Wimbo mzuri sana kaka Japheth ❤, Kweli kabisa Mungu yupo nawe, nasi kila wakati...He's Ompresence meaning everywhere 🙏,,,, Tunakupenda sana toka Kenya 🇰🇪....Pita ba like 😉
Amen ,deep song 🙏❤...anyone here who like before listening 😅😅😅😅and after listening you wish you could put many 🤩...I have been ministered unto...thank you 😊
Mungu tunakushukuru kwa Japhet, muinue na asikate tamaa, kipaji chake kisimame kwa Jina la Yesu, Utunzi wake umekuwa wa baraka…tunakupenda japhet na wanazabron wote❤❤❤❤
Hapa nilipo nipo na Mungu 🏅
Ulipo Mungu yupo 🙏🏾🔥🤩 raha sana
@@japhetzabron1881
Obby Japhet I love you guys love your ministry Iam an upcoming artist my praye ni kukutana nanyi 1 of this days 🙌 watumishi😊
Wimbo mzuri sana nabarikiwa huku Oman kwa wimbo huu umenifanya nijiamini nikiwa na mungu hakuna mtu wa kunigusa Amen ❤❤
Kichwa cha somoo Kinasema
HABARI WANAYO STARLING JAPHET ZABRON Naomba like hata 5 jamani mliosoma comment Yanguu
😂😂😂😂🔥🔥🔥🙏🏾🤩
@@japhetzabron1881 ubarikiwe sana Brooh
Aminaaa
Amina MUNGU azidi kukutumia katika kuifanya kazi yake ya kuutanga Ufalme wake.
Hapa nilipo Nipo na Mungu hiyi song inanipea ujasili Mbele ya maadui wangu
Mungu atakushindia brother bwana ndie mwamuzi wayote anakupenda anakupenda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Kweli kabisa hapo nlipo niko na mungu much love from kenya🙏🙏🎉
Wimbo mzuri sana kaka Japheth ❤, Kweli kabisa Mungu yupo nawe, nasi kila wakati...He's Ompresence meaning everywhere 🙏,,,, Tunakupenda sana toka Kenya 🇰🇪....Pita ba like 😉
alikufa.. maybe ni bibi anatumia account au bro wake
@@Christine045 God forbid!!!! Japheth yuko hai,be4 typing think!!!
Mimi wa Mungu hapa nilipo na Mungu kweli kabisa Japhet Mtumishi safi safi sana
Hapa nilipo nipo na Mungu ❤ God bless you man of God 🙏🙏
Adui usiniguse apa nilipo nipo na Mungu,,, Amen
Wimbo mzuri san kak Japheth kweli kabisa mungu yupo nawe pamoja nasi kila wakati ni kusukuru kwa uzima hapa nilipo mungu yupo love song❤❤❤❤
AMEN.MUNGU AKUBARIKI SANA.
Kazi mzuri Japheth, Mungu azidi kukuinua kiwango Cha juu sana
Napenda nyimbo zako mdogo wangu.Wamebarikiwa waliitao jina la Mungu na vita vya ni Mungu huwapigania❤
Nilipo nipo na MUNGU...🙏🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Barikiwa kwa wimbo mzuli 🙏
Habari wanayo kabsa🎉
Hapa nilipo saudia nipo na mungu,,,,,powerful song,,,more anointing japhet,,,from Kenya 🇰🇪 K 🇰🇪 🇰🇪
Wow wow huko uliko Saudi Arabia Mungu asikuache 🙏🏾
@@japhetzabron1881 Amen 🙏 🙌
Amina nipo na mungu hapa Qatar mungu hataniacha Hadi ntakapo Rudi 254 nipo na mungu@@japhetzabron1881
Japo ni ngumu ila mungu Yuko na Mimi
Barikiwa sana Japhet ❤
Amen 4:
❤❤❤❤❤apo umeweza kabisaa keep it up my dear
Nipate nikose ,nipande ni shuke, waamua wewe Bwana, great appreciation ✍️
Nice song❤❤
Mungu akubaliki Japhet akupatie nguvu za kumutumikia
Amen na Mimi wa Mungu Huyu mungu Yuko na Mimi,🙏🙏❤️
Homeboy ,Nakubali
Amen,mungu ako nawe siku zote
Hakika kakangu Mungu ni Kila kitu ❤
Hapa nilipo niko n Mungu🙏🙏🙏
Amina Mungu yupo nawe
Amen love 💕 your songs Nabarikiwa especially na wimbo huu hapa Marekani
Amen
Congratulations brother, we love you and always praying for you❤
Sipo peke angu, nipo na Mungu
Sipo peke yangu , popote niendapo Nipo na Mungu 💪🏾💪🏾💪🏾🙏🙏❤️
Ccvv😢😮
Ccvv😢😮
Ccvv😢😮
Ccvv😢😮
True testimony
Barikiwa Japhet
Wooow amina its a blessing❤❤🎉
Tunaballikiwa sana kupitia nyimbo zako mtumishi wa Mungu❤
Asante sana, Japhet🙏🇷🇼
Barikiwa sana japheti zabron
Never alone, God's always with you, with us
Nipo na Mungu💪
Hapa nilipo nina Mungu
Hakika hapa nilipo nipo na mungu
Wanayo habari
Nipo na mungu
Kaz nzuri kaka
👏👏👏
Amina ,barikiwa🎉🎉🎉
A good song.
Amen God bless you
🔥🔥🔥🔥🔥🙏
Hapa nilipo nipo na bwana WA Bwana
Hakika
💯
Good song, barikiwa kaka
Mtu wa Mungu
Amee
Amen
Niko na MUNGU
Much love🎉
SWAAAFIIIII
Nice song
Wimbo mzuri lakin sauti kama ya marco😢😢
Ndiyo kbs
Good song
Amen ,deep song 🙏❤...anyone here who like before listening 😅😅😅😅and after listening you wish you could put many 🤩...I have been ministered unto...thank you 😊
Amen
Hapa nlipo niko na Mungu 🙏🙏much love from 🇰🇪🇰🇪
I have played the song since yesterday 🎉and I am not yet tired.
.
🎉🎉🎉 Barikiwa sana 🙏😁❤️
My bro Kesho tumwage emo wimbo mwingine tunafarijika sana watu tuko warabuni huku hakuna church wala nyimbo
Wimbo huu nimeutafuta tangu ni uskie toktok umenibariki sana; barikiwa Mtumishi
Sasa huu wimbo umeutambulisha kwa nani before umetoa😭😭😭😭Mwalimu wa zabron singers amka akii uje usaidie ur brother,
Amen
Amazing much love ❤️ from +254
Mbona sauti ya wanayo Abari inavo Anza nikam y Marco,😢
Labda ndiye aliimba kabla ya umauti kumkuta
Hawa walpendana Sana mpaka sauti zao ziliendana, Mungu aendelee kumtia nguvu kaka Japhet
Mungu tunakushukuru kwa Japhet, muinue na asikate tamaa, kipaji chake kisimame kwa Jina la Yesu,
Utunzi wake umekuwa wa baraka…tunakupenda japhet na wanazabron wote❤❤❤❤
Nipo na Mungu 🙏🙏.. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.Watching from 🇸🇦 bt am a 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😢😢😢😢Nipo na mungu na sipo pkee angu
🇰🇪🇰🇪🇰🇪. 🎉Wow...Wimbo wabariki sana kaka.. sipo pekeangu, nipo na Mungu. Maadui wakifikiri watatuweza wanapata Mungu yupo upande wetu. Blessings 🙏🏾🙏🏾
Ameeeeeeen🙏🙏🙏🙏🤲🤲barikiwa sana kaka yangu 😓😓🙏🙏hapa nilipo na MUNGU tu kweli🙏🙏🙌🙌🙌🙌from burundi🙌🙌
Japhet tunakupenda Sana wimbo nzuri kbs natafuta SIM yako japhet mwalimu
zabron56@gamail.com
Au njoo instagram ni inbox huwa najibu sms 🙏🏾
😢❤Sipo pekeangu
Hapa Kenya nilipo nipo na Mungu be blessed guys ooh hallelujah 🙌🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hakika kaka habari wanayo MUNGU akubarki sana mtumishi wa MUNGU
Nipo kwenye kipind kigumu ila huu wimbo umeninua iman zaid ni kweli mm ni wa mungu 😢😢🙏
🕊️❤️Tufikaje hapa Bwana???❤🕊️
Hapa nilipo Niko na Mungu 🙏 Mtumishi Japheth ubarikiwe kwa wimbo mzuri namna hii
Na uwe na Mungu kweli, uache uzinzi funga zipu yako aisee😂😂😂😂Usijikute kidume 🫣🫣
Wimbo mzuri sana...Ujumbe uko nyumbani kabisa ... Asante kwa kibao hiki cha kutubariki
Ni nyimbo nzuri sana, kaka angu @Japhet Zabron Mungu akubariki sana ufanikiwe. Nakuunga mkono sana kaka BIGUP 🙏
This song has blessed me🙏,, kweli nipo na mungu,,,, from Kenya i say may God lift you high brother
Amen,,,, ulikua umefikiri umebaki peke yako ,,,,,Mungu yupo nawe
Amen nice song Japheth barikiwa 🙏🙏
Ujumbe mzuri wa kufariji na kumtukuza MUNGU aliye mbinguni.
Nipo na MUNGU hakika barikiwa mtumishi
Asante sana tumebarikiwa San ma wimbo mungu akubariki
Siko pekee yangu niko na mungu wachawi msjichanganye
Nipo na mungu I love that,a beautiful song is it is
Wimbo mzur hongera endelea kuifany Kaz ya Mungu
Best song ever ❤️💞💞be blessed my brother
Ameeen nabarikiwa sana
Hapa nilipo nipo na mungu kila wakati