FAIDA ZA KIAFYA ZA KUJICHANGANYA NA WENGINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 май 2020
  • FAIDA ZA KUJICHANGANYA :
    Kwa wale ambao tayari wametambua faida za kujichanganya na wengine kwenye jamii wamepata faida kubwa sana kwa tabia yao hiyo, na wengine wamepata madhara kwa tabia za kupenda kujitenga peke yao. Sasa leo hii nataka nikuletee faida za kiafya za kujichanganya na wengine kwenye jamii mbali na zile faida za kawaida tu waweza zifikiria mara moja kama kuongeza ujuzi zaidi au kuongeza marafiki lakini zipo faida nyingi tu za kiafya ambazo leo hii nataka tuzifahamu kwa undani. Faida za kujichanganya na wengine:
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #Faida #Kujichanganya #SPN

Комментарии • 80

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  4 года назад +17

    Ningependa nijifunze kitu toka kwako pia. Nipe faida nyingine ambazo wewe umezithibitisha kwa tabia ya kupenda kujichanganya au changamoto yoyote kama ipo. Asante.

    • @gmontaclassic5307
      @gmontaclassic5307 4 года назад

      Kiupande wngu napata kitu kikubwa sana ninapo kuwa kwanye mchanganyiko wa jamiii coz Huwa napata vtu vipya kila cku broo

  • @harisonlugusi
    @harisonlugusi 4 года назад +6

    Ni kweli kabisa. Kama unapenda kujichanganya gonga like.

  • @elishamgasa2343
    @elishamgasa2343 4 года назад +5

    Hahahahahaaaaaa...... Hii nimeipenda sana ya Mchina kutema kisukuma ... Ng'wangaluka Bhabha....

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад +3

    Hakika my brother Ezden Mm napenda sana kujichanganya na watu tena hujipata mwenye furaha muda wote kizuri zaidi napata kujuwa Mambo mapya ambayo nilikuwa siyatambui kabisa. Hili Somo la leo lina Ukweli asilimia Mia moja. RAMADHAN MUBARAK 🙏

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 4 года назад +4

    Shukran,kwa somo
    Mm sina tabia ya kujichanganya kupitia somo hili nitajitahid kujichanganya inshaaAllah.
    Allah akulipe khel kaka Ezden Jumanne inshaaAllah.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  4 года назад

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

    • @kondoayetu5503
      @kondoayetu5503 4 года назад

      Daahhh tupo wengi ambao hatupendi kujichanganya I'm sure tutajirebisha baada ya kuipata hii

  • @lujjibondo3182
    @lujjibondo3182 3 года назад +2

    Kuna mda napenda kujichanganya lkn mda mwngn spendi kwasababu ya mazingira na watu tabia zao zilivyochafu ...lkn pia wazaz wetu wanapenda sisi tukaendan tuu

  • @mummysu4772
    @mummysu4772 4 года назад +2

    Very true bro, Mimi binafsi nimeona faida nyingi sana ukiwa muwazi kwa rafiki yako ama mtu aliekaribu na wewe, ukiwa una jambo linakusumbua ama dhiki fulani,kuliko kulinyamazia ndani ya nafsi yako unajisababishia depression bila ya kujifahamu,ndio pale walipo sema,a problem shared is a problem solved,so tusipende kujitenga na watu ili tuwe na maisha mazuri,thanks alot bro for this lesson

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  4 года назад +1

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 2 года назад

    You always making my day brighter... Allah akupe kila ukitakacho❤️❤️❤️

  • @flavianayusuph1309
    @flavianayusuph1309 3 года назад +1

    Much thanks brother for good inspired us always May Almighty Allah Guide you always keep you safe always

  • @emtv9675
    @emtv9675 4 года назад

    Nakubali sana kaka very very good intellectual intelligent man

  • @zenahcharles7640
    @zenahcharles7640 4 года назад

    Asante sana kaka Mimi huwa sijichanganyi na watu kabisa ingawa napenda ila sijui ni nini kinanizuia kupitia somo hili nitajitahidi

  • @danielsimfukwe305
    @danielsimfukwe305 4 года назад +4

    Faida nyingine ni kwamba unajiamini zaid katika kufanya maamuzi , pia utafanikiwa zaidi katika ufanyalo kwa kuwa wanasema ukitaka kwenda haraka nenda peke yako lakin ukitaka fika mbali zaid nenda na mwenzako means unachangamana kupata ideas mbalimbali

  • @augustryann365
    @augustryann365 4 года назад +3

    Asante Kaka umenifungulia Dunia nyingine

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma6333 4 года назад

    Asan kaushauli wako ntazidi kukufatilia nizidi kujifunza🙂napenda sana mafundisho yako👍

  • @danielsimfukwe305
    @danielsimfukwe305 4 года назад +2

    Changamoto 1, unaposhirikisha watu mipango yako wengine ndo huwa maaadui wako wa kukwamisha mafanikio.2.ukichangamana na watu wasio sahihi waweza kushauriwa upuuzi na kujikuta huendelei kwa wakat

  • @luckmanhussein4428
    @luckmanhussein4428 4 года назад +2

    Nice sharing 👍🏾

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op 3 года назад

    Loniness and Quietness produces smartness and best thinkers, like e.g Einstein, Dangote e.t.c

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 Год назад +1

    Kweli kabisa nikifundisha watu sisahau kiwepesi bro.

  • @khadijakhamis5604
    @khadijakhamis5604 3 года назад

    Kweli kabisa kila kitu kihitaji kushea lakini nilazima ujitahari na namna ya kujichanganya utafute mchanganyiko mzuri maaana mchanganyiko unashea kila kitu kwahiyo lazima uwe makini

  • @maricelajohn4241
    @maricelajohn4241 4 года назад +1

    Ubarikiwe sana kaka point zako ni za kweli

  • @fatmadevd8072
    @fatmadevd8072 Год назад

    Mimi faida niliyoipata kutoka kwa watu ni kujuwa wakati mgumu zaidi wanaopitia zaidi yang. Unapokuwa mwenyewe waweza jihisi una changamoto nyingi kuliko watu wengine lkn unapo jichanganya na kujuwa changamoto za watu wengine hapo ndipo unaweza ona kuwa ww ni bora kuliko watu wengine 😇😇

  • @Msomiandrew
    @Msomiandrew 4 года назад +2

    Nimekuelewa sana ubarikiwe bro

  • @elfinlwimbo3908
    @elfinlwimbo3908 3 года назад

    elim nzuri bro

  • @simulizizakiswahili
    @simulizizakiswahili 4 года назад +2

    Somethiñg potential at right time i was thinkíng about.

  • @thania822
    @thania822 Год назад +1

    Kaka ezden jumanne nimejifunza nikika na watu najifunza mambo mengi

  • @mziwandabasketball4695
    @mziwandabasketball4695 4 года назад +3

    Mimi huwa najikuta nikiongeza ubunifu zaidi(creative)kupitia watu mbali mbali ambao na jichanganya nao maana kila mtu huwa king idea kwangu

  • @abdulmadiba7657
    @abdulmadiba7657 4 года назад +1

    thanks bro 1st motivational speaker in tanzania same like joel nanauka

  • @calvinmacha4921
    @calvinmacha4921 4 года назад

    I Have experience this, nakubali kabisa

  • @jonasbonne9372
    @jonasbonne9372 4 года назад +1

    Yup bro there's a lot of people

  • @mbirionline4916
    @mbirionline4916 4 года назад +3

    Mkuu mim napenda kujichanganya na watu ambao wanabishana atakama sikweli lakini lakini point zipo napenda sana mijadala ya kubishana kimtazamo

    • @sabrinasbrn561
      @sabrinasbrn561 4 года назад

      FpF TV learn more 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rahmahussein6579
    @rahmahussein6579 4 года назад

    Absolutely true talk , may Allah help us all .

  • @mwalimutesha9647
    @mwalimutesha9647 4 года назад

    Kaka nimepata kitu, nashukuru sana your than a teacher

  • @tanm2122
    @tanm2122 4 года назад +1

    It keep happiness........good work bro.....the subject is splend

    • @tanm2122
      @tanm2122 4 года назад

      Huwa nacheka Sana..... and hata ikitokea mtu akaniboa huwa hasira haikai for long in me

  • @lujjibondo3182
    @lujjibondo3182 3 года назад +1

    Lkn pia unaelimika na kujifunza vitu vingi na unasahau km una mawazo...

  • @joycembochi8373
    @joycembochi8373 4 года назад +1

    Good

  • @williamkidalo7049
    @williamkidalo7049 4 года назад +2

    Be blessed

  • @sigifridamaro7757
    @sigifridamaro7757 4 года назад

    Asantee sn broo

  • @heradiussdereck2257
    @heradiussdereck2257 4 года назад +1

    Asante sana kaka...

  • @gadoboytv424
    @gadoboytv424 4 года назад +1

    A.lekum kaka mm naitwa omar mohd kaka mm ninashida ya namba zako na cm kunavitu nataka kuuliza kwaiyo nadhani kwa kupitia community hatutafahamiana

  • @simulizizakiswahili
    @simulizizakiswahili 4 года назад +2

    Faida ninayopata ni kuwa stress free
    Kurefresh
    Kuongeza maarifa na mtandao wa marafkki

  • @chw2075
    @chw2075 3 года назад

    Uko vzr j

  • @albertbiden6386
    @albertbiden6386 4 года назад +1

    Kazi nzuri.

  • @kareemyassin9322
    @kareemyassin9322 3 года назад

    Mi kujichanganya huwa sipendi sanaaa

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 3 года назад +1

    Nitajirekebisha,means nitajichanganya na watu.

  • @johnmwamengo4398
    @johnmwamengo4398 4 года назад +1

    Kutopenda kujichanganya nako ni tatizo la kiafya

  • @greatestdaniel7865
    @greatestdaniel7865 4 года назад +2

    ukweli ulio tukuka brother

  • @khamissmwakyembe4238
    @khamissmwakyembe4238 4 года назад +1

    Good content brother thanks

  • @neemasafixanakakamasuka1267
    @neemasafixanakakamasuka1267 3 года назад

    Shukulni

  • @matridachatila6839
    @matridachatila6839 2 года назад

    Sikumoha tafiti kuhisu watu wanao penda kununa yani kosa kidogotu kununa kwa wiki mbili kawaida tu na watu wa mihasira ya ajabu

  • @pendatv1675
    @pendatv1675 4 года назад

    Kweli Mimi siko social

  • @innocentulomi3712
    @innocentulomi3712 4 года назад +2

    Hiyo kitu nimeshindwa kabisa kukaa na watu

    • @emtv9675
      @emtv9675 4 года назад

      🤣☺️☺️😂😂

  • @fatmamohammedali4306
    @fatmamohammedali4306 4 года назад +1

    Mmojawapo mm tangu utoto wangu mpaka nazeeka sasa

  • @innocentulomi3712
    @innocentulomi3712 4 года назад +1

    Broo

  • @vascoisry35
    @vascoisry35 4 года назад +1

    Barkiwa sanaa

  • @lutebeatz20
    @lutebeatz20 4 года назад

    Ndo maana lockdown inatushinda

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 4 года назад

    Kaka nilikucheki wsp hujanijibu hadi leo hii

  • @sakisfidmasho6393
    @sakisfidmasho6393 4 года назад

    Kirakitu uraya wame tafiti Tanzania hatunatafiti

  • @rickmoney8788
    @rickmoney8788 4 года назад

    Too Long Videos
    Mr
    Why?
    Make just short one.