Kiukweli inauma sana da Marium kweli nataman kila wakati nipige wimbo wako huu "uzushi haunitii doa" hakika unanifariji na kukumbuka majonzi.... Allah akusamehe popote ulipo na akuepushie na adhabu za kabri
Please could you drop here any of few words about her last moment? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
Pumzika kwa amani da Mariam tulikupenda sana sana watanzania wenzako lakini kazi ya Mungu haina makosa nyimbo zako zote ni faraja kwangu,ndiyo basi tena,presha inawapanda,mti wa riziki upo kwa Mungu na raha ya mapenzi pamoja na paka mapepe.
Please could you drop here any of few words about her last moments? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
Duh uyu mdada alifariki 10.11.2012 naikumbuka siku iyo subhanallah tumepishana theatre muhumbili kwenye uzazi,Allah aifanye kaburi lake miongoni mwa mabustani ya peponi,kufia kwenye uzazi ni kama umekufa kwenye jihad Allah amsameh uyu dada
Please could you drop here any of few words about her last moment? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
Please could you drop here any of few words about her last moments? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
Please could you drop here any of few words about her last moments? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
Please could you drop here any of few words about her last moments? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
❤❤wenqine swahiba zanqu salamu kutwa mara tatu.kumbe ndo wapika majunqu❤❤❤jamn hii dunia hii❤❤❤❤❤❤❤❤
Dunia sio rafiki kwa mwanadamu
Kweli duniani sisi ni wasafiri tu..
+254 tulikupenda sana.. Rest easy Dada Marriam.. Mungu kazi yake naniapinge? Yetu bado machozi tu😥😰😢
Jamani nyimbo amefariki musitoweni tena hizo nyimbo ni mtihani mkubwa huko aliko akhera mungu asamekhe akhera😢😮
Allah akurehem da Mariam 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kiukweli inauma sana da Marium kweli nataman kila wakati nipige wimbo wako huu "uzushi haunitii doa" hakika unanifariji na kukumbuka majonzi.... Allah akusamehe popote ulipo na akuepushie na adhabu za kabri
Wajna wangu,Allah akurehemu❤❤
Anaimba Taratibu ❤❤❤
Five stars modern taarab haijarudi mjini au imekufaa maana kazi ya mwisho ilkuwa muomba mungu hatoki mtupu
Dunia tunapita mungu ailaze loho yako mahal pem pepon🙏🙏🙏
Please could you drop here any of few words about her last moment? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
Pumzika kwa amani da Mariam tulikupenda sana sana watanzania wenzako lakini kazi ya Mungu haina makosa nyimbo zako zote ni faraja kwangu,ndiyo basi tena,presha inawapanda,mti wa riziki upo kwa Mungu na raha ya mapenzi pamoja na paka mapepe.
Wewe pacha wangu kwa nyimbo za Mariam, napenda nyimbo zake sana, love from Kenya, halaf kuna ule wimbo wa lawama ❤😢
Pamoja sana@@tatianatataa1489
Humble Mariam...Allah Akuswameh Wallahi
Mungu akupe kauli thabit akupe pepo ya daraja la juu
Daa safari ya wote!!! Tulikupenda dada mariam sisitupo nyuma yako.
Maryam nilikupenda sana uimbaji wako slow but unajua haswa kuimba rest easy maryam
Allah amsameh makosayake makubwa na madogo 😢
Please could you drop here any of few words about her last moments? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
Allah amrehem mwanadada uyo Allah aieke roho yake pema pepon Yaarabilaallahmin
Dada mwenye kipaji cha kuimba,R.I.P
R,I,P, MARIYAM khamis Allah akupe jana naakusamehe makosa yako na cc atupehatima njemaa😭😭🙏🙏🤲🤲 2022/10/24 Allah 😭😭😭😭
Allha amjaliye Kila la kheri katika kaburi lake inshaallha mungu amuondolee vitisho inshaallah
@@SaudaMnodwa in shaa Allah😢😢💔
Amen
Hiyo ndio tarehe alokufa kwani😭😥😔
Duh uyu mdada alifariki 10.11.2012 naikumbuka siku iyo subhanallah tumepishana theatre muhumbili kwenye uzazi,Allah aifanye kaburi lake miongoni mwa mabustani ya peponi,kufia kwenye uzazi ni kama umekufa kwenye jihad Allah amsameh uyu dada
Daaaa!!!!dada inauma sana udongo unatumaliza, pumzika kwa amani dada.
Mbele yako mpezi daah
Mungu akupumzishe kwa amani❤ 4:05
Please could you drop here any of few words about her last moment? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
Dada.mtaratibu mwenyewe jamani.basi inauma.safari ya wote sisi tupo nyuma yako, kila nafsi itaonja umauti.
Mamu we still miss you 😥😥
Kibao safi hadi wa leo
Allah akupunguzia adhabu
Alla akufanyie wepes ktk safar yko
R..I..P...MUM Pumzika kwa Amani ,,🙏
Pumzika kwa amani Da Mariamu
Allah akusamehe mazadhambi yako inshaAllah aamiyn
Am from uganda I like the tarab music
Allah akupe kauli thabit
Allah akusamehe madhambi yako huko uliko
Please could you drop here any of few words about her last moments? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
R-I-P mariam khamis 😭😭😭😭💞💞💞💞💞💞💞
Udada yuwapataajali niko tanga namkumbuka sana mungu amrehemu😭😭😭😭😭😭😭😭
Huyu hakupata ajali,alifariki mambo ya uzazi,nadhan 2021 mwezi wa kumi na mbili bila shaka
Please could you drop here any of few words about her last moments? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
Innlilah wainalilah rajiun
Aaaaa
😮❤wzuei
Eeeeeerre❤
Mungu.amrehem.nisafar.yawot
Dah pumzika kwa amani
Dunia hii mungu tu mjuzi,.
Kweli marafiki ndo wanafiki
RIP MARIAMU
Alikua mpooole mwenyew daah😢
Please could you drop here any of few words about her last moments? I have been admiring her music since 2020 but its now am getting to know she passed away! Shocking 😔
Mtihani kifo jamani
Nakubalia santaaa 😍😍😍
10/1/2024 twakukumbuka bi mariam
Pumzika kwA amani
Inalilah wain Lilah rajiun Allah akuondolee adhab z Kabul 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mi shabiki wako hata umetangulia mbele haki
Punzik kwa amani
Marioo
R.I.P MAMU HAMISI
Inalilah wainnaillah
😭😭 R.l.p.
2024 January 3 tu,niko huku Pumzika dada
Huu wimbo sikuwahi kuuochoka
❤
😭😭😭
11:49
❤❤❤❤ 🙏 RIP
😭🥰
Pumzika kwa aman😰😰🙏
😭😭😭😭😭👏👏👏👏
Bass haya
Dunia tunapita, napenda kusikiliza huu wimbo Aliimba vizuri sana, nitakukumbuka daima Kwa huu wimbo, Inallilah wahinalilah Rahajun
Rlp
maliam
Bass haya
Allah amsamehe madhambi yake
Mengi yamesemwa ila kutoka kwangu nasema amina
Kweli dunia tunapita