AIC Changombe Choir Umetukuka Official Video
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- AIC Changombe Choir Umetukuka Official Video
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
Sichokagi kusikilizaga hili li song jmn, Kama na ww huchokag like za kutosha
Kutoka huku kenya nawa sikiza sana na napenda nyimbo zenu sana, kwa hakika mungu ni mkuu wacha utukufu wa bwana umrejee yeye aliye ziumba mbingu na inchi
I've finally found this beautiful song, been searching for almost an year now. I'm blessed. HE is worthy. Hallelujah.
Nimebarikiwa sana kwa wimbo huuu Mungu awabariki
Mbarikiwe watumishi wa Mungu
Hatulegei hatuliziki kwa ishara yoyote ya mafanikio bali tunazidi kulichuchumia taji lililowekwa mbele yetu.
Kazi yenu ni njema
CVC from 2004 volume 1 upto now Mungu akazidi kuwabariki zaidi
Damu ya yesu iendelee kunena mema juu ya hii kwaya
Hakika Mungu anawatu wake kweli.mimi kwaya hii naipenda saaana saaana maana nyimbo zao zinanifanya niutafakari ukuu wa Mungu
Good song mbarikiwe sana kwa utumishi wenu
Kuna hali uko nayo unaweza kuwa mgonjwa ,mhitaji umetengwa na jamii kuna mambo unapitia mf ubinti ujana umama wokovu umasiki nk nainaoneka kama jarbu unaelekea kukata tamaa nikwambie jambo hili niili jina LA yesu litukuzwe soma yohana 11:2
Hallelujah.. atukuzwe Mungu muumbaji & mpaji!
Umetukuka kaka angu umeimba vzur sana mungu akuinue katika viwango vingin amen
moja ya kazi nzuri sana..huu wimbo ni moja kati ya nyimbo chache nzuri sana za kumuabudu Mungu
One of the best Swahili worship songs. May you receive double anointing.
Mumeimba vizuli sana munatupandisha kiroho.
Jamani huku Burundi tunawapenda sana
Mola kawalindeni kw mema mnayomfanyia muumba mbingu na nchi! Nyimbo zenu unibariki zaidi! Inuliweni saana wapendwa
Hallelujah...kwema mbinguni...sifa tumpeni yesu
mbarikiwe wimbo una ujumbe mzuri Mungu azidi kuwatumia mtavikwa taji
huyo kaka apewe nafasi zaidi ya kusolo
mko vizuri sana chango'mbe nawapenda bure mungu awake maujuzi zaidi na zaidi
umesolo vzur mno kak sauti nzur Ubarikiwe
mbarikiwe kwa kazi nzur mnayoifanya, naomba mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaid, nmebarikiwa xana,
mungu aendelee kutumia
Kalumbu umesol vzr sana naupenda sana huu wimbo😘😘😘
Mungu awazidishie, nabarikiwa sana na wimbo huu ......Amen
my best in the list. barikiweni sana
kumbe kuna wanaume nao wanajua vzur hivo....muwe mnawapa nafasi nao ya kusolo,ili kuleta ladha tofaut....mbarikiwe sana
amen
Be blesses
Vaileth Mbano lakini huyo naona kafanyiwa feat.
nabarikiwa sana ninapo sikiliza nyimbo zenu mungu aendelee kutupigania na kututetea
nabarikiwa sana na wimbo huu sichoki kuusikiliza Mwenyenzi mungu azidi kuwainua
Safi sana , wote mtaiona mbingu....tuseme Amen kubwa
mbarikiwe muno wapendwa kazi yenu ni njema sana
mubalikiwe sana wa2mishi wamungu nazipenda sana nyimbo zenu amina
mnafanya vzr kila siku, barikiwa sana
wawooo God bless this guy,,,anavocal nzuri apewe nyinginezo
Ana Sauti nzuri /fanana na Elisha Mbukwa...
Mungu awabarik nimeona ubunifu mzur katika utunz wa huu wimbo na vocal production yake iko njema God bless u much
Nabarikiwa sana na wimbo huu. Mungu awainue zaidi watumishi wa Mungu.
Nawapenda sana mungu awabaliki
Nyimbo nzuri sana na hongera ziende kwa mwalimu na crew yake kwa mchanganyiko wa sauti. Mbarikiwe sana CVC Ameeeeen
mungu awape maisha mema
sichoki kuusikiza wimbo huu.machozi yanitoka kila ninapousikiza
mungu awe nanyi wapendwa ktk jina LA yesu
Am so blessed all the way from Mombasa Kenya
Mungu awe nanyi daima
Changombe mpo vzur mungu awatie nguv
hii kwaya kweli wameamua kumtumikia Mungu Kwa viwango vizuri
nabarikiwa Sana na huu wimbo, mbarikiwe sn
Changombe aic wako vzr sana
Tunaomba wimbo wa patakatifu PA patakatipa
Naomba tuwasaliane kwa 0764240944
This choir ❤
kwel ametukuka.... nawapenda bure
this is my favourite song , may God bless you and your work AMEN.
Mama jusi
Umenigusa xana
I can listen to this song whole day...unanipa faraja na amani. Asanteni sana na Mungu azidi kuwatumia
Hi dea ones, am always blessed when i listen to your songs. Ruth Jericho Swahili Kwaya
Mungu azid kuwainua ktk huduma hii tunabalikiwa sn
Hongereni sana wimbo una nguvu na utukufuuu
Mungu awatumie zaidi.
Mungu azidi kuwainua watumishi kuelekea viwango vingine..... nimebarikiwa Sana na wimbo huu
diamond
mungu azid kuwainua zaid
Mwenyezi Mungu azidi kuwatia nguvu ktk uimbaji wenu hakika mnafanya vizuri kupita maelezo nami nawapenda xana ktk Bwana na wimbo huu unanibariki sana tu
Napenda Huduma yenu
Barikiweni sana wapendwa kw kazi nzuri muifanyalo ashindwe yeyote awaingiliapo kinyume na mapenzi yake muumba mbingu na nchi!hakika nyimbo zenu unibariki sana
Happyness Mohamed p
Nawapenda sana😘😘😘
napenda sana nyimbo za kuabudu mungu awabariki
Barikiweni sanaaaa
Inalipa heshima kwenu chang'ombe
Utukufu hadi Utukufu
nawapenda mnooo hua mnanifanya nizidi kusonga mbele katika safari ya kwenda mbingunii mungu awatie nguvuuu
Wimbo mzuri
Mbarikiwe sanaaa.
Nabarikiwa sanaa wit this song. be blessed
They bless meh xo much
umetukuka Yesu
Jamani mbarikiwe
Jehovah shama
mnanibariki sana
nice worship song,
Hakika umetukuka bwana
Amina.
Halleluyah
wimbo mzuli
My favorite song.
CVc mnatisha
True worship, Amen
Hallelujah
Amen
lvly song
mko juu
mbarikiwe sana
I like this song
Good
mungu awape nguvu
aic mwadui
💙
😇😇😇
nawalavuuuuu
😍
Mungu awabarik nimeona ubunifu mzur katika utunz wa huu wimbo na vocal production yake iko njema God bless u much
mbarikiwe kwa kazi nzur mnayoifanya, naomba mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaid, nmebarikiwa xana,
Mbarikiwe Sana
Mungu awabarik nimeona ubunifu mzur katika utunz wa huu wimbo na vocal production yake iko njema God bless u much
mbarikiwe kwa kazi nzur mnayoifanya, naomba mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaid, nmebarikiwa xana,
Neema Mashimba
Neema Mashimba mungu awepe nguvu ya kuzidi kutumika nimependa sana huu wimbo umenibariki sana endeleni kuwa na umoja ongeren
Neema Mashimba mungu awepe nguvu ya kuzidi kutumika nimependa sana huu wimbo umenibariki sana endeleni kuwa na umoja ongeren