Ninyamaze tu ila maisha ni safari ndefu sana ili Ubarikiwe nilazima ufanye mambo ya baraka siku zote hatakama umefanyiwa unyama gani yakupasa Kusamehe na kusahu Mungu atupe umri mrefu tuzidi kuona hayo yanayo endelea
Kwa mtindo was kampenj kabla ya wakati sijui kama ni kawaida. Naona anaanza mapema sana. Anarudia mengine aliyoyazungumza wakati was kampeni. Ugumu was maisha ndio kilio cha dunia nzima sasa hivi. Maisha ni ya kupambana dunia nzima. Anasikiliza wavivu wa vijiiweni hata wale wanaotaka mchele uwe buku sijui watalima wao au wanataka wabweteke lakini mkulima auze mchele wake sawa na bure. Hakuna serikali itakayokuletea chakula nyumbani ukiwa umebweteka. Kina mengine kweli ni sawa labda hayo mambo ya tozo lakini mengi tu ni matatizo sawa kila mahali Afrika na hata Ulaya wapo wasio na kazi na maisha ya Shida.
Jambo Kubwa Zaidi ya Yote Duniani Mungu Anataka Watu Wote Tuwe na Upendo Maana Sisi Wote ni Wa Moja na Hakuna Mtu anae penda Shida Wala hakuna Mtu Asie penda Raha wala hakuna Mtu Asie penda Maendeleo ! bila Shaka Kila Mtu Anapenda hawe na Maisha Mazuri na hii ndivyo Atakavyo Mungu , Nawaomba Sana Wana Siasa wenzangu Tuzingatie Upendo huu ndio Utakao tufikisha Mbali Sana Kimaendeleo Ndani ya Taifa letu , Ndugu Zangu Tuchape Kazi .
Nlifkri ulienda kujifunza kumbe ulienda kupumzika naona huna jipya ebu Kaa kwanza ufkri alafu utoe ushaur kwa serikali Ili kuondoa tatzo ..unavoliona na sio kunipa Imani ya kubeba serikali uctudanganye
Mbeba maono Hafi mpaka yatimie Mungu kukuacha hai pamoja na magumu uliyopitia na unayoendelea kupitia ana makusudi ufanye,ulete mabadiliko Tanzania na kuturejeshea furaha ambayo tulishaibiwa na watawala wa aina ya kidikteta Mungu ibariki Tanzania katiba mpya ni Sasa watanzania tuamke kuidai ni haki yetu
Huyu watanstukia kuanza kampeni kabla ya wakati na kina mambo kama anataka kulazimisha. Hebutuone naona kaanza Kwa kasi sana ilibidi apunzike na aende pole pole. Imeruhusiwa mikutano lakini si kampeni sasa ukifika wakati wa kampeni watazungumza nini? Uzuri wake hadi ukifika wakati wa kampeni upande mwingine watajitahidi kurekebisha hayo mambo halafu ukifika wakati wa kampeni watakua hawana points tens kwani zitakua zimefanyiwa kazi
@@fahamnitwahir9249 mgando ni we we mwenye kuamini hata waongo wapiga ngonjera. Hivi labda ni kipofu huoni jinsi nchi yetu inavyojengeka na kusonga mbele na unaamini kuna MTU mweusi ataweza kuleta miujiza. Tembelea nchi Jirani uone kama kuna maisha urojo au huna habari kwamba maisha yamepanda dunia nzima. Kuna nchi ambako kazi ni bwerere? Kuna nchi ambayo inawatunza Kwa raha wale wasiojituma? Unalalamika maisha magumu lakini miji na vijiji vinajengeka tu maduka yanaongezeka na huoni watu waliokonda Kwa njaa mitaani wala ombaombs. Matatizo tuliyonayo tunafanana tu Afrika na Uwezo was viongozi wetu kutawala Afrika tunafanana fanana tu tumejaza viongozi waongo na binafsi wasio uchungu na nchi zao. Wengi mahodari wa kusema tu lakini mioyoni mwao wako katika utafutaji kupitia siasa.
@@fahamnitwahir9249 wameshindwa miaka hamsini ndio hata Ulaya hawajamaliza matatizo yao yote tens kama unabweteka unasota vilivyo. Si CCm tu Bali vyama vyote Afrika ni hivyo hivyo na kamwe hatatokea MTU wa kumaliza matatizo ya raia wake. Usiamini sana hao wanaolilia madaraka Kwa kisingizio cha kusaidia wananchi wengi wao wanahangaikia vipato na umaarufu kupitia siasa. Sasa watu wanashindwa kujenga hata ofisi zao ndio watajenga nchi?
Watanzania najua mmechoshwa na mlipuko wa kimaisha, but msiwalaum viongoz walio madrakan maana syo wao bali ni mfumo mbaya wa kidunia unaosimamiwa na Nchi marekan,na hawa wapinzan ni mapandikzi ya nchi hzo, hvyo msitegemee unafuu wowote toka kwa wapinzan pandikiz hawa zaidi ya kukuongezea shida.
Huyu jamaa Hana Muelekeo. Na Africa hatuwataki viongozi wa dizaini hii... Nakumbuka ,huyu jamaa alikuwa kipawambele kumkasfu Mfalme, Magufuli Mwenye kuwatetea wanyonge....eti kisa Kupinga chanjo ya Corona.
@@gracemsafiri9395 Sera, itikadi na falsafa ya chama ni imani isiyopaswa kuwekwa kwenye kitabu. Sera ni kitu "publicity" Wakati Dr. Slaa yupo hakukuwa na kitabu lakini kila mtu aliona CDM imeamini kwenye nini.
RAISI ALIKUA NI JPM PEKEE LKN WENGINE HAKUNA KITU,, LISU KUHUSU UMEME NA MAJI AONGEE LKN KUHUSU CHAKULA HAWEZI BADILI KITU HALI YA UCHUMI DUNIANI NI MBAYA SASNA. TUMEMISS SAANA JPM WETU.
Maisha ni hivyo hiyvyo dunia yote. Tafuta utapata nacutavuna ulichopanda. Hakuna serikali itakayokulea chakula nyumbani huku ukiwa umelala. Hao wanasiasa wengi wao wana juhudi na uhodari was maneno ili kutafuta kipato hiyo ndio kazi yao na neno lao lazima watasingizia wanataka kusaidia wananchi. Jaribu kutembelea na nchi nyingine uone kama maisha ni rahisi bila kujituma. Hakuna kitu kama hicho.
Umenena nchi aliiweza Magu TU hii wengine ni fyongo TU ona mkutano ni fujo TU ujinga mtupu mie raisi wangu alishanitoka naona nchi hii hatuna raisi na hatatokea kama Magu RIP jembe JPM😭😭😭😭
Wewe unaijua risasi wewe? No moja tu mfupa was mguu unakua nyang'a nyang'a na kustahili kukatwa sasa imagine 16??! Kama mguu unakatika kabisa Kwa risasimoja au mbili tu mfupa hauungiki
Kila anaye mtukana lisu amni ni mashoga maana jamaa hajifichi kuipambania nchi magu alizngua tu wamachinga wapo wap alishindwa kuiweka nchi sawa akawa muuaji tu magu alikua muuaji wasio juulkana wapo wapi
Mungu amekuwa kinga yetu siku zote bila yeye na imani tusingekuwepo na waliolazimishwa kutangulia au la! Mungu awapokee.
Kwakweli inaumiza hongela mheshimiwa kalibu sana nyumbani tanzania
😂😆😆😆😆 kwa mikutano hii Mambo mengi yatabadilika serikalini
Hongera rais Tundu Lisu Kwa nondo za kibabe ✌️✌️✌️✌️kweli kabisa huu mda si wa kulala Hadi kieleweke
Ninyamaze tu ila maisha ni safari ndefu sana ili Ubarikiwe nilazima ufanye mambo ya baraka siku zote hatakama umefanyiwa unyama gani yakupasa Kusamehe na kusahu Mungu atupe umri mrefu tuzidi kuona hayo yanayo endelea
Tusaidie wanyonge tunateketea baba😭😭😭😭mungu akupe pawa Zaid Kila iitwapo Leo🙏🏻
Me nampenda uwe raise wa 🇹🇿👍👏🏻👏🏻👏🏻
Mi pia
INSHAALLAH KARIBU NYUMBANI MY DEAR
Karibu kaka mungu akujalie maisha mema .. Mwenye alikuw anafanya uuwawe amekufa mbele yako
Kaka tusamehe yaliyopita
😃😃😃 Picha limeanza ngoja tutazame mpaka mwisho wake
Mungu akulinde pope uendapo
Natamani uwe rais leoleo
Kwa mtindo was kampenj kabla ya wakati sijui kama ni kawaida. Naona anaanza mapema sana. Anarudia mengine aliyoyazungumza wakati was kampeni. Ugumu was maisha ndio kilio cha dunia nzima sasa hivi. Maisha ni ya kupambana dunia nzima. Anasikiliza wavivu wa vijiiweni hata wale wanaotaka mchele uwe buku sijui watalima wao au wanataka wabweteke lakini mkulima auze mchele wake sawa na bure. Hakuna serikali itakayokuletea chakula nyumbani ukiwa umebweteka. Kina mengine kweli ni sawa labda hayo mambo ya tozo lakini mengi tu ni matatizo sawa kila mahali Afrika na hata Ulaya wapo wasio na kazi na maisha ya Shida.
@@hashimchaoga9566 hamna kulala kweli
Andikeni vizuri,'Mara ya kwanza siyo'Mala'.Kila siku mnaambiwa lakini hamjifunzi!
KAMANDA NI MBOWE NA LISSU NA MDUDE TUUU
Tundu lissu endelea kutufumbua watanzania tunanyimwa haki zet bila kuelewa
Jambo Kubwa Zaidi ya Yote Duniani Mungu Anataka Watu Wote Tuwe na Upendo Maana Sisi Wote ni Wa Moja na Hakuna Mtu anae penda Shida Wala hakuna Mtu Asie penda Raha wala hakuna Mtu Asie penda Maendeleo ! bila Shaka Kila Mtu Anapenda hawe na Maisha Mazuri na hii ndivyo Atakavyo Mungu , Nawaomba Sana Wana Siasa wenzangu Tuzingatie Upendo huu ndio Utakao tufikisha Mbali Sana Kimaendeleo Ndani ya Taifa letu , Ndugu Zangu Tuchape Kazi .
Kaka uwongozi ni upendo
✌✌✌
Kwa kweli mkuu
Mshukruni hata mama kuwapa kibali ila mkitumie vizuri maneno yakashifa hayafai
Mama alikua hana namna ni lzma ilibidi akubali tu
Kweli kabisa ni vizuri tuzingatie lugha
Kumekucha sasa kazi kazi
Karibu kaka nyjmban
Camera quality 100%! Hongereni Mbengo!
Nlifkri ulienda kujifunza kumbe ulienda kupumzika naona huna jipya ebu Kaa kwanza ufkri alafu utoe ushaur kwa serikali Ili kuondoa tatzo ..unavoliona na sio kunipa Imani ya kubeba serikali uctudanganye
Mungu Yupo
Muujiza unaotembea lisu mpango wa mungu
Mbeba maono Hafi mpaka yatimie Mungu kukuacha hai pamoja na magumu uliyopitia na unayoendelea kupitia ana makusudi ufanye,ulete mabadiliko Tanzania na kuturejeshea furaha ambayo tulishaibiwa na watawala wa aina ya kidikteta Mungu ibariki Tanzania katiba mpya ni Sasa watanzania tuamke kuidai ni haki yetu
Very much , I love so much welcome again
Welcome brother in Tanzania Mungu awe nawe
Nismeehakuja yatasemwa tu🤣🤣🤣🤣gonga like yako hapa
Kalibuni baba yetu👋👋👋👋👋👋👋👋
Wachangamshaji wa nchi wamefika
Nchi ilikua imepoa sana sasa mambo ni fireeeeee
Huyu watanstukia kuanza kampeni kabla ya wakati na kina mambo kama anataka kulazimisha. Hebutuone naona kaanza Kwa kasi sana ilibidi apunzike na aende pole pole. Imeruhusiwa mikutano lakini si kampeni sasa ukifika wakati wa kampeni watazungumza nini? Uzuri wake hadi ukifika wakati wa kampeni upande mwingine watajitahidi kurekebisha hayo mambo halafu ukifika wakati wa kampeni watakua hawana points tens kwani zitakua zimefanyiwa kazi
@@hashimchaoga9566 ww akili zko ni mgando, miaka zaid ya 50 ccm wameshindwa kurekebisha mattzo mbalimbali hlf waweze kurekebisha kwa miaka miwili 😂
@@fahamnitwahir9249 mgando ni we we mwenye kuamini hata waongo wapiga ngonjera. Hivi labda ni kipofu huoni jinsi nchi yetu inavyojengeka na kusonga mbele na unaamini kuna MTU mweusi ataweza kuleta miujiza. Tembelea nchi Jirani uone kama kuna maisha urojo au huna habari kwamba maisha yamepanda dunia nzima. Kuna nchi ambako kazi ni bwerere? Kuna nchi ambayo inawatunza Kwa raha wale wasiojituma? Unalalamika maisha magumu lakini miji na vijiji vinajengeka tu maduka yanaongezeka na huoni watu waliokonda Kwa njaa mitaani wala ombaombs. Matatizo tuliyonayo tunafanana tu Afrika na Uwezo was viongozi wetu kutawala Afrika tunafanana fanana tu tumejaza viongozi waongo na binafsi wasio uchungu na nchi zao. Wengi mahodari wa kusema tu lakini mioyoni mwao wako katika utafutaji kupitia siasa.
@@fahamnitwahir9249 wameshindwa miaka hamsini ndio hata Ulaya hawajamaliza matatizo yao yote tens kama unabweteka unasota vilivyo. Si CCm tu Bali vyama vyote Afrika ni hivyo hivyo na kamwe hatatokea MTU wa kumaliza matatizo ya raia wake. Usiamini sana hao wanaolilia madaraka Kwa kisingizio cha kusaidia wananchi wengi wao wanahangaikia vipato na umaarufu kupitia siasa. Sasa watu wanashindwa kujenga hata ofisi zao ndio watajenga nchi?
Good 👍👍👍
Watanzania najua mmechoshwa na mlipuko wa kimaisha, but msiwalaum viongoz walio madrakan maana syo wao bali ni mfumo mbaya wa kidunia unaosimamiwa na Nchi marekan,na hawa wapinzan ni mapandikzi ya nchi hzo, hvyo msitegemee unafuu wowote toka kwa wapinzan pandikiz hawa zaidi ya kukuongezea shida.
Kalibuni baba yetu kipenzi tulikumix kwa takishishi zako😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋
Watanzania tunakupenda sana
Muujiza unaotembeeaaaaaa
Magufuli apumzike Kwa Amani,,, Kwa mapungufu yote aliyokuwa nayo..
Halafu mseme maisha magumu.mtaanza kiguu na njia.kwa ajili ya kuwatafutia watoto wa nwenzio chakula.
Mwamba huyu hapa!!!!!!
Kiboko cha ccm
Jembe people power
Huyu jamaa Hana Muelekeo.
Na Africa hatuwataki viongozi wa dizaini hii... Nakumbuka ,huyu jamaa alikuwa kipawambele kumkasfu Mfalme, Magufuli Mwenye kuwatetea wanyonge....eti kisa Kupinga chanjo ya Corona.
Wakeup 🇹🇿Lisu His Back In 🇹🇿 On 🔥
Wamekuita ili kuona chama kipo au kimekufa ila kingine ccm hawataki ushindi usio na mshindani.
Huyu mwamba,mungu anamakusudi nae
Watanzia hua wanasapot ujinga wanaacha kusapot vtu vyamsing Lisu nakuelewa sana
Katibu Sana mwamba nilikumis sana lisu
Kalib rahisi
Tunakukubali mwamba tunakuomba ulete furaha kwa watanzani😁😁😁😁😁😁
Wana ccm Wana akili ya aina gani mbona hawatulii mbona walipokua wakfanya mikutano Yao hatukuwashobokea ? Lakini wap duu!
Makamba alisema wazuri hawafi Mwamba huyu hapa
Wanasiasa Hawa tu wanatuchanganya lala salama mwamba wetu jpm
Siukalale nae huyo mwamba. Wako huko aliko!!! Eti mwamba wetu jpm,, komaaa!!! Tena ukomeeee!!! Huyo ni mwamba wako mwenyewe!!
Rais kabisa namuona jamaan maisha magumu hv ila hawayaoni khaaa
Kamanda pole kwa safari Watanzania wanaomba uzungumzie KIKOKOTOO NA KURUDISHA UTARATIBU WA MAFAO NA SIO KKOKOTOO CHA SASA
Mueshimiwa kavaa kapelo mbili au sijaelewa?
Mzee ungeongea sela ya chama chetu mengine tuyaache
Ni kweli nikiulizwa leo sera, itikadi na falsafa ya chama ni ipi, siijuwi. Hizi siasa za matukio zishanichosha sana.
@@hajihassan5433 kwani kitabu chenyewe cha sera unacho!!! Ama ndo shoboo!!!!!
@@gracemsafiri9395 Sera, itikadi na falsafa ya chama ni imani isiyopaswa kuwekwa kwenye kitabu. Sera ni kitu "publicity"
Wakati Dr. Slaa yupo hakukuwa na kitabu lakini kila mtu aliona CDM imeamini kwenye nini.
Mh...kaz
Lisu
Welcome mwamba
RAISI ALIKUA NI JPM PEKEE LKN WENGINE HAKUNA KITU,, LISU KUHUSU UMEME NA MAJI AONGEE LKN KUHUSU CHAKULA HAWEZI BADILI KITU HALI YA UCHUMI DUNIANI NI MBAYA SASNA. TUMEMISS SAANA JPM WETU.
Kanajionaga kanani sijui haka kajamaa
Upuuzi mtu yaani hata kuandika amjui! eti Kwa “mala”ya kwanza! Pumbavu Zen sana hata kuswahili hamjui! Kiswahili safi ni Kwa “ mara” ya kwanza!!
Kuswahili ni nini?
Hujui wewe umeandika kuswahili ni kiswahili acha kukosoa Kila mtu na elimu yake
Mpumbavu zaidi ni wewe kuswahili ndio nini sema kiswahili mjinga mmoja.
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Pamoja
Piga kelele tu na wewe ndo sehemu yako inayokupa maisha ili familia yako iende chooni vizuri
We hauna akili anapiga kelele kivipi fara wewe
Bei za mazao ya shambani ni vema zipande ili wakulima wapate chochote jamani kha!
✌
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Saasa saasa
Wewe ni tundulisu kwenda huko inakubali mambo ya mashoga kwenda kabisa
Mbona ulisema tutaandamana wote lkn ukatukimbia?
Msiyempenda kaja
Maisha magumu sanaaa.
Maisha ni hivyo hiyvyo dunia yote. Tafuta utapata nacutavuna ulichopanda. Hakuna serikali itakayokulea chakula nyumbani huku ukiwa umelala. Hao wanasiasa wengi wao wana juhudi na uhodari was maneno ili kutafuta kipato hiyo ndio kazi yao na neno lao lazima watasingizia wanataka kusaidia wananchi. Jaribu kutembelea na nchi nyingine uone kama maisha ni rahisi bila kujituma. Hakuna kitu kama hicho.
🥰🥰🥰🥰🥰
✌️💪
Wana siasa wote nasema hivyo lakini baadae wanageuka
INAPENDEZA
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kwa mala duh Kiswahili gani hiki?
Kaka hakuna neno la kiswahili popote pale hususan kwenye kamusi linalosomeka MALA. Mujue kuandika kiswahili. MARA YA KWANZA.
Siasa ni chanzo cha vurugu yote Duniani l realize
Lakini ss mambo ya ushoga haututaki
Comments za ma sisi emu bhana, zinahuzunisha sana, mkutano hauwahusu lakini ndio hivyo " kimbele front "
😭😭😭😭😭💕
Rais alikuwa ni JPM
Kweli kabisa
Tanzania bila Rais kama Magufuli itachekewa sana.
Umenena nchi aliiweza Magu TU hii wengine ni fyongo TU ona mkutano ni fujo TU ujinga mtupu mie raisi wangu alishanitoka naona nchi hii hatuna raisi na hatatokea kama Magu RIP jembe JPM😭😭😭😭
amjui = hamjui
RISASI 16 Chuma bado kinapumua Acha MUNGU aitwe Mungu
Wewe unaijua risasi wewe? No moja tu mfupa was mguu unakua nyang'a nyang'a na kustahili kukatwa sasa imagine 16??! Kama mguu unakatika kabisa Kwa risasimoja au mbili tu mfupa hauungiki
Ww nimumbwaa
Mbwa babaako nyoko wewe
Una jipya
Tundulisu nyo kibaha baba wewe ndiye uliye baki mtetezi wetu
Hakuna kulala mpaka kieleweke
Tunaangalia upinzani je imara au dhaifu. Nguvu imeongezeka na Mikutano ruksa. Yetu macho tukodolee 2025
Eeh kumbe maharage 8000 sasa hivi
Yawezekana kampeni zikaanza kabla ya wakati
Kila anaye mtukana lisu amni ni mashoga maana jamaa hajifichi kuipambania nchi magu alizngua tu wamachinga wapo wap alishindwa kuiweka nchi sawa akawa muuaji tu magu alikua muuaji wasio juulkana wapo wapi
Kwani kampeni ndio zimeanza?
President
Hakuna jipya hapo
ipo siku tu utakua presdent
Namkubali heche tu
Tundulisu
Babaaaaaa tokea nikiwa lapili natak kukupa kuraa
zen= zenu
Mpoooooooo