Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

DEGE KUBWA LA JESHI LA MAREKANI🇺🇲 LIKIRUKA DODOMA AIRPORT AUGUST.31.2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 авг 2024

Комментарии • 72

  • @deoyessaya8689
    @deoyessaya8689 Год назад +11

    Kuna nchi za kukosea sio kwa technology ya marekani waseme vizur kunanini wamekuja kuchukua

  • @aryazanzibar
    @aryazanzibar Год назад +2

    Jamanieh.. Hi inchi ni yetu sote na wala sio ya kikundi fulani cha watu. Wasitokee watu wakajifanya hii nchi ni yao peke yao. Kila Mtanzania ana haki ya kujua kinachoendelea nchini mwake. Nchi inapoingia mikataba na wawekezaji tuambiwe, ndege kama hiyo imekuja nchini tuambiwe. Nina uhakika kuwa haijaja burebure tu au kwa matembezi. Lazima kuna kitu.

  • @Ambagaye
    @Ambagaye 15 дней назад

    Lilileta vifaa vya ujenzi wa jengo la ubalozi wa Marekani Dodoma

  • @TonnyCaesar
    @TonnyCaesar Год назад +3

    Kabla hawajamuua hivi vitu vilikua haviji huku, RIP dad

  • @robinhomesuza8906
    @robinhomesuza8906 Год назад +5

    Wamekuja kumuona mandonga mtu kazi

  • @abedmakoro5904
    @abedmakoro5904 Год назад

    The C17 global master🔥🔥

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Год назад +5

    Hamjiulizi limekuja kufanya nn?

  • @josephambrose2215
    @josephambrose2215 Год назад +1

    Viongozi wa nchi hii wa ajabu sana🇹🇿🙏🙏🤔

  • @rene772
    @rene772 Год назад +4

    Jaman jaman hii imekuja kufanya nini???
    Embu tujuzane kiundani zaidi
    ????????

  • @jumannendayigeze2899
    @jumannendayigeze2899 Год назад +1

    ,Haiwezekani dege hilo likaja kutembea tu lazima liondoke na mzigo wa maana

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Год назад +1

    Kila wanapokuwepo hawakuachi salama hawa hatutaki waweke base kwetu ni washenzy sana na ukiwakaribisha tu hawatoki tena

  • @makayladayne5407
    @makayladayne5407 Год назад +2

    My friends are in there

  • @nimbetebwangabwa8521
    @nimbetebwangabwa8521 Год назад +1

    Imekuja kusafsha uwanja,vumbi jingi,

  • @wahidaali7730
    @wahidaali7730 Год назад

    Watuambie ukweli kuna nn kimeji ficha nyuma ya hili sio kawaida mareni mara wameanza na yule mwana mke leo hii tunaona ndege yamarekani hem tuambieni kuna nn nyuma yapazia nyinyi

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 8 месяцев назад

    Tumeshaibiwa

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 Год назад +2

    Limekuja kuchukua madini na kuleta silaha au kuja kuwafira viongozi wa ccm hamna jengine nchi ishawashinda

  • @huseninchasi
    @huseninchasi Год назад

    Kuna madini ya uraniam Dodoma labda wanayataka kwa sababu Tanzania hatuna teknolojia ya kuyachukua

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 3 месяца назад

    Swali ni mmoja tu!! Hii ndege kubwa namna hii la marekani, limekuja kufanya nini? Limekuja kuchukua nini? Maana najua ndege kubwa hiyo, haiwezi kuja kutoka US hadi huku Tanzania bure.

  • @NgasaMabula
    @NgasaMabula 4 месяца назад

    Viongozi mnatakiwa mtuambie hii ndege imekuja kufanyaje Tanzania nasi kusema ety ndege hii ni kubwa

  • @mabruqjumamponda7629
    @mabruqjumamponda7629 Год назад +4

    Tusha porwa jamani

  • @williamjames8190
    @williamjames8190 Год назад +1

    Iyo chuma ikitoka apo ni direct ad USA co

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Год назад

    Kuuzwa sikunyingi mbona wala halina shida at mwendazake hakuwahi gusa mgodi wa mwadui je tulijiuliza Hilo Leo tunashangaa ndege sio maajabu

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 Год назад +3

    Jwtz inatakiwa iseme hao jamaa wamekuja kufanya nn, Tanzania 🇹🇿 hatutaki military base hapa 🤔

    • @hermanmassawe1907
      @hermanmassawe1907 Год назад

      Kweli imepotea! Kwani hawajui limefikaje au mpaka wakuulize uwape ruksa!

  • @khalidkulanga7007
    @khalidkulanga7007 Год назад +2

    Ilikuja kusalimia tu

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 Год назад +1

    Tumeuzwa

    • @hujacharles2223
      @hujacharles2223 Год назад

      Ila ni kweli nimeona picha y mama Samia pale pembeni y uwanja

  • @alextongori8329
    @alextongori8329 Год назад

    Sasa ni kuw ilikuj kufanya nn maan ndege haiwez ruka marekani mpkaa tz bila kuwa na mchongo wa maan

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Год назад +2

    J p m

  • @wangweemmanuel9048
    @wangweemmanuel9048 Год назад

    Kitu C17

  • @hermanmassawe1907
    @hermanmassawe1907 Год назад +1

    Eti limekuja kufanya nini!

  • @kibabumwalabu8706
    @kibabumwalabu8706 Год назад

    Chakuangalia mivumbi inayotimka iyo aibu tupu mengine ayatuhusu

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Год назад

    Hawa jamaa wamekuja kufanya nini hawaendi sehemu bila faida mbwa hawa

  • @qasammamachinya4448
    @qasammamachinya4448 Год назад

    Wanahamisha mizgo Yao,wasije? Tena

  • @emanuelmsigwa1927
    @emanuelmsigwa1927 Год назад

    Asante baba wa Dunia kuja tz .lla tusaidie kumrejesha jpm aliye chukuliwa kwa miujiza ya free mason

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Год назад

    Hili huliwezi ezua bati kweli angalia mipua yake

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 Год назад +2

    Jengeni uwanja acheni siasa.
    Aibu tupu uwanja unafuka vumbi

  • @dancun217
    @dancun217 Год назад +1

    Chuma kama cha vita

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Год назад +1

    WAUZA NCHI, WAMESHATUUZA

  • @steventeophil7775
    @steventeophil7775 Год назад

    Dhahabu zishaenda ivo

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 Год назад

    Hapo ndo utajua huwa tuna ndege au Bajaj😏

  • @habibnjowele7751
    @habibnjowele7751 Год назад

    Inaitwa C17 global master/

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 Год назад

    Hatar na nusu

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 4 месяца назад

    Imekuja kuchukua Nini?

  • @swaibusukigwa7867
    @swaibusukigwa7867 Год назад

    Hapo wajuba tumeunzwa

  • @salcle9702
    @salcle9702 Год назад

    Tutabakia kusema tushaliwa ukiona haramu tegesha msumari.ukipata chansi ya kula na wewe kula vizuri usione huruma

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Год назад +1

    Ilitua kuleta nini

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад

    Acheni uongo imeleta nini sasa Condoms au Covid-19

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Год назад

    Mbona ilitumia nusu runway

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад

    imeleta nini?

  • @wahidaali7730
    @wahidaali7730 Год назад

    Nyinyi muna furahia tuu kuona ndege kutoka marekani tatizo linakuja kama huyu mama ataendelea kuongoza taifa sijui tuta fanya nn ss

  • @emanuelmsigwa1927
    @emanuelmsigwa1927 Год назад

    Asante baba wa Dunia kuja tz .lla tusaidie kumrejesha jpm aliye chukuliwa kwa miujiza ya free mason