Umuhimu wa Kichuri kwa Wakurya Tanzania

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Kabila la wakurya mkoani mara hutumia asusa maalumu almaarufu ‘KICHURI’ inayotokana na mabaki ya chakula kwenye tumbo la ngo’mbe au mbuzi baada ya kuchinjwa.
    KIchuri hutumika na watu wa rika zote na jinsia zote hasa kula nyama choma ijapokua wenyeji wanasema unaweza pia kuchemsha na kunywa na supu au chakula chochote kingine
    Mwandishi wa BBC Eagan Salla alizungumza na Mzee Samweli Mangaraya ambaye alimueleza namna inavyotengezwa na ni kwanini ni kiungo muhimu kwenye milo ya wakurya.
    🎥 @eagansalla_gifted_sounds
    #bbcswahili #tanzania #mila
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Комментарии • 2