BILA UOGA BIN LADEN AMCHANA KONTAWA, BANDO NA NACHA KUMUIGA STAMINA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

Комментарии • 28

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 2 месяца назад +3

    True mzee hata Mimi naona ivyobivyo

  • @signedfirmware8554
    @signedfirmware8554 2 месяца назад +2

    Slimsal ni level nyingne kabisaaa

  • @kadito-kenya
    @kadito-kenya 2 месяца назад +10

    Kila producer anasikia sounds zake so tuzingatie maamzi yake❤

  • @mooh_silver_tz
    @mooh_silver_tz 2 месяца назад +5

    Hata mimi nachukia sana

  • @donlee9992
    @donlee9992 2 месяца назад +1

    Motoooo

  • @mkatavitv1014
    @mkatavitv1014 2 месяца назад +2

    sio mbefele sema chindo alisema

  • @Yohbad
    @Yohbad 2 месяца назад +1

    Hiyo best Rapper ambeye anaeza mushinda khaligraph anaitwa nani

  • @AugustinMuswabantu
    @AugustinMuswabantu 2 месяца назад +3

    Ayo ni maoni yake yaheshimiwe pia.
    Ila Nacha asound Kama Stamina bhana

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations 2 месяца назад +2

    Kwenye midundo ya hip hip Bin Laden nakukubar sana kaka.

  • @SundayMbatia-hr8qp
    @SundayMbatia-hr8qp 2 месяца назад +3

    Ata yeye beat zake hazina tofaut na beya

  • @StevenPeter-sg7zo
    @StevenPeter-sg7zo 2 месяца назад +3

    Me naona Nacha anasound kama Roma

  • @MetoIgotyou
    @MetoIgotyou 2 месяца назад +3

    Jamaa anazingua kwahyo mtu akiimba punchline nyingi ndo anakua kama stamina mbna kontawa since way back alikua ana flow yake

  • @nanadimpozy7730
    @nanadimpozy7730 2 месяца назад +3

    Producers Bora wa hip-hop wa kipindi chote ni Wamemchokoza bear na T touch, Bin laden Bado ana step za kuwafikia hao

  • @godlikemagawa1951
    @godlikemagawa1951 2 месяца назад

    Hujawah Fanya Ngoma na weusi Kama wote au member wa weusi 😂maana si ushawah fanya Ngoma na Nako ww mzee

  • @nasrikileo
    @nasrikileo 2 месяца назад +1

    Mbona hajamchan stamina kumuiga songa

    • @AugustinMuswabantu
      @AugustinMuswabantu 2 месяца назад

      @@nasrikileo sasa songa na stamina yupi Alianza kujulikana

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 2 месяца назад

    Ukiskia killer anamaliza ngoma NA BIN LADEN ujue chuma nzito

  • @rashidmambo1412
    @rashidmambo1412 2 месяца назад

    Sidhani kama ni hatia msanii kutumia mbinu ya msanii mwengine huenda ikawa huyo ndo mwalimu wake

  • @NextLevel-fg5ph
    @NextLevel-fg5ph 2 месяца назад

    Apo kwa manengo kusound kama stamina nabisha sikubaliani na Hilo manengo anasound kama Young killer broo

  • @scotawizzymrplanb
    @scotawizzymrplanb 2 месяца назад

    Bin laden😂😂😂😂😂😂😂 biti 65

  • @sakoson957
    @sakoson957 2 месяца назад +1

    Ni kweli nacha, bando, kontawa wote ni kina stamina

  • @rashidmambo1412
    @rashidmambo1412 2 месяца назад

    Bin laden amekurupukwa hajajibu kama gentleman

  • @hassanomar1041
    @hassanomar1041 2 месяца назад +4

    Huyu laden anaongea kama soggy doggy ki aina flani hivi

  • @mamalange2277
    @mamalange2277 2 месяца назад

    Nasema kwa nguvu Bin Laden is the best producer in tz.