AIC Changombe Choir Iweni Safi Official Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • AIC Changombe Choir Iweni Safi Official Video
    Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
    The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music

Комментарии • 188

  • @boniphacepaulo4604
    @boniphacepaulo4604 11 месяцев назад +6

    naomba kujiunga AICT chang'ombe 😭😭😭

  • @FrankMasele-y9u
    @FrankMasele-y9u 10 месяцев назад +3

    What a song!, if you like this song please don't forget to like this comment.

  • @shadymoses5813
    @shadymoses5813 Год назад +2

    I wish hii nyimbo ingefanyika on live on stage with full of Instruments like drums. Ni fire sana. Bass guiter Malaika wakulinde popote ulipo. You made justice to this song, transition ya wimbo kutoka bila beat, kuja 1/4, then 4/4 💫. Huu ufundi wote ungefanyika kwenye live stage ingekuwa balaa sana

  • @meshkerson3817
    @meshkerson3817 11 месяцев назад +1

    waimbaji kazi nzuri sana mungu aweteteee kila saaa damu yke iwafiche kutoka mabaya yte God bless cvc

  • @monicamtenga
    @monicamtenga Год назад

    Mungu awabariki sana,wimbo mzuri huwa unanibariki mno.

  • @greckalumbete6212
    @greckalumbete6212 4 года назад +1

    Mbarkiwe kwa kaz nzur

  • @JuliusMunyao-g7g
    @JuliusMunyao-g7g 6 месяцев назад

    I just love 💕 this song Mungu azidi kuwabariki

  • @ahimidiwepallangyo3229
    @ahimidiwepallangyo3229 2 года назад

    Mungu wa mbinguni awabariki xn

  • @agnessgombanila7278
    @agnessgombanila7278 3 года назад

    Umetulia saana unapoimbisha kwaya

  • @onesmus6455
    @onesmus6455 4 года назад +1

    Nazidi kunarikiwa

  • @joshwakaunda5052
    @joshwakaunda5052 6 лет назад +10

    Oh my God, what a wonderful song, Repentance and Holiness, we are God's instruments, who is listening with me this an amazing message

  • @julianabudigila6023
    @julianabudigila6023 3 месяца назад

    Wimbo huu unanibariki sana

  • @zawadikuliga9658
    @zawadikuliga9658 3 года назад +1

    Asanten xana kwa nyimbo nzuriii mung awape neema teleee amina

  • @JoysDotto-un3sz
    @JoysDotto-un3sz Год назад

    Nawapenda sana watumish

  • @fatmaupovizrnapendactoryza5245
    @fatmaupovizrnapendactoryza5245 3 года назад +1

    Mko vizur dada zangu mungu kawapa sauti nzur za kumwmbia

  • @latifar.kichuna-kwamboka
    @latifar.kichuna-kwamboka 7 лет назад +2

    nili skiza ule wimbo "hakuna " na nikampokea yesu. mungu awa bless sana. kitakatifu kila anacho chagua

  • @julianabudigila6023
    @julianabudigila6023 2 месяца назад

    Tuweni safi waumini

  • @Danny-px1bh
    @Danny-px1bh 2 года назад +1

    Still listening and watching 2022...be blessed 🙏

  • @clivemuseveni7786
    @clivemuseveni7786 5 лет назад +6

    The 3 women soloists, God bless you all changombe family

  • @vailethmbano7766
    @vailethmbano7766 7 лет назад +1

    uko vzur sana mama sololist ubarikiwe.....pia kwaya nzima kaz yenu ni njema saana

    • @daudintugwa6313
      @daudintugwa6313 6 лет назад

      Mungu aendelee kuibariki Huduma yenu wanangu.

  • @johnsonjulius7832
    @johnsonjulius7832 4 года назад +8

    This is the best song to my side that I have ever heard from you Servants of God. Christ Jesus be with you all there you're

  • @graceantony7711
    @graceantony7711 7 лет назад +5

    Nawapenda sana, tuwe safi na wasikilizaji, asanten sana

  • @ennymboya9479
    @ennymboya9479 4 года назад

    Utukufu kwa Yesu,jamani mbarikiwee mnatuponya kupitia uimbaji.Mungu aendelee kuwainua saidi na zaidi

  • @wlliamisaya9111
    @wlliamisaya9111 4 года назад

    Mungu awa bariki

  • @gloryjoshua5763
    @gloryjoshua5763 2 года назад

    Your songs are good

  • @carolinelengwa3628
    @carolinelengwa3628 5 лет назад +5

    MUNGU Atukuzwe kwa sauti zenu waimbishaji (muimbishaji wa Kwanza nakupenda bure, )

  • @christinemoraa6740
    @christinemoraa6740 4 года назад

    Nawapenda sana changombe vijana..tangu zama za vunja,.Gusa..mpinga Kristo,usiku was manane..sasa pazia..Mungu azidi kuwapa nguvu,.

  • @stephenmashimba2696
    @stephenmashimba2696 Год назад

    Iweni safi

  • @jonathanbitababaje4966
    @jonathanbitababaje4966 6 лет назад +1

    Huu wimbo ni ibada kamili mbele za Mungu. Leo siku ya pili kila nikitulia naingia RUclips kuusikiliza upya, hii itakuwa mara ya nane kwa leo tu. Nahisi uwepo wa Mungu kila nikiusikiliza. Mungu aendelee kuwatumia na kuwabariki ktk utumishi wenu wapendwa.

  • @tujambwambo606
    @tujambwambo606 2 года назад

    Hakika kwaya hii ina vipaji jman ad raha ❣️ Mungu awatunze muendlee kumtumikia yeye.

  • @fredrickmiano2001
    @fredrickmiano2001 6 лет назад +1

    Nawapenda sana hua munifanya niyaone maisha kua mepesi sana kila nigusapo hapa aaaa ni upako tupu

  • @DennisBettHoreb
    @DennisBettHoreb 5 лет назад +6

    God bless you changombe choir you are really blessing to me I'm from Kenya.

  • @jameskoech3565
    @jameskoech3565 Год назад

    I really blessed

  • @mpawenayocyrille6954
    @mpawenayocyrille6954 5 лет назад +3

    Hongereni waimbaji wote wa Chang'ombe choir (CVC)

  • @annastaziadaniel6538
    @annastaziadaniel6538 5 лет назад +1

    Iweni Safi,unanibariki sana huu wimbo,God awabarik kwa kazi yenu

  • @daviskyalo7780
    @daviskyalo7780 5 лет назад +6

    I love this woman ,God bless you

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 2 года назад

    Mungu awabarik kwa kaz kubwa mnayoifanya🙏🙏nawapenda mnooo mkaimbe mpaka mbingun

  • @vailethmbano7766
    @vailethmbano7766 7 лет назад +11

    u touch my heart...the 1st sololist be blessed

  • @SifaMathayo
    @SifaMathayo 2 месяца назад

    My lovery song

  • @robertmwanakaya4233
    @robertmwanakaya4233 5 лет назад +1

    Mungu awe nanyi nimeupenda wimbo huu asanteni Sana

  • @jefredyfrednandy5880
    @jefredyfrednandy5880 3 года назад

    Anaonyaa Isayaaaaa duuuu Bahati uko vizuriii

  • @amonmwenda8074
    @amonmwenda8074 6 лет назад +4

    Heart touching message!!! iweni safi watu Mungu - tunaonywa

  • @rachelezekiel1158
    @rachelezekiel1158 7 лет назад +5

    mungu wa mbinguni awatunze wote, duuh!! mbarikiwe sana.

  • @justusmutuku8303
    @justusmutuku8303 2 года назад

    Kutoka Kenya, ukwel wimbo mzuri

  • @ezekielnyolobi3278
    @ezekielnyolobi3278 6 лет назад +3

    wimbo mzuri Sana'a wapendwa mungu akubariki

  • @eleciathesametome7304
    @eleciathesametome7304 6 лет назад +1

    dada wa kwanza amenibariki,,,nawapenda sana hawa masololist,,mbarikiwe sana na penda kuwaangali kila saa

  • @abduelymsemwa9193
    @abduelymsemwa9193 5 лет назад +2

    Amen kitakatifu

  • @godfreymgolozi7540
    @godfreymgolozi7540 Год назад

    Nabarikiwa sana Nyimbo zenu,BWANA awabariki.

  • @dinakidai4118
    @dinakidai4118 6 лет назад +1

    namuona marehemu mariam,Mungu akulaze pema peponi

    • @hojangweshemi7005
      @hojangweshemi7005 5 лет назад

      Mariam ni yupi hapo nisaidie mpendwa, kifo chake cha kikatili kiliniumaa!

    • @daurdwambuto1877
      @daurdwambuto1877 5 лет назад

      Endeleeni kuitenda kazi ya bwana maana kwa kufanya hivyo wengi tunabarikiwa .mungu awatie nguvu

  • @msyanituntufye3441
    @msyanituntufye3441 6 лет назад

    Yaani hapa nawapata huwa waimbaji wanaonibariki sana hakika kila anachokichagua Mungu ni kitakatifu Mungu awabariki sana.

  • @emmanuelcharlesmakwaya2550
    @emmanuelcharlesmakwaya2550 7 лет назад +2

    Asanteni sana naam, Kitakatifu! Wellcom back our proud choir. Iweni saaaafi!

  • @boazphilipo3641
    @boazphilipo3641 7 лет назад +5

    iweni safi,unanibariki Sana huu wimbo

  • @mutuajackson7710
    @mutuajackson7710 3 года назад

    Good song

  • @anordprotas1976
    @anordprotas1976 4 года назад

    Wimbo mzuri saaanaaaa Na ujumbe mzuri

  • @wilkinsomwago1806
    @wilkinsomwago1806 5 лет назад

    Hongereni sana watumishi wa Mungu nyimbo zenu zinanigusa mno,Wilkins Muhoroni Kenya

  • @derickmdoe5487
    @derickmdoe5487 6 лет назад

    Bwana atakutangulia kisha atakufuata nyuma.....ahadi za Mungu ni kweli.

  • @beatriceboazy5215
    @beatriceboazy5215 5 лет назад

    Kwa kweli nafarijika sana na uinjiristi wenu wa nyimbo.Mungu awabariki sana na tena sana

  • @jeremiahdeus1127
    @jeremiahdeus1127 4 года назад +1

    Am blessed with this song may u God of heavens bless chang'ombe choir and be a bodily parts of God

  • @ensemokaconvivia1509
    @ensemokaconvivia1509 6 лет назад

    Sifa na utukufu apewe Bwana.. Mungu awajalie wazidi mtukuza Mungu

  • @faridamahenge6405
    @faridamahenge6405 6 лет назад +1

    daaaaa very nice ukijuaa sauti aliyekupaa ni anaepaswa kusifiwa hvy huna budi kupaza sauti yako nakumsifuuu be blessed all

  • @sarandansopela9051
    @sarandansopela9051 5 лет назад

    Mungu awe nanyi kwa kutangaza Nina la BWANA

  • @pastorlupi1457
    @pastorlupi1457 6 месяцев назад

    Mimi huu wimbo naurudia mara kwa mara.. naupenda sana

  • @elizabetjmillel3351
    @elizabetjmillel3351 6 лет назад

    uyu mamaa ananibarikigi saana jehovaa nisii barikiwa mamaa

  • @isacksamwel9488
    @isacksamwel9488 2 года назад

    How I love you people of God. I wish one you serve with us here in Mwanza at Nyamhongolo EAGT Christian Centre.
    God bless you much.

  • @elizabethkatani2892
    @elizabethkatani2892 3 года назад

    Aict tunabarikiwa sanaaa

  • @abduelymsemwa9193
    @abduelymsemwa9193 5 лет назад +1

    Nice sanaaaaaaaaa

  • @naomosiemo7593
    @naomosiemo7593 5 лет назад

    Amina.....iweni safi safi kweli,kila mtu.inabariki sana wangu

  • @tupokigwemwangoka2649
    @tupokigwemwangoka2649 7 лет назад +2

    Mungu aendelee kuwabariki kila iitwapo leo, nabarikiwa sana na kazi zenu

  • @elizamulolo4138
    @elizamulolo4138 2 года назад

    Am blessed by uour ministry of preaching through music.Hod bless you

  • @samuelnzioki3496
    @samuelnzioki3496 6 лет назад +1

    Heko soloist. You are in a higher level. Allow Christ to use you

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 6 лет назад

    Mungu awabariki sana ila wanaolichafua kanisa la Mungu kwa sifa mbaya basi watubu dhambi zao ili kanisa la Mungu liendelee kuwa safi maana sisi ni nuru ya ulimwengu na watu wanataka wajifunze kupitia imani zetu.

  • @pemixeemix3227
    @pemixeemix3227 7 лет назад +5

    FROM NAIROBI, LOVE YOUR SONGS, BIG UP...KEEP ON BLESSING US.

    • @paulisrael9345
      @paulisrael9345 7 лет назад

      naitwa PASTOR PAUL, niliposikiliza wimbo huu nimesikia MUNGU akinijaza mafuta mapya, kweli MUNGU anawatumia.

  • @majaliwasikabenga2536
    @majaliwasikabenga2536 11 месяцев назад

    Heavenly Tone! ❤

  • @meshackmarwa2016
    @meshackmarwa2016 4 года назад

    Mbalikiwe sana watumishi

  • @anethmsuya7809
    @anethmsuya7809 7 лет назад +1

    Safi sa Aic Chang'ombe Mungu awatunze

    • @justinejumanne8404
      @justinejumanne8404 5 лет назад

      Mungu awabarik nakuwatunza katika wito wenu. lovn u ol.

  • @meshackkwigize9848
    @meshackkwigize9848 4 года назад

    Naaaam,anaonya isaya anaonya....

  • @churchillmutyanziu1625
    @churchillmutyanziu1625 5 лет назад +3

    changombe has always been a blessing and my best choir this century

  • @fadhilifesto2784
    @fadhilifesto2784 5 лет назад

    I real like the song, Mungu awatangulie pia katika kazi hii aliyowaitia ili watu wengi waendelee kumjua Mungu

  • @esthertobiasi9432
    @esthertobiasi9432 5 лет назад

    Mungu na awaongezee upaki

  • @fredrickmtangoo5071
    @fredrickmtangoo5071 4 года назад

    Huu wimbo naupenda.

  • @thobiasedward7177
    @thobiasedward7177 6 лет назад

    Mungu awabariki sana huwa napenda huduma yenu tangia enzi za mpinga kristo, gusa ucku wa manane n.k mungu awape kuinuka zaid ya hapo

  • @jeremiahndelembi9592
    @jeremiahndelembi9592 5 лет назад

    barikiwa san wapendwa hakik mnatend moj y karam tulizopewa mwenyez mung azid kuwaongza msongee mbele zaid

  • @rizielmoleli9434
    @rizielmoleli9434 5 лет назад

    Naizipendaga sana nyimbooo zenuu munguu awabarikii sana

  • @jacklinejarengaaluse5558
    @jacklinejarengaaluse5558 7 лет назад +3

    Napenda sana uimbaji wenu, barikiweni sana kwa kazi nzuri

    • @maskanirutana9605
      @maskanirutana9605 6 лет назад +1

      Ameeeen hiki ndo kinanifanya niamin kupitia aict mnanibariki sana

    • @charlesmakundi1480
      @charlesmakundi1480 6 лет назад

      Mko vzr sana na poleni sana kwa mcba wa mwenzenu

  • @lucassimeo6393
    @lucassimeo6393 7 лет назад

    Barkiwa sana, na uimbaji wa aic Chang' ombe

  • @boazphilipo3641
    @boazphilipo3641 7 лет назад +4

    nabarikiwa Sana na wimbo huu, Mungu awabarik cvc

  • @oliverkaboje3735
    @oliverkaboje3735 5 лет назад

    Naipenda sana chang'ombe mungu awabariki

  • @evansmutuva23
    @evansmutuva23 Год назад

    Powerful song for Jesus

  • @davidlubango222
    @davidlubango222 5 лет назад

    Safi sana wana chang'ombe mnabark watakatifu sana sana aisee!

  • @danielorango5875
    @danielorango5875 6 лет назад +1

    Mungu wetu yu mtakatifu milele. Wimbo unabariki kweli. Neema yake Mungu izidi kutulia ndani yenu siku zote wapendwa wa Kwaya ya Chang'ombe A.I.C.

  • @micahmutinda3755
    @micahmutinda3755 6 лет назад

    Mungu awabariki sana wana CVC

  • @julianabenjamin2929
    @julianabenjamin2929 7 лет назад

    huu wimbo unanitia nguvu jaman mbarikiwe sana

  • @chebetbrown3053
    @chebetbrown3053 5 лет назад

    Tafadhali weka ule wimbo wa halleluya iko kwa hii album

  • @pendoernest9444
    @pendoernest9444 5 лет назад +1

    God bless you changombe choir😘🙌🙏

  • @floranyefwe3464
    @floranyefwe3464 6 лет назад

    nampenda sana huyu mama mweusi please naomba namba zake nampenda mnoooo naomba niongee nae hata neno moja tuuuu. basi naomba mwambieni kua kuna binti anampenda natamani nije kua kama yeye sio kiumbaji bali kama mama mwema wa nyumba yangu atayonibariki Mungu

  • @lucycharles4338
    @lucycharles4338 6 лет назад +2

    Amazing song .God bless you

  • @masalumalando9010
    @masalumalando9010 6 лет назад

    mungu azidi kuwabariki sana wana wa mungu kwa kuipeleja injili ya mungu ila kila mtu aaminie asipotee

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 3 года назад

    I am blessed by Aic Changombe choir.

  • @nsikanyigwinshimpinga9132
    @nsikanyigwinshimpinga9132 5 лет назад +2

    nahisi kuzimia kwa kufuraia nyimbo hii hasa sololist ya pili huwa mwli unasheki kwa saut ya pangoni aseee Balikiweni mpka mchaganyikiwe

    • @hojangweshemi7005
      @hojangweshemi7005 5 лет назад

      Mie pia mchina ndio chaguo langu, japokuwa wote wanaimba jamani huwa wananikumbusha uwepo wa Mungu. Soloist wote ni wazuri, kwaya nzima ina mvuto nawapenda kuliko!

  • @marymbwinga7027
    @marymbwinga7027 7 лет назад

    "songa mbele "hakika nimejifunza sana kupitia nyimbo zenu mbarikiwe