Bass gitaa 10: jinsi ya kutafuta funguo || mzunguko wa nyimbo with Joachimxbass

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tutor :joachimxbase
    Vocal : Gideon kinyala
    somo Namba #10 tunajifunza vitu kama vi 3
    Kwa pamoja ;-
    1. Njia rahis ya kutafuta key.
    2.jins ya kutafuta mzunguko wa nyimbo.
    3. Jins ya kutumia passing note [nota mpito] namb 2 - 3 na 6.
    Karibu tujifunze ..
    SUBSCRIBE || LIKE || COMMENT & SHARE
    SUBSCRIBE || LIKE || COMMENT & SHARE
    SUBSCRIBE || LIKE || COMMENT & SHARE

Комментарии • 78

  • @tanaidhouse369
    @tanaidhouse369 2 года назад +1

    Sawa

  • @josephhizza8004
    @josephhizza8004 3 года назад +3

    Safi SANA MWANANGU Joachim. NIMEPENDA HIZO touches na swiftness ya vidole. KAZI NZURI. Keep up the same zeal for the Lord.

  • @eliabaidan9396
    @eliabaidan9396 Месяц назад +1

    Nashukuru Sana Brother, tangu nianze kukufuatilia naongezeka kiwango Cha kupiga BASS GUITAR 🎸🎸🎸, God bless you ma Brother BASIST 😊. Natamani utupe progression za wimbo uitwao "MABILIONI YA WATU" By Zoravo

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  Месяц назад

      Tuwasiliane kaka Whatsapp 0718935033

  • @user-iy9gv8mu9b
    @user-iy9gv8mu9b 11 месяцев назад +1

    Lesson Iko vizurr ticha inatupeleka hatua nyingine

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  11 месяцев назад +1

      Sante Kaka Kwa maoni nafurah kusikia hvyo endelea kufatilia utajifunza kitu kipya

  • @ezekieldavid1154
    @ezekieldavid1154 2 года назад +1

    so ncee

  • @face2faceafricaa
    @face2faceafricaa 2 года назад +1

    very helpful, asante sana

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Thank you too brother u a welcome

  • @vitaliskikono5849
    @vitaliskikono5849 2 года назад +1

    Wonderful

  • @onesmomisigalo6883
    @onesmomisigalo6883 7 месяцев назад +1

  • @WisemanHoliness
    @WisemanHoliness 3 года назад +1

    Yesu akubariki sana sana
    Tunajifunza vingi na kwa ufanisi
    Asante san

  • @gidyayubu1754
    @gidyayubu1754 3 года назад +1

    Nakubali sana mtu wangu zidi kutupa mapya na ubunifu wako kwetu

  • @LusambyaAlexandre
    @LusambyaAlexandre Месяц назад +2

    Naitaji kujifunza gitar bezi nimeshakuandikiya kuistagram

  • @TuyizerePatrick-ck9zj
    @TuyizerePatrick-ck9zj 2 месяца назад +1

    Ok

  • @paulmwanakatwe7265
    @paulmwanakatwe7265 3 года назад +1

    Vipi kaka mkubwa

  • @josephhizza8004
    @josephhizza8004 3 года назад +2

    MWANANGU ATAJIFUNZA SANA HAPA MAANA ANAPENDA BASS GUITAR. JE IS 12 NOW.

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад

      Saf sana upcoming Bassists ..katakuwa vizuri miaka ya mbelen ..wakat sisi tukiwa n Wahenga kabisa

  • @dottowiliam1437
    @dottowiliam1437 2 года назад

    Ninakupata vyema

  • @samwelmisaso3073
    @samwelmisaso3073 3 года назад +1

    baba umetish nimepata funzo kubwa asee

  • @paulmwanakatwe7265
    @paulmwanakatwe7265 3 года назад +1

    Naitwa poul natokea swax Town napiga gitaa ya bass napenda Sana ila ndo Sina wakuniongezea vitu mbadala

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад +1

      Swaxtown in wapi huko. .. Tuwasiliane WhatsApp 0718935033

  • @Queeneliot7
    @Queeneliot7 3 года назад +1

    Thanks nataka kujifunza bass guitar

  • @rogersmwoleka951
    @rogersmwoleka951 2 года назад +1

    Be blessed teacher

  • @yonamwansasu2578
    @yonamwansasu2578 3 года назад +1

    Asante cna bro nimejifunza kitu pamoja endelea kutupa vitu

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад

      Amen bro tuko pamoja usiache Ku share na marafiki ..!!?

  • @westonmpangala2289
    @westonmpangala2289 6 месяцев назад +1

    Nimependa sana somo ni mala ya kwanza..napenda kujifunza base, naweza kufanyia mazoezi kwenye accoustic?

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  6 месяцев назад

      Unaweza japo n nzur zaid ukipata bass yenyewe

  • @matadormatadior277
    @matadormatadior277 2 года назад +1

    Ah aisee hiyo ni progression gani yachezwa kwenye background kwa piano?

  • @isayashakie4258
    @isayashakie4258 3 года назад

    @joachim xbase nmeelew soon nitakuw naelekea ulipo japo co xna🙏🙏🙏🙏

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад

      Kazana kaka one day nawew uje utuelekeze vitu happa

  • @kinyala_gideon_officiall.1873
    @kinyala_gideon_officiall.1873 3 года назад +1

    🙏🙏🙏

  • @barakagabriel159
    @barakagabriel159 3 года назад

    Bro nashukuruuu sana kwa mafunzo yako Ila naomba unielekeze kupiga wimbo wa mungu ni yule yule wa eliya mwantondo

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад

      Hakuna tatizo kaka nitumie huyo nyimbo ao Link. wasapu yangu O718935033 ili niusikiye vzur

  • @peterndungu1698
    @peterndungu1698 2 года назад

    Naomba ufanye video moja ya zile nyimbo challenging kidogo za minor chords kwa mfano, Adonai by Nathaniel Bassey

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Nitumie link via WhatsApp +255718935033

  • @yahweexalts8307
    @yahweexalts8307 3 года назад +1

    Bro saf sana ila apo mwisho umeenda speed kidogo hongera sana

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад

      sante bro ..lakin c umejifunza kitu hapo mwishon kwenye speed hahahha

    • @yahweexalts8307
      @yahweexalts8307 3 года назад +1

      @@JoachimXbase actually sio kitu nimejifunza vitu salute!!! pia angazia macho kwenye praise songs Kama za sebene kwaito zuku na rock utatusaidia Sana Thanks

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад

      @@yahweexalts8307 safi sana ..hakuna shida kaka ndio naelekea huko jins ya kupiga style mbali mbali za music

    • @yahweexalts8307
      @yahweexalts8307 3 года назад +1

      @@JoachimXbase pamoja sana

  • @jonathanmunyoli1148
    @jonathanmunyoli1148 2 года назад +1

    How can I tune my bass guitar?

  • @jonathanmunyoli1148
    @jonathanmunyoli1148 2 года назад +1

    Shule yako upatikana wapi?

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Tuwasiliane WhatsApp +255718935033

  • @paulolameck8064
    @paulolameck8064 2 года назад

    Naomba namba zako Kaka

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Namba ziko hapo kwenye description ya kila session +255718935033

  • @mckombe7200
    @mckombe7200 3 года назад

    Njia raisii yakupiga gitar nihipi

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад

      Njia rahis ya kupiga gitaa ni kupata mtu atayekupa mwongozo wa kupiga gitaa(ideas) kisha changanya na mazowez ya kutosha kwenye kile unachoelekezwa.....ukiwa na gita LA kwako nyumban utajuwa kirahis na mapema mno.. Kwasaba una uwezo wa kufanya mazeowez muda mwing..

    • @isayashakie4258
      @isayashakie4258 3 года назад

      Joachim Xbase safi sanaa kaka naelekea uko

  • @officialchaula7459
    @officialchaula7459 2 года назад

    Na ikiwa biti tu unatafuta vipi key

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад +1

      Ukiwa na beat Tupu hauna muimbaji..utaskililiza leading Guiter/ rithym Guiter litakuongoza

  • @iradidibass4188
    @iradidibass4188 3 года назад +1

    G string iko off bro tune your guitar before you teach

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад +1

      It's true bro thank for your comment I will work on it

  • @MichaelJohn-or2rp
    @MichaelJohn-or2rp 5 месяцев назад +1

    Kk naomba namba yako ya Whatsapp

  • @kiyatv8289
    @kiyatv8289 Год назад +1

    naomba whatsap namba yak

  • @MichaelJohn-or2rp
    @MichaelJohn-or2rp 5 месяцев назад +1

    Kk naomba namba yako ya Whatsapp