Bass Gitaa 12: jifunze Jins ya kupiga seben kwa dakika chache ..Joachim xbase.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 апр 2021
  • #sebene #praise #worship #kusifu #gitaa #bass
    Let be Friend..
    follow on:- / joachimxbase
    facebook : Joachimxbase
    whatsapp +255718935033
    SUBSCRIBE + LIKE + COMMENT & SHARE with FRIENDS
    SUBSCRIBE + LIKE + COMMENT & SHARE with FRIENDS
    SUBSCRIBE + LIKE + COMMENT & SHARE with FRIENDS

Комментарии • 106

  • @meshackelkana3273
    @meshackelkana3273 Год назад +1

    Tangi nianze kujifunza kuna kitu nakipata kwenye ubongo wangu mungu akubariki sana kwa kazi yako

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  Год назад

      Amina barikiwa pia sante na endelea kufanya na mazowezi utaweza tu kaka 🎸🎸🎸

  • @jojoojumannekubula1033
    @jojoojumannekubula1033 2 года назад +1

    Somo lako nimelielewa sana safi sana itabidi nifuate njia hizo

  • @peterndungu1698
    @peterndungu1698 Год назад

    Wow, asante sana ndugu, sasa utufundishe reggae, na tricks zaidi

  • @samwelmwangi-pw2yw
    @samwelmwangi-pw2yw Год назад +1

    God bless you sir for s
    Doing thisi

  • @WisemanHoliness
    @WisemanHoliness 3 года назад +4

    Nashukuru sana sana sanaaaaaaaa brother kwa kunisaidia kupitia somo hili
    Barikiwa sana brother 🙏

  • @user-kl9vv1cn5y
    @user-kl9vv1cn5y 6 месяцев назад +1

    Napenda bass blother

  • @elia5173
    @elia5173 2 года назад +1

    Asante sanaa kaka kwa kunipa somo bloo

  • @sethpaul2474
    @sethpaul2474 2 года назад +1

    Kazi nzuri endelea kufanya hivyo

  • @richardmahinya2902
    @richardmahinya2902 Год назад +2

    Bro nataka kujua bass

  • @eliakazos8106
    @eliakazos8106 Год назад +1

    Naomba nifundishe kupiga wimbo wa Boazi Danken- Wanadam wote wameshindwa

  • @josephfulli3592
    @josephfulli3592 Год назад +1

    Keep it more bro

  • @shijatichalesi5617
    @shijatichalesi5617 2 года назад +1

    Natalia unipigie winning WA unasitaili kuambudiwa mm nimwanafuz wakupg bez

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Unitumie what's app via +255718935033

  • @frankmusician2300
    @frankmusician2300 2 года назад +1

    Ndugu unafanya kazi poa bassist kutoka

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Nsqubali mtaalam wangu kutota KE

  • @annaelly9722
    @annaelly9722 2 года назад +1

    nzur San hii

  • @StevenKihongo-qv1tf
    @StevenKihongo-qv1tf 9 месяцев назад +1

    Good luck

  • @moseslisiolo1297
    @moseslisiolo1297 Год назад +1

    Am biginner

  • @barisolbeatz2731
    @barisolbeatz2731 3 года назад +1

    Bruhh naomba utuelekeze jinsi ya kupiga mipigo ya zouk na rage bruhh

  • @abelmbilinyi7401
    @abelmbilinyi7401 2 года назад +1

    Nitapataje vidio zako nataka kujifunza kupiga bass gitaa

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Video nitaendelea kuziachia zaidi

  • @jeftajosia151
    @jeftajosia151 3 года назад +1

    Mungu akubalika sana kwa kazi nzuri sana binafsi najifunza vitu vingi sana kupitia ww

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад

      Ahsante kwa Comment ako..Mungu akubaliki pia kaka ..usiache Ku #subscribe #Like & #Share to friend

  • @eliusndabila1584
    @eliusndabila1584 2 года назад +1

    Safi sana. Napenda sana kupiga gitaa ijapo sijui

  • @vitaliskikono5849
    @vitaliskikono5849 2 года назад +1

    Waeza fanya tutorial ya mziki wa South Africa

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Ndio kaka what's app +255718935033

  • @NkurunzizaAlon
    @NkurunzizaAlon Месяц назад +1

    I need my guitar nass

  • @user-we1wt2kg8m
    @user-we1wt2kg8m Год назад

    Nakukubali kaka

  • @josephpeter9419
    @josephpeter9419 2 года назад +1

    Pamoja

  • @respichiusgabriel2758
    @respichiusgabriel2758 2 года назад +1

    Brother minatk kujifunza gitaa Ya bass

  • @feraloh5478
    @feraloh5478 8 месяцев назад +1

    You are a good teacher,na comprendre kidoko kidoko😅

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  8 месяцев назад +1

      ce bon Frere nasepeli mingi koyoka ango..

    • @feraloh5478
      @feraloh5478 4 месяца назад

      bonjour ndeko ,est ce possible ya kozua play back oyo pona travailler exercice oyo please @@JoachimXbase

  • @karisasamuel1690
    @karisasamuel1690 3 года назад +1

    Mafunzo yako yanafaidi sana naomba mwelekezo kujifunza

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад

      Whatsapp me 0718935033 kwa mwelekezo zaid wa kujifunza

  • @victorjkt8770
    @victorjkt8770 2 года назад +1

    Ilo ni bass model gani

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Kaka hii n soundsoft ndio base Yao

  • @nkungujackson7092
    @nkungujackson7092 2 года назад +1

    Kaka mkubwa tunaomba mawasiliano tunahitaji kujua kupiga music

  • @djcedricsingham1891
    @djcedricsingham1891 2 года назад +2

    Mzee tunashukuru kabisa kwa mafunzo unayotubatiya

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Karibu sana

    • @djcedricsingham1891
      @djcedricsingham1891 2 года назад +2

      Joachim mimi ni Cédric nakufuata kutoka kamange nchini Burundi ninapenda gisi unayodufundisha

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Nafurah sana kupata comment ako kutokea burund ..nafurah pia kwakuwa unaelewa nachofundisha nafarijika sana..

  • @ellycharlessarengejr
    @ellycharlessarengejr Год назад +1

    Ndo naanza kujifunza, so am a beginner

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  Год назад

      Karibu Nenda kaanzie session namba 01-02-03 Kwa utaratibu naamin utajifunza kitu ..

  • @meshackmalaki7718
    @meshackmalaki7718 3 года назад

    Brother nasema asante maana umenisaidia vitu vingi mno ubarikiwe

  • @patrickwilliam3251
    @patrickwilliam3251 2 года назад +1

    Kka seben yaa 1545 please

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад +1

      Titaifanyia kaka tukipata wasaaa

  • @wilifreddaniiel7512
    @wilifreddaniiel7512 Год назад +1

    I am the totally biginer, throw your tutorial a learn slow slow! Thank you

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  Год назад

      That's great thank brother u can start with lesson #01 go on series

  • @nelsonrichard4266
    @nelsonrichard4266 3 года назад +1

    Seben1415 inakuaje

  • @phinisonvenas2148
    @phinisonvenas2148 2 года назад +1

    Br naombaa ufundishe muzunguko wa key kwenye gita nzimaa

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Sante kaka kwa maoni talifanyia kazi

  • @yahweexalts8307
    @yahweexalts8307 3 года назад +1

    Gud gud more session
    Bro

  • @nelsonrichard4266
    @nelsonrichard4266 3 года назад +1

    Mwamba

  • @justinemaisha6317
    @justinemaisha6317 2 года назад

    Safi sana Bro

  • @pendonoely6785
    @pendonoely6785 2 года назад +1

    Nilikua naomba kama Kuna uwezekano wakunitumia watsap nijifunzie maana nafatilia masomo Yako siomuda San lakini kwasaa na mshukuru Mungu Kidogo napiga kitu kina eleweka umenifundisha

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Nafurah sana Kwa comment yako nafurah zaid kama umepiga hatua kupitia video fupi ... tuwasiliane Whatsapp +255718935033

  • @officialchaula7459
    @officialchaula7459 Год назад +1

    Brother nimeelewa.ila ongeza video za sebene kk tujue kama hii .tunakutegemea teacher

  • @NkurunzizaAlon
    @NkurunzizaAlon Месяц назад +1

    I need my guitar Bass you can help me

  • @NkurunzizaAlon
    @NkurunzizaAlon Месяц назад +1

    Hello

  • @Lasiproduction
    @Lasiproduction 3 года назад

    Tutawezaje kujuwa jinsi yakutafuta key ya guitar

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  3 года назад

      Nimekupata vizur .....jaribu kuangalia Session #10 hapo nimeelekeza kwa uzuri kabisa

  • @ndihesyakamwela6878
    @ndihesyakamwela6878 2 года назад

    Unapatikan wap

  • @spiritualboy8512
    @spiritualboy8512 Год назад +1

    Unapatikana wap kaka?

  • @kelvinchilijila6250
    @kelvinchilijila6250 2 года назад

    Nahitaji ujuzi wako

    • @JoachimXbase
      @JoachimXbase  2 года назад

      Chukua for free endelea kufatilia masomo kaka

    • @kelvinchilijila6250
      @kelvinchilijila6250 2 года назад

      @@JoachimXbase thawaaa nitakucheck WhatsApp pia

  • @frankmusician2300
    @frankmusician2300 2 года назад +1

    Kenya nipee numb ya whatsapp

  • @meshackmalaki7718
    @meshackmalaki7718 3 года назад

    Shikamoo brother nilikuwa naomba unielekeze kwenye WhatsApp namba zanguninazotumiani 0657575461

  • @NkurunzizaAlon
    @NkurunzizaAlon Месяц назад +1

    I need my guitar nass