Bass gitaa 10: jinsi ya kutafuta funguo || mzunguko wa nyimbo with Joachimxbass
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Tutor :joachimxbase
Vocal : Gideon kinyala
somo Namba #10 tunajifunza vitu kama vi 3
Kwa pamoja ;-
1. Njia rahis ya kutafuta key.
2.jins ya kutafuta mzunguko wa nyimbo.
3. Jins ya kutumia passing note [nota mpito] namb 2 - 3 na 6.
Karibu tujifunze ..
SUBSCRIBE || LIKE || COMMENT & SHARE
SUBSCRIBE || LIKE || COMMENT & SHARE
SUBSCRIBE || LIKE || COMMENT & SHARE
Sawa
Safi SANA MWANANGU Joachim. NIMEPENDA HIZO touches na swiftness ya vidole. KAZI NZURI. Keep up the same zeal for the Lord.
Sante sana kaka karibu
Nashukuru Sana Brother, tangu nianze kukufuatilia naongezeka kiwango Cha kupiga BASS GUITAR 🎸🎸🎸, God bless you ma Brother BASIST 😊. Natamani utupe progression za wimbo uitwao "MABILIONI YA WATU" By Zoravo
Tuwasiliane kaka Whatsapp 0718935033
Lesson Iko vizurr ticha inatupeleka hatua nyingine
Sante Kaka Kwa maoni nafurah kusikia hvyo endelea kufatilia utajifunza kitu kipya
so ncee
Thank you
very helpful, asante sana
Thank you too brother u a welcome
Wonderful
Thanks
❤
🎸
Yesu akubariki sana sana
Tunajifunza vingi na kwa ufanisi
Asante san
Ameen ubarikiwe pia kaka
Nakubali sana mtu wangu zidi kutupa mapya na ubunifu wako kwetu
Naqubali sana mzee baba
Naitaji kujifunza gitar bezi nimeshakuandikiya kuistagram
Nakuomba
Problem eza te 🖐🏾
Ok
.
Vipi kaka mkubwa
Safi kaka mkubwa niaje
Rukwa
Nipo Sumbawanga
MWANANGU ATAJIFUNZA SANA HAPA MAANA ANAPENDA BASS GUITAR. JE IS 12 NOW.
Saf sana upcoming Bassists ..katakuwa vizuri miaka ya mbelen ..wakat sisi tukiwa n Wahenga kabisa
Ninakupata vyema
Sante sana tuko pamoja
baba umetish nimepata funzo kubwa asee
Tuko pamoja kaka
Naitwa poul natokea swax Town napiga gitaa ya bass napenda Sana ila ndo Sina wakuniongezea vitu mbadala
Swaxtown in wapi huko. .. Tuwasiliane WhatsApp 0718935033
Thanks nataka kujifunza bass guitar
Karibu sana kaka
Be blessed teacher
Ameen
Asante cna bro nimejifunza kitu pamoja endelea kutupa vitu
Amen bro tuko pamoja usiache Ku share na marafiki ..!!?
Nimependa sana somo ni mala ya kwanza..napenda kujifunza base, naweza kufanyia mazoezi kwenye accoustic?
Unaweza japo n nzur zaid ukipata bass yenyewe
Ah aisee hiyo ni progression gani yachezwa kwenye background kwa piano?
@joachim xbase nmeelew soon nitakuw naelekea ulipo japo co xna🙏🙏🙏🙏
Kazana kaka one day nawew uje utuelekeze vitu happa
🙏🙏🙏
Bro nashukuruuu sana kwa mafunzo yako Ila naomba unielekeze kupiga wimbo wa mungu ni yule yule wa eliya mwantondo
Hakuna tatizo kaka nitumie huyo nyimbo ao Link. wasapu yangu O718935033 ili niusikiye vzur
Naomba ufanye video moja ya zile nyimbo challenging kidogo za minor chords kwa mfano, Adonai by Nathaniel Bassey
Nitumie link via WhatsApp +255718935033
Bro saf sana ila apo mwisho umeenda speed kidogo hongera sana
sante bro ..lakin c umejifunza kitu hapo mwishon kwenye speed hahahha
@@JoachimXbase actually sio kitu nimejifunza vitu salute!!! pia angazia macho kwenye praise songs Kama za sebene kwaito zuku na rock utatusaidia Sana Thanks
@@yahweexalts8307 safi sana ..hakuna shida kaka ndio naelekea huko jins ya kupiga style mbali mbali za music
@@JoachimXbase pamoja sana
How can I tune my bass guitar?
Refers to the session #02
Shule yako upatikana wapi?
Tuwasiliane WhatsApp +255718935033
Naomba namba zako Kaka
Namba ziko hapo kwenye description ya kila session +255718935033
Njia raisii yakupiga gitar nihipi
Njia rahis ya kupiga gitaa ni kupata mtu atayekupa mwongozo wa kupiga gitaa(ideas) kisha changanya na mazowez ya kutosha kwenye kile unachoelekezwa.....ukiwa na gita LA kwako nyumban utajuwa kirahis na mapema mno.. Kwasaba una uwezo wa kufanya mazeowez muda mwing..
Joachim Xbase safi sanaa kaka naelekea uko
Na ikiwa biti tu unatafuta vipi key
Ukiwa na beat Tupu hauna muimbaji..utaskililiza leading Guiter/ rithym Guiter litakuongoza
G string iko off bro tune your guitar before you teach
It's true bro thank for your comment I will work on it
Kk naomba namba yako ya Whatsapp
+255718935033 WhatsApp
naomba whatsap namba yak
Whatsapp namba n hio 0718935033
Kk naomba namba yako ya Whatsapp
+255718935033