Unajua siku zote ukweri unauma huyu kawadanganya jmana acheni mwananchiii atambeee yanga ni timu kubwaaaaaa wananchiiiiiiiiiiiiiiii hakika naipenda yanga tamu
Najua Simba wanaumia xana mpaka Sasa maombi mengi tunapuuza nafasi Keisha mkafie uko msituni mkawinde Seara kumbikumbi senene rakini so Uzi wa kijaniiiiii
MUNGU NI MWEMA HONGERA SANA KILA LA KHERI KWENU NYOTE BARIKIWA SANA YANGA MWENYEZI AWADANGULIE AWAPIKANIE AWASHINDIE AWAWESESHE VYEMA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NAMWOKOZI WETU AMEEEEN BARIKIWA SANA NYOTE NAWAPENDA SHALOM SHALOM
Wakereke tu makolo huu mwaka wetu wana yanga
Yanga noma sanaaaaa😃😃😃
Mnajua kuwakera makolo 😆
Yaaani. Leo tambeni. Mtakavyoooo makolo wamejifungia 😁😁😁😁😁
Kaishiwa mbinu za mziki anajiita simba wakati ni chura hahaaahaa
Yanga noma sanaaaaa😃😃😃
Sisi ndo yangaaaa
Simba kakumbwa naugojwa wakusahau sahii yuko kwenye mkutano wapaka😂😂😂
saf nimewakuhku bary
Unajua siku zote ukweri unauma huyu kawadanganya jmana acheni mwananchiii atambeee yanga ni timu kubwaaaaaa wananchiiiiiiiiiiiiiiii hakika naipenda yanga tamu
Najua Simba wanaumia xana mpaka Sasa maombi mengi tunapuuza nafasi Keisha mkafie uko msituni mkawinde Seara kumbikumbi senene rakini so Uzi wa kijaniiiiii
MUNGU NI MWEMA HONGERA SANA KILA LA KHERI KWENU NYOTE BARIKIWA SANA YANGA MWENYEZI AWADANGULIE AWAPIKANIE AWASHINDIE AWAWESESHE VYEMA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NAMWOKOZI WETU AMEEEEN BARIKIWA SANA NYOTE NAWAPENDA SHALOM SHALOM
Sim
Haha sana,Mimi yangaaaaaa
Ila nyie mbona mnakela watu hivyo
Pole weee...acha watu wafurahie mafanikio yao bhanaaa😅😅😅
@@mamboshepea8888 sawa nakubali sana
Yanga habar nyingine
Nenda bwana
We. Ni chawatu kama mziki umekushinda acha huko uriko tumbukia hupawezi we mtoto
SIMBA HABABAISHI NA KELELE ZA KIKUNDI CHA FISI, PIGENI KELELE TU, MM KAMA MNYAMA NIPO KTK MAWINDO YANGU.
Hahahaha unawinda patupu
Mawindo ya yebo yebo😅😅
Acawivu yanga bingwa
Kweli ni swala la muda tu huwa hawakawii kujilalamisha
Mawindo ya kiatu?😂😂😂😂
Binafsi nawatakia Kila la kheri Mungu awatangulie Kwa Kila hatua wachezaji wote wa Yanga na wazamini wa Yanga
Vibes
Anapenda sifa mayele antaka aimbwee looo shoo off