Highlights | Simba SC 0-1 Yanga SC | VPL 03/07/2021
HTML-код
- Опубликовано: 2 июл 2021
- Mabingwa wa Kihistoria wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga SC wamewatandika watani wao wa jadi Simba bao 1-0 katika #KariakooDerby iliyopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Goli pekee la mchezo huo limefungwa na kiungo Zawadi Mauya, dakika ya 12
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Спорт
Kama kweli we mwana YANGA na unaipenda YANGA gonga like hapo nikujue
Anaerudia rudia hii gem mpk sasa gonga like 👍tujuane
😎
Asanteni sana Azam tv, tena heshimu Kwako kaka barrack mpenja...Rwanda tunakupenda sana💓💓💓🇷🇼🇹🇿
2naoisubili fainali kigoma 2juane kwa like hapa chini
Sana
Tunaisubiri kwa hamu
Simba tiny kubwa wewe
Hii mechi Simba walizidiwa sana licha ya kusheheni mastaaa wakali km Miquison,Morrison,Chama,Kagere,Boko n.k
i from morocco Yang African The best club 👍
Sure man!
Best club best derby
Tumewachapa sana makolo fc aka wachawi
Tanzania Youga Rwanda rayon sports fc asanten sana
Love from India 🇮🇳 hope Tanzania one day become Football Superpower
Welcome
Leo mbona Azam mmewahi kuileta hii game 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, hongereni sana kwenu Azam Tv, Mkia FC kafaaaaaaaaa
Kushabikia yanga raha sana aki ya mungu
Huna akiri. Raha ziko peponi. Unadhani utabaki milele.
Mzee mpili shikamoo
Marahaba mjukuu
Ilove you yangaaaaaa
Kama kawa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿💐💐🌹🌹🌹👊👊👊👊👊Tomorrow namungo yanga africa 2 namungo 0
Magreth mwananchi
I'm supporting young Africa team yangu
Asante Shikaro Asante wachezaji wote wa Yanga🔰🙏🏼
Yanga no yakwanza kbs
Hii chanel vp mbna downloaded haziplay mpaka access ya Bundle
Hongera sana yanga Africa
Hongereni sana watani kwa kweli mlistahili ushindi, sikuangalia mpira lakini baada ya kuangalia hii highlight nimekosa hata cha kulaumu, mlicheza jihad, mmestahili ushindi tena wa halali kabisa 👏👏👏! Naamini next derby itakayochezwa Kigoma itakuwa moto sana! Nachowashauri, Simba wataenda kujiuliza huko Kigoma, mkajipange kisawasawa maana wenzenu hawatokubali tena uteja! Michezo ni furaha, michezo ni amani, amani iwe juu yenu wote wanamichezo wenzangu 🙏🙏
Umeona penati za wazi alizokataa refa? rudia tena dk ya 13:42 na dk 18:08 kwenye hizi highlights uone madudu ya refa
Ww mwanamichezo broo wenzio wanalilia penalt hukuuuu tukutane kigoma kule itakuwa ngoma ngumu mtoto having nepii
@@jojigeorige1056 imeisha hiyo mbona unateseka jamaa kakoment vizuri tu😂😂😂
@@onesmojustice2348 Si kasema hajaangalia mpira? au we umesomaje? kama hajaangalia mpira tunamkumbusha aangalie pia na matukio mengine vizuri...
@@jojigeorige1056 huna jipya umepigwa basi ngoja kigoma ndo ujiulize umepigwaji na refa awe mo
Amuwezi kuja kutangaza ubigwa kwa wanaume wenye ndevu
Yanga timu kubwa yenye wachezaj wanao jielewa
Sawa kabisa
Kweli baba Hy haipigwi
2023
45 mm ndo wakwanza likee💛💚💚💚💚
Yanga yetu mungu awatiye nguvu sana tutafikia malengo mungu akitaka
@@suzanaandreya1269 yaaa 🙏
Yanga hii MAKOLO wamepigwa kibolo, Simba walikuwepo fulu , sasa hii Yanga ya Sasa hivi si ndo NOMA Zaidi...!
Leo Yanga mmejua kunikosha kwa kwelii kusema Kelli simb wananuksi mbele ya Raisi aibu kwa kweli
ONA LOVE YOU YANGA💛💚💛💚
Wanabahati sana kwa kufungwa. Moja tu. Kiwango cha uchezaji wa Yanga ni 65% ya Simba.
Wanachi tunashine kama kawa💚💛💚💛💚💛💛💛
Ila huu mchez simba ilibid wapigwe hat 4
I Love Yanga💚💛💚
Good job Young African I love u
Alhamdulillah 🍐🍐🍐🍐
Sema nabi kayanyanyasa sana haya majamaa😂😂😂😂
Oyoooooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥wananchiii
Leo mpaka kibendela ameingia ndani ya kiwanja yanga kweli noma.
Simba always is soo proud, it's good for Yang's to to win the game.
Nimekubali
Wananchiiiii😊💛💚💛💚💛💚💛🚶♀️🚶♀️🚶♀️📌📌📌
3/7/2021 yanga 🔥🔥
Diamund
Makolo wameteseka sana kwa coach #nabi
Thaaanx Wananchii U made it 💚💚💚💚💚
Yanga oyeee
Morrison alipokuwa club ya kihistoria aliifunga Simba, eehee alipoingia mikiani alishindwa kuifunga.YANGA, aibuuuu.
Niliye mgonga mala nyingi kuliko wote ni Simba aaaaaaaaa
kweli hii ndio yang
Simba alipoteza magoli bahati tu
Pitia frm 254💥💥
Yanga raha👍
Ila yanga are techical good am not a tanzania either
True
We have lost only two matches in the premier league less than any other it was unlucky that we didn't win the cup of premier league but next season hopefully we will be on🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Alhamdulillah yanga for life
Hata la offside hawakupata
🔥Daima Mbele Nyuma Mwiko🔥
Simba wasipoangalia watafungwa tena naangalia marudio hapa
Look.....
Kk
Kkk
Kkkkkk
Kk
No 5 on trending
I love yanga👉🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bahati haikuwa upande wetu. Simba imecheza mchezo mzuri sana wachezaji wetu wanajiamini ipasavyo big up our players & tech bench we are simba forever and ever. Ubingwa zetu pale pale Vpl + ASF
Simba ,,wakubali tu ,,walichezewa tu leo ,,mpira ,,hakuna bilian hapo ,,wajalibu siku nyingine
😂 😂 😂 Daima mbele 🙏 🙏
Nyuma mwiko
Simba hii mechi wailstahil kabsa kufungwa, maana walinunua refa, rafu alizokuw anacheza bocco kwa mukoko ndo kolichowany wafungwe
Super
Hii picha waliopiga marefa na wachezaji makeptain imependeza sana ingekuwa sana angekuwepo yule mvaa suti angeharibu picha
Kisinda alikuwa vizuri sana kipindi anakuja
Woyooooooo sisi ndo wananchi
Waliokimbia saa11 tarehe8 Leo tarehe 3 na tff yao kimewakuta,, walijua tarehe8 May wangekufa nyingi,. Ila Leo walijua wanakufa1 wakaleta timu... Simba kageuka paka
Love you yanga mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Yanga Baba lao
Wao walifikiri sisi Kauza Chips nini.?? Sisi ndo Kuala Lumpar watoto wa Ocean road habari iwafikie na hizo ni shamla shamla za posa ndoa tarehe25 Kigoma
Asante sana yanga👍👍👍😊
,😂😂😂😂😂😂makolo bhana wali pewa kichapo 😃
Yanga leo mnastahili Kama pira mmenipigia
Umiliki 69 kwa 31 ndio wameupiga ahahaaa sema wameshinda
@@emmadora7848 Jamaa unateseka sana...1st half possession ilikuwa hivyo??
Kwan hata km mngepewa hzo penat mngeshinda bac? Ni lini mliwahi kushinda mbele ya Rais?
Ndo nashangaa
Ama kwer dawa zipo
Simba warembo to
Wanakumbuka walichofanyiwa
Ongera sana yanga
Bwalya...player of the match 👍👏👏👏
Hapa ndio nilianza kumuelewa kocha Nabi
Hii ndio Yanga , katangazieni ubingwa tff wanao wapa viporo paka nyie.
😂 😂 😂 😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 paka shume wala viporo eti thimba
😂😂😂😂 hii kali ya mwaka
Kwa leo Onyango na Wawa walikuwa kama viaz pori🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hata tufungwe this is simba
Mbona hii mechi ndg yenu mwandembwa kawatafutia sana magoli ila tu mungu naye alikuwa na mipango yk...!
Mmetisha mmekata ngebe hongera sana
Wanainchi tuko vizuri
Yanga vc Jan go be boys
Wazazi wako wamekuzaa ukiwa na akili timamu alafu wewe unajitoa hakili unaenda kuishabikia simba
😲
😂😂😂😂
😂😂😂😂 waambie hao utelembwe
Mungu ibariki Simba ishinde
Hii gemu tuliupiga mwing sana
Mohamed Nabi shukuran sana kwa kumuibua zawad mauya bila ya wewe nahis angetemwa maana alikuwa hapew nafasi kabisa lakin kwasasahv mauya ameshaanza kujiamin na kuonesha kile kiwango kama ilvokuwa Kwenye team alizopita kipindi cha nyuma ikiwemo lipuli fc na Kagera sugar
Yanga juuu
yanii walifungwa na yanga hii kweli safali hii watuache
Nahapo mayele hayupo💕💕😅
Chama na Luis miqueson walikuwepo pia na bado tukawashona
@@johnsonnyange7568 Huyo chama kawa. Chauma😂😂😂😂🤸♂️
Kuna watu walikuwa wanaongea maneno machafu kwa yanga lakini Sasa siwaoni wamejificha😂🤣🤣🤣 dar hatari sana
Hadi laha
Simba Jayant of Africa
Mnakipenda lakini hakiwapendi
Bracket fever
Chenga Kaseke aliyompiga wawa ndo inanifanyaga niangalie hii video mara 3 kwa siku! Jitu lililamba nyasi bhana
Hongera yanga
Raha sana kumfunga mtani alafu unamuachia ubingwa
Tumelipiza dhuruma mlizofanya kwa azam shwaini nyinyi
Mwezi huuu nutaisoma
Goodo🎉
Move
Nani aliye kimbia tarehe 8
Kashajulikana tyr maana alikuwa na mdomo xn
Wameshamjuwa
Dah nataman kurudi tz
Unaishi taifa gani saivi
Tanzania sasa tumieni VR,wachezaje wa simba wamecheza fauli mbaya hiyo ni kadi nyekundu kama wakina john boko
Utelembwe fc kikosi kipana cha next level chaliiiii Shughuli imebakia Kigoma tukamilishe kipigo Utembwele mpoo hapa hamchezi na Gwambina
Waambie hao utelembwe
Azam naomba ile clip ya mchezo unavyoanza mnaonesha jiji la dsm