Magoli | Azam FC 3-0 Coastal Union | Nusu Fainali | CRDB Bank Federation Cup 18/05/2024
HTML-код
- Опубликовано: 17 май 2024
- Azam FC imetinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuipiga Coastal Union mabao 3-0 katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa leo kwenye Dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza.
Abdul Hamis Suleiman Sopu amefunga mawili, dakika ya 42 kwa penati na dakika ya 79 huku Feisal Salum akifunga moja dakika ya 68.
Magoli yote haya hapa.... - Спорт
Vile Azam Tunatinga fainali kibabe sana
ilikuwa ni mechi au mazoez
Amewafunga Coastal. Atakutana na Yanga
Asante Mungu
Hujwahi kucheza mpira ww ktk timu yyt ht wtatu wanaweza kubaki kw usalama wa timu na mchezo husika
Fei mbn wenziwe wakifunga hawendi kushangilia
Azam Yanga inawasubiri.
Azam ndo inaisubiri yanga. Au yanga ndo imetinga fainali? Hovyo kabisa..
Unashangilia kama chizi wakati hiyo ndio ilio kufanya azam wachezaji jitambueni heshim ulipo tokea
Kwamba ulitaka asifunge?😮 Asishangilie?
Wajifunze kwa wengine unafunga unawapa heshima yao2 kwamba nipo kazini bila nyie nisingekua hapa
Mechi yamchongo😅😅😅😅
Wakwanza mim 😂😂
Huna hoja kujaza uwanja ndo hoja Morocco walikuja watu Mia nyie wtngnyika mulikuwa elf 70 na mlifungwa ishu kama wana uwezo waende
Halafu eti ndo waende klab bingwa uanja mweupeee ingekua simba ama yanga uanja ungetapika
Nawazaga nn kinawakwamisha Azam fc kumbe ni fikra mbovu kama Hz.
Ni mara ngapi umeishuhudia yanga au simba zikicheza na timu zingine na viwanja vyao vikiiwa havinna watu !??
Huu kipa ndio anatakiwa simba au sio uyu
Hamna ni simba peke yake timu kama imeweza kuwamyanganya yamga skudu ishindwe huyu kipa
Uyu ndo golipa mwenye clean sheet zile kwelii? Au huku wamejilegeza kwa hisaniii ya Azam ramba ramba
Ujui mpira ww 😂
Imekuuma?
Ukiwa na clean shet haufungwu😅?
Udakaji uleee, mmmmh sawa mnajua nyiee mpiraaa !! Lakini miongoni mwenu ndo nyiee mliopayuka oooh Manura anafungwaje vile kapewa Baasha ha ha ha mnajisaulisha siyoo!??
Kwenye fact ongeeni ukweliii, coastal wangekuwa wanaitaji kweli mechii kwenda mbelee au ingekuwa ligi wangecheza hiviiii!? Sasa nawapa hii ili mjiee Azam ligi kuu kabakisha game tatu ila atapoteza moja ,arudi nafasi ya tatu TFF hawawezi muacha kolo akacheze shirikisho ..Be wise sometimes"
Yanga wataona Cha moto Kwa Sopu
Uzuri huyu sopu akiifunga Yanga maana yake timu yake inapoteza😅
Sopu nyauba kwa yanga tunawangoja fainari
Amna timu apo
Wee tulia utaonaa yanga inayoo jua kilipiza kisasi
Yanga uijuituuu www
Feyyyyyyyyy
𝑈𝑤𝑎𝑛𝑗𝑎 𝑚𝑏𝑜𝑛à 𝑚𝑤𝑒𝑢𝑝𝑒