Hapo Dogo ndio unapo Rudi Kwa Baba Levo sasa kama nitakuona Club Kuna haja Gani? Ya kuja mlimani kukuona wakati nimesha kuona Club Tofautisha Ulaya na Bongo
Cheka tu imejaa watoto wenye utoto mwingi hebu chekini watubaki huwezi kuwasikia na ujinga huu na ni wana chekesha na wana material za kutisha sio hawa madogo
Kuchekesha bado hujui vizuri unaanza kutengeneza bifu nawatu bila sababu kijana unaanza kutumika vibaya
Huyu dogo anataka kupotea kwenye Gemu 😅😅
Nenda wewe basi mwanangu
mbona anaongea kama mke wa coy...bana huwez kufanya show club mnauwaaa comedy
Baba Levo 60%
Clay 40%
Basi hapa mmiliki ni Baba Levo. Na Clay ni mwekezaji.... Imeisha hii
Babalevo cku zote yy ni kuponda vitu za watu tuu,,wcb ndio yamfurisha bichwa na pua
Hapo Dogo ndio unapo Rudi Kwa Baba Levo sasa kama nitakuona Club Kuna haja Gani? Ya kuja mlimani kukuona wakati nimesha kuona Club
Tofautisha Ulaya na Bongo
Kaulizwa vingne anajibu vingine nani kauliza kuwa 7 ni yake au sio yake iki nacho
dogo jau
baba levo anaua comedy kumbuka kwenye Comedy search, yeye pia alikuwa ni miongoni mwa Mjudge
Cheka tu imejaa watoto wenye utoto mwingi hebu chekini watubaki huwezi kuwasikia na ujinga huu na ni wana chekesha na wana material za kutisha sio hawa madogo
Huyu dogo mwehu kwnz kuchekesha hauji
huyu dogo hata sijajua
hata kama anachekeshekaga nini
uyo ndo hajui kuchekeshaaa kabisaaa mvaaaa uyoo
Roja unafanya je interview huku unachat
Yaleo kali😊
😂
Aise noma 🤣🤣
Huyu ashauriwe,anakwenda kupotea
Ila kibongobongo itakuf 7bu km mtu anawez kuj kusikia vtu vyenu atakuj mliman kufanya nin