FAIDA ZA KIAFYA ZA KUJICHANGANYA NA WENGINE
HTML-код
- Опубликовано: 19 май 2020
- FAIDA ZA KUJICHANGANYA :
Kwa wale ambao tayari wametambua faida za kujichanganya na wengine kwenye jamii wamepata faida kubwa sana kwa tabia yao hiyo, na wengine wamepata madhara kwa tabia za kupenda kujitenga peke yao. Sasa leo hii nataka nikuletee faida za kiafya za kujichanganya na wengine kwenye jamii mbali na zile faida za kawaida tu waweza zifikiria mara moja kama kuongeza ujuzi zaidi au kuongeza marafiki lakini zipo faida nyingi tu za kiafya ambazo leo hii nataka tuzifahamu kwa undani. Faida za kujichanganya na wengine:
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Faida #Kujichanganya #SPN
Ningependa nijifunze kitu toka kwako pia. Nipe faida nyingine ambazo wewe umezithibitisha kwa tabia ya kupenda kujichanganya au changamoto yoyote kama ipo. Asante.
Kiupande wngu napata kitu kikubwa sana ninapo kuwa kwanye mchanganyiko wa jamiii coz Huwa napata vtu vipya kila cku broo
Ni kweli kabisa. Kama unapenda kujichanganya gonga like.
Hahahahahaaaaaa...... Hii nimeipenda sana ya Mchina kutema kisukuma ... Ng'wangaluka Bhabha....
Hakika my brother Ezden Mm napenda sana kujichanganya na watu tena hujipata mwenye furaha muda wote kizuri zaidi napata kujuwa Mambo mapya ambayo nilikuwa siyatambui kabisa. Hili Somo la leo lina Ukweli asilimia Mia moja. RAMADHAN MUBARAK 🙏
Shukran,kwa somo
Mm sina tabia ya kujichanganya kupitia somo hili nitajitahid kujichanganya inshaaAllah.
Allah akulipe khel kaka Ezden Jumanne inshaaAllah.
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Daahhh tupo wengi ambao hatupendi kujichanganya I'm sure tutajirebisha baada ya kuipata hii
Kuna mda napenda kujichanganya lkn mda mwngn spendi kwasababu ya mazingira na watu tabia zao zilivyochafu ...lkn pia wazaz wetu wanapenda sisi tukaendan tuu
Very true bro, Mimi binafsi nimeona faida nyingi sana ukiwa muwazi kwa rafiki yako ama mtu aliekaribu na wewe, ukiwa una jambo linakusumbua ama dhiki fulani,kuliko kulinyamazia ndani ya nafsi yako unajisababishia depression bila ya kujifahamu,ndio pale walipo sema,a problem shared is a problem solved,so tusipende kujitenga na watu ili tuwe na maisha mazuri,thanks alot bro for this lesson
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
You always making my day brighter... Allah akupe kila ukitakacho❤️❤️❤️
Much thanks brother for good inspired us always May Almighty Allah Guide you always keep you safe always
Nakubali sana kaka very very good intellectual intelligent man
Asante sana kaka Mimi huwa sijichanganyi na watu kabisa ingawa napenda ila sijui ni nini kinanizuia kupitia somo hili nitajitahidi
Faida nyingine ni kwamba unajiamini zaid katika kufanya maamuzi , pia utafanikiwa zaidi katika ufanyalo kwa kuwa wanasema ukitaka kwenda haraka nenda peke yako lakin ukitaka fika mbali zaid nenda na mwenzako means unachangamana kupata ideas mbalimbali
That's true
Asante Kaka umenifungulia Dunia nyingine
Asante sana August ryann kwa kufuatilia. Pamoja!
Asan kaushauli wako ntazidi kukufatilia nizidi kujifunza🙂napenda sana mafundisho yako👍
Changamoto 1, unaposhirikisha watu mipango yako wengine ndo huwa maaadui wako wa kukwamisha mafanikio.2.ukichangamana na watu wasio sahihi waweza kushauriwa upuuzi na kujikuta huendelei kwa wakat
Nice sharing 👍🏾
Loniness and Quietness produces smartness and best thinkers, like e.g Einstein, Dangote e.t.c
Kweli kabisa nikifundisha watu sisahau kiwepesi bro.
Naam endelea kufundisha wengine...
Kweli kabisa kila kitu kihitaji kushea lakini nilazima ujitahari na namna ya kujichanganya utafute mchanganyiko mzuri maaana mchanganyiko unashea kila kitu kwahiyo lazima uwe makini
Ubarikiwe sana kaka point zako ni za kweli
Mimi faida niliyoipata kutoka kwa watu ni kujuwa wakati mgumu zaidi wanaopitia zaidi yang. Unapokuwa mwenyewe waweza jihisi una changamoto nyingi kuliko watu wengine lkn unapo jichanganya na kujuwa changamoto za watu wengine hapo ndipo unaweza ona kuwa ww ni bora kuliko watu wengine 😇😇
Nimekuelewa sana ubarikiwe bro
elim nzuri bro
Somethiñg potential at right time i was thinkíng about.
Kaka ezden jumanne nimejifunza nikika na watu najifunza mambo mengi
sahihi...
Mimi huwa najikuta nikiongeza ubunifu zaidi(creative)kupitia watu mbali mbali ambao na jichanganya nao maana kila mtu huwa king idea kwangu
Asante sana Mziwanda Basketball kwa kufuatilia. Pamoja!
thanks bro 1st motivational speaker in tanzania same like joel nanauka
Asante sana Abdul Madiba kwa kufuatilia. Pamoja!
I Have experience this, nakubali kabisa
Yup bro there's a lot of people
Mkuu mim napenda kujichanganya na watu ambao wanabishana atakama sikweli lakini lakini point zipo napenda sana mijadala ya kubishana kimtazamo
FpF TV learn more 🤣🤣🤣🤣🤣
Absolutely true talk , may Allah help us all .
Kaka nimepata kitu, nashukuru sana your than a teacher
It keep happiness........good work bro.....the subject is splend
Huwa nacheka Sana..... and hata ikitokea mtu akaniboa huwa hasira haikai for long in me
Lkn pia unaelimika na kujifunza vitu vingi na unasahau km una mawazo...
Good
Be blessed
Asantee sn broo
Asante sana kaka...
A.lekum kaka mm naitwa omar mohd kaka mm ninashida ya namba zako na cm kunavitu nataka kuuliza kwaiyo nadhani kwa kupitia community hatutafahamiana
Faida ninayopata ni kuwa stress free
Kurefresh
Kuongeza maarifa na mtandao wa marafkki
Asante sana Fadhili Kirundwa kwa kufuatilia. Pamoja!
Uko vzr j
Kazi nzuri.
Asante sana kwa kufuatilia kaka. Pamoja
Mi kujichanganya huwa sipendi sanaaa
Nitajirekebisha,means nitajichanganya na watu.
Kutopenda kujichanganya nako ni tatizo la kiafya
ukweli ulio tukuka brother
Asante sana Greatest Daniel kwa kufuatilia. Pamoja!
Good content brother thanks
Asante sana Khamiss Mwakyembe kwa kufuatilia. Pamoja!
Shukulni
Sikumoha tafiti kuhisu watu wanao penda kununa yani kosa kidogotu kununa kwa wiki mbili kawaida tu na watu wa mihasira ya ajabu
Kweli Mimi siko social
Hiyo kitu nimeshindwa kabisa kukaa na watu
🤣☺️☺️😂😂
Mmojawapo mm tangu utoto wangu mpaka nazeeka sasa
unaweza anza upya
Broo
Barkiwa sanaa
Ndo maana lockdown inatushinda
Kaka nilikucheki wsp hujanijibu hadi leo hii
Nitumie text ya kawaida sasa hivi...
Hata mm kk hajanijibu text
Kirakitu uraya wame tafiti Tanzania hatunatafiti
Too Long Videos
Mr
Why?
Make just short one.
Nitalifanyia kazi hili.
@@successpathnetwork were together