AIC Changombe Choir Iweni Safi Official Video
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- AIC Changombe Choir Iweni Safi Official Video
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
naomba kujiunga AICT chang'ombe 😭😭😭
What a song!, if you like this song please don't forget to like this comment.
Amen
I wish hii nyimbo ingefanyika on live on stage with full of Instruments like drums. Ni fire sana. Bass guiter Malaika wakulinde popote ulipo. You made justice to this song, transition ya wimbo kutoka bila beat, kuja 1/4, then 4/4 💫. Huu ufundi wote ungefanyika kwenye live stage ingekuwa balaa sana
waimbaji kazi nzuri sana mungu aweteteee kila saaa damu yke iwafiche kutoka mabaya yte God bless cvc
Mungu awabariki sana,wimbo mzuri huwa unanibariki mno.
Mbarkiwe kwa kaz nzur
I just love 💕 this song Mungu azidi kuwabariki
Mungu wa mbinguni awabariki xn
Umetulia saana unapoimbisha kwaya
Nazidi kunarikiwa
Oh my God, what a wonderful song, Repentance and Holiness, we are God's instruments, who is listening with me this an amazing message
Wimbo huu unanibariki sana
Asanten xana kwa nyimbo nzuriii mung awape neema teleee amina
Nawapenda sana watumish
Mko vizur dada zangu mungu kawapa sauti nzur za kumwmbia
nili skiza ule wimbo "hakuna " na nikampokea yesu. mungu awa bless sana. kitakatifu kila anacho chagua
Tuweni safi waumini
Still listening and watching 2022...be blessed 🙏
The 3 women soloists, God bless you all changombe family
uko vzur sana mama sololist ubarikiwe.....pia kwaya nzima kaz yenu ni njema saana
Mungu aendelee kuibariki Huduma yenu wanangu.
This is the best song to my side that I have ever heard from you Servants of God. Christ Jesus be with you all there you're
Nawapenda sana, tuwe safi na wasikilizaji, asanten sana
Utukufu kwa Yesu,jamani mbarikiwee mnatuponya kupitia uimbaji.Mungu aendelee kuwainua saidi na zaidi
Mungu awa bariki
Your songs are good
MUNGU Atukuzwe kwa sauti zenu waimbishaji (muimbishaji wa Kwanza nakupenda bure, )
Nawapenda sana changombe vijana..tangu zama za vunja,.Gusa..mpinga Kristo,usiku was manane..sasa pazia..Mungu azidi kuwapa nguvu,.
Iweni safi
Huu wimbo ni ibada kamili mbele za Mungu. Leo siku ya pili kila nikitulia naingia RUclips kuusikiliza upya, hii itakuwa mara ya nane kwa leo tu. Nahisi uwepo wa Mungu kila nikiusikiliza. Mungu aendelee kuwatumia na kuwabariki ktk utumishi wenu wapendwa.
Hakika kwaya hii ina vipaji jman ad raha ❣️ Mungu awatunze muendlee kumtumikia yeye.
Nawapenda sana hua munifanya niyaone maisha kua mepesi sana kila nigusapo hapa aaaa ni upako tupu
God bless you changombe choir you are really blessing to me I'm from Kenya.
I really blessed
Hongereni waimbaji wote wa Chang'ombe choir (CVC)
Iweni Safi,unanibariki sana huu wimbo,God awabarik kwa kazi yenu
I love this woman ,God bless you
Mungu awabarik kwa kaz kubwa mnayoifanya🙏🙏nawapenda mnooo mkaimbe mpaka mbingun
u touch my heart...the 1st sololist be blessed
My lovery song
Mungu awe nanyi nimeupenda wimbo huu asanteni Sana
Anaonyaa Isayaaaaa duuuu Bahati uko vizuriii
Heart touching message!!! iweni safi watu Mungu - tunaonywa
mungu wa mbinguni awatunze wote, duuh!! mbarikiwe sana.
Kutoka Kenya, ukwel wimbo mzuri
wimbo mzuri Sana'a wapendwa mungu akubariki
dada wa kwanza amenibariki,,,nawapenda sana hawa masololist,,mbarikiwe sana na penda kuwaangali kila saa
Amen kitakatifu
Nabarikiwa sana Nyimbo zenu,BWANA awabariki.
namuona marehemu mariam,Mungu akulaze pema peponi
Mariam ni yupi hapo nisaidie mpendwa, kifo chake cha kikatili kiliniumaa!
Endeleeni kuitenda kazi ya bwana maana kwa kufanya hivyo wengi tunabarikiwa .mungu awatie nguvu
Yaani hapa nawapata huwa waimbaji wanaonibariki sana hakika kila anachokichagua Mungu ni kitakatifu Mungu awabariki sana.
Asanteni sana naam, Kitakatifu! Wellcom back our proud choir. Iweni saaaafi!
iweni safi,unanibariki Sana huu wimbo
Good song
Wimbo mzuri saaanaaaa Na ujumbe mzuri
Hongereni sana watumishi wa Mungu nyimbo zenu zinanigusa mno,Wilkins Muhoroni Kenya
Bwana atakutangulia kisha atakufuata nyuma.....ahadi za Mungu ni kweli.
Kwa kweli nafarijika sana na uinjiristi wenu wa nyimbo.Mungu awabariki sana na tena sana
Am blessed with this song may u God of heavens bless chang'ombe choir and be a bodily parts of God
Sifa na utukufu apewe Bwana.. Mungu awajalie wazidi mtukuza Mungu
daaaaa very nice ukijuaa sauti aliyekupaa ni anaepaswa kusifiwa hvy huna budi kupaza sauti yako nakumsifuuu be blessed all
Mungu awe nanyi kwa kutangaza Nina la BWANA
Mimi huu wimbo naurudia mara kwa mara.. naupenda sana
uyu mamaa ananibarikigi saana jehovaa nisii barikiwa mamaa
How I love you people of God. I wish one you serve with us here in Mwanza at Nyamhongolo EAGT Christian Centre.
God bless you much.
Aict tunabarikiwa sanaaa
Nice sanaaaaaaaaa
Amina.....iweni safi safi kweli,kila mtu.inabariki sana wangu
Mungu aendelee kuwabariki kila iitwapo leo, nabarikiwa sana na kazi zenu
Am blessed by uour ministry of preaching through music.Hod bless you
Heko soloist. You are in a higher level. Allow Christ to use you
Mungu awabariki sana ila wanaolichafua kanisa la Mungu kwa sifa mbaya basi watubu dhambi zao ili kanisa la Mungu liendelee kuwa safi maana sisi ni nuru ya ulimwengu na watu wanataka wajifunze kupitia imani zetu.
Bety lucas
FROM NAIROBI, LOVE YOUR SONGS, BIG UP...KEEP ON BLESSING US.
naitwa PASTOR PAUL, niliposikiliza wimbo huu nimesikia MUNGU akinijaza mafuta mapya, kweli MUNGU anawatumia.
Heavenly Tone! ❤
Mbalikiwe sana watumishi
Safi sa Aic Chang'ombe Mungu awatunze
Mungu awabarik nakuwatunza katika wito wenu. lovn u ol.
Naaaam,anaonya isaya anaonya....
changombe has always been a blessing and my best choir this century
I real like the song, Mungu awatangulie pia katika kazi hii aliyowaitia ili watu wengi waendelee kumjua Mungu
Mungu na awaongezee upaki
Huu wimbo naupenda.
Mungu awabariki sana huwa napenda huduma yenu tangia enzi za mpinga kristo, gusa ucku wa manane n.k mungu awape kuinuka zaid ya hapo
barikiwa san wapendwa hakik mnatend moj y karam tulizopewa mwenyez mung azid kuwaongza msongee mbele zaid
Naizipendaga sana nyimbooo zenuu munguu awabarikii sana
Napenda sana uimbaji wenu, barikiweni sana kwa kazi nzuri
Ameeeen hiki ndo kinanifanya niamin kupitia aict mnanibariki sana
Mko vzr sana na poleni sana kwa mcba wa mwenzenu
Barkiwa sana, na uimbaji wa aic Chang' ombe
nabarikiwa Sana na wimbo huu, Mungu awabarik cvc
Naipenda sana chang'ombe mungu awabariki
Powerful song for Jesus
Safi sana wana chang'ombe mnabark watakatifu sana sana aisee!
Mungu wetu yu mtakatifu milele. Wimbo unabariki kweli. Neema yake Mungu izidi kutulia ndani yenu siku zote wapendwa wa Kwaya ya Chang'ombe A.I.C.
Mungu awabariki sana wana CVC
huu wimbo unanitia nguvu jaman mbarikiwe sana
Tafadhali weka ule wimbo wa halleluya iko kwa hii album
God bless you changombe choir😘🙌🙏
nampenda sana huyu mama mweusi please naomba namba zake nampenda mnoooo naomba niongee nae hata neno moja tuuuu. basi naomba mwambieni kua kuna binti anampenda natamani nije kua kama yeye sio kiumbaji bali kama mama mwema wa nyumba yangu atayonibariki Mungu
Amazing song .God bless you
mungu azidi kuwabariki sana wana wa mungu kwa kuipeleja injili ya mungu ila kila mtu aaminie asipotee
I am blessed by Aic Changombe choir.
nahisi kuzimia kwa kufuraia nyimbo hii hasa sololist ya pili huwa mwli unasheki kwa saut ya pangoni aseee Balikiweni mpka mchaganyikiwe
Mie pia mchina ndio chaguo langu, japokuwa wote wanaimba jamani huwa wananikumbusha uwepo wa Mungu. Soloist wote ni wazuri, kwaya nzima ina mvuto nawapenda kuliko!
"songa mbele "hakika nimejifunza sana kupitia nyimbo zenu mbarikiwe