@@irenekamugisha haswaa. Hatakama siyo kwa kiwango alichotaka kukukopa. Akitaka kukopa laki 2 bora umpe laki au elf 50 ambayo siyo kumkopa. Utajiokoa nafsi yako na yake
Dada kamugisha nimeshangaa sana mtu amukobeshe mwenzawake pesa kivipi? ninamyaka 12 kwandoa mimi na mke wangu tunafanya kazi hakuna pesa yamutu ni family
Mimi wife sometimes akitaka pesa anatumia gia ya nikopeshe ila najua hairudi hiyo nami nasahau kabisa nikishampa! huwezi mdai mkeo pesa....ila yeye akinipa lazima nimpe ata nikisahau atanikumbusha tu..hahaa🤣🤣
Watu wako tofauti sana duniani! Kuna wakati nimepata changamoto ya maradhi , na sina pesa kabisa! Nikamwomba hela kiasi , akasema hana labda anikopeshe! Dah! Chungu sana ....30,000? Kutoa ni moyo, na tusiweke tegemeo kwa mtu hata km ni wanandoa nyie
Nilisaini ili mme wangu achukue mkopo,baada ya hapo slijenga nyumba kwenye kiwanja alichonunua kwa sili,baada ya kujenga aliwapeleka watot wetu wapaone,aliwapeleka ndg na rafik zake waone,Mimi nimeanza nae Maisha kwa shida Sana alipoona tumefanikiwa amekimbia na kuchukua mwanamke mwingine,na uyo mwanamke katoka kwenye ndoa na taraka,
Pole sana dada ndomana uwislam unasema moyo wa binadam anaujua Allah. Mtu asikuongopee kwamba mimi ni mtu wa aina hii.upande mwengine mtu mwenye kununua ki2 kwa siri mwanamke au mwanamme ujue roho yake mbaya na ana .mapenzi ya kweli
Masomo Yako yananigusa kiukwel mm Sio mkubwa but imenisaidia kuimarisha hata mausiano Yangu ata kukuza fikra na ufaham wAngu MUNGU akutumie vyema mooooooom
Usikopeshe mke/mume wala ndugu, its a recipe for disaster. Wengi hujisahaulisha, na kuanza kuwa na ugumu wakulipa.
Kwahiyo Bora kumpatia tu kama zawadi
@@irenekamugisha haswaa. Hatakama siyo kwa kiwango alichotaka kukukopa. Akitaka kukopa laki 2 bora umpe laki au elf 50 ambayo siyo kumkopa. Utajiokoa nafsi yako na yake
Huwa ina nichekesha kwenye fedha ni mwili mmoja,ila kwenye cm difference mechanism huwa ni nyingi,unasikia simu yng
Pole kwa kuumwa na ahsante kwa hili somo.👍
Mkate na mbeguu
“Kutafuta hela ni rahisi lakini kutumia hela ni ngumu”
Bado sauti yako ni mzuri mrembo wetu ,nimejifunza mengi kupitia vipindi vyako,
Edmund tunaomba number yako ya whatsap samahani na Irine muombe sana atupatie number ya simu ya whatsap
Dada kamugisha nimeshangaa sana mtu amukobeshe mwenzawake pesa kivipi? ninamyaka 12 kwandoa mimi na mke wangu tunafanya kazi hakuna pesa yamutu ni family
Nimeelewa kwa kila kinachoatikana ni kwa ajili ya familia👌
Dada nakupenda kwa masomo mazuri hata wewe uko simpo huna Mambo mengi
Mimi wife sometimes akitaka pesa anatumia gia ya nikopeshe ila najua hairudi hiyo nami nasahau kabisa nikishampa! huwezi mdai mkeo pesa....ila yeye akinipa lazima nimpe ata nikisahau atanikumbusha tu..hahaa🤣🤣
Siyo yeye peke yake🤣🤣
Ndivo ilivyo 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hiyo tunaita changu changu, Chako chetu.
@@irenekamugisha alafu mimi wife ni mchina yani hapo ndiyo tuna conclude wanawake wote wako na similar behavior😂😂
Watu wako tofauti sana duniani!
Kuna wakati nimepata changamoto ya maradhi , na sina pesa kabisa!
Nikamwomba hela kiasi , akasema hana labda anikopeshe!
Dah!
Chungu sana ....30,000?
Kutoa ni moyo, na tusiweke tegemeo kwa mtu hata km ni wanandoa nyie
Pole sana kwamafuha mungu atakuponya asanteni kwamafunzo nazuli mubarikiwe sana ndabakunda
Je kama huyo mwenza wangu anatabia ya cheating so nijinsi gani unaweza kwamini kifedha?
Nilisaini ili mme wangu achukue mkopo,baada ya hapo slijenga nyumba kwenye kiwanja alichonunua kwa sili,baada ya kujenga aliwapeleka watot wetu wapaone,aliwapeleka ndg na rafik zake waone,Mimi nimeanza nae Maisha kwa shida Sana alipoona tumefanikiwa amekimbia na kuchukua mwanamke mwingine,na uyo mwanamke katoka kwenye ndoa na taraka,
Pole sana dada ndomana uwislam unasema moyo wa binadam anaujua Allah. Mtu asikuongopee kwamba mimi ni mtu wa aina hii.upande mwengine mtu mwenye kununua ki2 kwa siri mwanamke au mwanamme ujue roho yake mbaya na ana .mapenzi ya kweli
Pole sana ndugu
Sasa ju yanini munakopeshana natena muko mwili umoja munatafutiya pamoja? Mimi siwaelewe
Napenda kipindi chako
Pole na kifua sister tumia asali na tangawizi
Ahsante Eyab🙏
@@irenekamugisha ongezea na kitunguu saumu fresh..it works like a charm
@@irenekamugisha welcome sana
Changanya kwenye limao tangawiz kitunguu swahum na kashwagala,mwonyomshaija,
Masomo Yako yananigusa kiukwel mm Sio mkubwa but imenisaidia kuimarisha hata mausiano Yangu ata kukuza fikra na ufaham wAngu MUNGU akutumie vyema mooooooom
Pole na homa mum, hakika kazi iendeleee
Ahsantee
Pole kwa kifua Dada kamureen.
Ahsante sana Pulikisia
🙏🏽
Good work
Alizunguka zunguka