SAID SAID ATOA SIRI MMILIKI HALALI WA SEVEN MEDIA SIO YA BABA LEVO/BIFU KATI COY MZUNGU NA BABA LEVO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 19

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 13 часов назад +1

    Kuchekesha bado hujui vizuri unaanza kutengeneza bifu nawatu bila sababu kijana unaanza kutumika vibaya

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 День назад +2

    Huyu dogo anataka kupotea kwenye Gemu 😅😅

  • @ntambisamwel4436
    @ntambisamwel4436 День назад +1

    mbona anaongea kama mke wa coy...bana huwez kufanya show club mnauwaaa comedy

  • @Theunitedeastafrica
    @Theunitedeastafrica 8 часов назад

    Baba Levo 60%
    Clay 40%
    Basi hapa mmiliki ni Baba Levo. Na Clay ni mwekezaji.... Imeisha hii

  • @joesplatnumz
    @joesplatnumz 19 часов назад +1

    Babalevo cku zote yy ni kuponda vitu za watu tuu,,wcb ndio yamfurisha bichwa na pua

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 21 час назад +1

    Hapo Dogo ndio unapo Rudi Kwa Baba Levo sasa kama nitakuona Club Kuna haja Gani? Ya kuja mlimani kukuona wakati nimesha kuona Club
    Tofautisha Ulaya na Bongo

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 День назад +1

    Kaulizwa vingne anajibu vingine nani kauliza kuwa 7 ni yake au sio yake iki nacho

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 14 часов назад +1

    dogo jau
    baba levo anaua comedy kumbuka kwenye Comedy search, yeye pia alikuwa ni miongoni mwa Mjudge

  • @johnmponguliana2331
    @johnmponguliana2331 15 минут назад

    Cheka tu imejaa watoto wenye utoto mwingi hebu chekini watubaki huwezi kuwasikia na ujinga huu na ni wana chekesha na wana material za kutisha sio hawa madogo

  • @AbdallahHamisi-c6x
    @AbdallahHamisi-c6x 16 часов назад +1

    Huyu dogo mwehu kwnz kuchekesha hauji

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 14 часов назад +1

    huyu dogo hata sijajua
    hata kama anachekeshekaga nini

  • @ntambisamwel4436
    @ntambisamwel4436 День назад

    uyo ndo hajui kuchekeshaaa kabisaaa mvaaaa uyoo

  • @OmaryCyrily-we3zi
    @OmaryCyrily-we3zi День назад +2

    Roja unafanya je interview huku unachat

  • @FatmaChezo
    @FatmaChezo День назад +1

    Yaleo kali😊

  • @alinotilucamoris6189
    @alinotilucamoris6189 День назад

    Aise noma 🤣🤣

  • @Smart_jarm
    @Smart_jarm 20 часов назад

    Huyu ashauriwe,anakwenda kupotea

  • @UpendoKalagolowe
    @UpendoKalagolowe День назад

    Ila kibongobongo itakuf 7bu km mtu anawez kuj kusikia vtu vyenu atakuj mliman kufanya nin