Enyi wasomi wa Tanzania siaminini akili fikra zenu, na mkifanya hivyo maendeleo yanajitokeza. Kwa ufupi " juu ya elimu bora Kuna imani, na juu ya imani kuna maendeleo, pia kwenye elimu isiyo bora Kuna kasumba, na juu ya kasumba Kuna umaskini" yashikeni haya mtafakari na mchukue hatua mbele yenu kutakuwa na maendeleo au umasikini.
Benny Misheto kitaalamu n g'ombe jike haruhusiwi kusogea eneo ilo na hapo kituoni hakuna ng'ombe jike hata mmoja na hao madume wako mbali sana na makazi ya watu na wamezungushiwa uzio ili wasije sikia harufu ya jike wakatoroka
Mwanamke huyu anaeleza Kwa ujasiri unapofanya kitendo😂🤣😂😂halafu wanaume wanapenda mada hii
Fungueni maabara Kila wilaya muuze mbegu hizo Ili zitufikie watu wengi lakini Kwa mfumo huo mnajitengenezea wenyew izo mbegu
Dada kajitahidi ati wabunge semaa sema tu dada alipotaka kukwepesha maneno. Ahsanteni kwa somo zuri.
ahahaha ushoga wa ng'ombe huo hata mungu hapendi
waongo 😄😄 wanaona wakiweka majike watakosea kukinga mbegu alaf dume atajilia uroda...
Good job
Kwahiyo mnawafundisha Na wanyama ushoga Mara paa siku mjikute huyo Dume amepata mimba.
Duh😁😁
Hakika nimefurahi sana kwa somo hili , Iringa huduma hii tunapataje?
Wawe wasafi
Sio libido sema nyege acha kuficha ficha
Nyumbani 👍
Hizo mbegu mbona mikoani wanauza gali sana kuanzia 25000 na kuendelea.
Ati bao hahaha
Haaa huyo mbunge eti bao
Enyi wasomi wa Tanzania siaminini akili fikra zenu, na mkifanya hivyo maendeleo yanajitokeza. Kwa ufupi " juu ya elimu bora Kuna imani, na juu ya imani kuna maendeleo, pia kwenye elimu isiyo bora Kuna kasumba, na juu ya kasumba Kuna umaskini" yashikeni haya mtafakari na mchukue hatua mbele yenu kutakuwa na maendeleo au umasikini.
sijpgaaa mpka kwa ng'ombe
Heeeee! Wanamtumia dume kama jike😓 huu ni ushoga
Benny Misheto kitaalamu n g'ombe jike haruhusiwi kusogea eneo ilo na hapo kituoni hakuna ng'ombe jike hata mmoja na hao madume wako mbali sana na makazi ya watu na wamezungushiwa uzio ili wasije sikia harufu ya jike wakatoroka
Hahahahaha
Kwani uyo dume anaingikiwa au
kwanini wasinge muweka jike ndo awe anatolea mbegu
kitaalamu ng'ombe jike hatakiwi kabisa eneo hilo
@@sarahpolite6343 duh
dume kwa dume nn
Hapo kwenye libido najuwa nimekuelewa mimi tuu
plate six ni nini hiyo
Libido ni Hali ya mnyama kuwa na hamu ya kufanya mpenzi
😂😂😂
Stop cluck baiting Millard. Unazingua
Hapo ni kukopi na kupesti, unapopenda maendeleo yao upende na tamaduni zao, ushoga huo, tena ndani ya taasisi za kiserikali.