Pole baba yetu Mungu akutie nguvu na 😢awatie nguvu watumishi wote sote njia Ni moja Ila akitoka mmoja Inaumiza 😭😭😭 Apumzike kwa Aman mpendwa wetu mwaminifu
Jamani acheni lililopangwa na mungu hakuna wakupangua na siku ikifika imefika anaombea ndio lakini haezi kupingana na Mungu ni wakati umefika. Nae ni mwamadamu, acheni mambo mengi
Hahaha yani we jamaa ni bonge la actor ila sio mbali nawewe utaishika hio njia utaenda kujibu maswali huo unabii na utume umeupatia wapi endelea tu kupotosha watu
Sasa mbona wengine wakiwa na shda, mstatizo au magonjwa ambayo yangeweza kupelekea kifo huwa unawaombea na wanapona sasa ilishindikanaje kwa msaidizi wako? Si ungempa maji na mafuta ya upako kisha ungemwombea apone? Kwann hukufanya hivo?
Uliua zaidi ya watu 20 hata hukujali na hujakamatwa damu za wale watu ulio waulia pale Majengo Moshi bado znalia nautapeli na ushirikina ushirikina wako wa kutumia biblia kama kibuyu cha mganga
Pole baba yetu,Mungu ameruhusu mtumishi wake alale katika bwana,pumzika kwa amani pastor Jonathan,Amen
Poleni ndugu jamaa na marafiki ,bila kumsahau baba yetu mwamposa Mungu akutie nguvu katika kipind hiki kigumu.
Pole baba yetu Mungu akutie nguvu na 😢awatie nguvu watumishi wote sote njia Ni moja Ila akitoka mmoja Inaumiza 😭😭😭 Apumzike kwa Aman mpendwa wetu mwaminifu
Pole sana mtumishi wa MUNGU.
BABA wa mbinguni aendelee kuwa faraja kwenu.
Baba Etu pole sana na Mungu akutie nguvu na ujasiri wa kuendelea na kazi ya Mungu,tupo pamoja
Pole sana Baba Mungu akutie Nguvu
Pole mtumishi Mungu akutie nguvu
Poleni sana inabidi uokoke hiyo inakukumbusha kuna kifo
Baba etu pole sana mngu akutie nguvu
Pole sana mtumishi wa mungu
MUNGU akutie nguvu amelala mtumishi wa MUNGU katka BWANA
Mungu akutie nguvu baba
Pole sana bab angu mwamposa
Pole baba yetu Mungu akutie nguvu
Mungu akutie nguvu baba pole saa
Pole mtumishi wetu
pole mtumishi wetu Mwamposa na familia yake Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu 🙏
KAZI ya mungu Haina makosa pumzika kwa amani
Pole baba tupo pamoja kuomboleza
Jamani acheni lililopangwa na mungu hakuna wakupangua na siku ikifika imefika anaombea ndio lakini haezi kupingana na Mungu ni wakati umefika. Nae ni mwamadamu, acheni mambo mengi
😭😭Mungu wa mbinguni atupe nguvu na faraja kwa pito hili😭
Mwamposa lov
acheni kuhukumu' ikiwa ni nguvu za kishirkina anafufuka ila km kaitwa na mungu ni ahadi acheni kuongea msicho kijua...
am so sad
am so sad😭
Yupo moton sasa
Sadak inayouma hiyo
mambi ni mengi yote na yote tumuachie mungu tyuuuu
Si watu wanafufukaga kwa mafuta vip pastor Jonathan
R.i.p
Hahaha yani we jamaa ni bonge la actor ila sio mbali nawewe utaishika hio njia utaenda kujibu maswali huo unabii na utume umeupatia wapi endelea tu kupotosha watu
😂mungu kachukua kilicho chake poleni
Sasa mbona wengine wakiwa na shda, mstatizo au magonjwa ambayo yangeweza kupelekea kifo huwa unawaombea na wanapona sasa ilishindikanaje kwa msaidizi wako? Si ungempa maji na mafuta ya upako kisha ungemwombea apone? Kwann hukufanya hivo?
wakati wa mungu hauzuiliki mtu wa mungu
Anawasaidia kwa sababu matatizo yao ni ya ushirikina nasio ya M/Mungu 😂
msindwa kumwagia mafuta na maji ya upako
Waudaku sasa 😂😂
Aliugua kwa nn hukumponya siunaponya wagonjwa ww,, au huyo hukutaka kumponya 😂😂😂 huu usanii sijui utaisha lini
Hivi unajua unamkufuru Mungu cha kufanya Mutukuze kwasababu yeye akisema ndio amesema kama ambavyo hajamponya huyu
Limepangwa na Mungu yeye apostle atalipingaje? Mnasema msilolijua hata yesu ilipofika wakati alikufa
Uliua zaidi ya watu 20 hata hukujali na hujakamatwa damu za wale watu ulio waulia pale Majengo Moshi bado znalia nautapeli na ushirikina ushirikina wako wa kutumia biblia kama kibuyu cha mganga
Watu jamn mtu akifa na magonjwa yake bc mnazushia watu acheni jmn
Magreth masanja Mpumbavu afikiri sawsaw na upumbavu wake natamani nikujibu ila basi tu
Pole baba
Mungu akusamehe kwasababu hujui ulitendalo.
Hakuna dhambi mbaya kama kumuwazia mtu Kwa ubaya. Mbaya zaidi huna uhakika wa hicho kibaya unachomuwazia
Mtu kafla ghafla
Najuwa ulianza tangia zamani kutowa waamini wako kafara
Unauhakika achana na usichokijua
Unatetea nini mbwa wewe@@hopekandrossy1714
Acha ninyamanze
Unauhakik mwogope MUNGU wako 😢
Hivi Mulisha saau mwamposa alisha huwa watu kwa kukanyanga mafuta