DAAH! NG'OMBE WA AJABU AWASHANGAZA WABUNGE, WAANGUA VICHEKO WAKIMTAZAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 мар 2019

Комментарии • 31

  • @injili90
    @injili90 5 лет назад +1

    Mwanamke huyu anaeleza Kwa ujasiri unapofanya kitendo😂🤣😂😂halafu wanaume wanapenda mada hii

  • @DaudLucian-ld6tq
    @DaudLucian-ld6tq 4 месяца назад

    Fungueni maabara Kila wilaya muuze mbegu hizo Ili zitufikie watu wengi lakini Kwa mfumo huo mnajitengenezea wenyew izo mbegu

  • @marygaspary199
    @marygaspary199 5 лет назад

    Dada kajitahidi ati wabunge semaa sema tu dada alipotaka kukwepesha maneno. Ahsanteni kwa somo zuri.

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 5 лет назад +1

    ahahaha ushoga wa ng'ombe huo hata mungu hapendi

  • @barakamgimwa5273
    @barakamgimwa5273 5 лет назад

    waongo 😄😄 wanaona wakiweka majike watakosea kukinga mbegu alaf dume atajilia uroda...

  • @LindaniBajuta-ph7zg
    @LindaniBajuta-ph7zg Год назад

    Good job

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 года назад

    Kwahiyo mnawafundisha Na wanyama ushoga Mara paa siku mjikute huyo Dume amepata mimba.

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest225 4 года назад +1

    Duh😁😁

  • @oswardnshoki1418
    @oswardnshoki1418 5 лет назад

    Hakika nimefurahi sana kwa somo hili , Iringa huduma hii tunapataje?

  • @mkonlinetv2089
    @mkonlinetv2089 5 лет назад +1

    Wawe wasafi

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 лет назад

    Sio libido sema nyege acha kuficha ficha

  • @raheemamkambha6013
    @raheemamkambha6013 5 лет назад

    Nyumbani 👍

  • @jacksonswai1089
    @jacksonswai1089 4 года назад

    Hizo mbegu mbona mikoani wanauza gali sana kuanzia 25000 na kuendelea.

  • @nasraharuna8500
    @nasraharuna8500 2 года назад

    Ati bao hahaha

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 лет назад

    Haaa huyo mbunge eti bao

  • @nehemiahbudi5753
    @nehemiahbudi5753 5 лет назад

    Enyi wasomi wa Tanzania siaminini akili fikra zenu, na mkifanya hivyo maendeleo yanajitokeza. Kwa ufupi " juu ya elimu bora Kuna imani, na juu ya imani kuna maendeleo, pia kwenye elimu isiyo bora Kuna kasumba, na juu ya kasumba Kuna umaskini" yashikeni haya mtafakari na mchukue hatua mbele yenu kutakuwa na maendeleo au umasikini.

  • @rubbymassawe788
    @rubbymassawe788 5 лет назад

    sijpgaaa mpka kwa ng'ombe

  • @bennymisheto1655
    @bennymisheto1655 5 лет назад +1

    Heeeee! Wanamtumia dume kama jike😓 huu ni ushoga

    • @sarahpolite6343
      @sarahpolite6343 5 лет назад

      Benny Misheto kitaalamu n g'ombe jike haruhusiwi kusogea eneo ilo na hapo kituoni hakuna ng'ombe jike hata mmoja na hao madume wako mbali sana na makazi ya watu na wamezungushiwa uzio ili wasije sikia harufu ya jike wakatoroka

    • @tuphujekumuhkunonyiile3739
      @tuphujekumuhkunonyiile3739 5 лет назад

      Hahahahaha

  • @tuphujekumuhkunonyiile3739
    @tuphujekumuhkunonyiile3739 5 лет назад

    Kwani uyo dume anaingikiwa au

  • @danielulomi8994
    @danielulomi8994 5 лет назад

    kwanini wasinge muweka jike ndo awe anatolea mbegu

  • @yohanamuumbe4628
    @yohanamuumbe4628 5 лет назад

    dume kwa dume nn

  • @lazaronkanga2085
    @lazaronkanga2085 5 лет назад

    Hapo kwenye libido najuwa nimekuelewa mimi tuu

  • @fatmahchambo3131
    @fatmahchambo3131 5 лет назад

    😂😂😂

  • @dariustebby
    @dariustebby 5 лет назад

    Stop cluck baiting Millard. Unazingua

  • @nehemiahbudi5753
    @nehemiahbudi5753 5 лет назад

    Hapo ni kukopi na kupesti, unapopenda maendeleo yao upende na tamaduni zao, ushoga huo, tena ndani ya taasisi za kiserikali.