Fix You: Mume anajenga mke hajui, unamkopesha mpenzi wako? Hizi ni changamoto za fedha kwenye ndoa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Irene Kamugisha amemualika Edmund Munyagi kuzungumza masuala ya fedha kwenye mahusiano

Комментарии • 37

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад +8

    Usikopeshe mke/mume wala ndugu, its a recipe for disaster. Wengi hujisahaulisha, na kuanza kuwa na ugumu wakulipa.

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha Год назад +1

      Kwahiyo Bora kumpatia tu kama zawadi

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Год назад +3

      @@irenekamugisha haswaa. Hatakama siyo kwa kiwango alichotaka kukukopa. Akitaka kukopa laki 2 bora umpe laki au elf 50 ambayo siyo kumkopa. Utajiokoa nafsi yako na yake

  • @florajoseph4896
    @florajoseph4896 Год назад

    Huwa ina nichekesha kwenye fedha ni mwili mmoja,ila kwenye cm difference mechanism huwa ni nyingi,unasikia simu yng

  • @ashurakazema2462
    @ashurakazema2462 Год назад +4

    Pole kwa kuumwa na ahsante kwa hili somo.👍

  • @edibilybussoro1700
    @edibilybussoro1700 Год назад +2

    Mkate na mbeguu
    “Kutafuta hela ni rahisi lakini kutumia hela ni ngumu”

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад +2

    Bado sauti yako ni mzuri mrembo wetu ,nimejifunza mengi kupitia vipindi vyako,

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 Год назад

    Edmund tunaomba number yako ya whatsap samahani na Irine muombe sana atupatie number ya simu ya whatsap

  • @nkomezirumenera7312
    @nkomezirumenera7312 Год назад +3

    Dada kamugisha nimeshangaa sana mtu amukobeshe mwenzawake pesa kivipi? ninamyaka 12 kwandoa mimi na mke wangu tunafanya kazi hakuna pesa yamutu ni family

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha Год назад

      Nimeelewa kwa kila kinachoatikana ni kwa ajili ya familia👌

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Год назад +1

    Dada nakupenda kwa masomo mazuri hata wewe uko simpo huna Mambo mengi

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Год назад +3

    Mimi wife sometimes akitaka pesa anatumia gia ya nikopeshe ila najua hairudi hiyo nami nasahau kabisa nikishampa! huwezi mdai mkeo pesa....ila yeye akinipa lazima nimpe ata nikisahau atanikumbusha tu..hahaa🤣🤣

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Год назад

      Siyo yeye peke yake🤣🤣

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha Год назад

      Ndivo ilivyo 🤣🤣🤣

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣hiyo tunaita changu changu, Chako chetu.

    • @TradersEasyWay
      @TradersEasyWay Год назад +1

      @@irenekamugisha alafu mimi wife ni mchina yani hapo ndiyo tuna conclude wanawake wote wako na similar behavior😂😂

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 Год назад

      Watu wako tofauti sana duniani!
      Kuna wakati nimepata changamoto ya maradhi , na sina pesa kabisa!
      Nikamwomba hela kiasi , akasema hana labda anikopeshe!
      Dah!
      Chungu sana ....30,000?
      Kutoa ni moyo, na tusiweke tegemeo kwa mtu hata km ni wanandoa nyie

  • @gloriosehakizimana3789
    @gloriosehakizimana3789 Год назад

    Pole sana kwamafuha mungu atakuponya asanteni kwamafunzo nazuli mubarikiwe sana ndabakunda

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 Год назад

    Je kama huyo mwenza wangu anatabia ya cheating so nijinsi gani unaweza kwamini kifedha?

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад +1

    Nilisaini ili mme wangu achukue mkopo,baada ya hapo slijenga nyumba kwenye kiwanja alichonunua kwa sili,baada ya kujenga aliwapeleka watot wetu wapaone,aliwapeleka ndg na rafik zake waone,Mimi nimeanza nae Maisha kwa shida Sana alipoona tumefanikiwa amekimbia na kuchukua mwanamke mwingine,na uyo mwanamke katoka kwenye ndoa na taraka,

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Год назад +3

      Pole sana dada ndomana uwislam unasema moyo wa binadam anaujua Allah. Mtu asikuongopee kwamba mimi ni mtu wa aina hii.upande mwengine mtu mwenye kununua ki2 kwa siri mwanamke au mwanamme ujue roho yake mbaya na ana .mapenzi ya kweli

    • @jojojojo-my7vw
      @jojojojo-my7vw Год назад +1

      Pole sana ndugu

  • @Oye494
    @Oye494 Год назад

    Sasa ju yanini munakopeshana natena muko mwili umoja munatafutiya pamoja? Mimi siwaelewe

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 Год назад +1

    Napenda kipindi chako

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Год назад +3

    Pole na kifua sister tumia asali na tangawizi

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha Год назад +1

      Ahsante Eyab🙏

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Год назад +1

      @@irenekamugisha ongezea na kitunguu saumu fresh..it works like a charm

    • @eyabdimaha3698
      @eyabdimaha3698 Год назад

      @@irenekamugisha welcome sana

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 Год назад

      Changanya kwenye limao tangawiz kitunguu swahum na kashwagala,mwonyomshaija,

    • @diananiko8739
      @diananiko8739 Год назад

      Masomo Yako yananigusa kiukwel mm Sio mkubwa but imenisaidia kuimarisha hata mausiano Yangu ata kukuza fikra na ufaham wAngu MUNGU akutumie vyema mooooooom

  • @tusekonga3030
    @tusekonga3030 Год назад +1

    Pole na homa mum, hakika kazi iendeleee

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 Год назад +1

    Pole kwa kifua Dada kamureen.

  • @sarapaul8382
    @sarapaul8382 Год назад +1

    🙏🏽

  • @Madam255
    @Madam255 Год назад +1

    Good work

  • @susans4490
    @susans4490 Год назад

    Alizunguka zunguka