"RAIS SAMIA AMENIRUHUSU -NITAPITA KILA WILAYA" -MAKONDA AWACHANA WANAOMPINGA KUWASIKILIZA WANANCHI..
HTML-код
- Опубликовано: 8 май 2024
- "RAIS SAMIA AMENIRUHUSU -NITAPITA KILA WILAYA" -MAKONDA AWACHANA WANAOMPINGA KUWASIKILIZA WANANCHI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Kama unamkubari Mr Makonda ,jembe,Jiwe,Chuma,kama mimi gonga like twende sawa
Yaan nakubali sana jembe sana kiongozi makini
Ulinzi wa Mungu uwe juu yako brother!!unafanya jambo jema sana na sisi kazi yetu ni kukuombea!
Wewe ni Mwamba Makonda,
Sisi kutoka Kenya,,
We are Salute you ❤
Congratulations 👏 cna Mh. Makonda 🎉 piga kzi Mungu yupo mbele yako .
JEHOVAH MUNGU Mwema Akulinde na Uendelee mbele Muheshimiwa Paul makonda
Mheshimiwa makonda tunakupenda san tunamshkuru mama samia kutuletea arusha mwamba hyu sana
God bless you ❤️🙏
Tunawambieni mkithubutu kumuua makonda au kumpa sumu kama mwemdazake safari tutaonana wabaya !!nchi hii niyasote jalibuni kumdhuru makonda muone!!!tunajua mijizi wapigaji wanaumia !!watu kama hawa nilulu ktk taifa mungu mlinde.
Huyu makonda ana walinzi hatari sana wengi wamevaa kiraia,pamoja na Ulinzi Mkuu wa JEHOVAH MUNGU
Na pia ana ulinzi wa Allah pia tumuombee dua sote kwa pamoja.
MAkondo Mungu akulinde. Wanaomsema. Vibaya. MAkondo ni Wadhulumaji wa Haki za. Wananchi. RAISI. Samia mlinde Makonda Mtetezi. wa. Haki.
Ubarikiwe
Yaan siamin km nimepew haki zangu kupitia huyu baba MUNGU akulinde
Upo vzuri kaka piga kazi
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Makonda oyeeee piga kazi Mwamba. Usikubali kukatixhwa tamaa 🎉
Wakuu wa mikoa mingine wafukuzwe,Abaki RC makonda tu
😂
Hongera sana makonda kazi iendelee
Mheshimiwa rais samia ungepata watu wanaofatilia kero zawatu km makonda nchi ige nyooka tena mheshimiwa rais fuatilia kazi za makonda uone wananchi wako wanavyo teseka yani wanao kuwakilisha huku chini ni shida kisha wanakulisha matago pori
Makuombea sana mwanangu Mungu akulinde na madui
Makonda Mungu akutunze mno chuku maua🎉🎉🎉
Yaan we kijana wewe yawezekana ni nabii toka moja kwamoja kwa mungu sio wakawaida natunakuombea usiku namchana ishi sana mdogo wangu
Hakika unastahili makonda
Mh karibu karatu Yani nakupenda sana
Kwastahili hii vyama pinzan watulie kwanza maana nfo haki wanazozihitaj
Piga kaz mzee makonda anaetaka kuzofisha kaz yako . Milima mabonde na mawe yatapaza sauti
The voice of the voice less !
Wanao elewa sana niwatu walio one wa nakuzulumiwa mungu akukinge mwamba wangu
Hakiamungu mukimua makonda. Tunajuwa kwamba memejipanga. Kumutowa roho. Musisubutu. Wana inchi wote tutavaa gwanda tuingiye vitani
Daaaah kawaaibisha hao maaskari
Jembe tungetakiwa tuzaliwe tumbo moia mimi na wewe unafanya kama rooni mwangu ninavyotaka ingawa sina mamlaka kama yako!!All the best Mdogo wangu,Mungu akutangulie
Mh makonda na sraa wa ok architecture
Safi sana
Naomba hiki kinachofanyika na muheshimiwa Makonda iwe ni kama mfano wa kuendelea kifanyike mikoa yote ya Tanzania na iwe ni zoezi endelevu asante
Nilkua nihame chama ila kwa 7bab ako siham
Mheshimiwa uanze arumeru maana kuna maajabu kabisaaaa barabara zinazotengenezwa huku ni kituko cha mwaka kila mwaka wanamwaga kifusi
Piga kazi makonda, tuko nyuma yako
Magufuli kaacha jembe lakazi kabisa. Kama ange kuwa raisi munge yatimba Tanzania
Makonda wakenya tuko nyuma yako
Mwamba sana huyu jamaa, tumuombee kutafuta haki ya wananchi ni vita kali sana. Mungu amsimamiee huyu mwamba
Chadema hawaitaki Zanzibar halafu chama chao kiko Zanzibar
Wanakasirika kwa sababu wa nataka kuendelea kuwanyonga. wanyonge wasipate haki zao
Ccm oyeee
Makonda tosha
Makonda umejipanga
Kwa hakika makonda ww ni bonge la kiongozi yaani kila mwananchi anatamani awe na kiongozi kama ww
Baada ya Magufuli ni wewe Makonda tuu,
Wa Kenya tunakupenda.
Samia siamlete mwingine kama makonda ?
Huyu angejua ndiyo kero namba moja. Hakuna chawa anayeweza kuwa na faida na yeyote hata yeye mwenyewe. Chawa ni chawa.
My friend,, hata kama yeye ni kero,, sawa,, ila kikubwa watu wametoa ya moyoni na yamesikika
dogo tatizo lako ni dharau kwa wengine, watu wapo kazini unawadhalilisha.
Kazi ni ipi!!! Hiyo ndiyo kaziii
Kama wao wamewadharau wananchi kutokutatua migogoro unatetea nini hapo? Pengne na ww ni wale wale tu. mliofikiwa na Makonda.
jinga wewe tumika vzr tu makonda atawanyosha tu mtanyoka
Ww umewahi dhurumiwa ww au na ww ni mwizi?
Iko hiviii anawadharau wanadharau wanachi kwa hiyo wenye dharau hawana jipya wameshagundulika ndo wale wenye wivu wasiotaka kazi ya Makonda akiwepo wewe hapo
Kuna kero ya umeme hapo madumu makonda fanya mpango ufike
Ccm ndo waliotengeneza hlo tatizo hiyo ni kik za uchaguzi ngoja uchaguzi upite kma utatea watu wezi TU Anza na mawazir waliokula mabilion mkaguzi amethibitisha pia Anza na tanesko
We wasikilize kina lisu wakaguzi hawataki Zanzibar