kuchezewa ama kweli kesho yete atakua maiti.
Guys make sure amelipa 😂😂😂 aaaaaiii asiwaletee ujinga,
Aje. Kwani nawe unajuaje alikua anadai how much? Hawa ni gold diggers
Aaah!! Wakisii tumewazoea na vituko kwendeni uko!!! Juzi mpaka munangoa watoto macho,munachoma wama wazee,wababa wanabaka mabinti zao. So hapo musidhani munatutisha.
Akicheza na maiti ya mkisii, usiku itamfuata, atajua hajui
Very sad rest in peace na haki ipatikane
Hizo pesa atazitoa asicheze n maiti🤣🤣🤣
🤣💃
More worse ni mkisii
Murife dnt run
Nyamira never disappoint
Hizo pesa zitaliwa na other relatives his wife and kids wont get a dime
Karibu Kenya 😂😂 the world is watching
Ana Gari tatu 🤣🤣🤣..huyu Mzee ameamua kumwaga mtama 🤣🤣
Wah! Haki ya merehemu!!!!, Haki ya marehemu!!!!.
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂,this kenyans wah
haki ya mukufi itendeke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kenyans never disapoint weuh lazima kieleweke
Very serious
Mungu nisaidie kuhebuka madeni
Death is not end of life....African saying.
😂😂😂😂💯
Kenya saying 😂😂😂😂 kenya kuna mambo yo
😂😂😂😂,kenyan proverb
@@pascalinejebet1508 aki hii ni kenyan proverbs walai 🤣🤣
When the dead come to collect their debt... debtor alikuwa anadhani ameponea deni ya wenyewe.
Hahaha 😆
Alipe deni ,ama akae nahiyo mwili ,justice for that man
If it were not for superstition ... Technically the body will do nothing to him 😂😂😂
Still. Debts should be paid.
Wakisii🤣
Yaani marehemu amekata kurest in peace mpaka deni ilipwe
Wakisii bana😂😂😂
That's not the way ..hakuna mtu Hana deni duniani ...
Kenya my country
Nini anonyesha alimpatia pesa wakisii never disappoint
Ni kama the transaction was in the public domain ... Imagine a boda boda guy and his 400K transaction, you think it would have been a secret?
400K sio pesa kidogo hapa Kenya.
Nyamira 🤣🤣🤣..wakisii tumeamua Hii Kenya Ni yetu
🤣🤣🤣🤣
He must pay.
🤣🤣
Usicheze na binadamu
Nyamira, nyamira, nyamira, why Kila kucha ni vituko. God help nyamira county.
Ladies now you know..Never marry a man called Martin.. otherwise A dead man will be chasing after you 🤣🤣🤣🤣🤣
Oloooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😅😅😅
alipe pesa, huyo ni conman
Bondeni is idlers City
Jesoooooooooooooooo!!!!!!
Nax haijawai angusha form... Wueh 😂😂
Ha,ha... hiyo ni kali ⚰😂
Kisii's tena 😂
Pole sana very sad
Aibu sana. Lipa deni kabla mtu hajafa.
Just go to Court. Other stories won't help...
Alipe deni alaah akuna vya bure
Aki Kenyans 😂😂🤣
Aki Kenya is my country
Wakisii wanagonga vichwa za Habari kila siku 😂😂😂
Chesa na mwingine zi mkisii WA nyamira😂👆🤔😎
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wakisii tena
Kenya ya majaabu
Wonders will never cease but that man should pay the debt.
Anyway, I understand them ... If they bury the guy his money will disappear.
In Kenya only drama gets you your rights.
Karibu kenya
Marehemu alikataa mchezo lazima asimame hapo pesa zipatikane...gari likakataa kwenda 🤣
Rest in peace
Sasa wakisii wamekasirika
Murife don't run🏃🏃🏃🏃
Waaa kunawatu wanapenda utajiri wa dhulumaa
Mm nihame kenya weeee ata kwa dawa siwezi 😂😂lazima maiti ilipwe ndio izikwe
RIP
Karibu Kenya ambapo Maiti hukataa kwenda mpaka walipwe deni na kwingine hukataa kuzikwa....Aki Kenya punguzeni Uchawi
Mambo ni mengi masaa ndio machache akh
Episode 5 na bado ...
WAKISII HAMCHEKI
Wakisiii bana wacheni tupumuee
Wakisii surely 🤔🤔🤔🤔🤔😏😏😏😏 wuuuuueeeeeee
Ndo naingia,,,, marehemu amelipwa au 🙄🤔?
Si hami kenya
Noma
Kidogo kidogo mtaona Matiang'i hapo
Wewe wacha matusi
Ooh ni wakisii tuwaelewe tu.
Wako aje?
Kenya my country n continent
Kabisa
Hii mwaka ni ya wakisii
Ukistajabu ya Musa utayaona ya filauni
Kenya sirudi 😂😂😂
Uko serious 😀😀😀😀
😂😂
It's only hapen in kenya
Ee apeane hiyo gari maiti itolewe kwake hakuna wakujula jasho la wengine na vile maisha inapanda kila siku
Jamani.hiyo tocha Kali jamani....
Maajabu
Enyewe tuko pabaya kuliko jana 😄😆
Mzee wa kijiji😅😅😅
Dunia....
Wah
Kama uko na deni yangu nipee leo🤣🤣🤣
Eti kama hana where did it go
Jessoooooooo
Makubua haya unatoroka juu ya pesa zawenyewe ulipokea kwa raha lipa kwa usalama
Sawa
Mkisii hawezikosa Kwa headline hata kama ako America
Watu wamejifunza kufa na deni za watu na si fair. 😂😂
😥😥
Jamani
Wakisii
Baba martin jitokeze wakisii ni moto
😂 😂 😂 😂 Gaaki wasijaribu
yaani gari iliharibikia hapo hapo
Nashangaa
Wacha niede congo 🤭
Hapa hapa ndio kwenyu
Ama Sudan hahaha
Kwetu halisi ni Congo forest
Hehehe, my country Kenya
Macho yangu Swalehe! Kwani hakuna Benki?