ONA SURE BOY, NKANE NA WENNZAKE WAKICHEZA SINGELI YA DULLA MAKABILA JANGWANI/UTACHEKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

Комментарии • 123

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Год назад +9

    Wanachi sisi ni Bata na kazi💚💚💛💚💛💚

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 Год назад +22

    Mbona sisi simba hatujawahi kuenjoy hivi jamani hawa wanaenjoy sana bwana

    • @youdya
      @youdya Год назад +1

      😂😂

    • @Naifaty24
      @Naifaty24 Год назад +1

      😅😅

    • @chemstry409
      @chemstry409 Год назад +3

      Karibu na wewe ufurahi ndugu yangu..ikikupendeza sio dhambi kuhama timu.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Год назад

      @@chemstry409 🤣🤣🤣Asije shida ya bureeee tunamkaribisha🤣🤣

    • @traineesmbwilo3559
      @traineesmbwilo3559 Год назад +1

      Amanaga uwo ujanja atuna masitress mengi sisi niku injoy adi moshi tuu wanjano

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Год назад +5

    Mm kwa kweli mziki wa singeri siupendi basi tu,nimeangalia kwa sababu ya sherehe ya chama langu.

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i Год назад +10

    Najivunia kuwa yanga

  • @athumanisaid-oe7dl
    @athumanisaid-oe7dl Год назад +11

    Nimehama simba kuanzia leo mm ni yanga

  • @benjaminindungu-se8dq
    @benjaminindungu-se8dq Год назад +18

    Hizi laha hakuna Tim yoyote Alisha wah pata Zaid ya yangaa

    • @jambo3751
      @jambo3751 Год назад

      USM Algers nafikiri wamezipata raha zaidi ya hizo😁😁😁.

    • @readyamahengo4585
      @readyamahengo4585 Год назад

      @@jambo3751 Kwa kushuka daraja au 🤣🤣

    • @jambo3751
      @jambo3751 Год назад

      @@readyamahengo4585 walioshuka daraja ni wale wa Afrika kusini mliocheza nao nusu fainali.

    • @readyamahengo4585
      @readyamahengo4585 Год назад

      Ko nafs ya kumi nayo ndo iwape furaha au si wapo mahututi kabs wanatofaut gn na waloshuk daraja

    • @jambo3751
      @jambo3751 Год назад

      @@readyamahengo4585 wewe jitoe fahamu ujifanye hujui kilichowafurahisha USM Algers😁😁.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Год назад +5

    Azam hata wachukue wachezaji wooote wa Yanga kombe wasahau kbsaa

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Год назад +4

    Hiii tim Ina Raha yake kudadake afu wanapenda sherehe Sana na hawachoki 😜💚💚💛

  • @MarthaGoodwin-t4m
    @MarthaGoodwin-t4m Год назад +1

    Tobaaaa lingemkuta Ajibu,Mohammed hussein, Dilunga, Ndemla,mkude pasingetosha

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +12

    Wachezaji Wana Raha saaaan,mashabiki usiseme😂😂😂😂

  • @nicolebitendelo1420
    @nicolebitendelo1420 Год назад +2

    Yanga raha sana💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛

  • @delimachesa5007
    @delimachesa5007 Год назад +5

    Yanga ni lidduuuuude

  • @scopy0428
    @scopy0428 Год назад +6

    Hii ndio maana haris ya Tim kubwa

  • @delimachesa5007
    @delimachesa5007 Год назад +3

    Yanga timu kuuuubwa

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Год назад +5

    Mwakani ligi itakuwa ngumu sana🤣🤣🤣🤣 watu mjue hawajapenda😆😆😆😆

  • @aishashaban4362
    @aishashaban4362 Год назад

    Tumevumilia matsuri nakejeli ila sasaivi tuna mshkuru allah tumesahau matusi yote I love you ❤ chama langu💛💛💚💚🖤🖤

  • @chemstry409
    @chemstry409 Год назад +1

    Wow wow........Wananchi noma...🙏

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Год назад +5

    YANGA OYEEEEEEEEE💚💛💛💚💛

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +1

    Shija karibu tufurahie pamoj

  • @bigmzazee2961
    @bigmzazee2961 Год назад +3

    Ndo kweetuuu🎉🎉

  • @MariamMwidin
    @MariamMwidin Год назад +1

    Yanga oyeeeee

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +1

    Shija karibu tufurahie pamojaaaa

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 Год назад +1

    Yanga tamu

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +1

    Athumani karibu saaan yanga kwenye Raha karibu saaaan jmn

  • @hggvg9809
    @hggvg9809 Год назад

    Nkane kama Nkane kamupiga mwingi💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐

  • @DazuuMwajuma
    @DazuuMwajuma 6 месяцев назад

    Yanga tamu ❤❤

  • @AbdulSalim-wu8wo
    @AbdulSalim-wu8wo Год назад

    Kwani ushindi raha tuu♥️♥️♥️♥️

  • @MashakaAmadi-pl5eq
    @MashakaAmadi-pl5eq 6 месяцев назад

    Msbaraa

  • @youdya
    @youdya Год назад +2

    Bacca ukij unguj nishtue nnazawad yako

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Год назад +1

    Naomba mbakize vifaa vyote muhimu msiruhusu vitoke maana tuna jambo letu kubwa msmu ujao tafadhali rais wetu

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Год назад

    Yanga raha sana

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 4 месяца назад

    Yanga inapesa simba nanyie mnaoesa mfananishe na hii timu hii nitajiri yanga haisafiri kwa gari ujue inapochi nene

  • @juliethkatusime3844
    @juliethkatusime3844 Год назад

    Team wafupi wameitana,ila nawapnda kibwana na job wanpendan sna

    • @traineesmbwilo3559
      @traineesmbwilo3559 Год назад

      Yani Rangi yamoshi wajezi zetu zote tunao Aya nyie langu nyekundu mnayo

  • @AlmachNestory
    @AlmachNestory Год назад +11

    Naamini viongozi wetu mnatambua kuwa ni rahisi sana kuwa mamba moja, lakini ni ngumu sana kudumu namba moja lakini inawezekana kudumu namba moja, km uti wa mgongo mwl Nabi na benchi lake la ufundi na wachezaji wote bora watasalia na kufanya maboresho madogo kulingana na mahitaji ya timu na mapendekezo ya benchi la ufundi.

    • @chemstry409
      @chemstry409 Год назад

      @Almach....Tulitamani sana iwe hivyo lakini ndio hivyo tena tumekutana na Breaking news...anyway DAIMA MBELE NYUMA MWIKO....

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Год назад +1

    Nadunduka wanaumia wakiwa wapi wananchiiii

  • @BabaMkuu
    @BabaMkuu 9 месяцев назад

    Upo mkubwa kila atabeba mzigo wake tupo pamoja kwa ushabiki tu

  • @textrovert1
    @textrovert1 Год назад

    Mudathiri ni ustaz

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад

    Shija karibu tufurahie pamoja

  • @varesrobatsaimon
    @varesrobatsaimon Месяц назад

    Wakwanza nipen lake zen

  • @yusufumwakyambiki8062
    @yusufumwakyambiki8062 Год назад

    💚💛💚💛 one love wananchi

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 4 месяца назад

    Makolo mfe na pulesha yetu sisi tunapesa ndoomana tunashelekea kila mala

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 4 месяца назад

    Ninyamatuu na sintiki mndomoni na shapeni na mziki mzito

  • @athumansadiki2943
    @athumansadiki2943 Год назад +1

    Safiiii!!!

  • @TwaibaShwaibu
    @TwaibaShwaibu 10 месяцев назад

    💚💛💚💛

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 Год назад

    Yanga raha jamani ❤

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Год назад

    😂😂😂😂😂uang Raha nyieee had rahaa kumbe c Mpira tu wanacheza had singalii wooo❤

  • @PascaLwesso-sf4qi
    @PascaLwesso-sf4qi Год назад

    ONA SURE BOY, NKANE NA WENNZAKE WAKICHEZA SINGELI YA DULLA MAKABILA JANGWANI/UTACHEKA❌⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥❗❗

    • @PascaLwesso-sf4qi
      @PascaLwesso-sf4qi Год назад

      ⛔⛔⛔⛔🚭🚭🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

  • @juliethkatusime3844
    @juliethkatusime3844 Год назад

    Kweli ni marfk sana sure na mda

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 Год назад +4

    Nkane jmn😂😂😂😂

    • @user-xy8kl9wd2i
      @user-xy8kl9wd2i Год назад

      Furaha haijiludii tena ukiipata itumie😂😂

  • @LydiaMwati-gp6jo
    @LydiaMwati-gp6jo Год назад +1

    Kiukweli mashabiki wa yanga wanapata raha sana, hadi wivu jamani. Me nahama nilipo nihamie tu kwa wananchi

    • @mishikombowato1457
      @mishikombowato1457 Год назад

      😂😂😂kwani upo wapi ndugu

    • @LydiaMwati-gp6jo
      @LydiaMwati-gp6jo Год назад

      @@mishikombowato1457 nishahama tayari na nimehamia 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @manaenmartin9946
    @manaenmartin9946 Год назад

    Together us one ❤❤❤❤❤❤

  • @isacklyanga1250
    @isacklyanga1250 Год назад

    Nimependa hiyo, huo moshi wa kijani na njano ni hatariii sanaaa.

  • @AminaDuda
    @AminaDuda Месяц назад

    nkane mamb

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 Год назад

    Nmeonjoy kwel

  • @mkohoexperience7322
    @mkohoexperience7322 Год назад

    Mzize kweli alikua boda😂😂,

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Год назад

    Sasi sana

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 Год назад

    Hawaa watotoo balaaaa😃

  • @juliethkatusime3844
    @juliethkatusime3844 Год назад

    Kwa raha yanga hv jmn nitaumwaaa

  • @aminawaziri1775
    @aminawaziri1775 Год назад

    Xix ndo yanga oyeeeeeeeeee

  • @mariagodwin7669
    @mariagodwin7669 Год назад +3

    Wafupi media😅😅😅😅

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 Год назад

    Point tu

  • @hamisuuhamadi1663
    @hamisuuhamadi1663 Год назад

    Nikane ndio mamb ayapendayo hayo huko tiktok kakuchafua balaa😂😂😂

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 4 месяца назад

    Nahisi hata simba mpo mnakondoa mchotuu

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Год назад

    Nkane na Kibwana wamelewa

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Год назад

    Kumbe nkaneee anajuaa😂😂

  • @mariamsaidadam9948
    @mariamsaidadam9948 Год назад +1

    Nkane nina zawadi yako

  • @wardawarda6535
    @wardawarda6535 Год назад

    💚💚💛💚💛💛🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @kamdinindevu5185
    @kamdinindevu5185 Год назад

    Cc ndo yanga

  • @hillarimtambo482
    @hillarimtambo482 Год назад

    💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚

  • @EsterMasawe-s1z
    @EsterMasawe-s1z 4 месяца назад

    Chezea yanga weweeeee

  • @rezicky
    @rezicky Год назад

    💛💚💛💚💛💚💛💚💪

  • @juliethkatusime3844
    @juliethkatusime3844 Год назад

    Denis nkane jmn😅

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад

    Maraha km yoooote jmn

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Год назад

    Du! hilo nyomi lilitisha.

  • @hamisuuhamadi1663
    @hamisuuhamadi1663 Год назад

    😂😂😂😂😂dhaaa rah san wanangu wabuza kumbe sio mpira tu jaman had kucheza watu wajua 😂😂😂😂kibwana nikane bryason mzize babu kaju shikamooni 😂😂😂😂

  • @siraibrahim2925
    @siraibrahim2925 Год назад

    Sijui nacheka nn 🤣🤣🤣🤣

  • @HussenHatibu-di6dr
    @HussenHatibu-di6dr Год назад +2

    🦾🦾💪

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr Год назад +1

    Wafupi media

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад

    Oyeeeeeeeee

  • @chemstry409
    @chemstry409 Год назад

    Beuti beuti.......😂😂😂

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 5 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @jamalsaleh5334
    @jamalsaleh5334 Год назад

    😅😅😅😅

  • @sucheemmanuel90
    @sucheemmanuel90 Год назад

    ruclips.net/video/QtvcRuacmtc/видео.html PENZI LA SHEMEJI TAMU LAMNOGEA DADA

  • @elizabethelias3130
    @elizabethelias3130 Год назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +1

    Shija karibu tufurahie pamoj

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад

    Shija karibu tufurahie pamojaaaa

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад

    Shija karibu tufurahie pamoja

  • @GalaxyA-yw7eg
    @GalaxyA-yw7eg Год назад +1

    💚💛💚💛

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Год назад

    Nkane ndo walimfikisha kwenye huo mziki🤣🤣🤣🤣 chezea watu Nachingwea ww.

  • @sucheemmanuel90
    @sucheemmanuel90 Год назад

    ruclips.net/video/QtvcRuacmtc/видео.html PENZI LA SHEMEJI TAMU LAMNOGEA DADA

  • @elibarickfredrick1449
    @elibarickfredrick1449 Год назад

    😂😂😂

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +1

    Shija karibu tufurahie pamojaaaa

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад

    Shija karibu tufurahie pamoj

  • @tatualbai5943
    @tatualbai5943 Год назад

    💚💛💚💛💚💛

  • @RammyTz-u9p
    @RammyTz-u9p 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Год назад

    Job mtulivu sana