MANENO MAZITO YA MWAMPOSA BAADA YA KIFO CHA MSAIDIZI WAKE | SIKIA MANENO YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 55

  • @GraceZunda
    @GraceZunda 15 часов назад +4

    Pole baba yetu,Mungu ameruhusu mtumishi wake alale katika bwana,pumzika kwa amani pastor Jonathan,Amen

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 15 часов назад +2

    Poleni ndugu jamaa na marafiki ,bila kumsahau baba yetu mwamposa Mungu akutie nguvu katika kipind hiki kigumu.

  • @freyjuma8426
    @freyjuma8426 5 часов назад

    Pole baba yetu Mungu akutie nguvu na 😢awatie nguvu watumishi wote sote njia Ni moja Ila akitoka mmoja Inaumiza 😭😭😭 Apumzike kwa Aman mpendwa wetu mwaminifu

  • @terezadotto5458
    @terezadotto5458 13 часов назад

    Pole sana mtumishi wa MUNGU.
    BABA wa mbinguni aendelee kuwa faraja kwenu.

  • @EliasGwaya
    @EliasGwaya 18 часов назад +3

    Baba Etu pole sana na Mungu akutie nguvu na ujasiri wa kuendelea na kazi ya Mungu,tupo pamoja

  • @RosemaryTillya
    @RosemaryTillya 10 часов назад

    Pole sana Baba Mungu akutie Nguvu

  • @lameckwilliam8311
    @lameckwilliam8311 13 часов назад

    Pole mtumishi Mungu akutie nguvu

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 4 часа назад

    Poleni sana inabidi uokoke hiyo inakukumbusha kuna kifo

  • @HsdvvdHwhwhs
    @HsdvvdHwhwhs 4 часа назад

    Baba etu pole sana mngu akutie nguvu

  • @herielimtui3875
    @herielimtui3875 13 часов назад

    Pole sana mtumishi wa mungu

  • @bieshakinunda9646
    @bieshakinunda9646 16 часов назад +2

    MUNGU akutie nguvu amelala mtumishi wa MUNGU katka BWANA

  • @JanetMwaijumba
    @JanetMwaijumba 14 часов назад

    Mungu akutie nguvu baba

  • @AgnessMhagama-f7o
    @AgnessMhagama-f7o 16 часов назад +1

    Pole sana bab angu mwamposa

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri 17 часов назад

    Pole baba yetu Mungu akutie nguvu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 18 часов назад

    Mungu akutie nguvu baba pole saa

  • @Joys8Juma
    @Joys8Juma 16 часов назад

    Pole mtumishi wetu

  • @joysewilli
    @joysewilli 11 часов назад

    pole mtumishi wetu Mwamposa na familia yake Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu 🙏

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 12 часов назад

    KAZI ya mungu Haina makosa pumzika kwa amani

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 16 часов назад

    Pole baba tupo pamoja kuomboleza

  • @ChristinaMafera
    @ChristinaMafera 18 часов назад

    Jamani acheni lililopangwa na mungu hakuna wakupangua na siku ikifika imefika anaombea ndio lakini haezi kupingana na Mungu ni wakati umefika. Nae ni mwamadamu, acheni mambo mengi

  • @tedypeter9656
    @tedypeter9656 17 часов назад

    😭😭Mungu wa mbinguni atupe nguvu na faraja kwa pito hili😭

  • @ZaujiaMtanzania
    @ZaujiaMtanzania 16 часов назад

    Mwamposa lov

  • @shaniarabby
    @shaniarabby 18 часов назад +1

    acheni kuhukumu' ikiwa ni nguvu za kishirkina anafufuka ila km kaitwa na mungu ni ahadi acheni kuongea msicho kijua...

  • @LeahLyimo-h1d
    @LeahLyimo-h1d 12 часов назад

    am so sad

  • @tedypeter9656
    @tedypeter9656 17 часов назад

    am so sad😭

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 17 часов назад +1

    Yupo moton sasa

  • @Thobiaslucaskipara
    @Thobiaslucaskipara 19 часов назад

    mambi ni mengi yote na yote tumuachie mungu tyuuuu

  • @YehudabanYerushailēm
    @YehudabanYerushailēm 33 минуты назад

    Si watu wanafufukaga kwa mafuta vip pastor Jonathan

  • @Sensiahairgrowthsolution
    @Sensiahairgrowthsolution 16 часов назад

    R.i.p

  • @WilliamKivugo
    @WilliamKivugo 14 часов назад +1

    Hahaha yani we jamaa ni bonge la actor ila sio mbali nawewe utaishika hio njia utaenda kujibu maswali huo unabii na utume umeupatia wapi endelea tu kupotosha watu

  • @EsterDausoni
    @EsterDausoni 14 часов назад

    😂mungu kachukua kilicho chake poleni

  • @TeacherBoda
    @TeacherBoda 18 часов назад +1

    Sasa mbona wengine wakiwa na shda, mstatizo au magonjwa ambayo yangeweza kupelekea kifo huwa unawaombea na wanapona sasa ilishindikanaje kwa msaidizi wako? Si ungempa maji na mafuta ya upako kisha ungemwombea apone? Kwann hukufanya hivo?

    • @tedypeter9656
      @tedypeter9656 17 часов назад +2

      wakati wa mungu hauzuiliki mtu wa mungu

    • @imeldaelizybeth5872
      @imeldaelizybeth5872 13 часов назад

      Anawasaidia kwa sababu matatizo yao ni ya ushirikina nasio ya M/Mungu 😂

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 14 часов назад

    msindwa kumwagia mafuta na maji ya upako

  • @Neemamhehe_official
    @Neemamhehe_official 17 часов назад

    Waudaku sasa 😂😂

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 14 часов назад

    Aliugua kwa nn hukumponya siunaponya wagonjwa ww,, au huyo hukutaka kumponya 😂😂😂 huu usanii sijui utaisha lini

    • @SGIT-jd6fg
      @SGIT-jd6fg 13 часов назад

      Hivi unajua unamkufuru Mungu cha kufanya Mutukuze kwasababu yeye akisema ndio amesema kama ambavyo hajamponya huyu

  • @ChristinaMafera
    @ChristinaMafera 18 часов назад

    Limepangwa na Mungu yeye apostle atalipingaje? Mnasema msilolijua hata yesu ilipofika wakati alikufa

  • @goodluckjohnuiso-gt1fg
    @goodluckjohnuiso-gt1fg 18 часов назад +4

    Uliua zaidi ya watu 20 hata hukujali na hujakamatwa damu za wale watu ulio waulia pale Majengo Moshi bado znalia nautapeli na ushirikina ushirikina wako wa kutumia biblia kama kibuyu cha mganga

    • @MagretMasanja
      @MagretMasanja 18 часов назад

      Watu jamn mtu akifa na magonjwa yake bc mnazushia watu acheni jmn

    • @danielblance2515
      @danielblance2515 18 часов назад

      Magreth masanja Mpumbavu afikiri sawsaw na upumbavu wake natamani nikujibu ila basi tu

    • @buchumiefremu5830
      @buchumiefremu5830 18 часов назад

      Pole baba

    • @ThandiweOdessa
      @ThandiweOdessa 16 часов назад +1

      Mungu akusamehe kwasababu hujui ulitendalo.

    • @Jerie-q1c
      @Jerie-q1c 16 часов назад

      Hakuna dhambi mbaya kama kumuwazia mtu Kwa ubaya. Mbaya zaidi huna uhakika wa hicho kibaya unachomuwazia

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 17 часов назад

    Mtu kafla ghafla

  • @AmisiLulacha
    @AmisiLulacha 19 часов назад

    Najuwa ulianza tangia zamani kutowa waamini wako kafara