TUNDU LISU ATOA KAULI NZITO KWA MALA YA KWANZA BAADA YA KUWASILI DAR ES SALAAM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 183

  • @raymondmwandamila2675
    @raymondmwandamila2675 Год назад +2

    Mungu amekuwa kinga yetu siku zote bila yeye na imani tusingekuwepo na waliolazimishwa kutangulia au la! Mungu awapokee.

  • @beatrecathuman2564
    @beatrecathuman2564 Год назад +4

    Kwakweli inaumiza hongela mheshimiwa kalibu sana nyumbani tanzania

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Год назад +2

    😂😆😆😆😆 kwa mikutano hii Mambo mengi yatabadilika serikalini

  • @silvanus1990blockchain
    @silvanus1990blockchain Год назад +1

    Hongera rais Tundu Lisu Kwa nondo za kibabe ✌️✌️✌️✌️kweli kabisa huu mda si wa kulala Hadi kieleweke

  • @erodeshayo123
    @erodeshayo123 Год назад +2

    Ninyamaze tu ila maisha ni safari ndefu sana ili Ubarikiwe nilazima ufanye mambo ya baraka siku zote hatakama umefanyiwa unyama gani yakupasa Kusamehe na kusahu Mungu atupe umri mrefu tuzidi kuona hayo yanayo endelea

  • @meryansaid235
    @meryansaid235 Год назад +3

    Tusaidie wanyonge tunateketea baba😭😭😭😭mungu akupe pawa Zaid Kila iitwapo Leo🙏🏻

  • @hildamakala178
    @hildamakala178 Год назад +2

    Me nampenda uwe raise wa 🇹🇿👍👏🏻👏🏻👏🏻

  • @fikirimachela4778
    @fikirimachela4778 Год назад +6

    INSHAALLAH KARIBU NYUMBANI MY DEAR

  • @samuelkasaro557
    @samuelkasaro557 Год назад +4

    Karibu kaka mungu akujalie maisha mema .. Mwenye alikuw anafanya uuwawe amekufa mbele yako

  • @mapalalaabiola1815
    @mapalalaabiola1815 Год назад +9

    😃😃😃 Picha limeanza ngoja tutazame mpaka mwisho wake

  • @williammwita1367
    @williammwita1367 Год назад

    Mungu akulinde pope uendapo

  • @veronicaedwini9849
    @veronicaedwini9849 Год назад +9

    Natamani uwe rais leoleo

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Год назад

      Kwa mtindo was kampenj kabla ya wakati sijui kama ni kawaida. Naona anaanza mapema sana. Anarudia mengine aliyoyazungumza wakati was kampeni. Ugumu was maisha ndio kilio cha dunia nzima sasa hivi. Maisha ni ya kupambana dunia nzima. Anasikiliza wavivu wa vijiiweni hata wale wanaotaka mchele uwe buku sijui watalima wao au wanataka wabweteke lakini mkulima auze mchele wake sawa na bure. Hakuna serikali itakayokuletea chakula nyumbani ukiwa umebweteka. Kina mengine kweli ni sawa labda hayo mambo ya tozo lakini mengi tu ni matatizo sawa kila mahali Afrika na hata Ulaya wapo wasio na kazi na maisha ya Shida.

    • @justineshabo
      @justineshabo Год назад

      @@hashimchaoga9566 hamna kulala kweli

  • @johnmapunda99
    @johnmapunda99 Год назад +4

    Andikeni vizuri,'Mara ya kwanza siyo'Mala'.Kila siku mnaambiwa lakini hamjifunzi!

  • @kingzachaa2121
    @kingzachaa2121 Год назад +5

    KAMANDA NI MBOWE NA LISSU NA MDUDE TUUU

  • @yekoniafanuel4071
    @yekoniafanuel4071 Год назад +4

    Tundu lissu endelea kutufumbua watanzania tunanyimwa haki zet bila kuelewa

  • @girbetnhigula9674
    @girbetnhigula9674 Год назад +7

    Jambo Kubwa Zaidi ya Yote Duniani Mungu Anataka Watu Wote Tuwe na Upendo Maana Sisi Wote ni Wa Moja na Hakuna Mtu anae penda Shida Wala hakuna Mtu Asie penda Raha wala hakuna Mtu Asie penda Maendeleo ! bila Shaka Kila Mtu Anapenda hawe na Maisha Mazuri na hii ndivyo Atakavyo Mungu , Nawaomba Sana Wana Siasa wenzangu Tuzingatie Upendo huu ndio Utakao tufikisha Mbali Sana Kimaendeleo Ndani ya Taifa letu , Ndugu Zangu Tuchape Kazi .

  • @gracemahugi4380
    @gracemahugi4380 Год назад +2

    Mshukruni hata mama kuwapa kibali ila mkitumie vizuri maneno yakashifa hayafai

  • @alfredaloyce6835
    @alfredaloyce6835 Год назад +5

    Kumekucha sasa kazi kazi

  • @samuelkasaro557
    @samuelkasaro557 Год назад +4

    Karibu kaka nyjmban

  • @richieville2002
    @richieville2002 Год назад +2

    Camera quality 100%! Hongereni Mbengo!

  • @salminiidrissatenga1163
    @salminiidrissatenga1163 Год назад +1

    Nlifkri ulienda kujifunza kumbe ulienda kupumzika naona huna jipya ebu Kaa kwanza ufkri alafu utoe ushaur kwa serikali Ili kuondoa tatzo ..unavoliona na sio kunipa Imani ya kubeba serikali uctudanganye

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Год назад +2

    Mungu Yupo

  • @wilisonsanga3705
    @wilisonsanga3705 Год назад +1

    Muujiza unaotembea lisu mpango wa mungu

  • @silvanus1990blockchain
    @silvanus1990blockchain Год назад

    Mbeba maono Hafi mpaka yatimie Mungu kukuacha hai pamoja na magumu uliyopitia na unayoendelea kupitia ana makusudi ufanye,ulete mabadiliko Tanzania na kuturejeshea furaha ambayo tulishaibiwa na watawala wa aina ya kidikteta Mungu ibariki Tanzania katiba mpya ni Sasa watanzania tuamke kuidai ni haki yetu

  • @kelvinimakala1151
    @kelvinimakala1151 Год назад

    Very much , I love so much welcome again

  • @samwelioloipotok4630
    @samwelioloipotok4630 Год назад

    Welcome brother in Tanzania Mungu awe nawe

  • @felistamfugale7472
    @felistamfugale7472 Год назад +6

    Nismeehakuja yatasemwa tu🤣🤣🤣🤣gonga like yako hapa

  • @anordmgisha9963
    @anordmgisha9963 Год назад +4

    Kalibuni baba yetu👋👋👋👋👋👋👋👋

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Год назад +9

    Wachangamshaji wa nchi wamefika

    • @gracemsafiri9395
      @gracemsafiri9395 Год назад

      Nchi ilikua imepoa sana sasa mambo ni fireeeeee

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Год назад

      Huyu watanstukia kuanza kampeni kabla ya wakati na kina mambo kama anataka kulazimisha. Hebutuone naona kaanza Kwa kasi sana ilibidi apunzike na aende pole pole. Imeruhusiwa mikutano lakini si kampeni sasa ukifika wakati wa kampeni watazungumza nini? Uzuri wake hadi ukifika wakati wa kampeni upande mwingine watajitahidi kurekebisha hayo mambo halafu ukifika wakati wa kampeni watakua hawana points tens kwani zitakua zimefanyiwa kazi

    • @fahamnitwahir9249
      @fahamnitwahir9249 Год назад

      @@hashimchaoga9566 ww akili zko ni mgando, miaka zaid ya 50 ccm wameshindwa kurekebisha mattzo mbalimbali hlf waweze kurekebisha kwa miaka miwili 😂

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Год назад

      @@fahamnitwahir9249 mgando ni we we mwenye kuamini hata waongo wapiga ngonjera. Hivi labda ni kipofu huoni jinsi nchi yetu inavyojengeka na kusonga mbele na unaamini kuna MTU mweusi ataweza kuleta miujiza. Tembelea nchi Jirani uone kama kuna maisha urojo au huna habari kwamba maisha yamepanda dunia nzima. Kuna nchi ambako kazi ni bwerere? Kuna nchi ambayo inawatunza Kwa raha wale wasiojituma? Unalalamika maisha magumu lakini miji na vijiji vinajengeka tu maduka yanaongezeka na huoni watu waliokonda Kwa njaa mitaani wala ombaombs. Matatizo tuliyonayo tunafanana tu Afrika na Uwezo was viongozi wetu kutawala Afrika tunafanana fanana tu tumejaza viongozi waongo na binafsi wasio uchungu na nchi zao. Wengi mahodari wa kusema tu lakini mioyoni mwao wako katika utafutaji kupitia siasa.

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Год назад

      @@fahamnitwahir9249 wameshindwa miaka hamsini ndio hata Ulaya hawajamaliza matatizo yao yote tens kama unabweteka unasota vilivyo. Si CCm tu Bali vyama vyote Afrika ni hivyo hivyo na kamwe hatatokea MTU wa kumaliza matatizo ya raia wake. Usiamini sana hao wanaolilia madaraka Kwa kisingizio cha kusaidia wananchi wengi wao wanahangaikia vipato na umaarufu kupitia siasa. Sasa watu wanashindwa kujenga hata ofisi zao ndio watajenga nchi?

  • @jastinjoseph9549
    @jastinjoseph9549 Год назад +1

    Good 👍👍👍

  • @faustinemabula82
    @faustinemabula82 Год назад

    Watanzania najua mmechoshwa na mlipuko wa kimaisha, but msiwalaum viongoz walio madrakan maana syo wao bali ni mfumo mbaya wa kidunia unaosimamiwa na Nchi marekan,na hawa wapinzan ni mapandikzi ya nchi hzo, hvyo msitegemee unafuu wowote toka kwa wapinzan pandikiz hawa zaidi ya kukuongezea shida.

  • @anordmgisha9963
    @anordmgisha9963 Год назад +1

    Kalibuni baba yetu kipenzi tulikumix kwa takishishi zako😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋

  • @ashajomo8392
    @ashajomo8392 Год назад +2

    Watanzania tunakupenda sana

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад +5

    Muujiza unaotembeeaaaaaa

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Год назад +2

    Magufuli apumzike Kwa Amani,,, Kwa mapungufu yote aliyokuwa nayo..

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Год назад

    Halafu mseme maisha magumu.mtaanza kiguu na njia.kwa ajili ya kuwatafutia watoto wa nwenzio chakula.

  • @jackobchibago1812
    @jackobchibago1812 Год назад +7

    Mwamba huyu hapa!!!!!!

  • @jeremiaholesingooi3940
    @jeremiaholesingooi3940 Год назад

    Jembe people power

  • @Sempreapostandonaverdade989
    @Sempreapostandonaverdade989 Год назад +1

    Huyu jamaa Hana Muelekeo.
    Na Africa hatuwataki viongozi wa dizaini hii... Nakumbuka ,huyu jamaa alikuwa kipawambele kumkasfu Mfalme, Magufuli Mwenye kuwatetea wanyonge....eti kisa Kupinga chanjo ya Corona.

  • @oswinimlambalamba4158
    @oswinimlambalamba4158 Год назад

    Wakeup 🇹🇿Lisu His Back In 🇹🇿 On 🔥

  • @sngrafx
    @sngrafx Год назад +1

    Wamekuita ili kuona chama kipo au kimekufa ila kingine ccm hawataki ushindi usio na mshindani.

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Год назад

    Huyu mwamba,mungu anamakusudi nae

  • @masteramadhan7723
    @masteramadhan7723 Год назад

    Watanzia hua wanasapot ujinga wanaacha kusapot vtu vyamsing Lisu nakuelewa sana

  • @raulentpatrick2818
    @raulentpatrick2818 Год назад

    Katibu Sana mwamba nilikumis sana lisu

  • @justonmwijage6965
    @justonmwijage6965 Год назад +1

    Kalib rahisi

  • @eliasletemasailepu
    @eliasletemasailepu Год назад +2

    Tunakukubali mwamba tunakuomba ulete furaha kwa watanzani😁😁😁😁😁😁

  • @motoikasekemi8561
    @motoikasekemi8561 Год назад +3

    Wana ccm Wana akili ya aina gani mbona hawatulii mbona walipokua wakfanya mikutano Yao hatukuwashobokea ? Lakini wap duu!

  • @gabrieldoseti5729
    @gabrieldoseti5729 Год назад +1

    Makamba alisema wazuri hawafi Mwamba huyu hapa

  • @mayalapaul6626
    @mayalapaul6626 Год назад +2

    Wanasiasa Hawa tu wanatuchanganya lala salama mwamba wetu jpm

    • @gracemsafiri9395
      @gracemsafiri9395 Год назад

      Siukalale nae huyo mwamba. Wako huko aliko!!! Eti mwamba wetu jpm,, komaaa!!! Tena ukomeeee!!! Huyo ni mwamba wako mwenyewe!!

  • @jamilakibuha
    @jamilakibuha Год назад +2

    Rais kabisa namuona jamaan maisha magumu hv ila hawayaoni khaaa

  • @frankfelix7761
    @frankfelix7761 Год назад

    Kamanda pole kwa safari Watanzania wanaomba uzungumzie KIKOKOTOO NA KURUDISHA UTARATIBU WA MAFAO NA SIO KKOKOTOO CHA SASA

  • @husseinallysuleiman4657
    @husseinallysuleiman4657 Год назад

    Mueshimiwa kavaa kapelo mbili au sijaelewa?

  • @charlessomeke8992
    @charlessomeke8992 Год назад +2

    Mzee ungeongea sela ya chama chetu mengine tuyaache

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Год назад +1

      Ni kweli nikiulizwa leo sera, itikadi na falsafa ya chama ni ipi, siijuwi. Hizi siasa za matukio zishanichosha sana.

    • @gracemsafiri9395
      @gracemsafiri9395 Год назад

      @@hajihassan5433 kwani kitabu chenyewe cha sera unacho!!! Ama ndo shoboo!!!!!

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Год назад

      @@gracemsafiri9395 Sera, itikadi na falsafa ya chama ni imani isiyopaswa kuwekwa kwenye kitabu. Sera ni kitu "publicity"
      Wakati Dr. Slaa yupo hakukuwa na kitabu lakini kila mtu aliona CDM imeamini kwenye nini.

  • @christinatina259
    @christinatina259 Год назад

    Mh...kaz

  • @husnankii6775
    @husnankii6775 Год назад +1

    Lisu

  • @rajabhamza4628
    @rajabhamza4628 Год назад +1

    Welcome mwamba

  • @hezronielisha9795
    @hezronielisha9795 Год назад +3

    RAISI ALIKUA NI JPM PEKEE LKN WENGINE HAKUNA KITU,, LISU KUHUSU UMEME NA MAJI AONGEE LKN KUHUSU CHAKULA HAWEZI BADILI KITU HALI YA UCHUMI DUNIANI NI MBAYA SASNA. TUMEMISS SAANA JPM WETU.

  • @tanzania2559
    @tanzania2559 Год назад +2

    Kanajionaga kanani sijui haka kajamaa

  • @nickjuma3937
    @nickjuma3937 Год назад +1

    Upuuzi mtu yaani hata kuandika amjui! eti Kwa “mala”ya kwanza! Pumbavu Zen sana hata kuswahili hamjui! Kiswahili safi ni Kwa “ mara” ya kwanza!!

    • @charlessomeke8992
      @charlessomeke8992 Год назад

      Kuswahili ni nini?

    • @joeldallas6491
      @joeldallas6491 Год назад

      Hujui wewe umeandika kuswahili ni kiswahili acha kukosoa Kila mtu na elimu yake

    • @deusimakandi
      @deusimakandi Год назад

      Mpumbavu zaidi ni wewe kuswahili ndio nini sema kiswahili mjinga mmoja.

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Год назад +2

    ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @daudmwakasita789
    @daudmwakasita789 Год назад

    Pamoja

  • @thomasluhumbika9606
    @thomasluhumbika9606 Год назад +2

    Piga kelele tu na wewe ndo sehemu yako inayokupa maisha ili familia yako iende chooni vizuri

    • @paulpower8510
      @paulpower8510 Год назад

      We hauna akili anapiga kelele kivipi fara wewe

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 Год назад

    Bei za mazao ya shambani ni vema zipande ili wakulima wapate chochote jamani kha!

  • @isayaolemburudu
    @isayaolemburudu Год назад

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Год назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @makamejuma3313
    @makamejuma3313 Год назад +1

    Saasa saasa

  • @saidramadhan71
    @saidramadhan71 Год назад +2

    Wewe ni tundulisu kwenda huko inakubali mambo ya mashoga kwenda kabisa

  • @alfredlupogo3835
    @alfredlupogo3835 Год назад +1

    Mbona ulisema tutaandamana wote lkn ukatukimbia?

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Год назад

    Msiyempenda kaja

  • @saulnyanginywa3244
    @saulnyanginywa3244 Год назад +2

    Maisha magumu sanaaa.

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Год назад

      Maisha ni hivyo hiyvyo dunia yote. Tafuta utapata nacutavuna ulichopanda. Hakuna serikali itakayokulea chakula nyumbani huku ukiwa umelala. Hao wanasiasa wengi wao wana juhudi na uhodari was maneno ili kutafuta kipato hiyo ndio kazi yao na neno lao lazima watasingizia wanataka kusaidia wananchi. Jaribu kutembelea na nchi nyingine uone kama maisha ni rahisi bila kujituma. Hakuna kitu kama hicho.

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Год назад +1

    🥰🥰🥰🥰🥰

  • @samwelimakese3691
    @samwelimakese3691 Год назад +1

    ✌️💪

  • @falesbanda7520
    @falesbanda7520 Год назад

    Wana siasa wote nasema hivyo lakini baadae wanageuka

  • @braitonkalinjuna5233
    @braitonkalinjuna5233 Год назад +3

    INAPENDEZA

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Год назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @cloudjest5268
    @cloudjest5268 Год назад +1

    Kwa mala duh Kiswahili gani hiki?

  • @vanbellucci
    @vanbellucci Год назад

    Kaka hakuna neno la kiswahili popote pale hususan kwenye kamusi linalosomeka MALA. Mujue kuandika kiswahili. MARA YA KWANZA.

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 Год назад

    Siasa ni chanzo cha vurugu yote Duniani l realize

  • @alphoncejuma9652
    @alphoncejuma9652 Год назад

    Lakini ss mambo ya ushoga haututaki

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 Год назад +1

    Comments za ma sisi emu bhana, zinahuzunisha sana, mkutano hauwahusu lakini ndio hivyo " kimbele front "

  • @shijangosha7509
    @shijangosha7509 Год назад +3

    😭😭😭😭😭💕

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Год назад +5

    Rais alikuwa ni JPM

    • @emanuelipatrick5297
      @emanuelipatrick5297 Год назад +2

      Kweli kabisa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Год назад +1

      Tanzania bila Rais kama Magufuli itachekewa sana.

    • @cathelinemeza866
      @cathelinemeza866 Год назад +1

      Umenena nchi aliiweza Magu TU hii wengine ni fyongo TU ona mkutano ni fujo TU ujinga mtupu mie raisi wangu alishanitoka naona nchi hii hatuna raisi na hatatokea kama Magu RIP jembe JPM😭😭😭😭

  • @nickjuma3937
    @nickjuma3937 Год назад +1

    amjui = hamjui

  • @Ishickahroggohitttler
    @Ishickahroggohitttler Год назад

    RISASI 16 Chuma bado kinapumua Acha MUNGU aitwe Mungu

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Год назад

      Wewe unaijua risasi wewe? No moja tu mfupa was mguu unakua nyang'a nyang'a na kustahili kukatwa sasa imagine 16??! Kama mguu unakatika kabisa Kwa risasimoja au mbili tu mfupa hauungiki

  • @emmanuelsamuson628
    @emmanuelsamuson628 Год назад +2

    Ww nimumbwaa

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Год назад

    Una jipya

  • @godlizennassari5525
    @godlizennassari5525 Год назад

    Tundulisu nyo kibaha baba wewe ndiye uliye baki mtetezi wetu

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 Год назад +1

    Hakuna kulala mpaka kieleweke

  • @emmanuelrutaihwa6545
    @emmanuelrutaihwa6545 Год назад

    Tunaangalia upinzani je imara au dhaifu. Nguvu imeongezeka na Mikutano ruksa. Yetu macho tukodolee 2025

  • @vicentelias491
    @vicentelias491 Год назад +1

    Eeh kumbe maharage 8000 sasa hivi

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Год назад +1

    Yawezekana kampeni zikaanza kabla ya wakati

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Год назад +1

    Kila anaye mtukana lisu amni ni mashoga maana jamaa hajifichi kuipambania nchi magu alizngua tu wamachinga wapo wap alishindwa kuiweka nchi sawa akawa muuaji tu magu alikua muuaji wasio juulkana wapo wapi

  • @floraashery224
    @floraashery224 Год назад +1

    President

  • @josemitimingi8048
    @josemitimingi8048 Год назад +1

    Hakuna jipya hapo

  • @kefrenikefreni1903
    @kefrenikefreni1903 Год назад

    ipo siku tu utakua presdent

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 Год назад +1

    Namkubali heche tu

  • @estarmchome7638
    @estarmchome7638 Год назад

    Tundulisu

  • @Dizzosukariyao
    @Dizzosukariyao Год назад

    Babaaaaaa tokea nikiwa lapili natak kukupa kuraa

  • @nickjuma3937
    @nickjuma3937 Год назад +2

    zen= zenu

  • @ibnnjoka4808
    @ibnnjoka4808 Год назад

    Mpoooooooo