Naamini viongozi wetu mnatambua kuwa ni rahisi sana kuwa mamba moja, lakini ni ngumu sana kudumu namba moja lakini inawezekana kudumu namba moja, km uti wa mgongo mwl Nabi na benchi lake la ufundi na wachezaji wote bora watasalia na kufanya maboresho madogo kulingana na mahitaji ya timu na mapendekezo ya benchi la ufundi.
Wanachi sisi ni Bata na kazi💚💚💛💚💛💚
Mbona sisi simba hatujawahi kuenjoy hivi jamani hawa wanaenjoy sana bwana
😂😂
😅😅
Karibu na wewe ufurahi ndugu yangu..ikikupendeza sio dhambi kuhama timu.
@@chemstry409 🤣🤣🤣Asije shida ya bureeee tunamkaribisha🤣🤣
Amanaga uwo ujanja atuna masitress mengi sisi niku injoy adi moshi tuu wanjano
Mm kwa kweli mziki wa singeri siupendi basi tu,nimeangalia kwa sababu ya sherehe ya chama langu.
Najivunia kuwa yanga
Nimehama simba kuanzia leo mm ni yanga
Karibu 😅
Hizi laha hakuna Tim yoyote Alisha wah pata Zaid ya yangaa
USM Algers nafikiri wamezipata raha zaidi ya hizo😁😁😁.
@@jambo3751 Kwa kushuka daraja au 🤣🤣
@@readyamahengo4585 walioshuka daraja ni wale wa Afrika kusini mliocheza nao nusu fainali.
Ko nafs ya kumi nayo ndo iwape furaha au si wapo mahututi kabs wanatofaut gn na waloshuk daraja
@@readyamahengo4585 wewe jitoe fahamu ujifanye hujui kilichowafurahisha USM Algers😁😁.
Azam hata wachukue wachezaji wooote wa Yanga kombe wasahau kbsaa
Hiii tim Ina Raha yake kudadake afu wanapenda sherehe Sana na hawachoki 😜💚💚💛
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hyo tupewe maua yetu hatuchoki
Wazaramo wa damu
Pesa zenyewe tunazo kwanini tusiinjoy
Tobaaaa lingemkuta Ajibu,Mohammed hussein, Dilunga, Ndemla,mkude pasingetosha
Wachezaji Wana Raha saaaan,mashabiki usiseme😂😂😂😂
Yanga raha sana💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛
Yanga ni lidduuuuude
Lidude unalo mwenyewe umelifungasha
Hii ndio maana haris ya Tim kubwa
Yanga timu kuuuubwa
Mwakani ligi itakuwa ngumu sana🤣🤣🤣🤣 watu mjue hawajapenda😆😆😆😆
Tumevumilia matsuri nakejeli ila sasaivi tuna mshkuru allah tumesahau matusi yote I love you ❤ chama langu💛💛💚💚🖤🖤
Wow wow........Wananchi noma...🙏
YANGA OYEEEEEEEEE💚💛💛💚💛
Safi sanaaaa yanqa tamuuuuuuuuuu
Mwakani Mungu wasaidie tushinde tena
Shija karibu tufurahie pamoj
Ndo kweetuuu🎉🎉
Yanga oyeeeee
Shija karibu tufurahie pamojaaaa
Yanga tamu
Athumani karibu saaan yanga kwenye Raha karibu saaaan jmn
Nkane kama Nkane kamupiga mwingi💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Yanga tamu ❤❤
Kwani ushindi raha tuu♥️♥️♥️♥️
Msbaraa
Bacca ukij unguj nishtue nnazawad yako
Naomba mbakize vifaa vyote muhimu msiruhusu vitoke maana tuna jambo letu kubwa msmu ujao tafadhali rais wetu
Yanga raha sana
Yanga inapesa simba nanyie mnaoesa mfananishe na hii timu hii nitajiri yanga haisafiri kwa gari ujue inapochi nene
Team wafupi wameitana,ila nawapnda kibwana na job wanpendan sna
Yani Rangi yamoshi wajezi zetu zote tunao Aya nyie langu nyekundu mnayo
Naamini viongozi wetu mnatambua kuwa ni rahisi sana kuwa mamba moja, lakini ni ngumu sana kudumu namba moja lakini inawezekana kudumu namba moja, km uti wa mgongo mwl Nabi na benchi lake la ufundi na wachezaji wote bora watasalia na kufanya maboresho madogo kulingana na mahitaji ya timu na mapendekezo ya benchi la ufundi.
@Almach....Tulitamani sana iwe hivyo lakini ndio hivyo tena tumekutana na Breaking news...anyway DAIMA MBELE NYUMA MWIKO....
Nadunduka wanaumia wakiwa wapi wananchiiii
Upo mkubwa kila atabeba mzigo wake tupo pamoja kwa ushabiki tu
Mudathiri ni ustaz
Shija karibu tufurahie pamoja
Wakwanza nipen lake zen
💚💛💚💛 one love wananchi
Makolo mfe na pulesha yetu sisi tunapesa ndoomana tunashelekea kila mala
Ninyamatuu na sintiki mndomoni na shapeni na mziki mzito
Safiiii!!!
💚💛💚💛
Yanga raha jamani ❤
😂😂😂😂😂uang Raha nyieee had rahaa kumbe c Mpira tu wanacheza had singalii wooo❤
ONA SURE BOY, NKANE NA WENNZAKE WAKICHEZA SINGELI YA DULLA MAKABILA JANGWANI/UTACHEKA❌⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉⁉🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥❗❗
⛔⛔⛔⛔🚭🚭🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Kweli ni marfk sana sure na mda
Nkane jmn😂😂😂😂
Furaha haijiludii tena ukiipata itumie😂😂
Kiukweli mashabiki wa yanga wanapata raha sana, hadi wivu jamani. Me nahama nilipo nihamie tu kwa wananchi
😂😂😂kwani upo wapi ndugu
@@mishikombowato1457 nishahama tayari na nimehamia 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Together us one ❤❤❤❤❤❤
Nimependa hiyo, huo moshi wa kijani na njano ni hatariii sanaaa.
nkane mamb
Nmeonjoy kwel
Mzize kweli alikua boda😂😂,
Sasi sana
Hawaa watotoo balaaaa😃
Kwa raha yanga hv jmn nitaumwaaa
Xix ndo yanga oyeeeeeeeeee
Wafupi media😅😅😅😅
Point tu
Nikane ndio mamb ayapendayo hayo huko tiktok kakuchafua balaa😂😂😂
Nahisi hata simba mpo mnakondoa mchotuu
Nkane na Kibwana wamelewa
Kumbe nkaneee anajuaa😂😂
Nkane nina zawadi yako
💚💚💛💚💛💛🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Cc ndo yanga
💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚
Chezea yanga weweeeee
💛💚💛💚💛💚💛💚💪
Denis nkane jmn😅
Maraha km yoooote jmn
Du! hilo nyomi lilitisha.
😂😂😂😂😂dhaaa rah san wanangu wabuza kumbe sio mpira tu jaman had kucheza watu wajua 😂😂😂😂kibwana nikane bryason mzize babu kaju shikamooni 😂😂😂😂
Sijui nacheka nn 🤣🤣🤣🤣
🦾🦾💪
Wafupi media
Oyeeeeeeeee
Beuti beuti.......😂😂😂
😂😂😂😂
😅😅😅😅
ruclips.net/video/QtvcRuacmtc/видео.html PENZI LA SHEMEJI TAMU LAMNOGEA DADA
😂😂😂😂😂😂
Shija karibu tufurahie pamoj
Shija karibu tufurahie pamojaaaa
Shija karibu tufurahie pamoja
💚💛💚💛
Nkane ndo walimfikisha kwenye huo mziki🤣🤣🤣🤣 chezea watu Nachingwea ww.
ruclips.net/video/QtvcRuacmtc/видео.html PENZI LA SHEMEJI TAMU LAMNOGEA DADA
😂😂😂
Shija karibu tufurahie pamojaaaa
Mama shija upo
@magrethyeremia2279
Shija karibu tufurahie pamoj
💚💛💚💛💚💛
😂😂😂😂😂
Job mtulivu sana