BEATRICE MWAIPAJA KUMBE NI KWA NEEMA TU . FULL HD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 мар 2014

Комментарии • 549

  • @priscamlosa4665
    @priscamlosa4665 3 года назад +11

    Tunaosikiliza nyimbo hii 2021 twende na like nyingi😍

  • @SuccesRozie
    @SuccesRozie 5 лет назад +77

    Wangapi wako na mimi mwaka huu wa 2019 Nikizidi kujua hapa nilipo ni kwa Neema yake Mungu👏🏻🙏

  • @tanzaniangirl1980
    @tanzaniangirl1980 4 года назад +23

    wangapi tupo na neema ya Mungu ktk kumalizia mwaka
    NI NEEMA TU

  • @niceuswege800
    @niceuswege800 2 года назад +1

    KILA NIAMKAPO NAUSIKILIZA HUU WIMBO nafarijika Sana wewe dada you have changed my life through that song...be blessed milele na milele....

  • @albertnzilolela
    @albertnzilolela 8 лет назад +21

    Amen!! Nabarikiwa sana na huu wimbo kila ninapousikiliza.... Mungu akusimamie uendelee kutoa nyimbo nzuri...

  • @sophiasophie55
    @sophiasophie55 3 года назад +1

    Niwangapi tumeona neema na imetubeba mbaka 2021

  • @kanuthmsigwa4987
    @kanuthmsigwa4987 Год назад

    Dada Beatrice nazikubali sana jumbe zako kwakweli.Mungu akubariki sana kwa Injili yenye uwezo wa Mungu

  • @felisternselu6287
    @felisternselu6287 2 года назад

    Daaah mim jaman bando Lang linaishiaga kweny nyimbo zako na dada ako Martha 🙏🙏

  • @charlesbatoni2444
    @charlesbatoni2444 4 года назад +1

    Kumbe nikwa Neema tu kwingia 2020 Asante Mungu

  • @elizabethokutoi1805
    @elizabethokutoi1805 5 лет назад

    Amen da Beatrice nic song,kweli apa nilipo n kwa Neema ya Baba

  • @shedrackdaudi3403
    @shedrackdaudi3403 3 года назад +1

    Ameeen ni kwel ni kwa neema tu wangap walitaman kuiona siku ya tarehe 12 mwez 9 2020 lakn hawajaiona me ni nan hata nisiseme asnt

  • @jonhboma-fy1iu
    @jonhboma-fy1iu Год назад

    Nakupenda sana wew na Martha mwaipaja mnanyimbo nzuri

  • @godfreysakumi6826
    @godfreysakumi6826 4 года назад

    Waooo piga kazi nimebarikiwa sana usonge mbele mwimbaji hyo ni injili tosha

  • @carenthomas4264
    @carenthomas4264 2 года назад

    Ni kwa neema tuu. Wengi walikuepo na hawapo tena. Tuitunze neema ya Mungu tusiichezee.

  • @princessneema4724
    @princessneema4724 4 года назад +1

    nyimbo zako zinanibariki sana mtumishi wa mungu,mungu azidi kukuinua na akutumie kwa utukufu wake

  • @sagdrakabenny.1271
    @sagdrakabenny.1271 8 лет назад +1

    mungu awepamoja na wewe Dada Beatrice mwaipaja na akuinue katika viwango vya juu zaidiiii Amen

  • @suzanaseni4429
    @suzanaseni4429 7 лет назад

    Ubarikiwe sana Beatrice, ni kwa neema tu hata nilivyo mm ni kwa neema tu

  • @wilsonamboso9326
    @wilsonamboso9326 3 года назад

    For sure Ni kwa neema tuu ninaishi.thanks dada Beatrice

  • @josephinemueni598
    @josephinemueni598 6 лет назад

    kweli nikwa neema tu, Barikiwa sana dada

  • @ZambeNanga
    @ZambeNanga 9 лет назад +2

    I must say I hope this beautiful sister in the lord doesn't change like most gospel singers do, this song blessed me n still does. May she keep worshipping our king in spirit and in truth because our Lord Jesus is holy. Kumbe nikwa Neema tuu!!!! It just the grace of God. God bless you. John 3:16

  • @antoinettetony3038
    @antoinettetony3038 8 лет назад

    siachi kulia kumbe nikwa Neema leo niko mzima,wengi wame fariki ila leo nime ongeza mwaka,asante Yesu wangu najuwa ata uyu mwaka Neema ita nibeba tena

  • @elizabethlukale4474
    @elizabethlukale4474 3 года назад +1

    Amen . sauti Kama ya Martha mwaipaja

  • @nicolasjames3743
    @nicolasjames3743 Год назад

    Naupenda sauna huu Wimbo ubarikiwe sana beatrice

  • @annaathuman3136
    @annaathuman3136 6 лет назад

    kumbe ni kwa neema tu barikiwa Sana dada Beatrice

  • @flopatrick8423
    @flopatrick8423 8 лет назад +2

    Asante mungu wangu kwa neema iii... ubarikiwe sana dada Beatrice mwapaji

  • @miriyamasanja73
    @miriyamasanja73 7 лет назад

    ni neema ya mungu ndio inayo tuweka mpaka leo hii tunakushukuru mungu kutupa neema hii

  • @clementurassa7526
    @clementurassa7526 8 лет назад

    Nyimbo nzuri sana beatrice mungu aendeleee kukupa nguvu na kukuza kipaji chako

  • @bettymasha2557
    @bettymasha2557 6 лет назад +1

    nikwaneema tu inanibariki kweli mungu aendelee kukueka ili uendelee kutubariki kwa nyimbo zako

  • @fidelismwingira3577
    @fidelismwingira3577 8 лет назад

    kmbe ni kwa neema tu,wimbo huu unanibariki sana mm na make wangu frola kiluasha,ubarkiwe sana b mwaipaja

  • @SosoSoso-dj7sh
    @SosoSoso-dj7sh 8 лет назад +1

    me penda sana this song every morning lazima niisikilize!

  • @lameckshillah8924
    @lameckshillah8924 6 лет назад +1

    Hakika wimbo huu naupenda sana! Mwimbaji ubarkiwe sana dadangu! Yaan dah!

  • @leonidakolla8637
    @leonidakolla8637 8 лет назад

    kwa ni neema ndo mana tuko hai good song

  • @benardrukwakwa2659
    @benardrukwakwa2659 6 лет назад

    Hongera Beatrice kiukweri unajua kuimba unakipaji, mungu azd kubaliki kipaji chako cha kuimba , ktk maisha yako yote mm nakuombea kwa mungu awe nawe daima.

  • @ntwigajames1292
    @ntwigajames1292 7 лет назад +3

    This song makes me feel like am in heaven

  • @lilianijulius1921
    @lilianijulius1921 7 лет назад

    Beatrice love you a lot my ccter nyimbo zako zinanifariji sana mungu akubariki

  • @rechallaurencekaali8377
    @rechallaurencekaali8377 9 лет назад +10

    umejitahidi sana Beatrice kaza mwendo usirudi nyuma, vipige vita vya Imani.

  • @barakadachef9545
    @barakadachef9545 9 лет назад +4

    God bless you sister!! This song is one of my country songs!! God bless Tanzania

  • @sharonfortune5020
    @sharonfortune5020 3 года назад

    Ila ni kwa neema tu.still my best .
    Much love from kenya❤

  • @kisamwangomile2839
    @kisamwangomile2839 7 лет назад

    kumbe ni kwa NEEMA tu! ameeeen, can LA kusema juu ya NEEMA ya mungu juu yetu barikiwa sana mtumish juu ya huduma yako!

  • @floksy27
    @floksy27 6 лет назад

    Neema ya Mungu Baba... Asante Beatrice kwa wimbo mzuri sana. Nawapenda sana wewe na dada ako Martha. God bless you always

  • @florahmwelu2705
    @florahmwelu2705 5 лет назад +5

    waaaw sauti yako yapendeza dada,,,am feeling blessed this,1st August 2019

  • @andreamsigwa4557
    @andreamsigwa4557 4 года назад

    Wa kiwarani dar es salaam hakika neema ya mungu inatuongoza

  • @areanakenny1296
    @areanakenny1296 6 лет назад

    Amen kumbe ninema nimebalikiwa asante Dada mungu akubalikiwe

  • @esterpaul6646
    @esterpaul6646 5 лет назад

    mungu akubarki mtumshi mungu kakupa sauti nzuri muimbie

  • @rebeccadaniel1699
    @rebeccadaniel1699 5 лет назад

    Mungu awabariki wote nawapenda Sana na mungu akubarik sana Beatrice

  • @norahbochaberi9588
    @norahbochaberi9588 7 лет назад +17

    nyimbo nzuri sana bwana yesu asifiwe milele na milele Amen

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 6 лет назад

    Amen nikwa Neema tuu thank you Lord... Asante kwa maisha ulio nitowa ni Neema tuu naomba niacha kuchazia Neema God help me to use my life good way Jesus

  • @alexnzigilwa4945
    @alexnzigilwa4945 5 лет назад

    hakika sijui nilikuwa wapi nice song dadaang

  • @fanisiafany2380
    @fanisiafany2380 5 лет назад

    Kabisa kumbe ni kwa neema tu ubarikiwe sana

  • @dinakaluka4794
    @dinakaluka4794 7 лет назад

    nikweli kumbe ni kwa neema tu ata maisha yetu ya kila Leo ni kwa neema tu ubarikiwe dada Beatrice

  • @stellahalimoja59
    @stellahalimoja59 8 лет назад +10

    Mungu akubariki kutukumbusha baraka za Mungu ndizo zinazotupa kiburi...vinginevyo sisi si lolote...God bless you Beatrice

  • @zennazenna2121
    @zennazenna2121 9 лет назад

    mwanzo nzuri! jikaze dada.

  • @piusmsabila671
    @piusmsabila671 7 лет назад

    daaa! huu wimbo una upako ndani yake, ni maneno ya kawaida sana bt yanavuta hisia fulan kusikiliza, hongera sana!

  • @sophiasophie55
    @sophiasophie55 3 года назад +1

    Ni neema kuona 2021

  • @ezekielaloyce5917
    @ezekielaloyce5917 5 лет назад +1

    Barikiwaaa sana nyenyekea zaidiii.

  • @alfredhiza8127
    @alfredhiza8127 3 года назад

    barikiwa sana dada MUNGU akutie nguvu usonge mbele nabarikiwa sana na nyimbo zako

  • @cecilyakasekelo711
    @cecilyakasekelo711 2 года назад

    Woooow nice song God bless you my sister ni kwa neema tu

  • @marayiokedi2720
    @marayiokedi2720 3 года назад

    Ubarikiwe zaidi mutumishi wa MUNGU kwa hilo fahamisho

  • @jimmyrutikanga7985
    @jimmyrutikanga7985 2 года назад

    Tusicezee neema ya Mungu hallelujah

  • @iddybr8365
    @iddybr8365 6 лет назад

    Neema ya Mungu ni kweli inatubeba barikiwa mtumishi

  • @janemallya5448
    @janemallya5448 8 лет назад

    Kweli ni kwa Neema tu!!be blessed in JESUS name.

  • @francinealoyce2514
    @francinealoyce2514 8 лет назад

    Amen!!!!ubarikiwe sana dadangu kwa huu wimbo wako,najisikiaga faraja sana kila ninapo usikiliza dadangu

  • @dominiqitta
    @dominiqitta 6 лет назад

    Beatrice Mwaipaja.Hii ndio inaitwa kipaji.Hongera. Production is awesome as well.I was blessed

  • @denniskimangaone4049
    @denniskimangaone4049 11 месяцев назад

    Hongera sana kwa kazi nzuri

  • @mangastonefrance3368
    @mangastonefrance3368 5 лет назад

    Dada jamani mungu hawabariki na dada ako kweli nyimbo zenu zinanibariki na kunifariji sana

  • @eddalobozi8411
    @eddalobozi8411 7 лет назад +22

    kumbe ni kwa neema tuu...tuitunze na kuhieshimu neema na tusiichezee kamwe...wimbo mzuri, sauti nzuri..Big up dada Beatrice😘😘😍

  • @buberwapastorypastorybuber1645
    @buberwapastorypastorybuber1645 4 года назад

    Good nyimbo nzuri xana

  • @erickmaziku7554
    @erickmaziku7554 4 года назад

    Kwel si sote uwepo wetu ni kwa neema ya mungu, barikiwa sana mtumish

  • @upendonnko9208
    @upendonnko9208 7 лет назад +14

    N Kwa neem tu... Asant da Beatric..

  • @jackrivera8297
    @jackrivera8297 2 года назад

    neema lord is with us at every time god jambo dada

  • @hgshjdkwelibwananimuezaway5981
    @hgshjdkwelibwananimuezaway5981 8 лет назад

    nema imetubeba tusichezee jamani amen ... dadangu barikiwa

  • @gloriaonditi1557
    @gloriaonditi1557 7 лет назад

    Asante matha nimebarikiwa na wimbo huu sana kweli mm na familia yangu tumebebwa na neema ya mungu tuu

  • @blessedone5834
    @blessedone5834 5 лет назад

    njinsi nilivyo ni neema tu,ubarikiwe Sana Dadaa kwa wimbo mzuri huu WA kutukumbusha wema WA Mungu wetu

  • @nimuhsteve1079
    @nimuhsteve1079 3 года назад

    Waaaooh 2020 kweli ni neema tu

  • @elizabethmahenge2447
    @elizabethmahenge2447 6 лет назад

    Wimbo mzuri sana,unanifariji sana na kunipa nguvu ya kumtafuta na kumshukuru Mungu kwa neema aliyonijalia

  • @winnyjesang3180
    @winnyjesang3180 6 лет назад

    hakika nyimbo nzuri beatrice ,n kweli n kwa neema Mungu akubariki sna, ninapenda nyimbo zko

  • @douglasombete2188
    @douglasombete2188 3 года назад

    Ni neema tu am blessed every time am listening to song bestrice be blessed sister I love yoir work

  • @gracewarioba6391
    @gracewarioba6391 8 лет назад

    Ni kwa neema tu barikiwa sana dada

  • @missflavia3076
    @missflavia3076 7 лет назад +1

    ni kwa neema maisha yangu Yako jinsi yalivyo

  • @bettybern2462
    @bettybern2462 5 лет назад

    Naitwa Betty Vincent ninakarama ya kuimba ila sijui kutunga nyimbo na maisha yangu no magumu sana na nattamani sana kuimba kama wew Dada angu Martha naomba unisaidie uniinue

    • @smartvisualproductio
      @smartvisualproductio  5 лет назад

      Betty Bern hello betty uko shalom ! Unaishi wapi? Uko mkoani au hapa Dar

  • @emmanuelherman6045
    @emmanuelherman6045 8 лет назад

    Good voice,melody nazidi kubarikiwa kila nikisikiliza hii nyimbo,ubarikiwe sana

  • @loiseadero5935
    @loiseadero5935 8 лет назад

    Kweli ni kwa neema tu yake Mungu,Mwaipaja barikiwa wimbo mzuri sana!

  • @hadijakingwenda8961
    @hadijakingwenda8961 6 лет назад

    kumbe ni kwa neema 2 hats nilivyo Leo in neema wimbo mzur san bitrice mungu andelee kukupingania mpendwa

  • @swabrahmaga4246
    @swabrahmaga4246 5 лет назад

    Am islamc girl but, i like ni kwa neema😘😘😘😘😘

  • @ngenabiambo1378
    @ngenabiambo1378 9 лет назад

    Wow ubarikiwe dada wimbo nzuri

  • @amirihamisi6913
    @amirihamisi6913 8 лет назад

    N kwa neema, no wimbo ulionibarik xana. Ubarikiwe xana Beatrice kwa wimbo

  • @anamanoni1243
    @anamanoni1243 6 лет назад

    Nipo kwa neema ya mungu mpka dakika hii asnte mungu kwa kutupenda

  • @veronicajohn3924
    @veronicajohn3924 7 лет назад

    Asante mungu kumbe ni kwa neema tu Amen

  • @joycemeki3176
    @joycemeki3176 3 года назад +1

    Nikwaneema tu 2021 like

  • @daviddaudi5551
    @daviddaudi5551 6 лет назад

    Kumbe ni kwa Neema ooh Niko hai hadi sasa sio kwaakili yangu Bali ni kwa Neema tu

  • @priscapius2341
    @priscapius2341 8 лет назад

    asanteh kwa wimbo kweli umetubariki nawapenden na martha

  • @marymasai1612
    @marymasai1612 8 лет назад +33

    Ubarikiwe sana mpendwa, huu wimbo huwa unanibariki sana

  • @ruthsteven1196
    @ruthsteven1196 8 лет назад +2

    nabarikiwa sana nawe dada kwa nyimbo zako hasa wa ni kwa neema Mungu akutie nguvu milele usonge mbele daima

    • @smartvisualproductio
      @smartvisualproductio  8 лет назад

      hello
      asante sana lucy kwa sapot yako tumefurehi kwa feed back barikiwa pia. by smart visual productions

  • @priscaedimin966
    @priscaedimin966 4 года назад

    Nyimbo yangu naipenda jamn ubarikiwe dada ni neema tyu

  • @cosmaskamsini6846
    @cosmaskamsini6846 7 лет назад +4

    aisee iko vizuri Sana mpaka rahaaaa!!!

  • @pamelanabokolweojuma1964
    @pamelanabokolweojuma1964 5 лет назад +1

    nk Asia but am so blessed with ur song

  • @michaelfaraday9568
    @michaelfaraday9568 4 года назад

    Barikiwa mno mtumishi wa Bwana

  • @lilliantengo4192
    @lilliantengo4192 7 лет назад

    Asante siz kuamka n Kwa Kila jambo tulifanyalo hakika ni Kwa neema y Mungu Ameen barikiwa sana

  • @noelinategete6561
    @noelinategete6561 6 лет назад

    ni kwa neema tunaishi.hongera kwa kuinjilisha.

  • @josephmihayo9656
    @josephmihayo9656 5 лет назад

    Hakika ni Neema barikiwa mtu wa Mungu nimefarijika sana.