Kazi zisizohitaji Vyeti, Uzoefu Ukitua USA / Drivers License / Majimbo 10 yenye nafuu /

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #swahilination #commonsence #Tanzania #marekani

Комментарии • 65

  • @justusmochoge6577
    @justusmochoge6577 8 месяцев назад +5

    Wow I appreciate from here Kenya 🇰🇪 our beautiful Tanzanian ❤❤❤

  • @MwanamkuluShabani
    @MwanamkuluShabani 10 месяцев назад +7

    Dada nimekuelewa vzr mm Niko oman nafanya kazi za ndani nataka kuja huko nipambane ni mtznia je nikija nitapata kazi ya usafi kulea mabibi au watoto naulixa hivyo maana elimi yangu darasa la 7 na hata wanakojenga kubeba tofali mm nikija sichagui kazi na hata kuzoa taka naomba nisaidie tafadhali dada angu pass port ninayo nani naomba nitajie gharama mpaka kufikia huko marekani nisaidie dada Sina Cha kukulipa ila mungu atakulipa pole Kwa usumbufu

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 10 месяцев назад

      Uko sawa tu

    • @EricaLulakwa
      @EricaLulakwa  9 месяцев назад

      @user-kf9uc4us3j, Nimeelewa maelezo yako ntakujibu soon. Asante

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 9 месяцев назад

      Nashukuru rafiki yangu mimi niko Zanzibar natamani sana nipate nafasi ya kufanya kazi hata hapo omani tu nitashukuru naomba unisaidie kama unachanel hiyo samahani kwa usumbufu maisha yetu hujui nani ataekufaa nisaidie sixhagui kazi kazi yeyote nafanya mimi

    • @Daima-ik1cf
      @Daima-ik1cf 8 месяцев назад

      Aha mm nipo oman nilitaka niende lakin bado nawafatilia vzr

    • @MwajumaRashidi-tx6ks
      @MwajumaRashidi-tx6ks 8 месяцев назад

      Dada VP ulijibiwa

  • @danielalbert1795
    @danielalbert1795 Месяц назад

    Uko state gani dada! Na vp wewe Ni producer wa music?

  • @ShemsaAlly-p6f
    @ShemsaAlly-p6f 19 дней назад

    Ok dada nzuri mimi ni mependa nawatu wa Burundi vipi tuna taka n'a sisi

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Месяц назад

    Dada mimi niko warabuni myaka kumi natumik kazi za ndani tena za watoto ni saidie nije uko naona nitaweza

  • @Summerbtz
    @Summerbtz 9 месяцев назад +3

    Nimependa vile unavyowashauri ndugu zako kuhusu maisha ya ughaibuni

  • @HamisDotto
    @HamisDotto 9 месяцев назад +2

    Good sana sister nikisema nije huko ninunue gari ndogo laba ya kufanyia tex bei ya chini

  • @RobinsonBaton
    @RobinsonBaton 5 месяцев назад +2

    Habali za kwako aunt

  • @chamballaally8767
    @chamballaally8767 5 месяцев назад +2

    Nilidhani ww Salama Jabir wa BSS

    • @hanswan1
      @hanswan1 5 месяцев назад

      Mimi pia kafanana nae sana...mno

  • @pilitanzania1420
    @pilitanzania1420 8 месяцев назад +1

    Habari dada asante kwa ushauli nzuri
    Mimi binafsi Nina ujuzi wangu ni welder nipo Mozambique nafanya kazi napenda kuja kufanya kazi huko

  • @eddiemend9250
    @eddiemend9250 2 месяца назад

    Hi habar yako Dada Erica, Umeongea kazi za udereva etc vipi kuhusu Kazi za ku-operate mitambo like Hydraulic EXCAVATOR, frontend Loader, Motor grader etc naomba niulizie mtu akija akiwa tayar ni operator lazma arudi class asome tena and na vipi maslahi yake like wanalipwaje hao earthmoving machine Operator kwa apo Us..?

  • @NgelejaCharles-ng7bh
    @NgelejaCharles-ng7bh Год назад +2

    Nakupenda dadangu, nikija nitkutafuta Kwa maelekezo zaidi.

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 10 месяцев назад +2

    Hizo gharama za nyumba USA unazosema ama apartment za USA naona kama China tu hapa! Chini ya dollar 120,000 USD china hapa hupati nyumba kudadeki naona hakuna tofauti sana na USA.😱

    • @EricaLulakwa
      @EricaLulakwa  9 месяцев назад +1

      @tradersEasyway, hayo majimbo niliyoongelea ni Yale yenye gharama za chini USA.

    • @TradersEasyWay
      @TradersEasyWay 9 месяцев назад

      sawa@@EricaLulakwa

    • @humphreyfuraha
      @humphreyfuraha 5 месяцев назад

      Hellow

  • @Victor-Frank
    @Victor-Frank 10 месяцев назад +1

    Gaddamn she is giving me goosebumps with that beyonce

  • @stanslausmbuta-ck5im
    @stanslausmbuta-ck5im Год назад +1

    Safi sana dada, naomba email na no ya simu maelezo yako ni mazuri sana unaelimisha vizuri kwa kweli.

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 11 месяцев назад +2

    Dada tunashukulu sana kwamaelekezo naomba no yako

  • @bryanDavidohighfem
    @bryanDavidohighfem 11 месяцев назад +1

    Dada naomba no yko tuwasliane unielekeze zaid

  • @josephstephen2047
    @josephstephen2047 9 месяцев назад +1

    Fb upo na unatumia jina gani?

  • @MariamNgadoa
    @MariamNgadoa 8 месяцев назад

    Hello Erica Mimi Nina degree wa ualimu wa kiswahili na kingereza je naweza kupata kazi huko

  • @ilankundakamenya3171
    @ilankundakamenya3171 8 месяцев назад +1

    Big up sana sister nimekuelewa vzr sana

  • @khadijaismail2000
    @khadijaismail2000 11 месяцев назад +1

    Nimefurahishwa sana na maelezo yako ubarikiwe

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 11 месяцев назад +1

    Naomba dada tuwasiliane

  • @DivineJoaoByemba
    @DivineJoaoByemba 10 месяцев назад +1

    Oi my tuongee namba

  • @krtv3666
    @krtv3666 3 месяца назад

    My name is Yohana Mweta.
    My question to you is that how can I get there

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 10 месяцев назад +1

    Asante kwa elimu poa madame

  • @deniskangombe7442
    @deniskangombe7442 5 месяцев назад

    Tatizo lako dada haujibu msg lakin una vitu vingi sana

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Год назад +1

    Sauti yako ndogo dada ongeza Sauti..

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 8 месяцев назад

    Daaah Aisee ñaoña Ùpo Kabila Lañgu Naomba Namba Kwa Mawasiliano"

  • @dasilvajacmwax7436
    @dasilvajacmwax7436 2 года назад +1

    Nimesabskraibu👍

  • @dainesdiana583
    @dainesdiana583 8 месяцев назад

    nashukuru sana dada Erika nimekuelewa naomba unisaidie niweze kipata mtu kitoka uko ili nipate viza au barua ya mwaliko nataman nije kifanya kaz hata za nurse home nina passport lakan sina wakuniasaidia kija uko

  • @emmanuelmliga132
    @emmanuelmliga132 11 месяцев назад +1

    Naomba namba Yako dada

  • @reginaevance7175
    @reginaevance7175 2 года назад +1

    Asante sana dada 🙏Mungu akubariki sana

  • @emmanuelmliga132
    @emmanuelmliga132 11 месяцев назад +1

    Safi Sana dadayangu akiri kubwa

  • @johnkasosokola7461
    @johnkasosokola7461 9 месяцев назад

    Habari dada jee naipataja hiyo visor yakuja huko pia nahitaji kuja kufanya kazi nnje ya nchi

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 10 месяцев назад +1

    Thanks

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 11 месяцев назад +1

    Ghai msungu anaboga swahili❤❤❤

  • @mubabray9845
    @mubabray9845 2 года назад +1

    Asante sana dada

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 Год назад +1

    toa sauti

  • @ronaldouchi1083
    @ronaldouchi1083 10 месяцев назад +1

    Good job sister

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 5 месяцев назад

    Habari gani Dada.. Napenda program yako

  • @dasilvajacmwax7436
    @dasilvajacmwax7436 2 года назад +1

    Asante dada

  • @abdallahyusuf7641
    @abdallahyusuf7641 8 месяцев назад

    Shukrani nimekuelewa vizuri sana tena sana

  • @HUSENIKIMBYOKO
    @HUSENIKIMBYOKO 4 месяца назад

    Mawasiliano yko dada

  • @HabibaIdany
    @HabibaIdany 5 месяцев назад

    Dada namba namba

  • @ElikanaKiheka-fl4wu
    @ElikanaKiheka-fl4wu 8 месяцев назад

    Safe sana aiseee

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 Год назад

    Kama ukumalixa form 4 ukipata Green card utakubaliwa kweda?

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 5 месяцев назад

      Green card sizan km wananglia kiwango cha Elimu

  • @rukiyashali
    @rukiyashali Год назад +1

    Vp kazi za kuchora heena ziko?

    • @viousa
      @viousa 11 месяцев назад

      Hamna

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 9 месяцев назад

      ​@@viousanaishi Zanzibar naomba channel ya fursa nisaidie pia samahani kwa kusumbua huenda utakasirika lkn ni shida na usongo wa kujikwamua kimaisha naomba uniwezeshe kwa lolote hata ushauri pia naishi Zanzibar

    • @godwinaxwesso8726
      @godwinaxwesso8726 5 месяцев назад

      Vigezo gani vinahitajika kwa ajili ya green card?

    • @godwinaxwesso8726
      @godwinaxwesso8726 5 месяцев назад

      Naomba ni connect na agency wa delivery driver wa USA madam

    • @humphreyfuraha
      @humphreyfuraha 5 месяцев назад

      Hellow ​@@viousa

  • @kibejaden3306
    @kibejaden3306 10 месяцев назад +1

    Mambo ya saloon kunyoa vp