JIPE MOYO - Frank Mwakapeta (Official Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Suala la kuishiwa nguvu au kukata tamaa katika imani hujaanza wewe. Hata Yesu aliwahi kuishiwa nguvu akatamani aishue pale asiendelee na mpango wa kutyfia msalabani. Na ndiyo maana siku moja alimwomba baba yake kwamba ikiwezekana angemwondolea kikombe (mateso ya msalaba).
    Lakini baadaye alijipa moyo akaendelea na safari ya kuhakikisha anatufia sisi wanadamu hata leo tumekombolewa na kupitia yeye.
    Nakushauri wewe uliyemchagua Yesu na unayetumainia siku moja kwenda mbinguni, kwamba kamwe usikate tamaa. Endelea kumtafuta Mungu. Usikatishwe na wale wanaosema kuokoka ni ushamba, au wale wanaosema kuokoka ni kujisababishia umasikini. Usizimie njiani, hata mimi naendelea kukaza mwendo kumshikilia Yesu katikati ya ujana wangu. Siangalii wasichana wanaleta vishawishi humo njiani, naangalia mbele ili nifike kwa baba.
    Tiwa moyo na wimbo wangu huu wa " JIPE MOYO"

Комментарии • 2