I must say I hope this beautiful sister in the lord doesn't change like most gospel singers do, this song blessed me n still does. May she keep worshipping our king in spirit and in truth because our Lord Jesus is holy. Kumbe nikwa Neema tuu!!!! It just the grace of God. God bless you. John 3:16
Hongera Beatrice kiukweri unajua kuimba unakipaji, mungu azd kubaliki kipaji chako cha kuimba , ktk maisha yako yote mm nakuombea kwa mungu awe nawe daima.
Amen nikwa Neema tuu thank you Lord... Asante kwa maisha ulio nitowa ni Neema tuu naomba niacha kuchazia Neema God help me to use my life good way Jesus
Naitwa Betty Vincent ninakarama ya kuimba ila sijui kutunga nyimbo na maisha yangu no magumu sana na nattamani sana kuimba kama wew Dada angu Martha naomba unisaidie uniinue
Tunaosikiliza nyimbo hii 2021 twende na like nyingi😍
Wangapi wako na mimi mwaka huu wa 2019 Nikizidi kujua hapa nilipo ni kwa Neema yake Mungu👏🏻🙏
Jaman naipendaga hii nyimbo nilisikiaga kwenye redio mwanzo kabisa. Bitrice wajina wa best yangu na mana yangu mkubwa
Beatric ni Jina zur wengi wanakuwaga wapole hila ant yangu yeye mtata hila mkalimu na badaye anashukaga
Kweli kabisa nikwanema
wangapi tupo na neema ya Mungu ktk kumalizia mwaka
NI NEEMA TU
Mungu umetubeba
KILA NIAMKAPO NAUSIKILIZA HUU WIMBO nafarijika Sana wewe dada you have changed my life through that song...be blessed milele na milele....
Amen!! Nabarikiwa sana na huu wimbo kila ninapousikiliza.... Mungu akusimamie uendelee kutoa nyimbo nzuri...
Niwangapi tumeona neema na imetubeba mbaka 2021
Dada Beatrice nazikubali sana jumbe zako kwakweli.Mungu akubariki sana kwa Injili yenye uwezo wa Mungu
Daaah mim jaman bando Lang linaishiaga kweny nyimbo zako na dada ako Martha 🙏🙏
Kumbe nikwa Neema tu kwingia 2020 Asante Mungu
Amen da Beatrice nic song,kweli apa nilipo n kwa Neema ya Baba
Ameeen ni kwel ni kwa neema tu wangap walitaman kuiona siku ya tarehe 12 mwez 9 2020 lakn hawajaiona me ni nan hata nisiseme asnt
Nakupenda sana wew na Martha mwaipaja mnanyimbo nzuri
Waooo piga kazi nimebarikiwa sana usonge mbele mwimbaji hyo ni injili tosha
Ni kwa neema tuu. Wengi walikuepo na hawapo tena. Tuitunze neema ya Mungu tusiichezee.
nyimbo zako zinanibariki sana mtumishi wa mungu,mungu azidi kukuinua na akutumie kwa utukufu wake
mungu awepamoja na wewe Dada Beatrice mwaipaja na akuinue katika viwango vya juu zaidiiii Amen
Ubarikiwe sana Beatrice, ni kwa neema tu hata nilivyo mm ni kwa neema tu
For sure Ni kwa neema tuu ninaishi.thanks dada Beatrice
kweli nikwa neema tu, Barikiwa sana dada
I must say I hope this beautiful sister in the lord doesn't change like most gospel singers do, this song blessed me n still does. May she keep worshipping our king in spirit and in truth because our Lord Jesus is holy. Kumbe nikwa Neema tuu!!!! It just the grace of God. God bless you. John 3:16
siachi kulia kumbe nikwa Neema leo niko mzima,wengi wame fariki ila leo nime ongeza mwaka,asante Yesu wangu najuwa ata uyu mwaka Neema ita nibeba tena
Amen . sauti Kama ya Martha mwaipaja
Naupenda sauna huu Wimbo ubarikiwe sana beatrice
kumbe ni kwa neema tu barikiwa Sana dada Beatrice
Asante mungu wangu kwa neema iii... ubarikiwe sana dada Beatrice mwapaji
ni neema ya mungu ndio inayo tuweka mpaka leo hii tunakushukuru mungu kutupa neema hii
Nyimbo nzuri sana beatrice mungu aendeleee kukupa nguvu na kukuza kipaji chako
nikwaneema tu inanibariki kweli mungu aendelee kukueka ili uendelee kutubariki kwa nyimbo zako
kmbe ni kwa neema tu,wimbo huu unanibariki sana mm na make wangu frola kiluasha,ubarkiwe sana b mwaipaja
me penda sana this song every morning lazima niisikilize!
even me...nyimbo nzuri sana
Hakika wimbo huu naupenda sana! Mwimbaji ubarkiwe sana dadangu! Yaan dah!
kwa ni neema ndo mana tuko hai good song
Hongera Beatrice kiukweri unajua kuimba unakipaji, mungu azd kubaliki kipaji chako cha kuimba , ktk maisha yako yote mm nakuombea kwa mungu awe nawe daima.
This song makes me feel like am in heaven
Beatrice love you a lot my ccter nyimbo zako zinanifariji sana mungu akubariki
umejitahidi sana Beatrice kaza mwendo usirudi nyuma, vipige vita vya Imani.
NIKWELI TUNAISHI KWANEEMA MUNGU AKUBARIKI.
God bless you sister!! This song is one of my country songs!! God bless Tanzania
Ila ni kwa neema tu.still my best .
Much love from kenya❤
kumbe ni kwa NEEMA tu! ameeeen, can LA kusema juu ya NEEMA ya mungu juu yetu barikiwa sana mtumish juu ya huduma yako!
Neema ya Mungu Baba... Asante Beatrice kwa wimbo mzuri sana. Nawapenda sana wewe na dada ako Martha. God bless you always
waaaw sauti yako yapendeza dada,,,am feeling blessed this,1st August 2019
Wa kiwarani dar es salaam hakika neema ya mungu inatuongoza
Amen kumbe ninema nimebalikiwa asante Dada mungu akubalikiwe
mungu akubarki mtumshi mungu kakupa sauti nzuri muimbie
Mungu awabariki wote nawapenda Sana na mungu akubarik sana Beatrice
nyimbo nzuri sana bwana yesu asifiwe milele na milele Amen
Ni kwa Neema tuu nic my lovely Mungu akubariki kwa uimbaji wako
Mungu akurinde ufike mbali
Nyimbo nzuri sana dada ubarikiwe
@@anglebaraka8680 barikiwa dada
Ni neema tu ya mungu
Amen nikwa Neema tuu thank you Lord... Asante kwa maisha ulio nitowa ni Neema tuu naomba niacha kuchazia Neema God help me to use my life good way Jesus
hakika sijui nilikuwa wapi nice song dadaang
Kabisa kumbe ni kwa neema tu ubarikiwe sana
nikweli kumbe ni kwa neema tu ata maisha yetu ya kila Leo ni kwa neema tu ubarikiwe dada Beatrice
Mungu akubariki kutukumbusha baraka za Mungu ndizo zinazotupa kiburi...vinginevyo sisi si lolote...God bless you Beatrice
Wimbo huo waga unanipa huzuni moyoni mwangu
Mungu akutunze dadayetu
mwanzo nzuri! jikaze dada.
daaa! huu wimbo una upako ndani yake, ni maneno ya kawaida sana bt yanavuta hisia fulan kusikiliza, hongera sana!
Ni neema kuona 2021
Barikiwaaa sana nyenyekea zaidiii.
barikiwa sana dada MUNGU akutie nguvu usonge mbele nabarikiwa sana na nyimbo zako
amina
Woooow nice song God bless you my sister ni kwa neema tu
Ubarikiwe zaidi mutumishi wa MUNGU kwa hilo fahamisho
Tusicezee neema ya Mungu hallelujah
Neema ya Mungu ni kweli inatubeba barikiwa mtumishi
Kweli ni kwa Neema tu!!be blessed in JESUS name.
Amen!!!!ubarikiwe sana dadangu kwa huu wimbo wako,najisikiaga faraja sana kila ninapo usikiliza dadangu
Beatrice Mwaipaja.Hii ndio inaitwa kipaji.Hongera. Production is awesome as well.I was blessed
Hongera sana kwa kazi nzuri
Dada jamani mungu hawabariki na dada ako kweli nyimbo zenu zinanibariki na kunifariji sana
kumbe ni kwa neema tuu...tuitunze na kuhieshimu neema na tusiichezee kamwe...wimbo mzuri, sauti nzuri..Big up dada Beatrice😘😘😍
Edda Lobozi a beautiful song and a like it
Edda Lobozi me me Gina yangu BEATRICE
YEAHHHHHH YEAHHHHHH
Edda Lobozi nema yang Imethifah
like the tune though not getting the message
Good nyimbo nzuri xana
Kwel si sote uwepo wetu ni kwa neema ya mungu, barikiwa sana mtumish
N Kwa neem tu... Asant da Beatric..
Ni kwa neema to love to you
neema lord is with us at every time god jambo dada
nema imetubeba tusichezee jamani amen ... dadangu barikiwa
Asante matha nimebarikiwa na wimbo huu sana kweli mm na familia yangu tumebebwa na neema ya mungu tuu
njinsi nilivyo ni neema tu,ubarikiwe Sana Dadaa kwa wimbo mzuri huu WA kutukumbusha wema WA Mungu wetu
Waaaooh 2020 kweli ni neema tu
Wimbo mzuri sana,unanifariji sana na kunipa nguvu ya kumtafuta na kumshukuru Mungu kwa neema aliyonijalia
hakika nyimbo nzuri beatrice ,n kweli n kwa neema Mungu akubariki sna, ninapenda nyimbo zko
Ni neema tu am blessed every time am listening to song bestrice be blessed sister I love yoir work
Ni kwa neema tu barikiwa sana dada
ni kwa neema maisha yangu Yako jinsi yalivyo
Naitwa Betty Vincent ninakarama ya kuimba ila sijui kutunga nyimbo na maisha yangu no magumu sana na nattamani sana kuimba kama wew Dada angu Martha naomba unisaidie uniinue
Betty Bern hello betty uko shalom ! Unaishi wapi? Uko mkoani au hapa Dar
Good voice,melody nazidi kubarikiwa kila nikisikiliza hii nyimbo,ubarikiwe sana
Kweli ni kwa neema tu yake Mungu,Mwaipaja barikiwa wimbo mzuri sana!
kumbe ni kwa neema 2 hats nilivyo Leo in neema wimbo mzur san bitrice mungu andelee kukupingania mpendwa
Am islamc girl but, i like ni kwa neema😘😘😘😘😘
May Lord bless you swabra !
Wow ubarikiwe dada wimbo nzuri
N kwa neema, no wimbo ulionibarik xana. Ubarikiwe xana Beatrice kwa wimbo
Nipo kwa neema ya mungu mpka dakika hii asnte mungu kwa kutupenda
Asante mungu kumbe ni kwa neema tu Amen
Nikwaneema tu 2021 like
Kumbe ni kwa Neema ooh Niko hai hadi sasa sio kwaakili yangu Bali ni kwa Neema tu
asanteh kwa wimbo kweli umetubariki nawapenden na martha
Ubarikiwe sana mpendwa, huu wimbo huwa unanibariki sana
Nawapenda sana mungu awabariki
Mung akutie nguv san
Mary Masai
Amen tunashukuru ssna barikiwa pia
Wimbo huu inanibariki Sana sana
Masanja
nabarikiwa sana nawe dada kwa nyimbo zako hasa wa ni kwa neema Mungu akutie nguvu milele usonge mbele daima
hello
asante sana lucy kwa sapot yako tumefurehi kwa feed back barikiwa pia. by smart visual productions
Nyimbo yangu naipenda jamn ubarikiwe dada ni neema tyu
aisee iko vizuri Sana mpaka rahaaaa!!!
iko vizur hakika ni kwa neema2
nk Asia but am so blessed with ur song
Barikiwa mno mtumishi wa Bwana
Asante siz kuamka n Kwa Kila jambo tulifanyalo hakika ni Kwa neema y Mungu Ameen barikiwa sana
ni kwa neema tunaishi.hongera kwa kuinjilisha.
Hakika ni Neema barikiwa mtu wa Mungu nimefarijika sana.